KINANA AWACHALAZA CHADEMA LISSU, MBOWE WAPEWA ONYO/Avuja Siri za Kikao KUNGANGANIA MADARAKA UCHAGUZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 май 2024
  • #habari
    🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI?------------------------------
    TUTAFUTE Wananchi TV
    Contact:
    📞 Phone: +255 686 379370
    📱 WhatsApp: +255 686 379370
    📧 Email: wananchihabari@yahoo.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
    Social Media Links
    📸 Instagram: / wananchiitv
    🐦 Twitter/X: x.com/wananchitv?s=21
    📘 Facebook: share/ff8FJq...
    -----------------------------------------------------------------------------------
    -- TIMESTAMPS --
    0:00 - WANANCHI TV
    01:04 - SUBSCRIBE,LIKE NA KUCOMENT.

Комментарии • 15

  • @zachariamalley7076
    @zachariamalley7076 20 дней назад

    ❤❤kweli Mzee kinana hapo wameketa hoja ya kushindwa wenyewe, mpaka wanacharazana wenyewe kwa wenyewe. Fatma amewatolea uvivu kwa hoja hiyo ya wongo.

  • @JumaJems-gh9ih
    @JumaJems-gh9ih 20 дней назад

    Safi sana comred kinana mara zote taahira hajijui anajiona yupo sawa tu!
    Basi lisu atakosa kura hatayamkewake kwakukosa kujielewa.

  • @Obasaniyo
    @Obasaniyo 20 дней назад +1

    Huyu mzee mnafiki yote anasababisha mwenyewe. Alimponda Magu sasa acha tundu awachalaze

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s 20 дней назад +1

    Mzee una uwezo wa kumchalenji lissu ujafika kwenye kiwango Cha wanasheria uyo lissu ni mwalimu wako wa mambo ya kisheria

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s 20 дней назад +1

    Utawala wa majinbo ni jambo zuri sana labda kwa mjinga TU kwani ni kungatua madalaka wa Wana nchi usitufanye watoto tunajua mambo mengi kuliko wewe na ccm yako

  • @tibonmbingi1082
    @tibonmbingi1082 18 дней назад

    Kwann katiba isiwe leo?au mnavuna kwanza msivyopanda?

  • @LemayanOlesenet-mq2yl
    @LemayanOlesenet-mq2yl 20 дней назад

    Watanzania tuwaelewa sana sasahivi

  • @TabuSefu-cc1kp
    @TabuSefu-cc1kp 20 дней назад

    Hakuna haja vyama vingi vya siasa kwakua wafuasi wa vyama hivyo wanakula chama tawala sasa Kuna hajan sasa kua na vyama vingi

  • @tibonmbingi1082
    @tibonmbingi1082 18 дней назад

    Mzee huna mahali kwa kwenda au huna la kufanya?Mtanzania wa sasahivi sio km mlivokuwa nyinyi enzi zenu.Kaa kwa kutulia subiri tu mwisho wako ufike ili ukapumzike.

  • @nyamrolamajani444
    @nyamrolamajani444 20 дней назад +1

    Mimi ndo sielewi kabisa
    Sijui akili yangu imekalia upande gani

    • @tibonmbingi1082
      @tibonmbingi1082 18 дней назад

      Huelewi kwasababu haka kazee hakaeleweki,Ila akili yako imekaa sehemu nzuri tu.

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 20 дней назад +1

    MZEE KINANA TWAMBIE KATIBA YA TANGANYIKA IKO WAPI WAKATI WENZETU ZANZIBARI WANAKATIBA YAO?

    • @tibonmbingi1082
      @tibonmbingi1082 18 дней назад

      Hana la kukujibu,hapo ametumwa kuendelea kutupotezea muda

  • @stevenmarunda4353
    @stevenmarunda4353 20 дней назад +1

    We mzee kadanganye wajuku wako

    • @tibonmbingi1082
      @tibonmbingi1082 18 дней назад

      Hakuna hata mjukuu mmoja atakaemwamini,apewe mbuzi afuge