KINANA AWACHALAZA CHADEMA LISSU, MBOWE WAPEWA ONYO/Avuja Siri za Kikao KUNGANGANIA MADARAKA UCHAGUZI
HTML-код
- Опубликовано: 25 май 2024
- #habari
🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI?------------------------------
TUTAFUTE Wananchi TV
Contact:
📞 Phone: +255 686 379370
📱 WhatsApp: +255 686 379370
📧 Email: wananchihabari@yahoo.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Social Media Links
📸 Instagram: / wananchiitv
🐦 Twitter/X: x.com/wananchitv?s=21
📘 Facebook: share/ff8FJq...
-----------------------------------------------------------------------------------
-- TIMESTAMPS --
0:00 - WANANCHI TV
01:04 - SUBSCRIBE,LIKE NA KUCOMENT.
❤❤kweli Mzee kinana hapo wameketa hoja ya kushindwa wenyewe, mpaka wanacharazana wenyewe kwa wenyewe. Fatma amewatolea uvivu kwa hoja hiyo ya wongo.
Safi sana comred kinana mara zote taahira hajijui anajiona yupo sawa tu!
Basi lisu atakosa kura hatayamkewake kwakukosa kujielewa.
Huyu mzee mnafiki yote anasababisha mwenyewe. Alimponda Magu sasa acha tundu awachalaze
Mzee una uwezo wa kumchalenji lissu ujafika kwenye kiwango Cha wanasheria uyo lissu ni mwalimu wako wa mambo ya kisheria
Utawala wa majinbo ni jambo zuri sana labda kwa mjinga TU kwani ni kungatua madalaka wa Wana nchi usitufanye watoto tunajua mambo mengi kuliko wewe na ccm yako
Kwann katiba isiwe leo?au mnavuna kwanza msivyopanda?
Watanzania tuwaelewa sana sasahivi
Hakuna haja vyama vingi vya siasa kwakua wafuasi wa vyama hivyo wanakula chama tawala sasa Kuna hajan sasa kua na vyama vingi
Mzee huna mahali kwa kwenda au huna la kufanya?Mtanzania wa sasahivi sio km mlivokuwa nyinyi enzi zenu.Kaa kwa kutulia subiri tu mwisho wako ufike ili ukapumzike.
Mimi ndo sielewi kabisa
Sijui akili yangu imekalia upande gani
Huelewi kwasababu haka kazee hakaeleweki,Ila akili yako imekaa sehemu nzuri tu.
MZEE KINANA TWAMBIE KATIBA YA TANGANYIKA IKO WAPI WAKATI WENZETU ZANZIBARI WANAKATIBA YAO?
Hana la kukujibu,hapo ametumwa kuendelea kutupotezea muda
We mzee kadanganye wajuku wako
Hakuna hata mjukuu mmoja atakaemwamini,apewe mbuzi afuge