Mwigulu Nchemba Ageuka Mbogo Bungeni I Awajia Juu Wanaongilia Fani za Watu I Tujadili Mambo Mengine.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2023
  • Wakati wa uchangaji wa taarifa ya kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira, Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba alipata nafasi ya uchangiaji katika taarifa hiyo.
    Tusiwe tunatamani kuishambulia Serikali hata kama haijafanya makosa, Serikali ikifanya makosa ikosoeni lakini ikifanya jema iambieni.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 67

  • @2003hintay
    @2003hintay Год назад +1

    Mwigulu anadamu ya kunguni nafasi alionayo anaimudu wengi wao wanaitaka hiyo nafasi so wanachuki Sana na huyu jamaa hata akitoa maelezo mazuri bado Kuna mazwazwa hawamuelewi au wanajifanya hamuelewi. Piga kazi Mwigulu

  • @furahamwajeka7463
    @furahamwajeka7463 Год назад +2

    Mmmh nchemba hio sio professional. Wewe ulifeli

  • @musabarnabas7628
    @musabarnabas7628 Год назад +2

    Mwenyekiti kazi ya kuendesha kikao ilimshinda hapa.

  • @robisonmabaso4720
    @robisonmabaso4720 Год назад +1

    Usitugombeze
    Kwani mara ngapi unaulizwa maswali na huna majibu kwani kuna ambaye alikukaripia
    Leo umekuwa na hoja ya msingi ndiyo ukaripie watu
    Hayo siyo maisha ni sawa tu na kusema maskini akipata

  • @chacharyoba784
    @chacharyoba784 Год назад +2

    Haya bana Mungu anawaona hayo maneno yenu

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 Год назад +3

    Mh waziri uko vzuri sana na hayo madarasa unayosema hata kwenye kata yetu yapo na yanaonekana kwa macho
    Mwaka huu watoto wameanza kidato Cha kwanza bla hata kuchangia dawati
    Asante sana mh Samia kwa kazi nzuri,

  • @binaisaakili9776
    @binaisaakili9776 Год назад

    Kwakweli tuna waxiri wa ajabu sana .anapongea haheshimu utaratiibu wa bunge. Hajali taariifa wala kauli ya spika.

  • @peterbalyagati7834
    @peterbalyagati7834 Год назад +1

    Waziri control kauli zako, kumbuka unaongea na nchi watu wote tunakusikiliza

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Год назад

    Mnatuibia mpaka hata kichaa asiee erewa anaerewa KUWA anaibiwa jaman wanainchi saizi tunaria na magufuli mpaka reo hatujawahi kuwaerewa hata sku moja

  • @Deinstitute1
    @Deinstitute1 Год назад

    Mnakatishaje moyo Rais. Sijui Uongozi sio suala la matendo ya huruma.

  • @kilamiko8299
    @kilamiko8299 Год назад +2

    Acha kupanic na uchumi hujui

  • @tozzowilliams308
    @tozzowilliams308 Год назад +1

    Hayo madarasa mmesema yamejengwa Kwa fedha za uviko,

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 Год назад

    Ndugu yangu Kuna wimbi kubwa la wabunge na baadhi ya Watanzania hawataki kuelewa hiyo kanuni. Fanya kazi, tunakuelewa, usiogope, Kuna Watu wenye chuki, husuda na wivu sio na kwako tuu ni pamoja na Rais aliyepo (S.S.H). Beware... soon watajilipua ile ya liwalo na liwe.. msiwaachie nafasi.

  • @makanyamhanga2497
    @makanyamhanga2497 Год назад +1

    Haaaahaaaa,"That is how you broke the vicious circle"

  • @rutegwadavid2535
    @rutegwadavid2535 Год назад

    Hongera Dk Mwiguru L. Nchemba kwa ufafanuzi mzuri. Lakini Dk. pole maana najua wapo ambayo hata hawajakuelewa hivyo wavumilie HIYO NDO CHANGAMOTO na KAZI KATIKA KUTUMIKIA WATU.

  • @monsterrylics299
    @monsterrylics299 Год назад

    Mueshimiwa mumefunga mifumo kabula jua as mafundi mume tuesa tutashindwa kuiamin selikal jua Kuna masikin wanafanya Kaz zaselikali atulipwi mda muafa kisa b o t amufanyi malipo j watu waibe

  • @elsonkamote5656
    @elsonkamote5656 Год назад

    Big up

  • @shijamasunga204
    @shijamasunga204 Год назад

    Cjui kama mnaendelea KUSIKILIZA huu upuuzi

  • @testarguy8609
    @testarguy8609 Год назад +1

    Hii dunia bhana ina mambo ya kuona na huna cha kufanya inabidi uvunge tu.

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 Год назад

    Anamsimulia nani asiyejua nchi hii ilikotoka ?kwani wakati huo watu walikosa nini ZAIDI ya Sasa ? ELIMU anayoitoa ni ya kujihami TU. Yeye ndiye mchumi kuliko walivokuwa akina KIGOMA MALIMA na wengine ambao wanafahamika ? Nafasi hiyo aliikuta BAADA ya kuachwa WAZI na waliomtangulia na wanakuja kuikuta wengine yeye si wa MILELE hapo .

  • @peterkidumbuyo8341
    @peterkidumbuyo8341 Год назад

    Mtanzania anatonzwa kodi kabla ya kuzaliwa, ndio uchumi wa Mheshimiwa ansousemea, hataki idadi ya watanzania kujiajiri kwa kumtonza kodi kabla hajaanza biashara. Huyu ndio Mganga wa kiejeji.

  • @jembe34
    @jembe34 Год назад

    fedha za madarasa mlisema ni pesa za covid ndo mnapeleka kujenga madarasa

  • @iameliakatabazi4496
    @iameliakatabazi4496 Год назад

    That's is vision cycle

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Год назад +3

    KWANINI HAPEWI TAARIFA

  • @victorishengoma4599
    @victorishengoma4599 Год назад +1

    Sasa hii inahusianaje na kupanda kwa mchele?

  • @anethjoseph4542
    @anethjoseph4542 Год назад

    Kwani si tutajiwe na na hizo shule zilizojengwa nasisi wananchi tupige tathimin

  • @EliyacostantinoPius
    @EliyacostantinoPius Год назад +3

    Anaongea sana nayeye

  • @bagabashukaijage9714
    @bagabashukaijage9714 Год назад +2

    Huyu mwenyekiti ziro kabsaa, mtu anaongea kelele watu wanataka kusahihisha alaf uyo kiaz anawanyima nafasi, yaani Tanzania yangu naihurumia sana.

  • @igayo_tv
    @igayo_tv Год назад +1

    utapeli wa kisiasa ndio huu sasa

  • @simonballu1124
    @simonballu1124 Год назад +1

    Mwigulu Nchemba ni sawa na chupi usipokaa makini huwezi kujua mbele ni wapi na nyuma ni wapi, yaani kuna muda anaongea deep unamuelewa ila ukitaka umkamue ng'ombe vizuri inabd usubiri anenenpe usikamue waliokonda kisa una shida na maziwa sasa kilichowafanya serikali muweke tozo kwa wananchi ni kitu gani? mngesubiri wawekezaji sema uongea kwa point nyingi na pumba zikiwemo lakini.

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Год назад

      Hata mbuzi hukamuliwa ikibidi wakati huo ng'ombe analelewa ili azae, alishwe atoe maziwa

  • @abullahsalimabdul-rahman1817
    @abullahsalimabdul-rahman1817 Год назад

    Mmmmh

  • @OPERATORSGARDAWORLD
    @OPERATORSGARDAWORLD Год назад

    bilioni 160 madarasa elfu8,guys hii imekaaje

  • @senixdanethox
    @senixdanethox Год назад +1

    Kila hela inajenga madarasa

    • @ezeedi871
      @ezeedi871 Год назад

      Hela za uviko zimejenga madarasa hela za ziada bilioni 160 pia zimejenga madarasa Sasa daah ujui tuu

  • @paulshibhiti9584
    @paulshibhiti9584 Год назад

    Sikuelewagi kabisaaa achia ngaziii

  • @msongojumbe486
    @msongojumbe486 Год назад

    Waziri mbogo fedha ni za wananchi si za rais

  • @remigiusyustinian2060
    @remigiusyustinian2060 Год назад

    Mwigulu hamna kitu ww na hufai kuwa hapo ulipo pesa za Covid 19 na tozo za miamala mlizosema zitajenga madarasa , maji na hospital ziko wapi??

  • @janethjohn7053
    @janethjohn7053 Год назад

    Tatizo la kulipwa mishahara na posho wastaafu kwa nini waanze kulipwa wajiriwa tarehe 21 halafu wastaafu 24 wote wangelipwa tarehe Sawa wastaafu bado ni watumishi na walifanya kazi zinazoendelea leo

  • @georgerwebembera1565
    @georgerwebembera1565 Год назад

    Mungu tumekuachia wewe

  • @stephanogallet3461
    @stephanogallet3461 Год назад +2

    Mwehu kweli na ile ya corona ilienda wapi

  • @jamespitermadangwa8005
    @jamespitermadangwa8005 Год назад +1

    Anamfokea nani??

  • @iddymbuma2856
    @iddymbuma2856 Год назад +1

    Mtu aliesoma haongeagi hvi 😅

  • @arthurmwabulambo1201
    @arthurmwabulambo1201 Год назад

    Hivi pesa nchi hii ni za nani? Maake mtu anasifiwa kuzitoa kama zake kwa maendeleo ya wenyenazo.

  • @TonnyCaesar
    @TonnyCaesar Год назад

    Vina mudaa

  • @arabimandindi3713
    @arabimandindi3713 Год назад

    chakula bei mbaya Tanzania mwiguluu uto

  • @victorishengoma4599
    @victorishengoma4599 Год назад +1

    Kwenye madarasa trioni 1.5 ya Covid haikutosha madarasa?

    • @dawsonsamson2396
      @dawsonsamson2396 Год назад

      yalikuwa madarasa ya shule ya msingi sio secondary

  • @davidevilla6521
    @davidevilla6521 Год назад

    Alafu kuna mijinga na yenyewe inapiga makofi

  • @renatusmlugo6357
    @renatusmlugo6357 Год назад

    Afu msituone watz mazuzu si tuliambiwa pesa ya covd ndo tumejengea madarasa??,vp za mihamala ??,vp mikopo ya kila cku?? Pesa zote izi zote na mnazokusanya kwenye makodi mnapiga tu mnaatuzingua cjui madarasa du! Kuajiri hamtak kutuajir vijana kisa nyie mko kwenye system hamtuoni

  • @abbasmusa6293
    @abbasmusa6293 Год назад

    Sasa kwani Bajeti Maana yake nini?

  • @petromwita7415
    @petromwita7415 Год назад +1

    TRAP & TRAT

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv Год назад

    Achauongoo ww unamuhulumia nan www

  • @jamesbayo1910
    @jamesbayo1910 Год назад

    Kwanini? Mwenyekiti hatoi nafasi ya taarifa kutolewa na WABUNGE. WABUNGE CHINGUZENI KUNA NINI? Nyuma ya hilo.

  • @mohamedmatewele9185
    @mohamedmatewele9185 Год назад

    Adam usisifie usilolifanyia utafiti

  • @isiraeli
    @isiraeli Год назад

    Fiongosi tunawategemea

  • @raurentkorosso2014
    @raurentkorosso2014 Год назад

    Mlizo kopa saaa zimefanya nn na za ovico19 zimefanya nn mbona hatuon

  • @chitembedyao.p4846
    @chitembedyao.p4846 Год назад +1

    Kati ya wachumi wa Tanzania ambao bado sijaona exceptional impact ya profession yake ya uchumi ni Mheshimiwa Mwigulu kila anachokitekeleza yanatokana na programmed decisions !!!

  • @kilamiko8299
    @kilamiko8299 Год назад

    badilisha mfumo mbaya wa kodi wewe acha kupayuka..

  • @stevenezekiel5670
    @stevenezekiel5670 Год назад

    Nyoko wewe

  • @mbembelatv
    @mbembelatv Год назад +1

    Uyu wazir Hamna kitu