Mwigulu Nchemba Ageuka Mbogo Bungeni I Awajia Juu Wanaongilia Fani za Watu I Tujadili Mambo Mengine.
HTML-код
- Опубликовано: 31 янв 2023
- Wakati wa uchangaji wa taarifa ya kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira, Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba alipata nafasi ya uchangiaji katika taarifa hiyo.
Tusiwe tunatamani kuishambulia Serikali hata kama haijafanya makosa, Serikali ikifanya makosa ikosoeni lakini ikifanya jema iambieni. Развлечения
Mwigulu anadamu ya kunguni nafasi alionayo anaimudu wengi wao wanaitaka hiyo nafasi so wanachuki Sana na huyu jamaa hata akitoa maelezo mazuri bado Kuna mazwazwa hawamuelewi au wanajifanya hamuelewi. Piga kazi Mwigulu
Mmmh nchemba hio sio professional. Wewe ulifeli
Mwenyekiti kazi ya kuendesha kikao ilimshinda hapa.
Usitugombeze
Kwani mara ngapi unaulizwa maswali na huna majibu kwani kuna ambaye alikukaripia
Leo umekuwa na hoja ya msingi ndiyo ukaripie watu
Hayo siyo maisha ni sawa tu na kusema maskini akipata
Haya bana Mungu anawaona hayo maneno yenu
Mh waziri uko vzuri sana na hayo madarasa unayosema hata kwenye kata yetu yapo na yanaonekana kwa macho
Mwaka huu watoto wameanza kidato Cha kwanza bla hata kuchangia dawati
Asante sana mh Samia kwa kazi nzuri,
Kwakweli tuna waxiri wa ajabu sana .anapongea haheshimu utaratiibu wa bunge. Hajali taariifa wala kauli ya spika.
Waziri control kauli zako, kumbuka unaongea na nchi watu wote tunakusikiliza
Mnatuibia mpaka hata kichaa asiee erewa anaerewa KUWA anaibiwa jaman wanainchi saizi tunaria na magufuli mpaka reo hatujawahi kuwaerewa hata sku moja
Mnakatishaje moyo Rais. Sijui Uongozi sio suala la matendo ya huruma.
Acha kupanic na uchumi hujui
Hayo madarasa mmesema yamejengwa Kwa fedha za uviko,
Ndugu yangu Kuna wimbi kubwa la wabunge na baadhi ya Watanzania hawataki kuelewa hiyo kanuni. Fanya kazi, tunakuelewa, usiogope, Kuna Watu wenye chuki, husuda na wivu sio na kwako tuu ni pamoja na Rais aliyepo (S.S.H). Beware... soon watajilipua ile ya liwalo na liwe.. msiwaachie nafasi.
Haaaahaaaa,"That is how you broke the vicious circle"
Hongera Dk Mwiguru L. Nchemba kwa ufafanuzi mzuri. Lakini Dk. pole maana najua wapo ambayo hata hawajakuelewa hivyo wavumilie HIYO NDO CHANGAMOTO na KAZI KATIKA KUTUMIKIA WATU.
Mueshimiwa mumefunga mifumo kabula jua as mafundi mume tuesa tutashindwa kuiamin selikal jua Kuna masikin wanafanya Kaz zaselikali atulipwi mda muafa kisa b o t amufanyi malipo j watu waibe
Big up
Cjui kama mnaendelea KUSIKILIZA huu upuuzi
Hii dunia bhana ina mambo ya kuona na huna cha kufanya inabidi uvunge tu.
Anamsimulia nani asiyejua nchi hii ilikotoka ?kwani wakati huo watu walikosa nini ZAIDI ya Sasa ? ELIMU anayoitoa ni ya kujihami TU. Yeye ndiye mchumi kuliko walivokuwa akina KIGOMA MALIMA na wengine ambao wanafahamika ? Nafasi hiyo aliikuta BAADA ya kuachwa WAZI na waliomtangulia na wanakuja kuikuta wengine yeye si wa MILELE hapo .
Mtanzania anatonzwa kodi kabla ya kuzaliwa, ndio uchumi wa Mheshimiwa ansousemea, hataki idadi ya watanzania kujiajiri kwa kumtonza kodi kabla hajaanza biashara. Huyu ndio Mganga wa kiejeji.
fedha za madarasa mlisema ni pesa za covid ndo mnapeleka kujenga madarasa
That's is vision cycle
KWANINI HAPEWI TAARIFA
Sasa hii inahusianaje na kupanda kwa mchele?
Kwani si tutajiwe na na hizo shule zilizojengwa nasisi wananchi tupige tathimin
Anaongea sana nayeye
Huyu mwenyekiti ziro kabsaa, mtu anaongea kelele watu wanataka kusahihisha alaf uyo kiaz anawanyima nafasi, yaani Tanzania yangu naihurumia sana.
utapeli wa kisiasa ndio huu sasa
Mwigulu Nchemba ni sawa na chupi usipokaa makini huwezi kujua mbele ni wapi na nyuma ni wapi, yaani kuna muda anaongea deep unamuelewa ila ukitaka umkamue ng'ombe vizuri inabd usubiri anenenpe usikamue waliokonda kisa una shida na maziwa sasa kilichowafanya serikali muweke tozo kwa wananchi ni kitu gani? mngesubiri wawekezaji sema uongea kwa point nyingi na pumba zikiwemo lakini.
Hata mbuzi hukamuliwa ikibidi wakati huo ng'ombe analelewa ili azae, alishwe atoe maziwa
Mmmmh
bilioni 160 madarasa elfu8,guys hii imekaaje
Kila hela inajenga madarasa
Hela za uviko zimejenga madarasa hela za ziada bilioni 160 pia zimejenga madarasa Sasa daah ujui tuu
Sikuelewagi kabisaaa achia ngaziii
Waziri mbogo fedha ni za wananchi si za rais
Mwigulu hamna kitu ww na hufai kuwa hapo ulipo pesa za Covid 19 na tozo za miamala mlizosema zitajenga madarasa , maji na hospital ziko wapi??
Tatizo la kulipwa mishahara na posho wastaafu kwa nini waanze kulipwa wajiriwa tarehe 21 halafu wastaafu 24 wote wangelipwa tarehe Sawa wastaafu bado ni watumishi na walifanya kazi zinazoendelea leo
Mungu tumekuachia wewe
Mwehu kweli na ile ya corona ilienda wapi
ya corona ilijenga madarasa ya msingi
Na hiyoanayozungumza ni ipi????
Anamfokea nani??
Mtu aliesoma haongeagi hvi 😅
Ndio wasomi wa TZ hao,,,
Hivi pesa nchi hii ni za nani? Maake mtu anasifiwa kuzitoa kama zake kwa maendeleo ya wenyenazo.
Vina mudaa
chakula bei mbaya Tanzania mwiguluu uto
Kwenye madarasa trioni 1.5 ya Covid haikutosha madarasa?
yalikuwa madarasa ya shule ya msingi sio secondary
Alafu kuna mijinga na yenyewe inapiga makofi
Afu msituone watz mazuzu si tuliambiwa pesa ya covd ndo tumejengea madarasa??,vp za mihamala ??,vp mikopo ya kila cku?? Pesa zote izi zote na mnazokusanya kwenye makodi mnapiga tu mnaatuzingua cjui madarasa du! Kuajiri hamtak kutuajir vijana kisa nyie mko kwenye system hamtuoni
Sasa kwani Bajeti Maana yake nini?
TRAP & TRAT
Achauongoo ww unamuhulumia nan www
Kwanini? Mwenyekiti hatoi nafasi ya taarifa kutolewa na WABUNGE. WABUNGE CHINGUZENI KUNA NINI? Nyuma ya hilo.
Adam usisifie usilolifanyia utafiti
Fiongosi tunawategemea
Mlizo kopa saaa zimefanya nn na za ovico19 zimefanya nn mbona hatuon
Kati ya wachumi wa Tanzania ambao bado sijaona exceptional impact ya profession yake ya uchumi ni Mheshimiwa Mwigulu kila anachokitekeleza yanatokana na programmed decisions !!!
badilisha mfumo mbaya wa kodi wewe acha kupayuka..
Nyoko wewe
Uyu wazir Hamna kitu