Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
He so inspiring n knowledgeable u can learn alot from him..I can listen to him whole day
Hongera sana vunja bei kwa uelewa wako mpana
Mungu akuzidishie fred tunatamani kuwa watu wa biashara lakini uwezo mdogo ila nakukubali sana Ali kutoka zanzibar
Nimejifunza mengi sana kaka fredy kutoka kwako bigap sana kaka 🫡
Boss anaijibu vizuri sana
King vunja bei
Fred,nimebarikiwa sana na mazungumzo yako kwenye masuala ya kuanza biashara
Heloooo hongera sana Fred
He's so smart.
Osca mbea hd anakasirika 😂😂😂😂 eti kuficga kumekusaidia nini😂😂😂😂 ndio huko kuumia
Hongera
I really like you brother
Amna interview ya fredy sijasikiliza
This my guy is sooooooo smart
Nipenda hiyo
Fredi nakupenda lakini naomba umuoe mh joket wetu
Oscar Oscar kawa mdogo 😂😂😂😂
Jamaa anajua sn kuchanganua
Eti FULEDI VUNJABEI...watu bwana😅
kwa kweli nimetafuta hii interview ya vunja bei maana unaweza kuota kitu ambacho hata hujawahi kumfikiria huwa una point sana
Zaid ya genius
Kaka Fred nakupenda sana ila naomba unifundishe biashara kwani mtaji nilio nao ni milioni 2,000,000
Kaka Majibu yako yanaakili....
Safi sn unatoa elim Kwa wengi
Kaka unafaa kuwa rais
Fred ongea na bwana Dr mwaka. Mpe maoni ya kuumeni. Mbona anadai nyumba ya mwenztu Qeen?
Dr Mwaka alifeli kupora nyumba
Nimekukibali fred
Kweli mwenyeelim ni mwenyeelim sio kama mwijaku
Mwenye elimu
Hivi mazava ya Moro wanatengeneza nini
Kumbe huyu kijana amesoma naanajua kujieleza
😂
He so inspiring n knowledgeable u can learn alot from him..I can listen to him whole day
Hongera sana vunja bei kwa uelewa wako mpana
Mungu akuzidishie fred tunatamani kuwa watu wa biashara lakini uwezo mdogo ila nakukubali sana Ali kutoka zanzibar
Nimejifunza mengi sana kaka fredy kutoka kwako bigap sana kaka 🫡
Boss anaijibu vizuri sana
King vunja bei
Fred,nimebarikiwa sana na mazungumzo yako kwenye masuala ya kuanza biashara
Heloooo hongera sana Fred
He's so smart.
Osca mbea hd anakasirika 😂😂😂😂 eti kuficga kumekusaidia nini😂😂😂😂 ndio huko kuumia
Hongera
I really like you brother
Amna interview ya fredy sijasikiliza
This my guy is sooooooo smart
Nipenda hiyo
Fredi nakupenda lakini naomba umuoe mh joket wetu
Oscar Oscar kawa mdogo 😂😂😂😂
Jamaa anajua sn kuchanganua
Eti FULEDI VUNJABEI...watu bwana😅
kwa kweli nimetafuta hii interview ya vunja bei maana unaweza kuota kitu ambacho hata hujawahi kumfikiria huwa una point sana
Zaid ya genius
Kaka Fred nakupenda sana ila naomba unifundishe biashara kwani mtaji nilio nao ni milioni 2,000,000
Kaka Majibu yako yanaakili....
Safi sn unatoa elim Kwa wengi
Kaka unafaa kuwa rais
Fred ongea na bwana Dr mwaka. Mpe maoni ya kuumeni. Mbona anadai nyumba ya mwenztu Qeen?
Dr Mwaka alifeli kupora nyumba
Nimekukibali fred
Kweli mwenyeelim ni mwenyeelim sio kama mwijaku
Mwenye elimu
Hivi mazava ya Moro wanatengeneza nini
Kumbe huyu kijana amesoma naanajua kujieleza
😂