FREDVUNJABEI NA BABALEVO:WAZUNGUMZIA SAKATA LA HAJIMANARA KUACHWA DUBAI/HARMONIZE/MWIJAKU AMEDHULUMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • Tumepiga story na Baba levo na Fred Vunjabei

Комментарии • 70

  • @ankalmohadevez
    @ankalmohadevez Год назад +4

    I really like n love this dude #FundiMajumba #BLevo from #254🇰🇪❤️❤️❤️

  • @alishuria717
    @alishuria717 Год назад +8

    Baba levo natamani nikuone tu nicheke Sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 Год назад +2

    Baba Levo utauwaaa watu😁😁😁😁😁😁yaani nimecheka sana

  • @stellah3844
    @stellah3844 Год назад +4

    🤣🤣🤣🤣🤣Baba levo Mungu akuweke uendelee kunichekesha

  • @laurentmupira1280
    @laurentmupira1280 Год назад +1

    Promax-Chawa wa mafunza!

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Год назад +4

    Baba Levo Niko na wewe mpaka mb ziishe

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 Год назад +8

    lijamaa alina mambo ya kujitamba baba levo lina akili nyingi sana.

  • @joleal7941
    @joleal7941 Год назад +15

    😂😂😂baba levo unamaduka ya mdomo

  • @dankhany3385
    @dankhany3385 Год назад +1

    baba levo ni umeme bonge moja la ambassador

  • @shadrackkassale2968
    @shadrackkassale2968 Год назад +6

    Carry mastory matako yako endelea kuweka maandishi tofauti na video iliopo ndani

  • @shadrackkassale2968
    @shadrackkassale2968 Год назад +5

    Ila babalevo ni master😂😂

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 Год назад

      Master wap au master kujikosha🤣🤣

  • @hamisigege5946
    @hamisigege5946 Год назад +1

    Baba levoo 👍👍👍

  • @amisjabubakari7734
    @amisjabubakari7734 Год назад +2

    Vizuri

  • @happymwaseba5878
    @happymwaseba5878 Год назад +3

    Kumbe vunja bei unakuga mweupe baba levo🤣🤣🤣🤣

  • @theeKK101
    @theeKK101 Год назад +3

    What do you need to talk am here bigger babaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @suleimanali5677
    @suleimanali5677 Год назад +2

    Dah babalevo kiboko😂😂😂😂

  • @saidsalum3481
    @saidsalum3481 Год назад +1

    Yaan baba levo anaomba maswali yaishee ilikazoe mihela

  • @amisjabubakari7734
    @amisjabubakari7734 Год назад +1

    Good morning

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 Год назад +3

    Vunja anapenda kuojiwa anavo goma kuondoka🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mwinyinassir4247
    @mwinyinassir4247 Год назад

    Mnvaa vipi shades usiku

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Год назад

    Kigoma muna hasara ya kuambiwa huyu ni wa kwenu acha mwanamke akimbie kwa ujinga huu.

  • @maryannqueen7356
    @maryannqueen7356 Год назад +1

    Nikija Tz Next nataka ni meet baba Levo

  • @samniza1763
    @samniza1763 Год назад

    Mbona maharage hata mimi ninaweza kukupa usilale njaa? mpaka ukawe chawa wa tajiri lol!!

  • @rehemabaraka6689
    @rehemabaraka6689 Год назад +1

    😀😀😀

  • @ashurajuma3624
    @ashurajuma3624 Год назад +1

    Nimechoka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @lameckchahoa3410
    @lameckchahoa3410 Год назад

    Hahahahaha B Levo Ba

  • @DavidJohn-yc1ho
    @DavidJohn-yc1ho Год назад +1

    Hiyo atuwezi kupanda hahahahahaha

  • @amisjabubakari7734
    @amisjabubakari7734 Год назад +1

    Okay

  • @florencerose859
    @florencerose859 Год назад

    Duka la kupiga mdomo🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @amirabdallah6984
    @amirabdallah6984 Год назад

    😃😃😃😃😃😃😃🙃

  • @florahenry9439
    @florahenry9439 Год назад +1

    😂😂😂😂😂

  • @nuuringoogle4104
    @nuuringoogle4104 Год назад

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @guccij6236
    @guccij6236 Год назад

    Nimecheka kifala😆😆🤣

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Год назад

    🤣

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Год назад +19

    Yaani uyu Baba levo NI kiboko eti Mimi Nina maduka ya mdomo nimecheka ADI mbavu zimeniuma😂😂😂😂😂

    • @lazzR1935
      @lazzR1935 Год назад

      Ila kahakikisha ua maduka yake niyamdomo nayana mlipa

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai7777 Год назад +8

    Team vinja Bei tujuane

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Год назад +8

    Jiza usiku na mawani ya kuzuia miale ya jua duu wapi na wapi

  • @romakoko2292
    @romakoko2292 Год назад +4

    Niko sure vunja Bei anaangalia vituko za Baba Levo ..hakutaka interview iishe😂😂

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Год назад +9

    Baba levo nakupenda sana Kwa kweli❤️❤️❤️ mungu aendelee kukutunza akupe afya ILO njema 🤲

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 Год назад +3

    Aaaaaaaaa uwiiii 🥺🥺🥺🥺🥺💪 Baba Levo 😁😁😁

  • @hamisikisuju
    @hamisikisuju Год назад +3

    Vunjabei hakutaka interview iishe alitaka kuona baba levo anamzungumzia

    • @sambayo2440
      @sambayo2440 Год назад

      Alitaka nayeye ahojiwe bhana

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Год назад +2

    😂😂😂😂😂Baba levo msema kweli

  • @ramadhanijuma218
    @ramadhanijuma218 Год назад +1

    Aisee baba Level is too much

  • @samwelmoronya602
    @samwelmoronya602 Год назад

    🤣🤣👊👊👊👊👊👊

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 Год назад

    Akili za baba levo

  • @happyemanuel2070
    @happyemanuel2070 Год назад

    🤣ila levo🤣

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Год назад

    Hao wanaomtumia huyu taahira na wao pia mataahira.

  • @mamy8220
    @mamy8220 Год назад

    Baba levo 😁😄🤭😄🤣

  • @dijasaid2994
    @dijasaid2994 Год назад

    😄😄😄😄

  • @wasalimie11
    @wasalimie11 Год назад +2

    Sasa ww siutafyte zako na ww uitwe tajiri huna haya ukifwatana na matajiri ndo wakusaidie 😳😳😳

    • @daudmwaipasi5672
      @daudmwaipasi5672 Год назад +1

      Ndo njia yake ya kutafuta hela acha makasiriko Kama huna kipaji tulia

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 Год назад +2

      Sasa wewe endelea kufwatana na maskini akili zako zitakuwa zakimaskini

    • @hassanirajabu5453
      @hassanirajabu5453 Год назад +1

      Wewe una njia Yako ya kutafuta na yeye hiyo ndo njia yake ya kutafuta usimpangie maisha

    • @wasalimie11
      @wasalimie11 Год назад

      @@daudmwaipasi5672 kama kipani ni kusifia matajiri wacha ikae na kwa taarifa yako mm ni mtu najiweza na si kwa kutangaza utajiri wa wenzangu pole

    • @zena6203
      @zena6203 Год назад

      Achamakasiriko weukitafuta kazi inatosha 😂😂😂😂