UTACHEKA BABA LEVO ALIVYOMTANIA MR MANGURUWE ,DODOMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • #bongo24 #babalevo

Комментарии • 49

  • @amenipafungo8733
    @amenipafungo8733 4 дня назад

    Nguruwe aliumbwa na Mungu kwa makusudi mengine katika na siyo kwa chakula. Mungu katika NENO LAKE Amekataza sana ulaji wa nyama ya Nguruwe. Wanadamu wote wanaokula Nguruwe watapata adhabu kali sana na hawatakuwepo katika ufalme wa Mungu.

  • @frankmtavangu5517
    @frankmtavangu5517 Месяц назад +2

    Ila huyu jamaa😂😂😂😂

  • @user-nn1fw9rq1y
    @user-nn1fw9rq1y Месяц назад +4

    Ila bongo bhana uongo maelfu ya nguruwe kumbe ni 12

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 Месяц назад +3

    Huyu mr Manguruwe ni tapeli mkubwa..ametapeli watu wengi sana kwenye kilimo cha vanilla na parachichi

    • @dottomabula7253
      @dottomabula7253 Месяц назад

      Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu na siyo kutapeliwa , mdanganywa KAZI na utajiri wa haraka, Vijana lazima ufanye product Yako na siyo kujisikiza kwa mtu

    • @dottomabula7253
      @dottomabula7253 Месяц назад

      People should understand crystals clear
      Wawekeze wenyewe in multiple projects to diversify our economy ndo Siri ya utajiri

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Месяц назад +2

    Uyu jamaa akil yake kama awo nguruwe

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Месяц назад +2

    Hawa jamaa maongo kisha yanasahua mara nguluwe mia tatu mara elfu na na mia tatu

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Месяц назад +2

    Nikweli kabisa nitapeli

  • @user-yd3hz6hq6q
    @user-yd3hz6hq6q Месяц назад +3

    huyu ndo aloanzisha VANILER VILLAGE kule zanzibar na kutapeli watu ..

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Месяц назад +1

    Baba levo usiwe unamtangaza uyo jamaa atakualibia ...utaonekana nawewe akili yako baba levo kama uyo jamaa...mimi kama shabiki yako baba levo uyo jamaa anakualibia bwana ..usimpromoti uyo chizi manguruwe baba levo nawewe...wewe unamashabiki wakislam unatukwaza baba levo...mim sijapenda baba levo..uyu jamaa manguruwe hana akili ata moja ...baba levo uyo jamaa anakuharibia bwana usimpromoti

  • @michaelamachary5316
    @michaelamachary5316 Месяц назад +1

    Duh, inasikitisha kwa kweli

  • @mwanyulatz
    @mwanyulatz 25 дней назад

    Mbona kama kawehuka uyu mr

  • @hassanplan.b7815
    @hassanplan.b7815 Месяц назад +4

    yeye pia ana akili kama nguruw

    • @ShabanMainde
      @ShabanMainde Месяц назад

      😅

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Месяц назад

      Ndomana ana hela kuliko wewe mwe akili kama ngamia

    • @bonifacewanyonyi3555
      @bonifacewanyonyi3555 Месяц назад

      😂😂😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Месяц назад +1

      ​@ramadhanmahongole NYAMA YA NGURUWE IMEJAA MAMALIONI YA FUNZA NDIO SIFA YAKE NA NGURUWE WANAKULA VINYESI MCHAFU USIMFANANISHE NA NGAMIYA KABISA

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Месяц назад

      ​​@@ramadhanmahongole9293HIZO HELA WEWE UMEZIONA???

  • @michaelamachary5316
    @michaelamachary5316 Месяц назад +1

    Jinga kweli

  • @EmmanuelNdahya-ud5nj
    @EmmanuelNdahya-ud5nj Месяц назад +2

    Kapime akili kwanza ndo ufanye biashara

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Месяц назад +1

    Uyu sio makonda alimwita mzalisjaji wa vanila

    • @brianbaltazar6198
      @brianbaltazar6198 Месяц назад +2

      Ndio huyu..ni tapeli mkubwa sana ametapeli watu wengi sana kwenye kilimo cha vanilla na parachichi

    • @Gloria-vh5bz
      @Gloria-vh5bz Месяц назад +1

      Ni yeye ,akili yake pia haipo sawa ni vile tu Tz hatufatilii ila kiakili hayupo sawa huyu

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 Месяц назад

    Wewe tuliza kipara
    Huwezi kulinganisha ngurue na ngombe nisawa na kulinganisha nyanya na thahabu

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 Месяц назад +1

    Tapeli ww

  • @user-mt6nu5hs8q
    @user-mt6nu5hs8q Месяц назад +1

    Nivyema unapokuwa unahojiwa kuwa siriasi na kujibu kwa busara ili kuipa heshima zaidi kazi yako.

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Месяц назад

    Sasa niny kwan watu wotee wanatumia nguruwee, kil mnyam ana Hak awepoo

  • @user-rh3gz7fo2n
    @user-rh3gz7fo2n Месяц назад +2

    Mwizi mkubwa wewe

  • @frankmtavangu5517
    @frankmtavangu5517 Месяц назад

    Nguruwe wamethibitishwa na tbs.kutoka ujerumani

  • @ayubually5084
    @ayubually5084 22 дня назад

    mi namuelewa

  • @michaelamachary5316
    @michaelamachary5316 Месяц назад +1

    Mmh! Hawa wanafanya watanzania wote wajinga

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Месяц назад +3

    Biashara haramu tu? Kasome biblia

    • @davidjoackim2216
      @davidjoackim2216 Месяц назад

      Biashara haramu,kwani hizo ni drags 😂

    • @JaphetVenance
      @JaphetVenance Месяц назад

      Dhambi gani mboga hiyo we endelea kufuga paka wako

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 Месяц назад

      Ujue biblia siyo ya mtu mweusi😂

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Месяц назад

      We endelea kusoma biblia wenzio wanakuwa matajiri kwa kujiwekeza

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Месяц назад

    Baba levo unaongeaga ila hapo kwa manguruwe umefk leo umeyavagaaa