BABA LEVO afichua siri NILIWAONA NANDY na BILLNASS WAKIZAGAMUANA
HTML-код
- Опубликовано: 2 сен 2021
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
----------------------------------------------------------------------------------- Развлечения
Nilianza namchukia baba levo mwisho wa siku nikajikuta nampenda kupita kiasi. Nahisi ana good heart . Na ni mwema mno
Baba levo karibu Ufaransa tunakupenda mnoo Watanzania unatupa rahaaaaa
Nikiona Title ina jina Baba Levo mimi hubonyeza haraka sana.
Baba levo mpuzi
@@richardkivuva1811 wewe wacha kuhaha
Niwaambie tyu kuwa baba levo ana akili kuliko mnavyofikiria, baba levo hoyeee
Huyu jama ni comedy😂😂😂😂 baba levo mwisho
Huyu jamaa ni best comedian
HAKUNA INTERVIEW TAMU KAMA ZA BABALEVO
Teeenaaa sanaa aisee....😅😅
Kabisaaa yani
Raha saana Aisee ✌️😂
Kweli
Mm najiulizaga et jamaa alijui kukaslika
Hivi mnajua kwa nn interviewers wengi karibu 90% huwa wanahakikisha wanampata Baba Levo..?!
Answer:- Jamaa ako really sana, halafu ako upande sahihi (WCB) ambapo pia hatumii nguvu kuaminisha watu chenye anaongea ni kweli na mwsho ako FUN pia anamek sure anachekesha watu huwa..🤣🤣🤣🤣
Fact bro
Huyu jamaa hata uki mufanyia interview ww utacheka tu. B levo manyumba.
🤣🤣🤣🤣🤣
B Levo ba ❤ Mungu akuweke kwa ajili yetu 🤗🤣😂🤣
😂😂😂😂... Wanazagamuana mzagamuo 🏃🏃🏃🏃🏃,alafu kuna wazagamuanaji 🤣🤣🤣🤣.Huyu jamaa namuelewa sana MWAMBWAMEEEEE
Baba levo Tunapenda Kwa ucheshi wake huyo muha anaga kinyongo na mtu😂😂😂
Nilikuwa ckupendag wee baba mwenye guu kubwa dunian ila kuwanzia leo me shabiki yako no1 kumbe mwananchi,, yanga oyeeeeee
Ety wanazagamuana 🤣🤣🤣🤣🤣
Nakukubali baba levo huongei uongo
Kasema koti kapewa na chui
Hata kama unamchukia baba levo utajikuta unacheka tu huku umekasirika 😅😅😅
Best interview ever 😂😂😂😂tunakupenda huku U.S.A
Karibu marekani tunakumisi Sana 😅😅😅😅😅
Ila uyuu jama licha ya kumponda harmonize Ila ananifurahishaga sana
Jamaa ana kipaji cha pekee
Na pia ni mtu mzuri
Saaana aiseee
@@manirakizahashim9967 😅
@@salomewandya7257 🤘
Nakupenda MNo balevo jamani mbavu zangu Mimi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Baba levo uko simple hadi raha hauvimbi. We ni comedian.😀😃
Baba level uko juu
Baba lev ni lev zingine
Babalevo nakukubali lakn ilo koti badilisha tngu zenj
Kabisa kuna vyakula vina sehemu yake kwenye tumbo
Akuna interview nainjoi km ya baba levo ww nizaid comed
Huyu jamaa vipi asingezaliwa TZ hahaha Ana burudani sana
Baba levo raha sanaaaaaaaana jmn nakupenda una kinyongo rohon mwake fraha ipo nyingii
Wanazagamuana Yan kihome home Zaid daah baba levo unavituko atar
kweli
Na Hilo biriani mnatembea nalo kwenye sahani huku mnaongea na huyo baba levo anaongea mpka aje akae chini aanze kula limejaa mate 😄😄
Akitulia anaongea point 🤣🤣 kuhusu Yanga kapatia kabisa Nadhani kuhusu Nand na Bill nas ni kweli😂😂
Ndio mana nandi alikataa kutoa password ya simu😂😂
@@rajabdibwa6415 Kabisaa
Baba revo kweli wee sitaa
Hahaha kula kujigalagaza b levo ba mtaalam fundi majumba
Baba levo hua ananifurahishaaa snaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
inavyoonekana baba levo unamtaka sana nandy kabisaaa wewe nakufatilia mno wewe
Nitakosaje interview ya baba levo😂
🤣🤣🤣🤣
Mi pia siwezi kukosa
Linah eti nikatae kama mmakonde 😅😅😃
🤣🤣🤣🤣alikuwa anataftia sababu ya kuliongelea hilo
uyo baba levo na mupend mpaka basi
Kweli w bro tair yna unakela mda mwingine bada y kukaslik utachekat😂😂😂😂😂😂😂
Huyu utadhan ni mlev kumbe linaakil timam
Na hili joto kali la dar bado uko na sweater 😂😂😂
Basi mpeni mtu Yai😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Napenda hili jamaa levo
Hili koti nimepewa na Rayvany 🤣🤣🤣🤣
Babale raisi wamachawa
Hili jama fala Sana
Yani nacheka hatari😂😂😂
Hahaha acha tu🤣🤣🤣🤣
Hahaha balaaaa levoooo
Mtaharamu
Ila please jaribun ku balance hizo Titles zenu
Diamond kwel kapata Chawa
Napenda hili jama
Huyu Amt mapua kweli Ni miss behave mno
We ndo nandi festival 🤣🤣🤣🤣🤣
Hapo kwa Simba ndo umenifuhisha kwenye makalio Kuna jina🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
You always make ma day!
Nawewe ukazagamuliwa.
Ngurue nzima
Yaani duniani namkubali baba levo saaana
😂😂😂😂😂😂😂😂Baba levooo
Wew mwanume ombea sio vema wengine wanasifiwa kwa kazi nzuli wew unasifiwa ombea dah🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Baba levo akili hauna hakika 😂😂😂😂😂😂😂
Akili nyingi zinatumika kwenye kuvunja na kurudisha couple
Cot kapewa na rayvan yan ni mkweli sana huyu baba
H baba where you open book
Jamani baba levo hakosagi Cha kuomgea Ni mtu mwenye maneno mengi😆😆😆😆
Piga mpunga kwanza kaka mkubwa
Et kwenye matako kuna mo foundation 😂😂😂😂😂
Akyamungu baba lev wewe ni mnoma jamn
Baba levo we atar😂😂😂😂
Uko vzl
Baba levo Nakupend bure
But akili za baba levo ni shidaaaa aiseeeeeeee nibalaaaaaa la kigomaaaaa
Huyo alokua anapanic hapo chini kwan ndo mume wa nandy.🙄
Baba levo🤣🤣🤣🤣
Hivi hawatemei mate huyo anavyoongea hapo
😂 😂 😂 hvi Kuna mtu anamchukia babalevo kwl
Yani Baba levo ukiapia to sehem lazma panoge.
😂😂😂😂😂 B levoo babaaaa😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Baba levo utakula sumu, usiwe unadubukiya ivo .
Ni kweli simba ni kukopi kila kitu
Fundi majumbaaaa🤣🤣🤣
makalio foundation simba🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Baba levo ni shida
Yakubu😘
Simba mpooo
😂😂nikiwa na show namchukua baba levo ili t tucheke
hahhahahah baba levo😄😄😄
Mh hiiii njemba utacheka hata Kama ilikua umechukia anajiamini san
Ati mm ni fundi manyumba kwani umenisahau 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu jamaa wangemuweka kwenye commedy
Yani babalevo 😂😂😂😂
Gari ya baba levo $1500
🤣🤣🤣🤣baba levo
mshamba ww
Escro baba levo
Kond boy
Tunakungoya apa congo
Mpeni mtu coca😅
sema jamaa liko real
Mbona hausemi kuhusu Diamond Na Tabia zake za kucopy. Ama watasema hizo Hauoni
Njaa utaku uwa
Baba levo 😅😅😅😅