FRED VUNJABEI AMFUNGUKIA WHOZU WALIVYOANZA KUWA MATAJIRI MTAJI WA SAA MIL7/ASINGETOBOA/FRANK KNOWS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 42

  • @marysiasawaki3698
    @marysiasawaki3698 Месяц назад +6

    Ila vunja bei ni akili kubwa sana yaani mm natamami hata siku moja tu niweze kuongea naye anipe ushauri,akiwa anaelezea kitu huwa nakuwa makini sana sana kumsikiliza he is genous vunja bei🎉

  • @abisalomwasike8280
    @abisalomwasike8280 Месяц назад +1

    Fred mwakili sna kindly need to meet him sulubu from nrb kenya 🇰🇪

  • @MandoliiMoshi
    @MandoliiMoshi Месяц назад

    nakubali sana mchaga na mkinga hapo kiukweli fred na frenk wanapendana sana adi raha

  • @KarobosaKhan-dt9qj
    @KarobosaKhan-dt9qj Месяц назад +1

    Ila huyu jamaaa ana AKILI sana duuuuuh

  • @suwedinamga581
    @suwedinamga581 Месяц назад +9

    Fred usije toa mfano wa mafanikio kuhusisha biashara za magendo Haina afya

  • @user-uo3lp5pd3d
    @user-uo3lp5pd3d Месяц назад +7

    Huyu vunjabei Mumu tunze vizuri huko tz, nime maliza im in 🇨🇩

  • @franklinisaya4796
    @franklinisaya4796 Месяц назад +3

    Akili kubwa salute kwako the mnyalu

  • @SuperWababa
    @SuperWababa Месяц назад +15

    Mimi naitwa Kazungu Samuel na natokea Kenya katika jiji la Mombasa ukanda wa Pwani. Kwanza mimi ni shabiki mkubwa sana wa Chanel hii ya Carrymastory na napenda sana kwa jinsi munavyo package ripoti zenu, aisei ni kizazi Sana. Ila vile vile mimi ni shabiki mkubwa sana wa Fred Vunja bei na napenda sana akili yake nyingi katika biashara. Niko na hamu kubwa sana nionane naye siku moja anipe maarifa yake ya kufaulu. Nilijaribu biashara ya kuuza nguo kuukuu lakini ikasambaratika. Tafadhali niunganisheni naye nitafurahi sana kuonana naye. Nasoma ripoti zake kila anapofanya jambo

    • @afiahsalmin7508
      @afiahsalmin7508 Месяц назад

      Kazungu ukunda wa fanya nn na kwenu ni Malindi😊

    • @simbaedouardo8499
      @simbaedouardo8499 Месяц назад

      Migogoro ikiisha huko Kenya utamtafuta utampata

    • @LevinaMiteo
      @LevinaMiteo Месяц назад

      Subiri zakayi arudi nyumbani Kisha uumtafute vunja bei😂😂

    • @stephenmasha8623
      @stephenmasha8623 Месяц назад

      😂😂😄😄🤣 ​@@afiahsalmin7508

  • @user-mb2ek2ds1h
    @user-mb2ek2ds1h Месяц назад

    Ubarikiwe Sana vunja bei

  • @Smart_FundamentalFx
    @Smart_FundamentalFx Месяц назад +4

    4:30 saa za Milioni 7 zikazaa Milioni 35📌👊🏾

  • @hopefully7090
    @hopefully7090 Месяц назад +2

    Hongera zake

  • @suddytele3692
    @suddytele3692 Месяц назад

    thanks kaka vunja bei

  • @AmaniHarubu
    @AmaniHarubu Месяц назад

    Mr Fred is genius

  • @user-pq7gu7po9u
    @user-pq7gu7po9u Месяц назад +2

    Vunjabei noma sana

  • @machariagilbert3475
    @machariagilbert3475 Месяц назад

    Amazing big brother

  • @SaimonKazimoto-xt1zo
    @SaimonKazimoto-xt1zo Месяц назад +1

    Broo una akili nyingi sana ndo chanzo Cha kua tajiri Broo mungu akulinde na akusimamie nmejifunza kitu kikubwa sana.

  • @user-me1ql7cp5y
    @user-me1ql7cp5y Месяц назад

    Kaka Fred nakukubali sana

  • @martinlema4192
    @martinlema4192 Месяц назад

    Big.Up!

  • @SomoKidawa
    @SomoKidawa Месяц назад +2

    Kua na akili kama Fred kwanza amua kua mkinga au mbena

  • @KeisiMwasanyika
    @KeisiMwasanyika Месяц назад

    Vunja bei atariiiii

  • @user-ik3ox8xh5j
    @user-ik3ox8xh5j Месяц назад +1

    Brother unazd kunijenga congratulations bro

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Месяц назад

    Vunja bei mtu wa maana kabisa

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton8911 Месяц назад +2

    Fred vunja bei jamaa ni madini tuu

  • @Hirammbindyo
    @Hirammbindyo Месяц назад +2

    Vunjabei ni noma sana

  • @dominickjohn1128
    @dominickjohn1128 Месяц назад +1

    Vunja kama vunja bei

  • @JosephMchaki-fy5te
    @JosephMchaki-fy5te Месяц назад +1

    Kamwe usisikilize ushauri wa m2 aliye tobowa ukiwa na maarifa utangunduwa Kila m2,ananjia yake

    • @abdallahmakombo3866
      @abdallahmakombo3866 Месяц назад +1

      Aliyefanikiwa hakupi mtaji wa njia za kupita isipokuwa anakuhamasisha upite njia zako, upambanue na ufanye KAZI Kwa BIDII!!! Na
      Si vinginevyo!!!
      Ni muhimu kusikiliza stories za waliofanikiwa husaidia sana

  • @mwami_the_don_
    @mwami_the_don_ Месяц назад +1

    Matajiri someni zile kulasa mnazo somaga kmy kmy

  • @oshenifrank614
    @oshenifrank614 Месяц назад

    Akili hzo nyingi mno zinahitaji A ya physics

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Месяц назад

    Ila nampenda fred jaman8 alafu hana kujigamba

  • @michongopodcast
    @michongopodcast Месяц назад

    👏👏

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Месяц назад

    Duu huyu vunja bei akili kubwa

  • @hopefully7090
    @hopefully7090 Месяц назад +1

    ❤❤❤

  • @mukeshimanarose1334
    @mukeshimanarose1334 Месяц назад

    😂😂😂😂❤

  • @lesikalemunaya
    @lesikalemunaya Месяц назад

    jman uyu vunja bei ni kichwa

  • @saadatiyahyashabani-yg2xy
    @saadatiyahyashabani-yg2xy Месяц назад

    😂😂😂😂