MWIGULU AMFOKEA MPINA BUNGENI, AANIKA MADUDU YAKE AKIWA WAZIRI - ''ANAAMBIWA APINGE KILA KITU''...
HTML-код
- Опубликовано: 25 июн 2023
- MWIGULU AMFOKEA MPINA BUNGENI, AANIKA MADUDU YAKE AKIWA WAZIRI - ''ANAAMBIWA APINGE KILA KITU''...
WAZIRI wa Fedha Mwigulu Nchemba amehitimisha bajeti kuu ya Serikali 2023/2024 Bungeni Dodoma...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
Kwa haya leo Mwigulu umeongea point sana
Akili zimeanza kukurudi, Safi sana
Tatzo mwingulu hujamuelewa mpina hivi kiwanda kinatiririsha maji taka ya sumu kisifungwe hadi watatue tatzo huu utakuwa uchizi mwingulu anawazia maduka lkn mpina kaangalia zaidi ya maduka. Mwingulu jifunze kueshimu mawazo ya wabunge sio kutaja jina la.samia yy nani hata aruhusu upuuzi, na mpina anaongelea sheria zilizopo lkn mwingulu anaongelea nadharia
Kwa kweli Mh. Mwigulu kwa hili nimelipenda sana mungu akubariki na sisi tujisikie raha ivi kwa mfano mimi nimeumwa mwaka mzima siwezi kufanya biashara kwa hiyo biashara yangu haiwezi kwenda kisa mapato bac wanivumilie nikipona nitalipa kondi. Watanzania tuwe makini sana wabunge hawa wanatungombanisha na serikali
Asante sana, Mh Mwigulu leo umeongea vizuri sana. Mbalikiwe sana viongozi mnaoleta mabadiliko
Dah Umeongea Point Sana
Mwigulu amemuelewa Mpina nusu nusu.Pia amejikomba kwa wananchi baada ya kashfa yake na Waarabu.Kuna mambo yanastahili kufunga kwanza ukiacha biashara za maduka na huduma muhimu.Aliyokuwa anafanya Mwigulu wakati wa Magu ni kinyume na anachozungumza leo.Kuna kiongozi mkubwa sana chini ya Magu alikuwa anataka kujiuzulu kwa sababu ya uonevu kwa baadhi ya watumishi wa umma na wafanyabiashara.Alishauriwa asijiuzulu. Leo hii hekima imetumika ila Mpina anasakamwa kwa sababu anapinga ushauri mbovu kwa Mh.Rais hasa vifungu vya sheria katika mkataba wa uwekezaji kwenye bandari.
Mh. Mpina ndio amekufanya leo kuongea hayo kwangu mpina yupo sahihi
wewe na mpina hamna hata BUSARA. HONGERA MWIGURU endelea na msimamo huo brother wenzetu ndivyo wanavyofanya wanaobeza ni wala RUSHWA TUUU, wanafungia wafanyi biashara kisha wanaomba RUSHWA ndio ufunguliwe biashara yako
Mpina ndio wanaotutetea hao wengine wanajiona Wana akili kumbe mabogas
Leo Mwiguru kawatetea wananchi sijawahi kumuona hv
Mh. Mwigulu mbona Leo umenifurahisha Sana?... Hongera Sana !
Shida yako mwiguru uwizi tunakuchukia kwasababu yauwizi wako
Nampenda sana mpina
Leo ameongea point sana
Hongera mh❤❤❤
Mwigulu ulisha puyanga sana naona leo kama unataka kujiilusha ili tukukubali wewe bado hauko poa sana, sisi hatukutaki nilimsiliza hoja yake iko hivi alisema hizo Sheria zakukufungia watu biashara bado zipo kama, Sasa kama mnasema biashara hazitafungwa maana hiyo Sheria ifutwe msiongee midomni tu wakati Sheria ipo, halafu mimi hua sifurahii sana kunataja mkuu wetu wa nchi Kwa mambo yenu ya kutetea ugali wenu, kwani ulipo waambia watu waende burundi alikutuma mama. fanya kazi acha maneno kiongozi watu wanakusema sana sasa fanya kazi na matokeo ndo yatakayo kubeba
ilikuwa ni nadra kukupongeza lkn kwa leo pokea pongezi zangu kwa mara ya kwanza ila hauja tuambia hawa TRA wakirudia michezo yao tunawashitaki wapi?
Leo kweli mwigulu umenena hongela sana mhemiwa wazili
Leo ndiyo imejua ulituambia tuhame Burundi umebadilika lini?
Hapo upo Sawa kabisa, Mpina akumbuke samaki kwa rula
Yeye mpina Ni mawazo yake ndio maana ya bunge Bora yeye wengine Ni ndio kila Jambo, japo umejibu vizur ila mpina mawazo yake yaheshimiwe
h. Mwigulu ni sahihi kutofunga biashara . Ushauri tu sheria ya kodi itumike vyema ikiwa pamoja na kuweka bei ktk kila bidhaa ktk maduka yaani " Price tag " kama ilivyo ktk maduka ya " Super Markets " Sambamba na matumizi sahihi ya IFD mashine
Katika hili nakubaliana na waziri Mwigulu hili ni jambo zuri kwa wafanya biashara.
Big ip Mh umenena vyema
leo kama vile mwigulu umeupiga mwingi sana
Leo Mwigulu ufahamu umemrudia. Siyo yale majibu ya watu wahamie Burundi!
upi huo rabda ? ye na wenzake sindio wameuwa wafanya biashara wadogo wadogo waliojiajir kwa ajili yakulisha familia zao na kusomesha sasa ufahamu wake wakutetea wakwepa kodi tena walio matajir ?
Safi Sana , because it relates with the case of Palm Beach inn and another vs commission for tourism and two others
MWIGILU HUNA KAZI YOYOTE PISHA WATU WAOONGEE , MPINA NI MMBUNGE MWENYE AKILI ILIYOSALIMIKA SANA BIG UP SANA MPINA ,
Mbona anamtaja sana rais!!
Hongera sana mh waziri
Migulu hapa nimekupenda Kaka yangu..
Mungu akubariki Kwa hili
Je mpina alikuwa akifanya hayo akiwa waziri anaetokana na serikali ya TLP???
Awamu ya 5 ilikuwa adui ya sekta binafsi. Mpina apunguze makasiriko.wakati mwingine, mpina ana point lakini wakati mwingine anataka kuwa kama marehemu kaka yake.
Huyu nimuongo kwelikweli sasa kama wafanya biashara muhimu kwanini wamachinga mnawatendea mabaya kila wakati kwa hapa dar nenda masaki wanavyo sumbuliwa wajasiriamali
Mwigulu leo nakupa hongera umeongea kama waziri wa fedha mwenye akili timamu.
Mpina na Mwigulu wote ni sawa. Hakuna mwema hapo. Ila sasa hivi Mwigulu anapendwa na Samia, naye anbadekla kama Mpina alivyodeka kwa JPM. Wote hawa ni roho mbaya tu na wizi.
Asante leo umeongea nilikuwa sikuelewi kabisa
Mpina Jembe Bana hauwezi kumchafua kwa watu waelewa kama sisi, Mpina alikuwa anapinga Sheria mbovu tu kosa lake nini
Nashukuru sana serikal ya mama samia kwa hili la kutofunga biashra za watanzania maana weng wameumia sana na wengine walikufa kupitia kufunga na kunyanganya fedha
Mhe. Mwigulu Leo umeongea sana Asante sana kwa sisi wa sekta binafsi
Leo nimekuelewa ,umejitahidi kumtetea mnyonge
Mwigulu kiongoz wangu mkifanya hivo kiukweli mtaoba fraha kubwa ya wafanya biashara 🙏 mungu akulinde ktk hili
Kauli zako Hizo hakuna anaekuunga mkono, unajifanya kumponda Mpina wewe nimpigaji tu.
Hili jamaa sijawaji kulipenda hata siku moja yaani ni la hovyo kabisa. Kwanza lilitumiaga cheti cha wasukuma kupata elimu yake. Kwasababu hakuna Mnyiramba yoyote duniani anaye itwa Mwigulu Chemba, ila ni wasukuma peke yao.
😳😳😳😳😳😳
Mbona kwa sasa maafisa wa jiji wanatembea na makufuli wanapo kagua leseni, na kipindi cha magufuli aliwakataa na waliacha mbana wee mwigulu unaleta sinto fahamu.
Mpina anachuki sana na sababu kubwa kuwekwa pembeni kwenye baraza la mawaziri kwakuwa Serikali ya awamu ya 5 ndo ilimpatia uwaziri baada ya kutolewa awamu ya 6 kajenga chuki kwa hapo ni kazi
Uyu Jamaa mwigulu jau kichiz anajikosha kwa wananchi 😅
Mhe. Mwigulu kwenye hili sijui kama TRA wamekuelewa na hao Halmashauri na pia hao wanaojiita LATRA
Isije kuwa , unajisafisha kwa wananchi baada ya kuchafuka sana. Maana waliokuwa wanayafanya hayo ni nyie sio CUF. Siku zote tangu nchi hii izaliwe ni nyie mmekuwa mnatawala. Lakini unavyoongea kama vile mmechukua serikali kutoka mikononi mwa CUF
Mhe Mwigulu yuko sawa kabisa
Dah waziri mwiguru leo umenifurahisha sana
Nafikiri huyu jamaa hakumuelewa mpina alichokuwa anakimaanisha. Na ukweli ni kwamba Mpina anatutetea sana wananchi. Yaani Mwigulu anajificha kwenye kivuli cha rais na siyo kutafuta solution ya hichi anachokizungumza.
Hamjamfikishia ukweli mama mnamdanganya sana kumbe mnajua Tai ni zetu kila siku AJIRA ni neno la poropoganda wananchi wanaumia tu rudisheni fedha za amma jamani hakuna logiki hapo dirisha la kudhibiti wezi liwe la chuma
Kwa iyo serekali inatamiwa kusaidia achani kutudanganya
kama nakuelewa vile Brother mwigulu
Badala ya wee waziri kumshambulia mbuge, kwanini usijibu hoja kwa ujla wake? Huo ni utoto na upumbavu! Kwa kufanya hivyo usidhani ndio tutasahau ulivyotuumiza Mwigulu! Mchawi hata aende Kanisani au msikitini bado anabaki mchawi tuuu!!! Kwa kumshambulia Mpina bado hujatubu dhambi Mwigulu!!!
Mpuuzi mpina alikuja Kanda ya ziwa nakutufilisi watu tumekimbia miji kwajili yamadeni ya mpina
Mpaka Rais Samia akuelekeze? Wewe ulikuwa waziri wa fedha wakati wa Magufuli. Ulikuwa mfungiaji mkuu wa biashara na kuwasweka ndani wafanyabiashara wasio na kosa. Unaloongea leo ni sahihi ila ni kwa sababu Rais mwenye hekima amekuelekeza. Ungeomba basi msamaha kwa yale aliyotendea wafanyabiashara wakati ukiwa na Magu.
Apana hujamwelewa Pina, musiwekee katazo la moja kwa moja apana, kuna mengi mtaani Huku.
Shida Mwigulu amechanganyikiwa hila zake nyingi sana mtu huyu siasa nyingi
BAADA YA MWARABU KUCHUKUA BANDARI NDOMNASEMA MIZIGO ISIKAMATWE ASANTE DUBAI
Very spoken brother
Ktk siku ambayo angalau umesema point ni ktk hili pongezi zako Dr mwigulu
Ivi ww na mpina Nani msafi! Wewe mwizi, unapata wapi pesa za kumiliki ivo unavyomiliki!
Mpina pumbavu kabisa kila siku ni kupinga wakati yeye ni mwizi wa mifugo kwa watu aliiba mpaka akaiba kw wafugaji kipindi akiwa waziri leo kakosa pesa za dhuluma kwa kuiba mifugo.
Mh. Leo umefunguka vizuri sana Hongera kwa Hotuba yaleo Mnyongemnyongeni haki yake Mpeni.
Nchi imewashinda serikalini wapiga Dili mmekuwa wengi
Mweguru point sna iyo
Hili la sekta binafsi kongole sana maana tunapata shida sana
Mwigulu kati ya siku niliyokuelewa ni leo❤
Mbona mlikuwa mnakamata mizigo, mnashika account za walipa Kodi mpaka kariakoo ilipo waka
Ndg waziri kumbuka humjibu mpina bali mh.mbunge usimdharau mbunge mwenzio kwa sababu ya kutofautiana. Tumieni hekima wote mnawawakilisha watu hamjiwakilishi binafsi.
Kaka nakuelewa sana songa mbele,, umeongea point sana
Mpina sijui anaswali dini gan hamuogopi hata mungu
Inaonekana hajamuelewa mpina na hazungumzi kitaalam kwa maana ya kiuchumi.
Hii nchi hatutaki kufuata Sheria,kanuni na taratibu.Watu wasipofuata Sheria tusitegemee hata siku moja tukamudu kuendesha Mambo yetu kwa ufanisi.Tumeshuhudia ukwepaji wa kodi wa dhahiri Kama Waziri bado una entertain watu kufanya Mambo kiholela na matokeo yake tunataka tuendelee kubinafisisha tena kwa mikataba ya kinyonyaji Kama inavyoingiwa.Bado tuna Safari ndefu Kama Nchi kwakuwa tunataka Mambo yetu yaende kirahisi rahisi na kiholelaholela
Umejiajili au umeajili watu?
Zimwi linalopita kwa mwigulu ni kupandikizwa chuki omba mungu akufanyie wepesi kwa kipindi hiki kitapita ila upo vizuri
Acha kumsingizia Rais ndie anatuletea makodi alafu wewe huusiki kwenye kumpelekea hayo mapendekezo😏🤫
Mbona mmefunga gerezani bwana rorbat kisena na pia yeye mfanya biashara amuoni kama mnamwaribia biashara yke na pia mnalengo la kumnyanganya UDA sio jambo nzuri
Mwigulu hata kama umetenda dhambi kwa Leo uliyosema namuomba Mungu akusamehe maana umemrudia kwa Toba yakweli nachosissitiza mh wazir wa fedha Sheria zibadilishwe tra wanaua biashara za watu kwa sababu ya Sheria kandamizi za Kodi hakika Tanzania itakuwa kama Dubai tutaishi vizur mnooo tra wasinyanyase watu tena waacha uwizi rushwa dhulma Hakika kilio kimefika kwa Mungu tuiepusha. Tanzania na laana ya Mungu
Well said
Mhe Mwingulu Leo umenigusa sana. Sijuwi umekunywa hayo maji ya baraka hapo...
Mungu azidi kukutunza kwa kazi nzuri sana. Kwa mwendo huu unapata kura kilaini ata ukiweka koto lako tu Mh.
Mzee ujengewe sanamu
Wazili nimekulewa sana mm binafisi niliziswa namawazo hayo
Unajikomba Kwa raisi unajikomba Kwa wapiga kula umesau ulivo tutukana kwambia ambaye hataki tozo aende bulundi Leo mama amesikia kilochetu amefuta tozo sasa wewe kabla kuhalbu kulazake ujiuzulu au wewe utafte inchiyakwenda sisi htukwenda bulnd tililipatozo sasa wewe ungalie pakwenda kama unatafta kula ukisha kosa kula tachaguliwa na ulipo ileya au ukweni kwako tusukuone singida saiv situpo bulundi
Mmh hamuwezi kutoa mali Kwa masikini kupeleka Kwa mataji huo ni ujinga
Hilo ndilo limemuumiza babu Rama wa kariakooo hadi leo anaidai TRA.
Nimekuelewa vizuri sana
Mh.mwigulu upewe maua yako haraka Baba unatetea wanyonge tusiosoma na mitaji ya mikopo
Leo anajitetea kisa uchaguzi upo jirani hakuna mtu mpuuzi kma huyu
Wabunge wapunguze kuchati maana siamini kama kweli wanelewa kinachoendelea
Waziri wafedha wewe haujawahi kutetea mwananchi wahali ya chini,unafikia kusema tuhamie Burundi.
Mh.Mwigulu Nchemba umenigusaaaaa point sana
Ilo umelikumbuka leo au sio lakini ukumbuki kama kwenye mafuta umeongeza shilingi 100
Mpina ana Donge
Mwigulu Hiyo Sio pointi, Nani hakujui? Wewe nimpigaji tu usimuhusishe Rais wetu.
hujamwelewa pins we ni mwongo na hujawahi kuwa nahuluma kumbuka zile tozo
Ulisema ambaye hataki tozo aende bulundi mama amefuta tozo zasimu sasa uchague pakwenda au ujiuzulu
Serikali hii imewadhoofisha wafanya biashara leo inajidai kutetea chanzo cha matatizo haya yote ni serikali ya ccm
Mwigulu hoyeee.... Samia mama lao, mpina kivuruge tu.
Mpumbavu huyo mpina amesahau alivyoteketeza boat nakunifirisi Leo hii nko nateseka
Leo mwigulu uneongea vizuri sana tangu nianze kukusikiliza,hapo tukopamoja.
Sekta binafsi inapaswa kuheshimiwa sana na ni vyema kukaa nao mezani na kujadiliana kuliko kuwatishia na kufunga biashara zao. Sio Kila kitu kupinga kupinga tu lazima serikali ikifanya vizuri tuwapongeze