MAFURIKO ARUSHA hali ni tete MAGARI YASOMBWA NA MAJI wananchi waangua vilio

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 8

  • @aldeamasuki6196
    @aldeamasuki6196 Месяц назад

    Poleni sana

  • @Shukuruedward
    @Shukuruedward Месяц назад

    Mwal tengwa alisema mapema mwaka jana mwezi wa pili tuache uovu tofauti na hapo tutawasahau watoto wetu

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi Месяц назад

    Eti Mungu awanusuru,wakati kujenga ovyo mlijenga wenyewe😂

    • @rev.moricemapundi3853
      @rev.moricemapundi3853 Месяц назад

      Sio ujenzi holela ni mahali palipo pangiliwa vizuri ni mto umeziba ndio umewaletea maji.

    • @fumbogrin9477
      @fumbogrin9477 Месяц назад

      Usiongee kama haupajui mahali mkuu, kaa kimya tu na uombe neema kwenu yasiwakute

    • @ezrakaturitsaofficialtz7873
      @ezrakaturitsaofficialtz7873 Месяц назад

      Kijana Mshukuru Mungu na uwaombee ndugu zetu wa Arusha maana ukihukumu hivyo na wewe yatakukuta

  • @expelliustitus655
    @expelliustitus655 Месяц назад

    Lini trh