MASHUHUDA WASIMULIA AJALI YA GARI YA SHULE ILIYOSOMBWA NA MAFURIKIO IKIWA NA WANAFUNZI 11 ARUSHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 апр 2024
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 30

  • @janethkahembe4491
    @janethkahembe4491 2 месяца назад +1

    Poleni sana majeruhi na wafiwa inauma sana sana umemuandaa mtoto aende shule baada ya mda mfupi unaambiwa hayupo tena duniani.😭😭 Mungu awatie nguvu waliokutwa na huu msiba jamani😭😭
    Mimi nashauri kwa serikali kama mvua zitaendelea hv shule zifungwe hadi mwezi watano mwishoni mda huu wa masika alafu mwezi wa sita wafungue na hakutakuwa na likizo ndefu tena ile ya katikati ya mwaka ili wafidie Nasema hv kwasababu watoto wanateseka sana asubuhi na jioni kunapokuwa na mvua hasa wanaosoma shule za kawaida wasio na magari ya shule wananyeshewa sana hii inawezasababisha hata magonjwa kwa watoto. Nahata hawa wenye magari wanakwama hovyo hata magari hayawezi kuwafuata nyumbani tena inabidi kutembea umbali mrefu hadi palipo na lami sasa mateso yote haya kwa watoto wetu yanini. Mfano mzuri ona hiki kilichotokea leo.Chonde chonde serikali yetu sikivu tunaomba ile likizo ndevu ya katikati ya mwaka iwe kipindi hiki cha masika watafungua mwezi wa sita alafu waunge hakuna likizo tena labda ile ya wiki ya mwezi wa 9 tu. Mbona kipindi ya korona walikaa nyumbani namambo yalipokuwa shwari wakaendelea vizuri tu? Tunaogopa sasa hadi kuruhusu watoto waende shule wengi watakuwa tu watoro kwakweli kuliko aende usikie haya acha abaki tu nyumbani apitwe na masomo😭😭
    Ushauri wangu wa pili uwaendee wenyeshule wawe makini na madereva wanaowakabidhi magari kuwaendesha watoto haiingii akilini mtu anaona maji ni mengi alafu anapita hii inadhihirisha hayuko sawa kabisa tumeshaona ajali nyingi mashuleni kutokana na uzembe wa madereva chondechonde shule zetu muwe makini na hao mnaowapa dhamana kutubebea wanetu jamani😭😭😭😭

    • @kamandakuga
      @kamandakuga 2 месяца назад

      Shida nadereva wengi awafati utaratibu na maelekezo ya usalama pindi mvua inyeshapo. Utaratibu unaeleza nikosa kuingiza gari sehemu ambayo maji ni mengi au Kuna daraja afu maji yapita juu ya daraja mda mwengine daraja laweza kuwa limekatika au majii yameongeza kina Cha mto au mfereji. Dada umeongea Kwa hisia Sana ila ushaur wako ni mzur

  • @NeemaemnanuelBayyo
    @NeemaemnanuelBayyo 2 месяца назад

    Poleni Mungu awafunge mikanda

  • @user-vt2km3cq6b
    @user-vt2km3cq6b 2 месяца назад

    Mungu wasaidiee watoto hao

  • @evodialilai2111
    @evodialilai2111 2 месяца назад +1

    Pole kwa shule wazazi dereva n muhudumu wa gari ...kingine wazazi wawe waelewa pia mukiambiwa gari alifiki sehemu husika wazazi mukubli kusogeza watoto sehemu husika

  • @MshigatiMshigati
    @MshigatiMshigati 2 месяца назад

    polen sana inauma

  • @WitnessMmlamba-zx7lc
    @WitnessMmlamba-zx7lc 2 месяца назад

    Unaumwa sana jamani! Poleleni sana wazaz

  • @FaustinaBoniface
    @FaustinaBoniface 2 месяца назад

    Poleni sana,

  • @evalineemmanuel8178
    @evalineemmanuel8178 2 месяца назад +1

    kweli wazazi tuwe nahuruma mvua kubwa vile lazma tuchukue tahadhari usimuandae mtoto kwenda shule wakati unaon hali sio nzurii

  • @Jifunze36
    @Jifunze36 2 месяца назад +2

    Lawama zisiwe nyingi kwa deleva, shule inge fungwa wakati kama huu wanvua, yasinge tokea haya, 📌📌📌

  • @elizabethmeshack6006
    @elizabethmeshack6006 2 месяца назад

    Poleni Sana jamani

  • @majutojackson5718
    @majutojackson5718 2 месяца назад +2

    kabla ya kumlaumu dereva,lawama kwanza kwa wazi,hivi li-mvua lote lile asubuhi unaruhusu watoto waende shule alfajiri!?tena bado hakujambazuka??

  • @SalmuSaidi
    @SalmuSaidi 2 месяца назад

    Polen sana mlioathirika lakin uzembe wa dereva unatokana na alilokadiria mwenyezimungu

  • @binuuhussein
    @binuuhussein 2 месяца назад +2

    Trafki wanaopiga touching barabarn wasisahau miundombinu

  • @angelsaid7869
    @angelsaid7869 2 месяца назад

    Arusha mna asila gani na watoto wa shule ajali ni watoto washule tu

  • @StevenShushu-ne1xx
    @StevenShushu-ne1xx 2 месяца назад

    Mm

  • @JuliethRogasian
    @JuliethRogasian 2 месяца назад

    Maji ni kidogo lakin mijiza gani ten arusha kila mvua ikinyesha inaleta maafa polen wafiwa pamoja na waliokolewa

  • @winifridakigingachacha3412
    @winifridakigingachacha3412 2 месяца назад

    🤔🤔🤔🤔🙏🙏🙏🙏

  • @FaridaMaulana-ve3wu
    @FaridaMaulana-ve3wu 2 месяца назад

    Poleni Dana mungu awatie nguvu😢😢😢😢😢

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 2 месяца назад

    Huyu dereva ahukumiwe kunyogwa ili iwe fundisho kwa madereva wengine

  • @vero57
    @vero57 2 месяца назад

    HALI YA HEWA IKIWA MBAYA HIVYOO KWANINI MUNARUHUSU WATOTO KWENDA SHULE?????

  • @Jifunze36
    @Jifunze36 2 месяца назад +2

    WANAFUNZI WAPEWE MAPUMZIKO MAFUPI, IKITOKEA HALI YA NVUA KUA NYING,
    📌📌📌

  • @3leggedbird222
    @3leggedbird222 2 месяца назад

    Kiukweli misimu kama hii watoto wapumzishwe tu nyumbani arusha miundo mbinu ya barabara ni mibovu sana

  • @user-ee1eu8nu1f
    @user-ee1eu8nu1f 2 месяца назад

    😭😭😭😭😭😭😭

  • @Bayothomusic
    @Bayothomusic 2 месяца назад

    pole sana
    ruclips.net/video/7uIz68s0CrE/видео.html

  • @vero57
    @vero57 2 месяца назад

    POLENI SANA

  • @dannykimoko9293
    @dannykimoko9293 2 месяца назад

    Hata wenye magari ya shule wasiwape vijana vijana kuendesha magari sababu angekuwa anaendesha mzee asingepita na wanfunzi hapo huo ni uzembe na ubishi wa dereva.

    • @AnnaAnyosisye
      @AnnaAnyosisye 2 месяца назад

      Huwezii jua ndugu Mzee au kijana ajali inatokea tuu