2. MAOMBI YA KUVUNJA MINYORORO YA KIROHO - MWL. ISAAC JAVAN - (Mafundisho & Maombi)
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- Hili ni somo la kufungua vifungo. Ni somo maalum kwa watu wote ambao wanataka kuvuka na kusonga mbele kwenye maisha.
Katika somo hili, utajifunza mambo yafuatayo.
1. Maana ya minyororo ya kiroho.
2. Sababu zinazopelekea mtu afungwe na minyororo ya kiroho.
3. Mikakati mbalimbali ya kuvunja minyororo ya kiroho kwa njia ya maombi.
Ni maombi yangu kwa Mungu, mpaka mwisho wa somo hili, Mungu atakutana na wewe, na atakuhudumia na kukupa haja ya moyo wako sawasawa na mapenzi yake. Hili ni somo la siku 5, nami nakutia moyo katika Kristo Yesu, fuatilia vipindi vyote vitano ili upate kitu cha kukusaidia.
Mungu akubariki, chukua daftari yako na kalamu, ujifunze somo hili. Mshirikishe na mtu mwingine ambaye anaweza kunufaika na mafundisho haya. Amen.
HUDUMA/MAOMBI +255 745 76 45 72
BWANA YESU asifiwe. Mafundisho haya yanapatikana Boomplay. Unaweza kusikiliza na kudownload kupitia link hii;
www.boomplay.com/songs/91263077?from=myPlaylists&srModel=COPYLINK&srList=WEB
Ni somo zuri sana
Amen YESU azidi kukupa ushindi
Amina mtumishi haya mambo yote ambayo umeyazungumza karibu yote yananihusu mm ila namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kkuleta kwa ajili ya kuzikomboa nafsi za watu ambao wamefifia kiimani, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu na pia Mwenyezi Mungu azidi kkutia nguvu na kkupaka mafuta yake matakatifu Ile uzidi kuzikomboa nafsi za watu wengi Amina 🙏🙏🙏.
Amen Amen jina la BWANA YESU libarikiwe milele na sifa zake zivume kwa matendo yake makuu na ya ajabu. Nami namshukuru Mungu kwa ajili yako na BWANA YESU azidi kukupigania na kukushindia kwenye mambo yako yote. Pia napenda kukukaribisha usikilize mafundisho mengine ya "Maombi ya Kushinda Vita ya Nyumba ya Baba Yako" yanapatikana kwenye Link hii ruclips.net/video/ecNI8jxuIbk/видео.html ninaamini Mungu atazidi kukutana na haja za moyo wako. Amen
Mtumishi Wa Mungu
Moyo wangu wa mtukukuza Bwana
Nakuombea Ulinzi Mkali wa Malaika wa Mungu wakizunguke Wakulinde Mchana na Usiku
Damu ya Yesu iendelee kukufunika wewe na Familia yako. Nipo mbali sana ila Yesu amenitrndeea Makubwa mimi na Familia yangu hapa Nyumbani UK
Nimefuatisha haya Maombi Tumeona mambo makuu ambayo Shetani na Wachawi ambao ni watu wa karibu na ndugu za Mume wangu mimi na familia yangu. Tumemuona Mungu kwa kwanjia hii ya You Tube. 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🇹🇿🇹🇿
Ninaungana pamoja nawe na familia yako kumrudishia Mungu sifa na utukufu kwa matendo yake makuu aliyoyafanya na anayoendelea kuyafanya kwenye maisha yako na familia yako. Jina la BWANA YESU libarikiwe milele. Damu ya YESU iwafunike na kuwalinda. Mbarikiwe na BWANA milele
@@IsaacJavan Amen mtumishi kumajina ninaituwa Lina urio ninaishi mbezi kimara nimepitia changamoto katika Manisha yangu ninashukuru sana mungu mungu akubariki sana mtumishi was mungu
@@linaurio3641 Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele. Damu ya YESU inene mema kwenye maisha yako na ufanikiwe kwenye mambo yako yote.
Mtumishi naomb uniombee namm Nina matatzo
Amen ,Amen nikijiangalia nakujichunguza bado naamini hiyo minyororo ya kiroho inanihusu, nakuomba uniombee ili ifunguke maana kunamipaka imewekwa ilinisitoke ,ilinisipone Mtumishi niombee
Mungu akubariki sana. YESU azidi kukisimamia na kukushindia daima. Nakuombea uzima
Roho yakunifilisi Roho ya Magonjwa hela inaishia kununua dawa
YESU akuponye mwanangu
Mutumish naomb tu uniombee mm sijiskii vizur n at maish yang pia siyaelw mim mchngaji nsaidie
Mungu akutane na haja za moyo wako mwanangu, na akupe ufumbuzi wa jambo lolote linalokusumbua kwenye maisha yako, ili furaha yako na amani yako iwe kuu. Ubarikiwe na BWANA YESU milele
Aisee Yani najiuliza mbona nafanya kazi Sana napata hela Ila siwez zimiliki🤔🤔
Mungu akubariki na kukushindia katika yote
ubarikiwe mtumishi yaani minyororo imefunga kuanzia kivhwa miguu mikono na kika kitu
Mungu akupiganie, akutetee na akupe ushindi mkuu
kwelu mtumishi hayo ndo maisha yangu
YESU akuonekanie na kukushindia katika yote
Daddy leo nimepata kitu kikubwa sana kupitia hili
Amen Amen mwanangu. Ubarikiwe na BWANA YESU
Asante
Mungu akubariki sana kwa mafundisho yako na maombi
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Mpka namshangaa Mungu maana nilikua nina mawazo sana mpka nimepigika chakushangaza naamka nakutana neno hili hofu imeondoka mwili umekua sawa ubarikiwe sana mtumishi Mungu aendelee kukutumia
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote. YESU azidi kukuhudumia na kukushindia katika mambo yote
Deep revelation
Nmefunguliwa minyororo ktk jina la yesu kristo alie hai.
Ubarikiwe Mtumishi
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Mbona inanihusu 100%
Nakuombea YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake
Amen mtumishi wa Mungu hayo mafundisho yote na maombi yote inamanisha mimi tu na Mungu Akubariki kwa jina la yesu
Amina mtumishi
Ubarikiwe na BWANA YESU milele
Nimepata kitu
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Amen mtumishi
Amen mwanangu, ubarikiwe na BWANA YESU milele
Ameen
Amen Mungu akubariki kwa baraka za milele
Asante Yesu kwa kunifungua minyoro niliyo fingwa kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, Amen.
Amen Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele na zidi kutembea kwenye ushindi
Hakika mtumishi, si mimi pekee yangu imekuwa familia yetu yote. Kila tunapokaribia mafanikio linatokea jambo linaturudisha nyuma. Hususani mimi, nilifanya kazi nzuri sana kiasi wafanyakazi wenzangu walinipongeza na wengine waliona wivu juu yangu, lakini mwisho ukawa kinyume na matarajio yangu.
Mungu akupe ushindi katika yote, na akulinde na akutetee siku zote
@@IsaacJavan Amina mtumishi, naimani nitayashinda yote kwa damu ya Yesu kristo
@@georgebataze6625 Amen Amen
Kweli
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Mungu wangu nisaidie, sivuki kiroho
YESU akuvushe katika yote kwa utukufu wa jina lake
Amina mtumishi
Ameni nimeta kitu
Amen mwanangu YESU akufungue na kukupa amani
Kanisa lako linapatikana wapi mwalim
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu 🔥🔥🔥🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿nimerudia kusikiliza na kwa vitendo nimeuona Mkono Mungu🙏🏿🧚🏿🧚🏿🧚🏿🧚🏿🧚🏿Nimejifunzaaaa somooooo kubwaaa ………asanteee sanaaaaaaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jina la BWANA YESU litukuzwe na kubarikiwa milele. YESU azidi kutenda mambo makuu maishani mwako kwa utukufu wa jina lake. Amen Amen
Amen amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen
Ubarikiwe na BWANA YESU mwanangu
Amen
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Asante yesu kwa kunipigania
Amen Amen BWANA azidi kukubariki na kukulinda
Amen 🙏
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Natamani mafundisho haya
God bless you and your family.
Amen son, thank you indeed. May God shower you and your family with everlasting blessings
Mungu akupe neema Isaac Javan bila mafundisho yako sijui ningekuwa wapi 🙏😭
Amen mwanangu sifa na utukufu kwa BWANA YESU. Zidi kubarikiwa kwa baraka za milele
Mungu, akuinue, nafarijika sana kwa elimu ,ninayo ipata, na kujifunza jinsi ya kuomba, Mungu akuzidishu umri ili uzidi kutuelimisha. ubarikiwe .
Amen Amen jina la BWANA YESU litukuzwe sana na sifa zake zivume milele yote. Ninamshukuru Mungu kwa ajili yako, nami namuomba Mungu azidi kukuhudumia na kukutana na haja za moyo wako. Karibu sana, mkaribishe na mtu mwingine ndugu/jamaa/rafiki kwenye channel hii, ambaye anaweza akanufaika na mafundisho haya. Ubarikiwe na BWANA YESU milele
Navunja minyororo ya kiroho katika maisha yangu kwa jina la YESU KRISTO.
Amen ubarikiwe na BWANA YESU kwa baraka za milele
Ninazikatakata minyororo kwa maisha yangu kwenye ulimwengu wa roho katika jina la Yesu
Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake
Somo nzuri sana,
Amen jina la BWANA YESU libarikiwe. Usikose kufuatilia sehemu ya tatu ya somo hili. Ubarikiwe na BWANA YESU milele
Sijuwi kwa nini nasumbuka na magonjwa kwa 23.
Na ndoto mbaya mbaya kila siku.
Sijuwi kwa nini mimi siendi mbele, narudi nyuma kila mwaka. Ila maombi yako vol3
Nimesikiya maombi yako kwa muda wa siku 19. Na nimeona kabisa mkono wa bwana. Ubarikuwe sana mtumishi wa Mungu
Amen mwanangu, ubarikiwe na BWANA YESU milele
Mungu akubariki kwa UFUNUO huh,kweli Mimi na familia yangu tumefungwa haya yote naoyaona
Mungu akutane na haja za mioyo yenu na awafungue katika eneo lolote lililofungwa, kwa jina la YESU na kwa damu ya YESU. Amen
Asante Mungu kwa kunifungua minyororo na watoto wangu pia na familia yangu mbarikiwa sana mchungaji 🙏
Amen Amen zidi kubarikiwa pia, wewe na watoto wako na familia yako. Damu ya YESU iwafunike siku zote. Amen
Aminaaa mtumishi wa Mungu kwa somo zuri na nimebarikiwa sana kufunguliwa.... Mungu azidi kukubariki sana zaidi na zaidi
Amen mwanangu, uzidi kubarikiwa na BWANA YESU milele
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu katika Maisha yako yote na Mungu aendelee kukutumia kufungua watu wengi zaidi
Amen Amen nashukuru sana ubarikiwe nawe pia sana, kwa baraka za milele katika KRISTO YESU
Amen nmebarikiwa mtumishi Mungu akubariki mafundisho mazuri
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Ee Mungu naomba unifingue minyoro niliyofungwa Ili nisisonge mbele ktk nyanja zote za maendeleo yangu.Asante mtumishi wa Mungu kwa SoMo zuri sana.
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele na Mungu akufungulie njia zako
Asante Sana kwa mafundisho mazuri barikiwa Sana mtumishi wa Mungu
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Kwa jina la yesu ,,nafuta na minyororo yote ianguke mbele yangu
Mungu akupe ushindi kwa utukufu wa jina la YESU
Mbona inarudia yaleyale ya part1?
Hapana mwanangu. Sikiliza vizuri
Very true
May Almighty God bless you
God bless you
Amen God bless you too with everlasting blessings
Stay blessed mtumishi maneno yako nafsi yangu inapona
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Amen be blessed am really blessed
Amen God bless you forever
@@IsaacJavanAmen Amen Amen MUNGU NA JESU MWANA WA MUNGU ASIFWE NA wewe uparikiwe NA MUNGU MWEMA
Amina mwalimu mungu akubariki kwa kutupa neno la kutufungua kiroho
Amen mwanangu, ubarikiwe na BWANA YESU milele
Baba mimi naomba nisaidie haipiti wiki naota ndoto nipo shulen au ndan ya wiki naota ad mala tatu na maisha yangu yamekwama yaan nipo nipo tu
BWANA YESU asifiwe mwanangu. Pole kwa yote unayopitia kwenye maisha yako. Nakushauri ufuatilie maombi haya kwenye link
ruclips.net/video/WP0cuAr3bbQ/видео.html
Ameen_kweli kila unachofanya hufanikiwi
Mungu akubariki mwanangu, na afanye njia kwa ajili yako
Ameen pastor maombi Yako inanisaidia sana imenikomboa mahali
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Nimefunguliwa minyororo katika jina la yesu, asante mtumishi wa Mungu
Amen Amen jina la BWANA YESU libarikiwe milele
Nauona kufanikiwa kwaja kwa damu ya yesu ubarikiwe mtumishi wamungu🙏🙏🙏
Amen mwanangu, zidi kubarikiwa na BWANA YESU
yaani umetufungua mtumishi haya mafundisho umeyatendea haki 🙏🙏🙏
Amen Amen jina la BWANA YESU libarikiwe milele. Zidi kubarikiwa na endelea kufuatilia mafundisho haya na mengine kwenye channel hii. Ubarikiwe na BWANA YESU
Amina wa Kenya 🤲❤❤
Amen Amen, tunafurahi kupata salamu za kutoka Kenya. Ubarikiwe na BWANA YESU milele
Asante Yesu
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Strong words .....mungu niondolee minyororo yote ...baba mungu nisaidie
BWANA YESU akushindie na kukuweka huru kwa utukufu wa jina lake
@@IsaacJavan Amina Amina
Amen.Barikiwa sana Mwalimu.
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Ameen
Ubarikiwe na BWANA YESU milele
Mungu akubariki mtumishi. Mungu anifungue minyororo ya kiroho ninayopitia..amen
Amen Amen Mungu akufungue kila eneo ulilofungwa katika ulimwengu wa roho, katika jina la YESU na kwa damu ya YESU
Amen Mtumishi wa Mungu
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele
MUNGU AKUBARIKI MTUMISHI
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Mtumishi naomba uwe unanikumbuka katika maombi yako! Ubarikiwe sana
Mungu akutane na haa ya moyo wako na kukushindia kwenye maisha yako, katika Jina la YESU
@@IsaacJavan nina ujauzito napenda kufatilia mafundisho namaombi yako, Jana nilifatilia maombi yakuvunja minyororo usiku nikaota npo hospital nataka kufanyiwa operation nikawa naomba moyoni dawa nasindano walizokichoma zikagoma kuafanya kaz nikaona wanataka kuniongezea dozi lkn nilikua nalia mana sikutaka kufanyiwa hivyo, nikashtuka
Asante mtumishi wa mungu kwa hii mafunzo mazuri kila kitu umenena kinaniuhusu asante mungu kwa kunifungua n familia yangu mungu akusaidie
Amen Amen jina la BWANA YESU libarikiwe milele. Nashukuru Mungu kwa kuyagusa maisha yako. Zidi kutembea kwenye ushindi kwa damu ya YESU. Karibu ufuatilie na masomo mengine tunayoyaweka kwenye channel hii.
Amen.jina la Bwana lihimidiwe
Amen Amen jina la BWANA libarikiwe sana. Ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen🙏🙏
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen
Amen ubarikiwe
Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Mungu wangu nisaidie
Amen Mungu akubariki na kukulinda
Ameen
Amen mwanangu, ubarikiwe na BWANA YESU milele
Ameeen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Amen 🙏 ata mm uniomboe
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Amen
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Thank you Jesus
Amen Amen
Amen, mungu nifungulie minyororo ya kiroho pamoja na family yangu Amen 🙏ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa kutufunza neno la mungu
Amen mwanangu, ubarikiwe na BWANA YESU, na ushinde katika mambo yote
Amen. Mungu unifungulie minyororo ya kiroho katika maisha yangu na Familia yangu🤲🤲🤲🤲
Amen Amen Mungu akutane na haja ya moyo wako na akufungue kila mahali ulipofungwa kwa jina la YESU
Very powerful. Mungu akubariki mnoo Mwalimu. Namshukuru Mungu kwa ajili yako. Ee Mungu nakushukuru kwa kutupa watumishi wa kweli Tanzania
Amen Amen uzidi kubarikiwa na BWANA YESU milele yote
Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Amen
Amen Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen
Amen Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Naomba part 1 plz
Ubarikiwe na BWANA YESU. Part one ni hii hapa ruclips.net/video/2rggf0t1_to/видео.html
@@IsaacJavan alllppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp000000000pp0ppppp0000pp00p0p000ppppppppppppqPpqq0qqqqq0p0p0pp00pp0p0p0pppppppppppppppppppppppppppppp~££
Mungu atusaidie. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Ee Mungu, asante sana kutufunulia haya. umbariki mtumishi wako na utufungue waana wako. Amina
Amen
Amen Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
@@IsaacJavan shalom, somo hili Bado linanguvu. Nafunguliwaje?
Amen Amen 🙏 🙌
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Amen
Ubarikiwe sana na BWANA YESU
Tufungue ee Yesu Mungu wa huruma
Amen Amen YESU asikie kuomba kwako na akutane na haja za moyo wako katika jina la YESU
Ameni
Kwakweri mm naona Kama na shindwa kila jambo
Amina
Amen ubarikiwe na BWANA YESU