Asante mwalimu na amini sijachelewa ata kidogo mimi milipanga nifanye kilimo na kupata ka chombo kakutembea barabarani kama miradi kazi itakayo nipa ayo ninayo Mungu anibariki ili nipate kufikia huko, mimi naitwa Donatien Elema natokea congo lubumbashi.
Majina yangu naitwa Bikorimana Gadi Niko munyarwanda ninafurahishwa nakusikiriza maubiri yenyu kutokana TV hii Mungu akubaliki sana mucungaji ninakutazama
Nina malengo mengi sasa naomba Mungu anisaidie kumutendea Mambo mazuri mwaka huu ninuelewa jinsi vilivyo, naomba maisha mazuri Haina mladi ,akiri , loho mutakatishi n.k
Asante sana mchungaji nabarikiwa na mahubiri yako. Niombee Mungu anitoe kwenye dhambi ya kujirudia, pia akanifungulie milango ya baraka mwaka 2024, pia akanipatie mchumba.
Namshikuru Mungu. Ili kuwa mwaka Jana ilikuwa imeonekana nipasuliwe.lakni kwa uwezo wamungu nimetumia dawa nimepona uvimbe ambao ulikuwandicho cha nzo cha kupasuliwa. Mungu awabsriki. Niko umarecani.
Ubarikiwe pasta mie naomba MUNGU abariki mipango yangu yakulima Ili aweze kunibariki aondoke kila aina ya mashambulizi ambayo shetani anaifanya dhidi yangu,ninaamini MUNGU atatenda,maana nakumbumbuka uliniombea nikiwa naumwa sana nikapona mpaka Leo Niko vizuri,namshukuru sana MUNGU maana aliniponya.
Namshkru mungu kwa kuingia katka Maisha yang, naninamshkru mungu kwa kumfungua ndgo wangu ambaye alikuwa anawaza kujiondoa uhai wake kwa sababu Ya Maisha magumu na changamoto kubwa anazokutana nazo lkn sasa mungu mwema amemuokoa na sasa namtukuza mungu wa mbinguni kwa uku wake aliotenda na anaoendlea kutenda kwa Maisha yangu na familia yangu, mungu atukuzwe na akubariki Sana rafiki yang mchungaji mmbaga
Asante mchungaji kwa neno naomba katika mwaka huu uniombe mungu aniondolee maradhi ya magonjwa ,mamangu anashida ya kuona ,ndugu wangu amegonjeka ugonjwa wa akili kwa miaka saidi ya miaka 35,mungu akubariki sana kutoka kenya
Mchungaji unanibariki sana na maubiri yako nanina moto yupo chuo anasumbuliwa namaco hawezi atakusoma akiangalia tu daftari anatoa machozi awezi naomba maombi yako pasta
Namshukuru sana Mungu kwa somo hili pamoja na maombi ubarikiwe sana Pastor Mungu azidi kukulinda zaidi, japo nimechelewa kusikiliza ukiwa live ila siku ya leo ijumaa ya tarehe 5.1.2024 naamini Mungu amenitendea makuu
Mjungaji ni Hyline kutoka kenya mungu hakubariki na nyumba yako,mungu amenitoa kwa msongo ya mawazo kutoka 2017 nilikiwa nimefungwa kabisa na migogoro ya ndoa huyu mungu sitamwaja amenitoa mbali mtumshi barikiwa.
jambo pasta mimi ni OSEE KABULO toka DRC butembo kwenye mwaka huu na penda mungu anitendeye ama ani bariki ni nunuwe pikipiki,ni njenge nyumba yangu vile ni nunuwe pahali pa kunjenga mjini vile nisiwe na sahau kumtoleya zaka,na sadaka ,......heri ya mwaka mpya
Namshukuru Mungu kwa zawad ya uhai aliyonipatia pastor nimefunguliwa mengi sana kutokana na mafundiasho yako Mungu akutunze ila hili moja pastor naomba nisaidie maombi nipate mtoto mwingine pastor nina imani na tumaini Mungu amefanya 🙏nisaidie maombi pastor
Thank you God for delivering my two brothers from drinking alcohol and smoking. May the taste go away completely and never come back in Jesus' Name. Amen. God use them to spread your word. Amen
Hakika mahubiri yako yamezidi kunisogeza karibu na Mungu, Pr umekua mbaraka kwangu sio leo tu milango imefunguliwa nilikuwa na wakati mgumu umeisha kwa jina la Yesu.barikiwa Pr.
Heri njema mwaka huu wa 2024, nashukuru Mungu sana kwako kuwa mwalimu kwangu wa kiriho. Ninge penda kuomba Mungu anirehemu kumaliza nyumba yangu imekwama mda mrefu sana mashamnani.
Amen Amen mjungaji mafuzo yako tunapata elimu kubwa sana jm watching from saudi mjungaji naitaji maombi kijana yangu anakunyua pombe sana namini mungu atabadirisha maisha yake anaitwa Daniel
Naomba maombi ya kunizungulia milango kazini mwangu; maisha ya ndoa yangu, mibaraka katika masomo ya watoto wangu na ulinzi kwao , wanapo ingia na kutoka. Ombea mamangu mzazi katika uzee wake. Be blessed.
Asante sana Pastor! Mambo ni mengi sana Mungu anatufungulia kupitia kujifunza neno lako. Ombi letu kuu ni Mungu azidi kukubarika Pastor utuongoze tukazae matunda ya kiroho ya Bwana wetu Yesu Kristo, mbele yetu vizazi vyetu vinachangamoto kubwa sana kuhusu Mungu but kwa kuwa yeye ni Mkuu ameshinda na tunaona mazao yake yakimea kila siku. Asante sana kwa somo la mwaka na Neno la mwaka. Ubarikiwe sana
Nina ku salimu Mimi ni ndugu LUSANGI WABEKA Willy toka Congo apa Goma Tuna kufata kila Siku mimi n'a jamaa lote Ombi letu kwa mwaka Uhu MUNGU afanyikize kazi zetu zote
Happy new year,nimepata neno la faraja,pastor Mimi ni muuguzi nimesimamishwa KAZI miaka saba Sasa,pastor naomba maombi yenu nirudishe kazini nomefwatilia mpaka nimechoka,la pili pastor mungu aniongoze nimtumikie kama kina Dorca wa kwenye biblia,Mimi nipo Butiama tanzania
Pastor you always bless me but today have felt it inside that indeed God has opened this door and many more...this is a year of blessings and greater opportunities. Thank You Lord kwa kumtumia pastor David may he always decrease for you to increase in him,he's indeed your vessel bless him in Jesus Name Amen Amen
MUNGU azidi kukutumia kwa viwango vingine mtumishi nilikuwa nimekata tamaa ya kuendelea na masomo mwaka wa tatu sababu ya kukosa ada lakini baada ya kusikiliza maombi haya nimepata nguvu ya kufanya kazi kwa bidii ili nipate ada naamini mlima wa elimu umefunguliwa in Jesus name amen
Pr,huu mwaka nina malengo makubwa sana ys kuanzisha mladi wa ufugaji wa mbuzi,nipo Mpanda katavi,lakin pia naomba uiombee familia yang iwe na upendo na aman
Heliya mwaka mupya pr nafatilia na niko USA State Kentucky site Louisville Bwana akubaliki kwamahubiri yako inatu saidia sana kwa Imani ya kumwamini Yesu Kristo Bwana Mungu akongezeye malifa zaidi thank you God bless you all
Nilikuwa nina umwa na mgongo kuanzia nilipokuwa mchanga sana,lakini Leo, baada ya maombi ya uponyaji ,nilisikia nguvu imeniingia na maumivu ikaisha papo hapo.Asante Yesu.Jina lako litukuzwe milele na hata milele.
Mungu wangu na baba yangu naomba unitendee mema yako mwaka huu fungua milango ya mafanikio kwangu na pasiwepo kikwazo chochote 1. Nimalizie ujenzi wa nyumba yangu 2. Nifungue biashara katika mwaka huu lkn biashara hii ikawe imara shetani asijiinue kwa lolote 3. Watoto wangu wapate neema yako na mibaraka yote 4. Kazi zangu ziwe na tija Mungu wangu shetani asijiinue kwenye kazi yangu kwa lolote.
Mungu mwema ameniponya maumivu ya kichwa namshukuru sana Mungu sifa na utukufu ni zake milele.
Paster barikiwa ,nifunguliwe mlango wa kazi au biashara,plot nyumba.nimechoka kukodisha, nahitaji vya kwangu.from Kenya.amen...
Asante mwalimu na amini sijachelewa ata kidogo mimi milipanga nifanye kilimo na kupata ka chombo kakutembea barabarani kama miradi kazi itakayo nipa ayo ninayo Mungu anibariki ili nipate kufikia huko, mimi naitwa Donatien Elema natokea congo lubumbashi.
Mimi naitwa Roger toka Malawi
Asante mchungaji mbaga kwa fundisho nzuri sana. Mubarikiwe sana.
Amen pastor, namwomba Mungu wa Israel aliye hai anisaidie nipate kazi mwaka huu 2024 na naamini amekwisha kutenda.
Naomba unisaidie katika kulitangaza Jina la Bwana pia mama yangu awe na amani katika Manisha yake yaliyobaki hapa duniani na maradhi ya mwache
Majina yangu naitwa Bikorimana Gadi Niko munyarwanda ninafurahishwa nakusikiriza maubiri yenyu kutokana TV hii Mungu akubaliki sana mucungaji ninakutazama
Nina malengo mengi sasa naomba Mungu anisaidie kumutendea Mambo mazuri mwaka huu ninuelewa jinsi vilivyo, naomba maisha mazuri Haina mladi ,akiri , loho mutakatishi n.k
MUNGU atukuzwe kwa mambo MAKUU, barikiwa sana Mtumishi
Mungu anitunze na kuniweka ktk viwango vya juu nikamtumikie Kwa NGUVU zangu zote,pia ainue uchumi wangu
Asante sana mchungaji nabarikiwa na mahubiri yako. Niombee Mungu anitoe kwenye dhambi ya kujirudia, pia akanifungulie milango ya baraka mwaka 2024, pia akanipatie mchumba.
Namshikuru Mungu. Ili kuwa mwaka Jana ilikuwa imeonekana nipasuliwe.lakni kwa uwezo wamungu nimetumia dawa nimepona uvimbe ambao ulikuwandicho cha nzo cha kupasuliwa. Mungu awabsriki. Niko umarecani.
Ubarikiwe pasta mie naomba MUNGU abariki mipango yangu yakulima Ili aweze kunibariki aondoke kila aina ya mashambulizi ambayo shetani anaifanya dhidi yangu,ninaamini MUNGU atatenda,maana nakumbumbuka uliniombea nikiwa naumwa sana nikapona mpaka Leo Niko vizuri,namshukuru sana MUNGU maana aliniponya.
Amina pastor nimebarikiwa sana na mafundisho yako naomba uniombee nipate hekima mbele za Mungu
Naitwa Mariam Maduhu niko mwanza nakupata pasta happy new year 🙏
Amina nafurahia sana Mungu aendelee kukuinua zaidi nabarikiwa na Mafundisho ya neno la Mungu kupitia kwako Pastor Mbaga
Nataka mungu nifunguliye mulango kwazi yamilonayangu ninayo ifanya kwahi mwaka 2024 🇨🇩 ni jason shadrack
Naamini nimepona na kufunguliwa pastor Mungu akuariki sana
Namshkru mungu kwa kuingia katka Maisha yang, naninamshkru mungu kwa kumfungua ndgo wangu ambaye alikuwa anawaza kujiondoa uhai wake kwa sababu Ya Maisha magumu na changamoto kubwa anazokutana nazo lkn sasa mungu mwema amemuokoa na sasa namtukuza mungu wa mbinguni kwa uku wake aliotenda na anaoendlea kutenda kwa Maisha yangu na familia yangu, mungu atukuzwe na akubariki Sana rafiki yang mchungaji mmbaga
Nimebarikiwa na Ibada hii napokea kufunguliwa Kwangu Ameen
Amen amen Namba mwaka huu nifanyikiwe kulipa madeni
ubarikiwe san pr
Asante mchungaji kwa neno naomba katika mwaka huu uniombe mungu aniondolee maradhi ya magonjwa ,mamangu anashida ya kuona ,ndugu wangu amegonjeka ugonjwa wa akili kwa miaka saidi ya miaka 35,mungu akubariki sana kutoka kenya
Mchungaji unanibariki sana na maubiri yako nanina moto yupo chuo anasumbuliwa namaco hawezi atakusoma akiangalia tu daftari anatoa machozi awezi naomba maombi yako pasta
Asante sana kwa mafundisho yako yamenibadirisha kwa kwa viwango vya juu
Mungu tafadhali nifungulie malango yangu na wengine pia❤😊
Pr'niombee naomba Mungu ainue familia yangu kiroho na kiuchumi
Pastar niombe mwaka huu nikabarikiwe nifanye biashara yangu
Namshukuru Mungu kwa maombi,i receive in the name of our Lord Jesus Christ.
Kwa mahitaji uliyoyataja mdomoni mwako ndio hayohayo yanihusuyo, na iwe kwangu kama mlivyotamka pr Mmbaga mwaka huu... Amen
Mwaka Huu naomba mungu aniwezeshee ninunue plot Na pia kujenga
Namshukuru sana Mungu kwa somo hili pamoja na maombi ubarikiwe sana Pastor Mungu azidi kukulinda zaidi, japo nimechelewa kusikiliza ukiwa live ila siku ya leo ijumaa ya tarehe 5.1.2024 naamini Mungu amenitendea makuu
Pasta niombee mgongo wangu upone ni muda sasa mwaka MUNGU akanitendee
Mungu naomba mwaka huu usiishe niitwe mama ,Mungu akubariki past mbaga
Amen nimepona kwa jina ya kaka yetu mkuu Kristo
Asante nimepokea kwa imani haijarishi nimechelewa kuangalia somo ila kwa imani huu Mwaka utakuwa wa bataka ktk jina la yesu
Mch naomba uombee watoto wanangu wafanikie kimasomo na waliokwisha jitegemea wabarikiwe ktk maisha yao!
Asante mchungaji kwa somo lako limenibark sana
Mjungaji ni
Hyline kutoka kenya mungu hakubariki na nyumba yako,mungu amenitoa kwa msongo ya mawazo kutoka 2017 nilikiwa nimefungwa kabisa na migogoro ya ndoa huyu mungu sitamwaja amenitoa mbali mtumshi barikiwa.
jambo pasta mimi ni OSEE KABULO toka DRC butembo kwenye mwaka huu na penda mungu anitendeye ama ani bariki ni nunuwe pikipiki,ni njenge nyumba yangu vile ni nunuwe pahali pa kunjenga mjini vile nisiwe na sahau kumtoleya zaka,na sadaka ,......heri ya mwaka mpya
Duu hayo mavitabu mtumishi huko mgongoni mboan ni baraaaaaaaaaaa
Mungu wangu na Yesu wangu naomba uniinue katika hali zote kiuchumi kiimani kiafya maana mimi n mshindi kiroho kiafya kiuchumi tena katika wewe
Happy new year pr mbaaga Naamini masomo yangu yamefunguliwa kwa jina la yesu Amina mungu akubariki natokea Kenya , pande ya kitengela
Amina mchungaji Mbaga kwa mafundisho na maombi
Namshukuru Mungu kwa zawad ya uhai aliyonipatia pastor nimefunguliwa mengi sana kutokana na mafundiasho yako Mungu akutunze ila hili moja pastor naomba nisaidie maombi nipate mtoto mwingine pastor nina imani na tumaini Mungu amefanya 🙏nisaidie maombi pastor
Asante pastor , ninaimani Mungu atajib maombi yangu ya matatizo na mafanikio yangu amen, 🙏
Mama lushinosame endelea kuniombea pastor bado Mambo nimagumu
Amina naitwa Elizabeth Zephania nimeuona mkono wa Bwana nimefunguliwa
Mungu Mkuu aendelee kukubariki sana.
Heri ya mwaka mpya kwako Pastor
Pr natwa schola naomba uniombee nasumbuliwa na mgongo pamoja na presha heri ya mwaka mpya
Namshukuru MUNGU sana kwa neema yake ahsante sana MUNGU kwa mwaka huu utakuwa ni WA maajabu kwetu sote tumebarikiwa mno kwa jina la YESU kristo amina
Asante Mungu kwamaana nimefunguliwa kwaimani amen
Thank you God for delivering my two brothers from drinking alcohol and smoking. May the taste go away completely and never come back in Jesus' Name. Amen.
God use them to spread your word. Amen
Hakika mahubiri yako yamezidi kunisogeza karibu na Mungu, Pr umekua mbaraka kwangu sio leo tu milango imefunguliwa nilikuwa na wakati mgumu umeisha kwa jina la Yesu.barikiwa Pr.
Nashkuru Mungu nimepona saai
Amina
PR. Naomba mwaka huu Mungu anifungue nguvu za giza zinasumbua.
onsarigo kutoka kenya.happy new year pastor.2024 i need your prayer.really pastor i have some challenges ..
Heri njema mwaka huu wa 2024, nashukuru Mungu sana kwako kuwa mwalimu kwangu wa kiriho. Ninge penda kuomba Mungu anirehemu kumaliza nyumba yangu imekwama mda mrefu sana mashamnani.
Am physically free now all the pain has gone in the might name of Jesus.
Nabarikiwa sawa🙏
Nmebarikiwa Sana
Amina nabarikiwa sana
Naomba Mungu anitendee mambo makuu makubwa amina
Naomba mwaka huu nijenge nyumba na niwe na akiba
Nabarikiwa sana na hii Tv.
Amen Amen mjungaji mafuzo yako tunapata elimu kubwa sana jm watching from saudi mjungaji naitaji maombi kijana yangu anakunyua pombe sana namini mungu atabadirisha maisha yake anaitwa Daniel
Mungu akubariki pr
Mwaka huu namwoomba Mungu sana nipate kumufanyia kazi yake,kumutolea Shaka na sadaka,Mungu akubariki pastor Amen
Naomba maombi ya kunizungulia milango kazini mwangu; maisha ya ndoa yangu, mibaraka katika masomo ya watoto wangu na ulinzi kwao , wanapo ingia na kutoka. Ombea mamangu mzazi katika uzee wake. Be blessed.
Happy new year mugambi from Kenya meru
naamini nimefunguliwa❤
Asante Sana kwa kuwa nimepokea mibaraka hii na uponyaji na biashara yangu imefunguliwa na kazi yangu imekubarika amina barikiwa pr
Happy New pastor
Amen🙏Mungu akubariki sn Mtumishi wa Mungu kwa somo hili 🙏
Asante sana Pastor! Mambo ni mengi sana Mungu anatufungulia kupitia kujifunza neno lako. Ombi letu kuu ni Mungu azidi kukubarika Pastor utuongoze tukazae matunda ya kiroho ya Bwana wetu Yesu Kristo, mbele yetu vizazi vyetu vinachangamoto kubwa sana kuhusu Mungu but kwa kuwa yeye ni Mkuu ameshinda na tunaona mazao yake yakimea kila siku. Asante sana kwa somo la mwaka na Neno la mwaka. Ubarikiwe sana
M/Mungu atukuzwe mno, Pr umekuwa mbaraka sana kwa kuniimarisha na kunipandusha viwango vya kiroho, mafunuo na masomo yako yamenifanya kuwa jasiri mno
Ameeen
Nakushuru Mungu Maana unafungu milango ya baraka kwetu na wala haitafungwa kwetu kwa jina la Yesu mwana wako Amina.
Naomba pastor uniombee nijifungue salama bila operation
Namshukuru Mungu baada ya Maombi maumivu ya mgogo yameisha. Mungu akubariki sana Pastor
Nina ku salimu
Mimi ni ndugu LUSANGI WABEKA Willy toka Congo apa Goma
Tuna kufata kila Siku mimi n'a jamaa lote
Ombi letu kwa mwaka Uhu MUNGU afanyikize kazi zetu zote
Nashukuru pastor kwa haya maombi na mafundisho nimeona uchumi wangu ukibadilika... Mungu wangu tenda kulingana na mapenzi Yako Amen Amen Amen
Mungu amponye Mm yetu huko 🇹🇿 akapone Presha.
Pastor. Naomba uombee familia yangu nami Nina mipango mingi . Ikitokea vile napanga nataka kujengea Mungu Hekalu .niombeee .am from Kenya
Mungu atende makuu
Amen
Happy new year,nimepata neno la faraja,pastor Mimi ni muuguzi nimesimamishwa KAZI miaka saba Sasa,pastor naomba maombi yenu nirudishe kazini nomefwatilia mpaka nimechoka,la pili pastor mungu aniongoze nimtumikie kama kina Dorca wa kwenye biblia,Mimi nipo Butiama tanzania
Mungu akutendee muujiza
Happy Naomba uponyaji kwa ajili ya dada yangu Lilian anasumbuka na viongo vya mwili hawezi kuongea vizuri na kutembea na huwa anaanguka
MUNGU TUNA MSHUKURU KUTUFIKIZA KATIKA MWAKA MUPYA NI GERMAIN TOKA GOMA CONGO DRC
Mungu atukuzwe
Mumi ombi langu nipate mme mwema na kazi zibarikiwe na uzima wa milele niupate
Uko .mkoa gani
Nime balikiwa na maombi yako pastar naomba nipate vitabu vyako
Pastor you always bless me but today have felt it inside that indeed God has opened this door and many more...this is a year of blessings and greater opportunities. Thank You Lord kwa kumtumia pastor David may he always decrease for you to increase in him,he's indeed your vessel bless him in Jesus Name Amen Amen
MUNGU azidi kukutumia kwa viwango vingine mtumishi nilikuwa nimekata tamaa ya kuendelea na masomo mwaka wa tatu sababu ya kukosa ada lakini baada ya kusikiliza maombi haya nimepata nguvu ya kufanya kazi kwa bidii ili nipate ada naamini mlima wa elimu umefunguliwa in Jesus name amen
Pr,huu mwaka nina malengo makubwa sana ys kuanzisha mladi wa ufugaji wa mbuzi,nipo Mpanda katavi,lakin pia naomba uiombee familia yang iwe na upendo na aman
Jiombee acha uvivu
Mungu asikilize hitaji la moyo wako, upo Mpanda sehemu gani? Na mi nipo Mpanda
@@joycehaule9717Acha kumkatisha tamaa mwenzako kwenye mambo ya Kiroho kila mtu Mungu ana namna anavyo mtumia
Huu mwaka nataka kununua shamba niombee pastor
Mungu naomba anisaidie mwaka huu 2024 nami niweze kupata mtoto
Am Janette from Kenya ,Makueni county. May God bless you Pastor so much. pray for me so that God may open doors for me
Heliya mwaka mupya pr nafatilia na niko USA State Kentucky site Louisville
Bwana akubaliki kwamahubiri yako inatu saidia sana kwa Imani ya kumwamini Yesu Kristo Bwana Mungu akongezeye malifa zaidi thank you God bless you all
Happy New year 🎉 pr
Amina naamini nimepokea
Naomba bwana anifungulie mlango wa magonjwa maaana naumwa pia na ndoa yangu inachachangamoto ya kupata watoto Mungu atufungulie mlango
Niko marekani jina Onorina Alinoti
May the will of God be done upon your prayers. Amen
@@MinaTuzo Amen and thank you very much
Mungu akutendee
Kwa neno nimepona
Naomba maombi pastor afya njema Mimi nawatoto wangu , mafanikio kwa watoto mungu awape mibaraka
Nilikuwa nina umwa na mgongo kuanzia nilipokuwa mchanga sana,lakini Leo, baada ya maombi ya uponyaji ,nilisikia nguvu imeniingia na maumivu ikaisha papo hapo.Asante Yesu.Jina lako litukuzwe milele na hata milele.
Amen God is great I'm seeing his working power in my family I'm very grateful 🙏🙏💯❤️
Mungu wangu na baba yangu naomba unitendee mema yako mwaka huu fungua milango ya mafanikio kwangu na pasiwepo kikwazo chochote
1. Nimalizie ujenzi wa nyumba yangu
2. Nifungue biashara katika mwaka huu lkn biashara hii ikawe imara shetani asijiinue kwa lolote
3. Watoto wangu wapate neema yako na mibaraka yote
4. Kazi zangu ziwe na tija Mungu wangu shetani asijiinue kwenye kazi yangu kwa lolote.