MAOMBI YA KUFUNGUA MALANGO MWAKA 2024 ( OFFICIAL VIDEO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024

Комментарии • 232

  • @EmmanuelyJoseph-cu8xv
    @EmmanuelyJoseph-cu8xv 8 месяцев назад +3

    Mungu mwema ameniponya maumivu ya kichwa namshukuru sana Mungu sifa na utukufu ni zake milele.

  • @JacintahChao
    @JacintahChao 8 месяцев назад +1

    Paster barikiwa ,nifunguliwe mlango wa kazi au biashara,plot nyumba.nimechoka kukodisha, nahitaji vya kwangu.from Kenya.amen...

  • @magaliesalal6054
    @magaliesalal6054 8 месяцев назад +1

    Asante mwalimu na amini sijachelewa ata kidogo mimi milipanga nifanye kilimo na kupata ka chombo kakutembea barabarani kama miradi kazi itakayo nipa ayo ninayo Mungu anibariki ili nipate kufikia huko, mimi naitwa Donatien Elema natokea congo lubumbashi.

  • @childrenreliefservicecrs3623
    @childrenreliefservicecrs3623 8 месяцев назад +1

    Mimi naitwa Roger toka Malawi
    Asante mchungaji mbaga kwa fundisho nzuri sana. Mubarikiwe sana.

  • @LevinaCharles-r7j
    @LevinaCharles-r7j 8 месяцев назад +2

    Amen pastor, namwomba Mungu wa Israel aliye hai anisaidie nipate kazi mwaka huu 2024 na naamini amekwisha kutenda.

  • @Janelyimo-x4w
    @Janelyimo-x4w 8 месяцев назад +3

    Naomba unisaidie katika kulitangaza Jina la Bwana pia mama yangu awe na amani katika Manisha yake yaliyobaki hapa duniani na maradhi ya mwache

  • @GadiBIKORIMANA
    @GadiBIKORIMANA 8 месяцев назад +1

    Majina yangu naitwa Bikorimana Gadi Niko munyarwanda ninafurahishwa nakusikiriza maubiri yenyu kutokana TV hii Mungu akubaliki sana mucungaji ninakutazama

  • @GadiBIKORIMANA
    @GadiBIKORIMANA 8 месяцев назад +1

    Nina malengo mengi sasa naomba Mungu anisaidie kumutendea Mambo mazuri mwaka huu ninuelewa jinsi vilivyo, naomba maisha mazuri Haina mladi ,akiri , loho mutakatishi n.k

  • @masaka1peter
    @masaka1peter 6 месяцев назад +1

    MUNGU atukuzwe kwa mambo MAKUU, barikiwa sana Mtumishi

  • @zawadiernest1858
    @zawadiernest1858 8 месяцев назад +1

    Mungu anitunze na kuniweka ktk viwango vya juu nikamtumikie Kwa NGUVU zangu zote,pia ainue uchumi wangu

  • @MaryaBrax-k2x
    @MaryaBrax-k2x 8 месяцев назад +1

    Asante sana mchungaji nabarikiwa na mahubiri yako. Niombee Mungu anitoe kwenye dhambi ya kujirudia, pia akanifungulie milango ya baraka mwaka 2024, pia akanipatie mchumba.

  • @FezaMulete
    @FezaMulete 8 месяцев назад +1

    Namshikuru Mungu. Ili kuwa mwaka Jana ilikuwa imeonekana nipasuliwe.lakni kwa uwezo wamungu nimetumia dawa nimepona uvimbe ambao ulikuwandicho cha nzo cha kupasuliwa. Mungu awabsriki. Niko umarecani.

  • @philiprush7883
    @philiprush7883 8 месяцев назад +2

    Ubarikiwe pasta mie naomba MUNGU abariki mipango yangu yakulima Ili aweze kunibariki aondoke kila aina ya mashambulizi ambayo shetani anaifanya dhidi yangu,ninaamini MUNGU atatenda,maana nakumbumbuka uliniombea nikiwa naumwa sana nikapona mpaka Leo Niko vizuri,namshukuru sana MUNGU maana aliniponya.

  • @BarakaAntony-g9x
    @BarakaAntony-g9x 8 месяцев назад +1

    Amina pastor nimebarikiwa sana na mafundisho yako naomba uniombee nipate hekima mbele za Mungu

  • @mariamjaphet6085
    @mariamjaphet6085 8 месяцев назад +1

    Naitwa Mariam Maduhu niko mwanza nakupata pasta happy new year 🙏

  • @sarahyohana2223
    @sarahyohana2223 8 месяцев назад +1

    Amina nafurahia sana Mungu aendelee kukuinua zaidi nabarikiwa na Mafundisho ya neno la Mungu kupitia kwako Pastor Mbaga

  • @JasonShadrack
    @JasonShadrack 8 месяцев назад +1

    Nataka mungu nifunguliye mulango kwazi yamilonayangu ninayo ifanya kwahi mwaka 2024 🇨🇩 ni jason shadrack

  • @jerengumbilo3509
    @jerengumbilo3509 8 месяцев назад +1

    Naamini nimepona na kufunguliwa pastor Mungu akuariki sana

  • @YusuphShija-cd6cp
    @YusuphShija-cd6cp 8 месяцев назад +1

    Namshkru mungu kwa kuingia katka Maisha yang, naninamshkru mungu kwa kumfungua ndgo wangu ambaye alikuwa anawaza kujiondoa uhai wake kwa sababu Ya Maisha magumu na changamoto kubwa anazokutana nazo lkn sasa mungu mwema amemuokoa na sasa namtukuza mungu wa mbinguni kwa uku wake aliotenda na anaoendlea kutenda kwa Maisha yangu na familia yangu, mungu atukuzwe na akubariki Sana rafiki yang mchungaji mmbaga

  • @user-gf9pp7dp8g
    @user-gf9pp7dp8g 8 месяцев назад +1

    Nimebarikiwa na Ibada hii napokea kufunguliwa Kwangu Ameen

  • @oseeosia8732
    @oseeosia8732 8 месяцев назад +1

    Amen amen Namba mwaka huu nifanyikiwe kulipa madeni

  • @lucasmasalu
    @lucasmasalu 8 месяцев назад +2

    ubarikiwe san pr

  • @ttuphenarutto653
    @ttuphenarutto653 8 месяцев назад +1

    Asante mchungaji kwa neno naomba katika mwaka huu uniombe mungu aniondolee maradhi ya magonjwa ,mamangu anashida ya kuona ,ndugu wangu amegonjeka ugonjwa wa akili kwa miaka saidi ya miaka 35,mungu akubariki sana kutoka kenya

  • @merylaurenty6707
    @merylaurenty6707 8 месяцев назад +1

    Mchungaji unanibariki sana na maubiri yako nanina moto yupo chuo anasumbuliwa namaco hawezi atakusoma akiangalia tu daftari anatoa machozi awezi naomba maombi yako pasta

  • @YusterLaurent
    @YusterLaurent 8 месяцев назад +1

    Asante sana kwa mafundisho yako yamenibadirisha kwa kwa viwango vya juu

  • @casiphaabdi3896
    @casiphaabdi3896 8 месяцев назад +1

    Mungu tafadhali nifungulie malango yangu na wengine pia❤😊

  • @DoraAnderson-y2s
    @DoraAnderson-y2s 8 месяцев назад +1

    Pr'niombee naomba Mungu ainue familia yangu kiroho na kiuchumi

  • @neemaisaac8356
    @neemaisaac8356 8 месяцев назад +1

    Pastar niombe mwaka huu nikabarikiwe nifanye biashara yangu

  • @carolinemwango5967
    @carolinemwango5967 6 месяцев назад +1

    Namshukuru Mungu kwa maombi,i receive in the name of our Lord Jesus Christ.

  • @reallyworshipers1515
    @reallyworshipers1515 8 месяцев назад +2

    Kwa mahitaji uliyoyataja mdomoni mwako ndio hayohayo yanihusuyo, na iwe kwangu kama mlivyotamka pr Mmbaga mwaka huu... Amen

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb 8 месяцев назад +3

    Mwaka Huu naomba mungu aniwezeshee ninunue plot Na pia kujenga

  • @SarahSenkondo-fm7sm
    @SarahSenkondo-fm7sm 8 месяцев назад +1

    Namshukuru sana Mungu kwa somo hili pamoja na maombi ubarikiwe sana Pastor Mungu azidi kukulinda zaidi, japo nimechelewa kusikiliza ukiwa live ila siku ya leo ijumaa ya tarehe 5.1.2024 naamini Mungu amenitendea makuu

  • @mariamjaphet6085
    @mariamjaphet6085 8 месяцев назад +1

    Pasta niombee mgongo wangu upone ni muda sasa mwaka MUNGU akanitendee

  • @sarahnyengo2555
    @sarahnyengo2555 8 месяцев назад +2

    Mungu naomba mwaka huu usiishe niitwe mama ,Mungu akubariki past mbaga

  • @emmanuelmutevu9994
    @emmanuelmutevu9994 8 месяцев назад +1

    Amen nimepona kwa jina ya kaka yetu mkuu Kristo

  • @annamatari8552
    @annamatari8552 5 месяцев назад

    Asante nimepokea kwa imani haijarishi nimechelewa kuangalia somo ila kwa imani huu Mwaka utakuwa wa bataka ktk jina la yesu

  • @joycebujiku2747
    @joycebujiku2747 8 месяцев назад +1

    Mch naomba uombee watoto wanangu wafanikie kimasomo na waliokwisha jitegemea wabarikiwe ktk maisha yao!

  • @DoraAnderson-y2s
    @DoraAnderson-y2s 8 месяцев назад +1

    Asante mchungaji kwa somo lako limenibark sana

  • @HyrineBochere
    @HyrineBochere 8 месяцев назад +1

    Mjungaji ni
    Hyline kutoka kenya mungu hakubariki na nyumba yako,mungu amenitoa kwa msongo ya mawazo kutoka 2017 nilikiwa nimefungwa kabisa na migogoro ya ndoa huyu mungu sitamwaja amenitoa mbali mtumshi barikiwa.

  • @OseeKabulo-z5v
    @OseeKabulo-z5v 8 месяцев назад +1

    jambo pasta mimi ni OSEE KABULO toka DRC butembo kwenye mwaka huu na penda mungu anitendeye ama ani bariki ni nunuwe pikipiki,ni njenge nyumba yangu vile ni nunuwe pahali pa kunjenga mjini vile nisiwe na sahau kumtoleya zaka,na sadaka ,......heri ya mwaka mpya

  • @renatuskanuthy5743
    @renatuskanuthy5743 8 месяцев назад +1

    Duu hayo mavitabu mtumishi huko mgongoni mboan ni baraaaaaaaaaaa

  • @UpendoGanji
    @UpendoGanji 8 месяцев назад +1

    Mungu wangu na Yesu wangu naomba uniinue katika hali zote kiuchumi kiimani kiafya maana mimi n mshindi kiroho kiafya kiuchumi tena katika wewe

  • @DamarisOmambia-nw2cm
    @DamarisOmambia-nw2cm 8 месяцев назад +2

    Happy new year pr mbaaga Naamini masomo yangu yamefunguliwa kwa jina la yesu Amina mungu akubariki natokea Kenya , pande ya kitengela

  • @MaryMallembo
    @MaryMallembo 8 месяцев назад +1

    Amina mchungaji Mbaga kwa mafundisho na maombi

  • @marhayona2925
    @marhayona2925 8 месяцев назад +1

    Namshukuru Mungu kwa zawad ya uhai aliyonipatia pastor nimefunguliwa mengi sana kutokana na mafundiasho yako Mungu akutunze ila hili moja pastor naomba nisaidie maombi nipate mtoto mwingine pastor nina imani na tumaini Mungu amefanya 🙏nisaidie maombi pastor

  • @palomagaly
    @palomagaly 8 месяцев назад +1

    Asante pastor , ninaimani Mungu atajib maombi yangu ya matatizo na mafanikio yangu amen, 🙏

  • @EstherLushino
    @EstherLushino 8 месяцев назад +1

    Mama lushinosame endelea kuniombea pastor bado Mambo nimagumu

  • @PhanuelDaudi
    @PhanuelDaudi 8 месяцев назад +2

    Amina naitwa Elizabeth Zephania nimeuona mkono wa Bwana nimefunguliwa

  • @upendomaduhungalula6641
    @upendomaduhungalula6641 8 месяцев назад +1

    Mungu Mkuu aendelee kukubariki sana.
    Heri ya mwaka mpya kwako Pastor

  • @ScholastikaOmbura-nc2iv
    @ScholastikaOmbura-nc2iv 8 месяцев назад +1

    Pr natwa schola naomba uniombee nasumbuliwa na mgongo pamoja na presha heri ya mwaka mpya

  • @allanjohn719
    @allanjohn719 8 месяцев назад +2

    Namshukuru MUNGU sana kwa neema yake ahsante sana MUNGU kwa mwaka huu utakuwa ni WA maajabu kwetu sote tumebarikiwa mno kwa jina la YESU kristo amina

  • @FanuelMgonja
    @FanuelMgonja 8 месяцев назад +1

    Asante Mungu kwamaana nimefunguliwa kwaimani amen

  • @MinaTuzo
    @MinaTuzo 8 месяцев назад +5

    Thank you God for delivering my two brothers from drinking alcohol and smoking. May the taste go away completely and never come back in Jesus' Name. Amen.
    God use them to spread your word. Amen

  • @sporakiondo5807
    @sporakiondo5807 8 месяцев назад +1

    Hakika mahubiri yako yamezidi kunisogeza karibu na Mungu, Pr umekua mbaraka kwangu sio leo tu milango imefunguliwa nilikuwa na wakati mgumu umeisha kwa jina la Yesu.barikiwa Pr.

  • @SsSs-p5q
    @SsSs-p5q 8 месяцев назад +2

    Nashkuru Mungu nimepona saai

  • @EliabuKavanga
    @EliabuKavanga 8 месяцев назад +3

    PR. Naomba mwaka huu Mungu anifungue nguvu za giza zinasumbua.

  • @josephatanyona9881
    @josephatanyona9881 8 месяцев назад +1

    onsarigo kutoka kenya.happy new year pastor.2024 i need your prayer.really pastor i have some challenges ..

  • @roselineonyango3159
    @roselineonyango3159 8 месяцев назад +1

    Heri njema mwaka huu wa 2024, nashukuru Mungu sana kwako kuwa mwalimu kwangu wa kiriho. Ninge penda kuomba Mungu anirehemu kumaliza nyumba yangu imekwama mda mrefu sana mashamnani.

  • @paulmwera3716
    @paulmwera3716 8 месяцев назад +2

    Am physically free now all the pain has gone in the might name of Jesus.

  • @gracedaniel7236
    @gracedaniel7236 8 месяцев назад +1

    Nabarikiwa sawa🙏

  • @Faidha-zw2pb
    @Faidha-zw2pb 8 месяцев назад +1

    Nmebarikiwa Sana

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 8 месяцев назад +1

    Amina nabarikiwa sana
    Naomba Mungu anitendee mambo makuu makubwa amina

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 8 месяцев назад +2

    Naomba mwaka huu nijenge nyumba na niwe na akiba

  • @Pendomabula
    @Pendomabula 8 месяцев назад +2

    Nabarikiwa sana na hii Tv.

  • @rosemuia
    @rosemuia 8 месяцев назад +1

    Amen Amen mjungaji mafuzo yako tunapata elimu kubwa sana jm watching from saudi mjungaji naitaji maombi kijana yangu anakunyua pombe sana namini mungu atabadirisha maisha yake anaitwa Daniel

  • @user-xk4wf2xp4d
    @user-xk4wf2xp4d 8 месяцев назад +1

    Mungu akubariki pr

  • @eunicenyandiko1389
    @eunicenyandiko1389 8 месяцев назад +2

    Mwaka huu namwoomba Mungu sana nipate kumufanyia kazi yake,kumutolea Shaka na sadaka,Mungu akubariki pastor Amen

  • @edwardswanya2512
    @edwardswanya2512 8 месяцев назад +1

    Naomba maombi ya kunizungulia milango kazini mwangu; maisha ya ndoa yangu, mibaraka katika masomo ya watoto wangu na ulinzi kwao , wanapo ingia na kutoka. Ombea mamangu mzazi katika uzee wake. Be blessed.

  • @JedielMugambi-os9ok
    @JedielMugambi-os9ok 8 месяцев назад +1

    Happy new year mugambi from Kenya meru

  • @Justinakalogeza
    @Justinakalogeza 8 месяцев назад +1

    naamini nimefunguliwa❤

  • @annamatari8552
    @annamatari8552 5 месяцев назад

    Asante Sana kwa kuwa nimepokea mibaraka hii na uponyaji na biashara yangu imefunguliwa na kazi yangu imekubarika amina barikiwa pr

  • @maryjohn5057
    @maryjohn5057 8 месяцев назад +1

    Happy New pastor

  • @ClaudineClaudine-h9f
    @ClaudineClaudine-h9f 8 месяцев назад +1

    Amen🙏Mungu akubariki sn Mtumishi wa Mungu kwa somo hili 🙏

  • @ishmaelsimon6617
    @ishmaelsimon6617 8 месяцев назад +2

    Asante sana Pastor! Mambo ni mengi sana Mungu anatufungulia kupitia kujifunza neno lako. Ombi letu kuu ni Mungu azidi kukubarika Pastor utuongoze tukazae matunda ya kiroho ya Bwana wetu Yesu Kristo, mbele yetu vizazi vyetu vinachangamoto kubwa sana kuhusu Mungu but kwa kuwa yeye ni Mkuu ameshinda na tunaona mazao yake yakimea kila siku. Asante sana kwa somo la mwaka na Neno la mwaka. Ubarikiwe sana

  • @AgnessMrutu
    @AgnessMrutu 8 месяцев назад

    M/Mungu atukuzwe mno, Pr umekuwa mbaraka sana kwa kuniimarisha na kunipandusha viwango vya kiroho, mafunuo na masomo yako yamenifanya kuwa jasiri mno

  • @UpendoGanji
    @UpendoGanji 8 месяцев назад +1

    Nakushuru Mungu Maana unafungu milango ya baraka kwetu na wala haitafungwa kwetu kwa jina la Yesu mwana wako Amina.

  • @irenewaluse5074
    @irenewaluse5074 8 месяцев назад +2

    Naomba pastor uniombee nijifungue salama bila operation

  • @SemeniGeorge-j8i
    @SemeniGeorge-j8i 8 месяцев назад +1

    Namshukuru Mungu baada ya Maombi maumivu ya mgogo yameisha. Mungu akubariki sana Pastor

  • @WillyWabeka
    @WillyWabeka 8 месяцев назад

    Nina ku salimu
    Mimi ni ndugu LUSANGI WABEKA Willy toka Congo apa Goma
    Tuna kufata kila Siku mimi n'a jamaa lote
    Ombi letu kwa mwaka Uhu MUNGU afanyikize kazi zetu zote

  • @maseaJoe8676
    @maseaJoe8676 8 месяцев назад

    Nashukuru pastor kwa haya maombi na mafundisho nimeona uchumi wangu ukibadilika... Mungu wangu tenda kulingana na mapenzi Yako Amen Amen Amen

  • @estherjonas8466
    @estherjonas8466 8 месяцев назад +2

    Mungu amponye Mm yetu huko 🇹🇿 akapone Presha.

  • @unclejonah7350
    @unclejonah7350 8 месяцев назад +1

    Pastor. Naomba uombee familia yangu nami Nina mipango mingi . Ikitokea vile napanga nataka kujengea Mungu Hekalu .niombeee .am from Kenya

  • @gladysmochere7193
    @gladysmochere7193 8 месяцев назад

    Happy new year,nimepata neno la faraja,pastor Mimi ni muuguzi nimesimamishwa KAZI miaka saba Sasa,pastor naomba maombi yenu nirudishe kazini nomefwatilia mpaka nimechoka,la pili pastor mungu aniongoze nimtumikie kama kina Dorca wa kwenye biblia,Mimi nipo Butiama tanzania

  • @happysambega129
    @happysambega129 8 месяцев назад

    Happy Naomba uponyaji kwa ajili ya dada yangu Lilian anasumbuka na viongo vya mwili hawezi kuongea vizuri na kutembea na huwa anaanguka

  • @tumainimbabazigermain6863
    @tumainimbabazigermain6863 8 месяцев назад +1

    MUNGU TUNA MSHUKURU KUTUFIKIZA KATIKA MWAKA MUPYA NI GERMAIN TOKA GOMA CONGO DRC

  • @FadhilaIbrahimu-fz9sq
    @FadhilaIbrahimu-fz9sq 8 месяцев назад +1

    Mumi ombi langu nipate mme mwema na kazi zibarikiwe na uzima wa milele niupate

  • @SuleimaniRaphael
    @SuleimaniRaphael 8 месяцев назад

    Nime balikiwa na maombi yako pastar naomba nipate vitabu vyako

  • @maseaJoe8676
    @maseaJoe8676 8 месяцев назад +1

    Pastor you always bless me but today have felt it inside that indeed God has opened this door and many more...this is a year of blessings and greater opportunities. Thank You Lord kwa kumtumia pastor David may he always decrease for you to increase in him,he's indeed your vessel bless him in Jesus Name Amen Amen

  • @NesthaSimeoni
    @NesthaSimeoni 8 месяцев назад

    MUNGU azidi kukutumia kwa viwango vingine mtumishi nilikuwa nimekata tamaa ya kuendelea na masomo mwaka wa tatu sababu ya kukosa ada lakini baada ya kusikiliza maombi haya nimepata nguvu ya kufanya kazi kwa bidii ili nipate ada naamini mlima wa elimu umefunguliwa in Jesus name amen

  • @user-ko4fp3vk2c
    @user-ko4fp3vk2c 8 месяцев назад +8

    Pr,huu mwaka nina malengo makubwa sana ys kuanzisha mladi wa ufugaji wa mbuzi,nipo Mpanda katavi,lakin pia naomba uiombee familia yang iwe na upendo na aman

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 8 месяцев назад

      Jiombee acha uvivu

    • @eliethmwanguya7118
      @eliethmwanguya7118 8 месяцев назад +1

      Mungu asikilize hitaji la moyo wako, upo Mpanda sehemu gani? Na mi nipo Mpanda

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 8 месяцев назад +1

      ​@@joycehaule9717Acha kumkatisha tamaa mwenzako kwenye mambo ya Kiroho kila mtu Mungu ana namna anavyo mtumia

    • @Rizzy446M
      @Rizzy446M 8 месяцев назад

      Huu mwaka nataka kununua shamba niombee pastor

    • @SarahSenkondo-fm7sm
      @SarahSenkondo-fm7sm 8 месяцев назад +1

      Mungu naomba anisaidie mwaka huu 2024 nami niweze kupata mtoto

  • @JanetMuendi
    @JanetMuendi 8 месяцев назад +2

    Am Janette from Kenya ,Makueni county. May God bless you Pastor so much. pray for me so that God may open doors for me

  • @BostonBuzukira
    @BostonBuzukira 8 месяцев назад

    Heliya mwaka mupya pr nafatilia na niko USA State Kentucky site Louisville
    Bwana akubaliki kwamahubiri yako inatu saidia sana kwa Imani ya kumwamini Yesu Kristo Bwana Mungu akongezeye malifa zaidi thank you God bless you all

  • @denismagere8619
    @denismagere8619 8 месяцев назад

    Happy New year 🎉 pr

  • @VICTORIAMAXMILIAN
    @VICTORIAMAXMILIAN 8 месяцев назад

    Amina naamini nimepokea

  • @OnorinaKiza
    @OnorinaKiza 8 месяцев назад +1

    Naomba bwana anifungulie mlango wa magonjwa maaana naumwa pia na ndoa yangu inachachangamoto ya kupata watoto Mungu atufungulie mlango

    • @OnorinaKiza
      @OnorinaKiza 8 месяцев назад

      Niko marekani jina Onorina Alinoti

    • @MinaTuzo
      @MinaTuzo 8 месяцев назад +1

      May the will of God be done upon your prayers. Amen

    • @OnorinaKiza
      @OnorinaKiza 8 месяцев назад

      @@MinaTuzo Amen and thank you very much

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 8 месяцев назад +1

      Mungu akutendee

  • @YusterLaurent
    @YusterLaurent 8 месяцев назад

    Kwa neno nimepona

  • @FunnyBalkhHound-ye8jl
    @FunnyBalkhHound-ye8jl 8 месяцев назад

    Naomba maombi pastor afya njema Mimi nawatoto wangu , mafanikio kwa watoto mungu awape mibaraka

  • @victoriakomwaga8978
    @victoriakomwaga8978 8 месяцев назад

    Nilikuwa nina umwa na mgongo kuanzia nilipokuwa mchanga sana,lakini Leo, baada ya maombi ya uponyaji ,nilisikia nguvu imeniingia na maumivu ikaisha papo hapo.Asante Yesu.Jina lako litukuzwe milele na hata milele.

  • @kanyerewasinja1288
    @kanyerewasinja1288 8 месяцев назад +2

    Amen God is great I'm seeing his working power in my family I'm very grateful 🙏🙏💯❤️

  • @UpendoGanji
    @UpendoGanji 8 месяцев назад

    Mungu wangu na baba yangu naomba unitendee mema yako mwaka huu fungua milango ya mafanikio kwangu na pasiwepo kikwazo chochote
    1. Nimalizie ujenzi wa nyumba yangu
    2. Nifungue biashara katika mwaka huu lkn biashara hii ikawe imara shetani asijiinue kwa lolote
    3. Watoto wangu wapate neema yako na mibaraka yote
    4. Kazi zangu ziwe na tija Mungu wangu shetani asijiinue kwenye kazi yangu kwa lolote.