JE WAJUA SIRI HII JUU YA MAOMBI? | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024

Комментарии • 100

  • @CadeauMalengera
    @CadeauMalengera 4 месяца назад +2

    Asante sana Pastor nakufatiya apa RDC sijuwi tapataje kitabu

  • @raelsarange638
    @raelsarange638 Год назад +4

    Great I'm proud of my DADDY in heaven i surrender all to him niko Iraq nimeona mkono wake kwenye maisha yangu through pastor mmbaga teachings,sina hofu kusema I'm delivered by God's grace I av got life testimony at times nalia kilio cha furaha ❤❤

  • @leahmose1808
    @leahmose1808 Месяц назад

    Asante nimebarkiwa❤❤ Mungu azidi kuklinda mchungaji uzudi ktuelimisha amina

  • @TeleziaSimbeye-fm3zw
    @TeleziaSimbeye-fm3zw Год назад +3

    Hata mi nimesoma baadhi ya vitabu vya kisabato vimenisaidia sana na mi ni Mkaatoriki ubariwe sana mchungaji

  • @rosekemunto660
    @rosekemunto660 Год назад +10

    Mtumishi wa Mungu naomba ,uniombe nipate mchumba mcha mungu na shida na laana za jaamii sikafungwe na kuchomwa kwa nguvu za mungu. Just pray for me. From kenya .

    • @PaulShunda-
      @PaulShunda- Год назад +1

      Ok you good

    • @douglasonchari4407
      @douglasonchari4407 Год назад +1

      Noonde igaa

    • @rosekemunto660
      @rosekemunto660 Год назад +1

      @@douglasonchari4407 than you very much for your prayer.

    • @chalzjuniour3495
      @chalzjuniour3495 Год назад +2

      Habari za mchana, Naomba nikushauri kitu,maamuzi ya muhimu zaidi kufanya kwenye maisha ya mwanadamu ni kumpokea yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yakoo na maamuzi ya pili ni kumchagua mwenza wa maisha, Kama Maamuzi ya muhimu zaidi kwa mwanadamu kufanya ya wokovu Mungu akuchagulii sembuse ili la pili ndo akuchagulie!! Mungu akuchagulii mchumba tafuta maarifa ya kumjua mtu sahihi kwenye maisha yakoo na muombe Mungu akusaidie upate maarifa sahihi, ubarikiwe sanaa🙏

  • @faithmoraa4542
    @faithmoraa4542 Год назад +3

    Pr, am Faith moraa from Kenya,
    Help me to pray for my girl FABRACIA FATUMA anayeelekekea kufanya mtihani wake wa kidato Cha nne (K.C.S.E) Mungu amfanye mshindi aweze kupata hitaji la moyo wake.(A-)
    Na MUNGU amshindie kabisa
    AMEN🙏

  • @fedrickyohana7433
    @fedrickyohana7433 4 месяца назад

    Amen mchungaji umejua kunifundisha kitu kizuri

  • @SarahZacharia-t3b
    @SarahZacharia-t3b Год назад +2

    Mchungaji niombeeee nipate mchumba mwenye hofu ya mungu na mwanaume wa imani s.d.a Kwa umri wangu nimepitia changamoto nyingi kwenye uhusiano nahitaji kuwa na ndoa takatifu ifungwe kwenye mimbari ya wadventista wasabato ni imani yangu mchungaji nimepata mchumba na tutahama kutoka Sengerema na kurudi geita .

  • @tracysally-im7fw
    @tracysally-im7fw Год назад +1

    Pastor niombee nibarikiwe na mume wangu amkubali YESU na apate kazi ambayo haimsumbui kumlipa,na nirudi kwa wanangu ntashukuru sana

  • @NyamariFaith-qu1jm
    @NyamariFaith-qu1jm 9 месяцев назад +1

    Am so blessed for ur powerful sermon pastor b blessed with ur family $all ur group in Jesus name 🙏

  • @PeterCharles-yc7tn
    @PeterCharles-yc7tn Месяц назад

    Mchungaji nashuhudia ndoa yangu imeimarika kwa.maombi yatv ulifundisha someone lililoponya ndoa yangu iliokua imekufa kabisa namshukuru mungu sana

  • @elina4113
    @elina4113 Год назад

    Nimekuwa nafuatilia vipindi vysko Pastor Mmbaga, vinanibariki kila siku .
    Ombi langu Naomba niombee mwanangu wa kwanza ghafla hatakii kuongea nami bila sababu yeyote,nami siko nao kwa muda wa miaka minne niko kazini Nchini Oman,na tulikuwa na mawasiliano mazuri kill mara.
    Nahisi amejiunga na vikundi vilivyo kinyume na mapenzi ya Mungu.

  • @user-xe9yd5pr3k
    @user-xe9yd5pr3k Год назад +1

    Mchungaji ubarikiwe kwa jina la yesu.,familia yangu naomba maombezi, watoto wangu wawili hawajapata watoto, wengine hawajapata wachumba Mungu wangu aifungue familia yangu.

  • @dorisgesare7707
    @dorisgesare7707 7 месяцев назад

    Exactly like me I talk God as a loving father and He has done much

  • @dorisgesare7707
    @dorisgesare7707 7 месяцев назад

    One day I was bleeding for along time I prayed by faith and God healed me and showed me sadaka ya shukurani ya kupeleka kanisani ambayo ilikuwa maziwa mara na mafuta taa

  • @slamafamily5720
    @slamafamily5720 11 месяцев назад

    Amen pastor mm.naamini mungu atatendà kabisa yani pastor barikiwa sana kwa mafundisho yako

  • @rogerkambale9998
    @rogerkambale9998 Год назад

    Asante Sana mtumishi,ninashida kwenye unyumba wangu,naomba uniombeye,Niko congo

  • @RamazaniLumbu
    @RamazaniLumbu 11 месяцев назад

    Mchungaji mungu asifiwe tena akubariki saaaana nalitowa hoja yangu kuhusu ugonjwa ivi alipita ku opération Na leo eko mzuma mungu asifiwe kwa maombi yenu mutuombee mungu atubariki katika viashara yangu

  • @dorisgesare7707
    @dorisgesare7707 7 месяцев назад

    Mungu ni mwaminifu siku moja alinijibu kwa sauti nikiwa ninaomba God is a live and near us

  • @dorisgesare7707
    @dorisgesare7707 7 месяцев назад

    I was childless I and my husband prayed by faith and now we have children

  • @user-ou6ls5ws9j
    @user-ou6ls5ws9j 2 месяца назад

    Ubarikiw namug.tuk.tunakusikiriz

  • @SarahZacharia-t3b
    @SarahZacharia-t3b Год назад

    Mchungaji tuombeeee familia yangu tuweze kutoka Geita na kurudi Sengerema Amina

  • @ericksonsteve4075
    @ericksonsteve4075 Год назад

    Kwa maombi pamoja nawe ipo siku nitakuwa shujaa katika nchi yanguh na Dunia Kwa ujumla Kwa jina la yesu kristo Amina.

  • @maximilianstephano9578
    @maximilianstephano9578 Год назад

    Asante mtumishi wa Mungu, somo linaeleweka barikiwa mtumishi

  • @TuliaIpopo
    @TuliaIpopo 10 месяцев назад

    Shalom pastor, nabarikiwa sana na mafundisho, natamani sana niwe kama unavyofundisha mungu aniwezeshe naomba niombee

  • @maximilianstephano9578
    @maximilianstephano9578 Год назад

    Asante kwa somo lako mchungaji naomba utuombee mimi na mke wangu tuweze kupata mtoto. Maana hatujafanikiwa kupata hata mtoto moja.

    • @upendoloondokalembekela7748
      @upendoloondokalembekela7748 Год назад

      Mwenyezi Mungu ameshawapa haja ya mioyo yenu, fanyeni maombi mkisema Asante Bwana yesu kristo kwakuwa umetupa uzao tayari amen.

  • @RodhaOnyancha
    @RodhaOnyancha Год назад

    Naomba mtumishi Naomba uniombee nibarikiwe n.a. motto.

  • @renatuskanuthy5743
    @renatuskanuthy5743 Год назад

    Ashukuriwe Mungu alieponya kupitia kwa mtumishi wake mmbaga

  • @ngenamangala2559
    @ngenamangala2559 11 месяцев назад

    Amen Amen

  • @DONATUSKomba-pu1bk
    @DONATUSKomba-pu1bk 11 месяцев назад

    Pastor,MUNGU aendelee kukutumia siku zote.Kwa kweli kupitia kwako, najifunza mengi.Uniombee,nisiendle kuwa
    nyuma kimawazo

  • @SarahZacharia-t3b
    @SarahZacharia-t3b Год назад

    Mchungaji niombeeee nipate mchumba mwenye hofu ya mungu na mwanaume wa imani s.d.a Kwa umri wangu nimepitia changamoto nyingi kwenye uhusiano nahitaji kuwa na ndoa takatifu ifungwe kwenye mimbari ya wadventista wasabato ni imani yangu mchungaji nimepata mchumba na tutahama kutoka Sengerema na kurudi geita

  • @rebeccaonyando7214
    @rebeccaonyando7214 Год назад

    Amen and Amen katika jina la Yesu.

  • @SarahZacharia-t3b
    @SarahZacharia-t3b Год назад +1

    Mchungaji Mimi naomba unisaidie kuomba tumetoka Sengerema na Kuja Geita mchungaji naomba unisaidie tuweze kurudi Sengerema kule ndiko mungu alikoweza kutubariki na kutuneemesha mambo yake huku mchungaji Geita sio kuzr afu nyumba inabaki pekee yake mchungaji naomba unisaidie kuomba turudi Sengerema

  • @KASICHANANDARO-ud1eh
    @KASICHANANDARO-ud1eh Год назад

    Mtumishi wa mungu nahitaji maombi Kwa familia yangu tuwe na Amani...

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 10 месяцев назад

    Amen

  • @damaryjohn6985
    @damaryjohn6985 Год назад

    Ninabarikiwa jamaniii

  • @EdinaMbilinyi-hm6no
    @EdinaMbilinyi-hm6no Год назад

    Ubarikiwe mchungaji leo nimeelewa Mungu akubariki sana

  • @molooanne
    @molooanne Год назад

    Amen pasta tunabalikiwa sana

  • @lennyfrank
    @lennyfrank 8 месяцев назад

    Ameen Ameen

  • @NaomieBusiku
    @NaomieBusiku Год назад

    Ameeene papa pasteur kwa mafundisho

  • @agiebukutsa8539
    @agiebukutsa8539 Год назад

    Amen Wacha Mungu akutane Na haja ya Moyo wangu

  • @estherkahindo2994
    @estherkahindo2994 Год назад

    Mungu akubariki zaidi mzungaji naendeleye kukupa hekima .mapenzi Ya mungu itimilike kwangu kulingana na maombi yako

  • @ElisabethZakaria-r8r
    @ElisabethZakaria-r8r Год назад

    Mchungaji mungu akubaluki sana uende mbali

  • @MarekelaMarekela-cg4ch
    @MarekelaMarekela-cg4ch 9 месяцев назад

    God bless all

  • @SifaDimatasi-om2rj
    @SifaDimatasi-om2rj Год назад +1

    ❤Ameeeeeeen

  • @gracejames2395
    @gracejames2395 Год назад

    Pr BWANA asifiwe naitwa grace nipo katolo geita niombee BWANA anipe mume anaelicha jina lake

  • @kazidotto8675
    @kazidotto8675 Год назад

    Mungu akubariki sana

  • @elienew3788
    @elienew3788 Год назад

    Ameen asante sana

  • @SifaelNoah
    @SifaelNoah 4 месяца назад

    Naomba unisaidie maombi naumwa pumu na presha.

  • @ElisabethZakaria-r8r
    @ElisabethZakaria-r8r Год назад

    Mchungaji mhombee mama angu apone na aanze kazi tena

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 Год назад

    Mungu akubariki sana Mchungaji🙏

  • @ephrasienasifiwe3393
    @ephrasienasifiwe3393 Год назад +1

    Amen amen

  • @omankadara6418
    @omankadara6418 Год назад

    Ameen Mungu akuzuze sana

  • @JeremiahGuragura
    @JeremiahGuragura Год назад

    Mungu akutendee mema

  • @ednaaswile6631
    @ednaaswile6631 Год назад

    Amen mtumishi 🙏

  • @margaretwanjiru9096
    @margaretwanjiru9096 Год назад

    Kweli MUNGU anafanya muujiza kukupitia nimeyaona kabisa na ninashukuru sana Mungu

  • @doricapeter545
    @doricapeter545 11 месяцев назад

    Mbaga nakosa pakucoment naomba namba nahitaji kuonana na ww mtumishi

  • @lucynyigana2801
    @lucynyigana2801 Год назад

    Amina kubwa

  • @JofreyJeremia-gm7jv
    @JofreyJeremia-gm7jv 3 дня назад

    Pastor nitapataje hicho kitabu niko shinyanga

  • @ElisabethZakaria-r8r
    @ElisabethZakaria-r8r Год назад

    Mchungaji mhombee mama angu alikua vizuli tu lakin saivi Yuko kama kachanganikiwa hatujuh chanz nn

  • @ericksonsteve4075
    @ericksonsteve4075 Год назад

    Amina

  • @tracysally-im7fw
    @tracysally-im7fw Год назад

    Kuna rafiki yangu anaitwa Judy ametafta mtoto na hapati TAFADHALI muombee

  • @psftv6478
    @psftv6478 Год назад

    Barikiweni.

  • @eunicewacheke5874
    @eunicewacheke5874 Год назад

    Pastor naomba ukanikumbuke Kwa maombi nipate kujenga nyumba yangu.

  • @saighilunyangusi4986
    @saighilunyangusi4986 Год назад

    Bwana azidi kukulinda na kukuwezesha mchungaji

  • @sarahmosiori9774
    @sarahmosiori9774 Год назад

    Hata nami niombee niwe na Imani.maanake nimeishi na fibroids Kwa miaka ishirini.Baba afungue umbo langu.

    • @upendoloondokalembekela7748
      @upendoloondokalembekela7748 Год назад

      Waebrania 11:1,uwe na uhakika umepakata tayari ,fanya maombi ya kushukuru maana Mwenyezi Mungu ameshatenda tayari,Bwana amekupa aja ya moyo wako.

  • @rosejoseph7982
    @rosejoseph7982 Год назад

    Pr nami niombee familia yangu imeishi na magongwa plz niombee

  • @MarwaTimasi
    @MarwaTimasi Год назад

    mchungaji naitwa marwa timas wa kitunda dsm naomba yako

  • @leticiabaziwani5234
    @leticiabaziwani5234 Год назад

    Pastor naitwa Leticia John Baziwani naomba uniombe nipate kuwa na nguvu ya Roho Mtakatifu ili niweze kushinda majaribu ya ndoa yangu mme wa ni mkenya na amezamia huko natamani sana kuongeza mtoto ila yeye hataki kuja Tanzania na yeye hataki kunipeleka anakoishi Nairobi japo kwao ni migori

  • @kabalizasekanabomarko6063
    @kabalizasekanabomarko6063 Год назад

    Amen mtumishi wa Mungu. Ningependa kupata namba yako pia. Kuna rafiki yangu hana mtoto kwa myaka 10.
    Ila nimeongea naye na kumwambia pia utapata mtoto.Mungu halali.

  • @divinahmoraaongaki8666
    @divinahmoraaongaki8666 Год назад

    Je hivyo vitabu tutazipata wapi Kenya?

  • @SamwelSamweli-p1f
    @SamwelSamweli-p1f 8 месяцев назад

    Pr changamot yang kun mtt anaaguk mapep mtaan kwet ila anataj mtaa mzim nakunalet kutopatan mtaan tusaidie kuomb mung aingilie kat

  • @molooanne
    @molooanne Год назад

    Pasta naomba uniombe nipate muchumba

  • @claraelengabulunda6750
    @claraelengabulunda6750 Год назад

    Na mimi naitaji kitabu, Niko nachinda sana nikiokoka tena najikuta narudi nyuma nimateso kwangu

  • @JofreyJeremia-gm7jv
    @JofreyJeremia-gm7jv 3 дня назад

    Pastar hicho kitabu kinaitwaje

  • @jayras501
    @jayras501 5 месяцев назад

    Ata mm nimejua burton ni ngani

  • @SamwelSamweli-p1f
    @SamwelSamweli-p1f 8 месяцев назад

    Pr nafwatilia mahubir yak yana nitia moy na kun shid nawez be kupat namb yk

  • @pacshalfrenk8982
    @pacshalfrenk8982 Год назад

    Niombee nipate mototo, na ubarikiwe pr.

  • @GuzuraJonas-ux6yx
    @GuzuraJonas-ux6yx Год назад

    Chungaji naomba uniombe kuhusu ndoa yangu na uchumi

  • @StelaJonh
    @StelaJonh Год назад

    Pasta bwana akubaliki ninabalikiwa sana na vipindi vyako naomba unikumbuke kwa maombi kila nikibeba mimba zinahalibika nasasa ninamimba tena hivyo naomba uniombee sana

  • @user-bv1pf9pe6d
    @user-bv1pf9pe6d 9 месяцев назад

    Ninaomba unisaidie namba yako

  • @dorisgesare7707
    @dorisgesare7707 7 месяцев назад

    One day I asked God for lunch while walking on the road then I saw money beside the road and another day I asked for my children mattress while I was walking on the road I saw a matress beside the road but I feared to pick

  • @user-fx2so9dy5l
    @user-fx2so9dy5l 11 месяцев назад

    🎉❤😂

  • @Mathildaojiambo
    @Mathildaojiambo Год назад

    bwana asifiwe mutumishi nimebarikiwa sana naomba uniombe juu ya mama yangu alipotea Sasa ni miaka 13 sijui aliko. kama uko hai

  • @MarwaTimasi
    @MarwaTimasi Год назад

    nsmba yako ya simu

  • @deogratiasmazangi-mk4fp
    @deogratiasmazangi-mk4fp 11 месяцев назад

    Amen

  • @anneedward6981
    @anneedward6981 Год назад +1

    Amen

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 Год назад

    Amina

  • @justinbigere4393
    @justinbigere4393 Год назад

    Amen

  • @danielndegwa764
    @danielndegwa764 Год назад

    Amen