Great I'm proud of my DADDY in heaven i surrender all to him niko Iraq nimeona mkono wake kwenye maisha yangu through pastor mmbaga teachings,sina hofu kusema I'm delivered by God's grace I av got life testimony at times nalia kilio cha furaha ❤❤
Mtumishi wa Mungu naomba ,uniombe nipate mchumba mcha mungu na shida na laana za jaamii sikafungwe na kuchomwa kwa nguvu za mungu. Just pray for me. From kenya .
Habari za mchana, Naomba nikushauri kitu,maamuzi ya muhimu zaidi kufanya kwenye maisha ya mwanadamu ni kumpokea yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yakoo na maamuzi ya pili ni kumchagua mwenza wa maisha, Kama Maamuzi ya muhimu zaidi kwa mwanadamu kufanya ya wokovu Mungu akuchagulii sembuse ili la pili ndo akuchagulie!! Mungu akuchagulii mchumba tafuta maarifa ya kumjua mtu sahihi kwenye maisha yakoo na muombe Mungu akusaidie upate maarifa sahihi, ubarikiwe sanaa🙏
Pr, am Faith moraa from Kenya, Help me to pray for my girl FABRACIA FATUMA anayeelekekea kufanya mtihani wake wa kidato Cha nne (K.C.S.E) Mungu amfanye mshindi aweze kupata hitaji la moyo wake.(A-) Na MUNGU amshindie kabisa AMEN🙏
Mchungaji niombeeee nipate mchumba mwenye hofu ya mungu na mwanaume wa imani s.d.a Kwa umri wangu nimepitia changamoto nyingi kwenye uhusiano nahitaji kuwa na ndoa takatifu ifungwe kwenye mimbari ya wadventista wasabato ni imani yangu mchungaji nimepata mchumba na tutahama kutoka Sengerema na kurudi geita .
Nimekuwa nafuatilia vipindi vysko Pastor Mmbaga, vinanibariki kila siku . Ombi langu Naomba niombee mwanangu wa kwanza ghafla hatakii kuongea nami bila sababu yeyote,nami siko nao kwa muda wa miaka minne niko kazini Nchini Oman,na tulikuwa na mawasiliano mazuri kill mara. Nahisi amejiunga na vikundi vilivyo kinyume na mapenzi ya Mungu.
Mchungaji ubarikiwe kwa jina la yesu.,familia yangu naomba maombezi, watoto wangu wawili hawajapata watoto, wengine hawajapata wachumba Mungu wangu aifungue familia yangu.
One day I was bleeding for along time I prayed by faith and God healed me and showed me sadaka ya shukurani ya kupeleka kanisani ambayo ilikuwa maziwa mara na mafuta taa
Mchungaji mungu asifiwe tena akubariki saaaana nalitowa hoja yangu kuhusu ugonjwa ivi alipita ku opération Na leo eko mzuma mungu asifiwe kwa maombi yenu mutuombee mungu atubariki katika viashara yangu
Mchungaji niombeeee nipate mchumba mwenye hofu ya mungu na mwanaume wa imani s.d.a Kwa umri wangu nimepitia changamoto nyingi kwenye uhusiano nahitaji kuwa na ndoa takatifu ifungwe kwenye mimbari ya wadventista wasabato ni imani yangu mchungaji nimepata mchumba na tutahama kutoka Sengerema na kurudi geita
Mchungaji Mimi naomba unisaidie kuomba tumetoka Sengerema na Kuja Geita mchungaji naomba unisaidie tuweze kurudi Sengerema kule ndiko mungu alikoweza kutubariki na kutuneemesha mambo yake huku mchungaji Geita sio kuzr afu nyumba inabaki pekee yake mchungaji naomba unisaidie kuomba turudi Sengerema
Pastor naitwa Leticia John Baziwani naomba uniombe nipate kuwa na nguvu ya Roho Mtakatifu ili niweze kushinda majaribu ya ndoa yangu mme wa ni mkenya na amezamia huko natamani sana kuongeza mtoto ila yeye hataki kuja Tanzania na yeye hataki kunipeleka anakoishi Nairobi japo kwao ni migori
Amen mtumishi wa Mungu. Ningependa kupata namba yako pia. Kuna rafiki yangu hana mtoto kwa myaka 10. Ila nimeongea naye na kumwambia pia utapata mtoto.Mungu halali.
Pasta bwana akubaliki ninabalikiwa sana na vipindi vyako naomba unikumbuke kwa maombi kila nikibeba mimba zinahalibika nasasa ninamimba tena hivyo naomba uniombee sana
One day I asked God for lunch while walking on the road then I saw money beside the road and another day I asked for my children mattress while I was walking on the road I saw a matress beside the road but I feared to pick
Asante sana Pastor nakufatiya apa RDC sijuwi tapataje kitabu
Great I'm proud of my DADDY in heaven i surrender all to him niko Iraq nimeona mkono wake kwenye maisha yangu through pastor mmbaga teachings,sina hofu kusema I'm delivered by God's grace I av got life testimony at times nalia kilio cha furaha ❤❤
Asante nimebarkiwa❤❤ Mungu azidi kuklinda mchungaji uzudi ktuelimisha amina
Hata mi nimesoma baadhi ya vitabu vya kisabato vimenisaidia sana na mi ni Mkaatoriki ubariwe sana mchungaji
Mtumishi wa Mungu naomba ,uniombe nipate mchumba mcha mungu na shida na laana za jaamii sikafungwe na kuchomwa kwa nguvu za mungu. Just pray for me. From kenya .
Ok you good
Noonde igaa
@@douglasonchari4407 than you very much for your prayer.
Habari za mchana, Naomba nikushauri kitu,maamuzi ya muhimu zaidi kufanya kwenye maisha ya mwanadamu ni kumpokea yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yakoo na maamuzi ya pili ni kumchagua mwenza wa maisha, Kama Maamuzi ya muhimu zaidi kwa mwanadamu kufanya ya wokovu Mungu akuchagulii sembuse ili la pili ndo akuchagulie!! Mungu akuchagulii mchumba tafuta maarifa ya kumjua mtu sahihi kwenye maisha yakoo na muombe Mungu akusaidie upate maarifa sahihi, ubarikiwe sanaa🙏
Pr, am Faith moraa from Kenya,
Help me to pray for my girl FABRACIA FATUMA anayeelekekea kufanya mtihani wake wa kidato Cha nne (K.C.S.E) Mungu amfanye mshindi aweze kupata hitaji la moyo wake.(A-)
Na MUNGU amshindie kabisa
AMEN🙏
Amen mchungaji umejua kunifundisha kitu kizuri
Mchungaji niombeeee nipate mchumba mwenye hofu ya mungu na mwanaume wa imani s.d.a Kwa umri wangu nimepitia changamoto nyingi kwenye uhusiano nahitaji kuwa na ndoa takatifu ifungwe kwenye mimbari ya wadventista wasabato ni imani yangu mchungaji nimepata mchumba na tutahama kutoka Sengerema na kurudi geita .
Pastor niombee nibarikiwe na mume wangu amkubali YESU na apate kazi ambayo haimsumbui kumlipa,na nirudi kwa wanangu ntashukuru sana
Am so blessed for ur powerful sermon pastor b blessed with ur family $all ur group in Jesus name 🙏
Mchungaji nashuhudia ndoa yangu imeimarika kwa.maombi yatv ulifundisha someone lililoponya ndoa yangu iliokua imekufa kabisa namshukuru mungu sana
Nimekuwa nafuatilia vipindi vysko Pastor Mmbaga, vinanibariki kila siku .
Ombi langu Naomba niombee mwanangu wa kwanza ghafla hatakii kuongea nami bila sababu yeyote,nami siko nao kwa muda wa miaka minne niko kazini Nchini Oman,na tulikuwa na mawasiliano mazuri kill mara.
Nahisi amejiunga na vikundi vilivyo kinyume na mapenzi ya Mungu.
Mchungaji ubarikiwe kwa jina la yesu.,familia yangu naomba maombezi, watoto wangu wawili hawajapata watoto, wengine hawajapata wachumba Mungu wangu aifungue familia yangu.
Exactly like me I talk God as a loving father and He has done much
One day I was bleeding for along time I prayed by faith and God healed me and showed me sadaka ya shukurani ya kupeleka kanisani ambayo ilikuwa maziwa mara na mafuta taa
Amen pastor mm.naamini mungu atatendà kabisa yani pastor barikiwa sana kwa mafundisho yako
Asante Sana mtumishi,ninashida kwenye unyumba wangu,naomba uniombeye,Niko congo
Mchungaji mungu asifiwe tena akubariki saaaana nalitowa hoja yangu kuhusu ugonjwa ivi alipita ku opération Na leo eko mzuma mungu asifiwe kwa maombi yenu mutuombee mungu atubariki katika viashara yangu
Mungu ni mwaminifu siku moja alinijibu kwa sauti nikiwa ninaomba God is a live and near us
I was childless I and my husband prayed by faith and now we have children
Ubarikiw namug.tuk.tunakusikiriz
Mchungaji tuombeeee familia yangu tuweze kutoka Geita na kurudi Sengerema Amina
Kwa maombi pamoja nawe ipo siku nitakuwa shujaa katika nchi yanguh na Dunia Kwa ujumla Kwa jina la yesu kristo Amina.
Asante mtumishi wa Mungu, somo linaeleweka barikiwa mtumishi
Shalom pastor, nabarikiwa sana na mafundisho, natamani sana niwe kama unavyofundisha mungu aniwezeshe naomba niombee
Asante kwa somo lako mchungaji naomba utuombee mimi na mke wangu tuweze kupata mtoto. Maana hatujafanikiwa kupata hata mtoto moja.
Mwenyezi Mungu ameshawapa haja ya mioyo yenu, fanyeni maombi mkisema Asante Bwana yesu kristo kwakuwa umetupa uzao tayari amen.
Naomba mtumishi Naomba uniombee nibarikiwe n.a. motto.
Ashukuriwe Mungu alieponya kupitia kwa mtumishi wake mmbaga
Amen Amen
Pastor,MUNGU aendelee kukutumia siku zote.Kwa kweli kupitia kwako, najifunza mengi.Uniombee,nisiendle kuwa
nyuma kimawazo
Mchungaji niombeeee nipate mchumba mwenye hofu ya mungu na mwanaume wa imani s.d.a Kwa umri wangu nimepitia changamoto nyingi kwenye uhusiano nahitaji kuwa na ndoa takatifu ifungwe kwenye mimbari ya wadventista wasabato ni imani yangu mchungaji nimepata mchumba na tutahama kutoka Sengerema na kurudi geita
Amen and Amen katika jina la Yesu.
Mchungaji Mimi naomba unisaidie kuomba tumetoka Sengerema na Kuja Geita mchungaji naomba unisaidie tuweze kurudi Sengerema kule ndiko mungu alikoweza kutubariki na kutuneemesha mambo yake huku mchungaji Geita sio kuzr afu nyumba inabaki pekee yake mchungaji naomba unisaidie kuomba turudi Sengerema
Mtumishi wa mungu nahitaji maombi Kwa familia yangu tuwe na Amani...
Mungu atendee muujiza
Amen
Ninabarikiwa jamaniii
Ubarikiwe mchungaji leo nimeelewa Mungu akubariki sana
Amen pasta tunabalikiwa sana
Ameen Ameen
Ameeene papa pasteur kwa mafundisho
Amen Wacha Mungu akutane Na haja ya Moyo wangu
Mungu akubariki zaidi mzungaji naendeleye kukupa hekima .mapenzi Ya mungu itimilike kwangu kulingana na maombi yako
Mchungaji mungu akubaluki sana uende mbali
God bless all
❤Ameeeeeeen
Pr BWANA asifiwe naitwa grace nipo katolo geita niombee BWANA anipe mume anaelicha jina lake
Mungu akubariki sana
Ameen asante sana
Naomba unisaidie maombi naumwa pumu na presha.
Mchungaji mhombee mama angu apone na aanze kazi tena
Mungu akubariki sana Mchungaji🙏
Amen amen
Ameen Mungu akuzuze sana
Mungu akutendee mema
Amen mtumishi 🙏
Kweli MUNGU anafanya muujiza kukupitia nimeyaona kabisa na ninashukuru sana Mungu
Mbaga nakosa pakucoment naomba namba nahitaji kuonana na ww mtumishi
WhatsApp +255 755 932 283
Amina kubwa
Pastor nitapataje hicho kitabu niko shinyanga
Mchungaji mhombee mama angu alikua vizuli tu lakin saivi Yuko kama kachanganikiwa hatujuh chanz nn
Amina
Kuna rafiki yangu anaitwa Judy ametafta mtoto na hapati TAFADHALI muombee
Barikiweni.
Pastor naomba ukanikumbuke Kwa maombi nipate kujenga nyumba yangu.
Bwana azidi kukulinda na kukuwezesha mchungaji
Hata nami niombee niwe na Imani.maanake nimeishi na fibroids Kwa miaka ishirini.Baba afungue umbo langu.
Waebrania 11:1,uwe na uhakika umepakata tayari ,fanya maombi ya kushukuru maana Mwenyezi Mungu ameshatenda tayari,Bwana amekupa aja ya moyo wako.
Pr nami niombee familia yangu imeishi na magongwa plz niombee
mchungaji naitwa marwa timas wa kitunda dsm naomba yako
Pastor naitwa Leticia John Baziwani naomba uniombe nipate kuwa na nguvu ya Roho Mtakatifu ili niweze kushinda majaribu ya ndoa yangu mme wa ni mkenya na amezamia huko natamani sana kuongeza mtoto ila yeye hataki kuja Tanzania na yeye hataki kunipeleka anakoishi Nairobi japo kwao ni migori
Amen mtumishi wa Mungu. Ningependa kupata namba yako pia. Kuna rafiki yangu hana mtoto kwa myaka 10.
Ila nimeongea naye na kumwambia pia utapata mtoto.Mungu halali.
Je hivyo vitabu tutazipata wapi Kenya?
Pr changamot yang kun mtt anaaguk mapep mtaan kwet ila anataj mtaa mzim nakunalet kutopatan mtaan tusaidie kuomb mung aingilie kat
Pasta naomba uniombe nipate muchumba
Na mimi naitaji kitabu, Niko nachinda sana nikiokoka tena najikuta narudi nyuma nimateso kwangu
Pastar hicho kitabu kinaitwaje
Ata mm nimejua burton ni ngani
Pr nafwatilia mahubir yak yana nitia moy na kun shid nawez be kupat namb yk
Niombee nipate mototo, na ubarikiwe pr.
Chungaji naomba uniombe kuhusu ndoa yangu na uchumi
Pasta bwana akubaliki ninabalikiwa sana na vipindi vyako naomba unikumbuke kwa maombi kila nikibeba mimba zinahalibika nasasa ninamimba tena hivyo naomba uniombee sana
Ninaomba unisaidie namba yako
One day I asked God for lunch while walking on the road then I saw money beside the road and another day I asked for my children mattress while I was walking on the road I saw a matress beside the road but I feared to pick
🎉❤😂
bwana asifiwe mutumishi nimebarikiwa sana naomba uniombe juu ya mama yangu alipotea Sasa ni miaka 13 sijui aliko. kama uko hai
Mungu atende
nsmba yako ya simu
Amen
Amen
Amina
Amen
Amen