MTOTO ALIYEMLIZA NABII MKUU APEWA MILIONI 2 NA SHANGAZI YAKE - GeorDavie TV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

Комментарии • 343

  • @user-wz7ke8td5k
    @user-wz7ke8td5k 6 месяцев назад +2

    Ubarikiwe baba katika kazi yako umewa nusuru ao wadda. Mugu akupe mayishamarefu uzidi kutunusuru uobeye nata ifakwa ujumura amani mugu aku bariki

  • @JuliusPaulo-zf4cr
    @JuliusPaulo-zf4cr 5 месяцев назад +1

    Mungu akupe maisha marefu na akuzidishie Roho ya kusaidia hivyo hivyo

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Год назад +30

    Uzuri wa huyu mwamba anarudisha kwenye jamii tofauti na Hawa wafanyabiashara za mafuta wao nikujilimbikizia mahela tu na famillia zao,Barikiwa sana mtumishi.

    • @magdalenapeter6106
      @magdalenapeter6106 Год назад

      Hazirudi Bure kaa ukijua hilo ndugu yangu

    • @mohammadkijana6618
      @mohammadkijana6618 Год назад

      Manabii walishapita na sasa tumebaki kizazi cha nabii muhammad so wanaowafuata wanaojiita manabii na kuwatukuza basi wajue wanawapiga vita manabii na Mwenyezimungu maana hakuna nabii aliyesema mungu ana mwana pia hakuna nabii aliyesema yeye ni mwana wa mungu isipokua walisema wao ni Mitume au wajumbe wa Mwenyezimungu

    • @mashalaizer3152
      @mashalaizer3152 Год назад

      Kweli

    • @MumtazKhan-tu4hz
      @MumtazKhan-tu4hz Год назад

      Kabisaaa

    • @tmaafrica5927
      @tmaafrica5927 Год назад

      Be blessed pastor what in you for seeing the talent of the child

  • @villancekeke2954
    @villancekeke2954 Год назад +3

    Nko Kenya mtumishi wa Mungu hata mimi umenitouch, una moyo wakuinua mtu na kile ako nacho mungu akubariki sana, natamani siku nyingine nifike Tanzania tuu niguse hayo madhabahu tuu , nibarikiwe

    • @SaidWaKonde
      @SaidWaKonde Год назад

      Ujingao madhambi hayafutwi na binadam mwenzak

    • @robertnyanje69
      @robertnyanje69 Год назад

      @@SaidWaKonde santhaaa🤣🤣

  • @user-gd9jf6pn4c
    @user-gd9jf6pn4c 6 месяцев назад

    Siku ya kwanza,,kukupata leo kwangu baba ubarikiwe sana ,,nifungue mim,niombe nyota yangu irudi baba natoka Kenya,,,nakupenda sana,,Mungu akubariki sana ,,AMEN.🎉🎉🎉

  • @Reverseumbetangie
    @Reverseumbetangie Год назад +4

    Huyu baba nimekuwa nikifuata kazi yako Mungu anaona...hapa kenya sijaona mtumishi anaye supoti waimbaji kama huyu...God bless you sir

  • @JAimeNtakarutimana
    @JAimeNtakarutimana 4 месяца назад

    Umebalikiwa sana Nabii Mukuru kwasapoti unao sapoti watotowako Yusu Azidi kukuweka juuu NABII MUKUU!

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 2 месяца назад

    Mungu akubariki pastor Geodavi🙏

  • @rehemaSanga-p3g
    @rehemaSanga-p3g 21 день назад

    Unatisha baba mungu aendelee kukuinua zaidi

  • @user-do2sx6sc8h
    @user-do2sx6sc8h Год назад

    Mungu akutunze mtumish,,ila jambo kubwa,anayekusifu ww usikubali hizo sifa,mara moja anazitamka kwako nawe umpe hizo zifa Mungu,,kwan syo ww bali ni Mungu mwenyewe ndan yako,,,,watumish wengi wamekufa kimwili hata kiroho kwa kosa lakupokea sifa za Mungu kama Mungu,,,barikiwa sana zaid

  • @edwindaniel7306
    @edwindaniel7306 Год назад +3

    Amen kati ya manabii nimeweza ona huyu ndo nabii wa kwanza anayetoa majibu ya kweli

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu106 11 месяцев назад

    Naomba maobezi ya biashara yanga yaspare zamangari zikuwe famili yanga uchum afya nyumban watoto wangu shule tupate ada Kwa jina la YESU christo amen baba 🙏🙏🙏🙏🙏👏🙏🙏🙏🙏

  • @user-wz7ke8td5k
    @user-wz7ke8td5k 6 месяцев назад

    Binada muwanameji wegiwa oha wanama ono umeza riwanimutumishi usijari yabinadamu❤

  • @josephakure6743
    @josephakure6743 Год назад +3

    Sifa na utukufu zimwendee Yesu Kristo.Amen

    • @mutekulwadavid2585
      @mutekulwadavid2585 Год назад

      mungu yopo mbinguni tumsifu yeye alie iumba mbingu na nchii

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Год назад +3

    Wewe mchngaji unadhamini wanadamu wote kwa moyo wa dhati kabisa bila kujali utofati wa dini mungu akuongeze kila itwayo leo

  • @josephitangishaka960
    @josephitangishaka960 Год назад +2

    Baba YANGU NABII MKUU GEARDAVIE Mungu Awabariki Sana. Apostle Joseph Itangishaka Burundi Gitega capital poritike nagupenda tena nagufuata Sana 10/10

    • @mohammadkijana6618
      @mohammadkijana6618 Год назад

      Manabii walishapita na sasa tumebaki kizazi cha nabii muhammad so wanaowafuata wanaojiita manabii na kuwatukuza basi wajue wanawapiga vita manabii na Mwenyezimungu maana hakuna nabii aliyesema mungu ana mwana pia hakuna nabii aliyesema yeye ni mwana wa mungu isipokua walisema wao ni Mitume au wajumbe wa Mwenyezimungu

  • @jovinjoseph1438
    @jovinjoseph1438 Год назад +6

    Nakupenda sana nakuitaji sana 🙏🙏🙏🙏

  • @dedenegele4996
    @dedenegele4996 Год назад +2

    Nampenda sana Nabii Geerdev
    Sema sina uwezo ningetoa zawadi ila basi Mungu namuachia kwake Amen

  • @greysongodlisten7118
    @greysongodlisten7118 11 месяцев назад

    Ubarikiwe mtumishi

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 Год назад +7

    Nabii hakika Mungu azidi kuwa mbele yako katika shughuli zako zote

  • @furahajastin8649
    @furahajastin8649 Год назад +4

    God bless you papa niombee milango yangu ya mafanikio.Mungu akuzidishie mafuta mabichi.

    • @esthercharo827
      @esthercharo827 11 месяцев назад

      Hutaki mafuta ya kuiva😂😂😂😂

  • @elisanteqamdu
    @elisanteqamdu Год назад

    Hatumsifii mwanadamu tunadanganywa hapo only GOD is the one who receive praise mwamini mungu siyo nabii

  • @user-gd9jf6pn4c
    @user-gd9jf6pn4c 6 месяцев назад

    Mungu abariki baba wetu,,love from Kenya

  • @Emmanuel-b4g1n
    @Emmanuel-b4g1n 2 дня назад +1

    Huyu ndo mmoja wa wale mpinga Kristo 😢

  • @magrethmvwango2682
    @magrethmvwango2682 Год назад +5

    Ameni mungu awe pamoja nawe🙏🙏

  • @user-sc5en5bi6v
    @user-sc5en5bi6v 7 месяцев назад

    Jambo mutumichi wa mungu nakupendaka sana ni pasteur mugisho manegabe jean kutoka Congo

  • @karimumohamedi5421
    @karimumohamedi5421 Год назад

    Mtumishi Jo dev ubarikiwe mtumishi wa mungu

  • @elizabethdeus7923
    @elizabethdeus7923 Год назад +6

    Akuna lishindikanaro kwa mungu 🙏

  • @user-gq9fe6dn2c
    @user-gq9fe6dn2c 3 месяца назад

    Ubarikiwe sana mtumishi naomba uduma ya maombi

  • @glaury9938
    @glaury9938 Год назад

    Hata mimi ninaamini wewe ni mtumishi wa mungu alie hai nashukuru kwa upendo uko nao nimelia by glory mayotte france

  • @franciscakija1702
    @franciscakija1702 Год назад +2

    Mungu akisema ndiyo, hakuna wa kumpinga

  • @marrykilyenyi8573
    @marrykilyenyi8573 Год назад +2

    Safi Sana Mtumishi kwakusaidia watu ,kwakwer mi nabarikiwa ,huangalii sura Wala kabila ,Mungu akuinue

  • @samwelmsongoa1861
    @samwelmsongoa1861 Год назад +2

    Baba naomba million moja ninashida

  • @AbelSM254
    @AbelSM254 Год назад +5

    Blessed is the hand that given. More blessings flow to you our spiritual father . A good example to other pastors

  • @henrymaile1121
    @henrymaile1121 Год назад

    Mungu akubarik baba yaan natamani sana kuja ikulu kwa mfarume namuomba mungu anipe uwezo mbaka nifike nimuone baba 2

  • @BishopEyanae
    @BishopEyanae 22 дня назад

    Ubarikiwe

  • @bonifacedeljaykay1221
    @bonifacedeljaykay1221 Год назад +4

    Wimbo huu umeniguza kwa kweli... Tuna Imani na ww GDV. Hallelujah

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Год назад

      ,😳

    • @rozinzowa2426
      @rozinzowa2426 Год назад +1

      Naitwa rose Niko mbeya kiukweli namimi nakuamini baba nakufatilia Sana baba endelea kupiga mwingi

    • @rozinzowa2426
      @rozinzowa2426 Год назад

      Tunaimani Naye

  • @Foma-Tz
    @Foma-Tz 8 месяцев назад

    Mungu asifiwe

  • @officialcolofindo19
    @officialcolofindo19 10 месяцев назад

    MUNGU amekuleta kwenye maisha yetu kwa MAKUSUDI

  • @florenceakinyi56
    @florenceakinyi56 Год назад

    Shalom Baba naomba kujiunga na maombi yako asante

  • @user-xt8qy8ci5s
    @user-xt8qy8ci5s 11 месяцев назад

    Good Bless you

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo279 11 месяцев назад

    Ubarkiwe baba Yetu ❤ Nakupenda savabu unajali Sana shida zawatu

  • @talentedboys-tv1507
    @talentedboys-tv1507 Год назад +2

    Alooo this is supremely owesome🤝🤝🤝man of God ur more than wow.....wenye povu liwatokeee

  • @mrnickmusician7139
    @mrnickmusician7139 Год назад +2

    amen mtumishi wa Mungu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏

  • @karimumohamedi5421
    @karimumohamedi5421 Год назад

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa huduma mungu akubariki sana

  • @Ghislain-yl9qh
    @Ghislain-yl9qh 4 месяца назад

    Asante mtumishi,ila kwangu mimi ni na ulizo Baba, nataka nijuwe kabla ujakuwa nabii ulikuwanarndesha kazigani??,pili.naitati niwe naku nuowa kipara,yaani mimi ni kinyozi.sikumoja nikuone nikutach,.ninasababu fulani .siitaji hela ama milioni.ila nina malengo fulani.❤

  • @amanisaid9863
    @amanisaid9863 Год назад +2

    Mimi nakuita mwamba,,safiii sanaaa nakukubari sana

  • @josephfrances1447
    @josephfrances1447 Год назад

    Mtumishi wa Mungu hakika mimi nimekbar wewe siyo siyo mbinafsi tena hata siku nikifika kanisan kwako nikatoa sadaka yangu nitajivunia sana Kwan inarud Kwa jamii isiyojiweza, Sasa hapa ndo unampa Mungu sadaka🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @mohammadkijana6618
      @mohammadkijana6618 Год назад

      Manabii walishapita na sasa tumebaki kizazi cha nabii muhammad so wanaowafuata wanaojiita manabii na kuwatukuza basi wajue wanawapiga vita manabii na Mwenyezimungu maana hakuna nabii aliyesema mungu ana mwana pia hakuna nabii aliyesema yeye ni mwana wa mungu isipokua walisema wao ni Mitume au wajumbe wa Mwenyezimungu

  • @annajohn419
    @annajohn419 Год назад

    Ee. Mungu tusaidie sana

  • @davidmj8166
    @davidmj8166 Год назад +2

    Wimbo umenigusa 👏👏👏👏🙏🙏🙏💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿🇺🇸🇺🇸

  • @VivianMakange
    @VivianMakange Год назад

    Mungu akupe maisha marefu baba.

  • @yasinidicole4171
    @yasinidicole4171 Год назад

    Mungu ni mwema sana kbs🔥🔥🔥

  • @geoffreytheprincemwimbaji9343
    @geoffreytheprincemwimbaji9343 Год назад +2

    Kuna wimbo wangu ningependa. Pia utasame" TUTASIMAMA..
    TUTASIMAMA SONG ndio my best TRENDING SONG.. nisapoti

  • @Bedamamwinji
    @Bedamamwinji Год назад

    Only Mungu asifiwe si Binadamu

  • @user-cf3go3sv8z
    @user-cf3go3sv8z 4 месяца назад

    Amen baba

  • @acrrehteacher4230
    @acrrehteacher4230 Год назад

    Baba mungu akubariki na akujalie maisha marefu ili utuvushe kondoo wako

  • @MikeLiroko
    @MikeLiroko 11 месяцев назад

    Mungu atupe uokofu

  • @kerenkanini9246
    @kerenkanini9246 Год назад

    Aliye kuita katika huu ufalme ni mungu nakupitia kwako wengi tumebarikiwa wengi tumeponywa na mungu.

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 Год назад

    Shetani anainua watu washidane na Yesu. Ili jina la Yesu lisisikike..lisikike la wanadam wengine. Anajua kabisa Jina la Yesu likisikika sana ni anguko lake.

  • @Eunicemakokha-gc9ss
    @Eunicemakokha-gc9ss 6 месяцев назад

    Wimbo ya baraka Tele kwa mteule WA mungu

  • @gatimakonge8678
    @gatimakonge8678 Год назад

    🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️💘💘💯💯🙏🙏🙏🙏🙏 nimekuelewa vizuri Sana 🙏💯 Mwenyezi Mungu Aendelee kukutunza

  • @karimpasclee4043
    @karimpasclee4043 11 месяцев назад

    Ubarikiwe sana 🙏 baba

  • @Jehovarohiband
    @Jehovarohiband 8 месяцев назад

    Matayo 24:24 tuwe makini sana yesu kashasema

  • @maryminya
    @maryminya Год назад

    Hongren

  • @TuelewaneSemahoro
    @TuelewaneSemahoro 6 месяцев назад

    Mutumishi wa Mungu nakuomba unikubalie vifungo vilivyo juu yangu vitoke kukataliwa nawatu niwe mtukama wengine.

  • @johnayub7694
    @johnayub7694 9 месяцев назад

    Aisee huyi nabii ❤

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven4634 Год назад +2

    Yesu akubariki

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Год назад +2

    Savi sana

  • @jordankikoti1045
    @jordankikoti1045 4 месяца назад

    Unzr huyu anaishi na jamii so mwingine Kila wimbo anaona dhambi na huu ndo unabii wa kwel,Yesu mwenyewe aliishi na Kila jamii

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 11 месяцев назад

    Kwa nn tusiwe na Imani na mungu kuliko binadamu

  • @MariaJoseph-sr2le
    @MariaJoseph-sr2le 8 месяцев назад

    Poleni sana mungu ni mwema

  • @jamilankaya6825
    @jamilankaya6825 Год назад +1

    Ni kweli kabisa. Uimbiwe angalia upo hai uko sahihi nabii mkuu mungu azidi kukufungulia kibali cha imani

    • @fettsamri3835
      @fettsamri3835 Год назад

      Anapatikana wapi ata chaneli gani nimfatilie

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 Год назад +1

    Kiukwel mm mwenyewe nimeupenda Sana huo wimbo hd upigaj wa kinanda

  • @kevindaud9069
    @kevindaud9069 Год назад

    Asante sana baba

  • @r0semaryabuga434
    @r0semaryabuga434 Год назад

    Asante nabii wa mungu nisaidie nami kwa watoto wawili sina uwezo asante

  • @emerecianawumbe2044
    @emerecianawumbe2044 Год назад +15

    Kuzimu inakusifu kwa kupoteza wengi ukiwapoteza kwa fedha za kuzimu moto huko mbele yako.....

    • @salimkingu2108
      @salimkingu2108 Год назад +1

      We ndo taira kweliii wap umeona emeandikwa fedha ya kuzimu

    • @annamariamakula3853
      @annamariamakula3853 Год назад

      Afadhali huyu anayerudiaha kwa jamii wengine hawajui hata shida za jamii wananenepesha account zao tu.

    • @barikingowo1052
      @barikingowo1052 Год назад

      Kiukweli wewe ndo shetani na maana nikikuuliza kwann unamchukia huyu Baba utasema nini?

    • @JanethMoheli-jt6cy
      @JanethMoheli-jt6cy 11 месяцев назад

      Tunaimani na mungu wetu

    • @FrankShafani
      @FrankShafani 11 месяцев назад

      hiyo ni.kweli.kabisa ndugu anae pasa kusifiwa ni.mungu.

  • @lovenessaron2669
    @lovenessaron2669 Год назад +2

    Wimbo ni mzuri sn hadi umenisisimua ♥️😍👌🔥🔥🔥

  • @paulandrew9965
    @paulandrew9965 Год назад +2

    HALELUYA

  • @didiermusimbipeter
    @didiermusimbipeter 9 дней назад

    Katika wanabii wewe ni nabii sababu pesa zako siyo zakujionesha Ila naona kila Mara zina Saidia wengi nakuwasapoti , unaye mtumikiya awe mbele Yako kila Léo NABII MKUHU natowa maoni aya nikiwa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @nurumollel5988
    @nurumollel5988 3 месяца назад

    Amen

  • @RhodaMary
    @RhodaMary 2 месяца назад

    Nintap that anointing from Kenya

  • @enockhanry9303
    @enockhanry9303 Год назад

    Amina

  • @BarakaCostantine
    @BarakaCostantine 2 месяца назад

    Amiina

  • @hadijamatunda3691
    @hadijamatunda3691 Год назад

    Nakupenda Nabii mkuu balozi wa amani

  • @janenkata6290
    @janenkata6290 Год назад +2

    Amen Mungu akubariki sana

  • @peterjohn7613
    @peterjohn7613 Год назад +2

    Wachungaji wengine wanakamua hela za waumini lakini wewe unawabariki watu kwa pesa, hongera kwa kutoa

  • @magdalinamwikali7251
    @magdalinamwikali7251 Год назад

    Mungu hakubariki na hakubariki huyo mtoto

  • @mamy8220
    @mamy8220 Год назад

    Wimbo mzuri baba asante

  • @kenmurithi6367
    @kenmurithi6367 Год назад

    Amen pia yangu istawili

  • @EsterShirima-vr7cv
    @EsterShirima-vr7cv 11 месяцев назад

    Mtumishi tunapokea upako wako kwajina la yesu

  • @apynesnzisa5045
    @apynesnzisa5045 Год назад

    🙄🙄🙄eti mna Imani na na binadamu😢 yesu ndie utumia mtu kuondoa mapepo...
    God have mercy upon us😢
    Nyie, mlikuwa mwataka hela semeni ivyo tuu, acheni kutuzengua....
    Mwenye tuna Imani nae ni mungu tuu, juu yeye ndio pumzi yetu🙏🙏🙏

  • @user-gs2dj5hw2u
    @user-gs2dj5hw2u 10 месяцев назад

    Mungu akiamua kukuinua akunaanaeweza kupinga

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 Год назад +5

    Namm naomba milion moja baba nashida Sana Sana 😭😭

  • @amoskilekwa7780
    @amoskilekwa7780 Год назад +2

    Je écouter votre production n'a bi

  • @MondesWilson-jr7rr
    @MondesWilson-jr7rr 10 месяцев назад

    🙏🙏

  • @wellofblessings.prgamaya1998
    @wellofblessings.prgamaya1998 Год назад +1

    Mungu aliye mwingi wa neema na atufunue macho ya kiroho kujua namna ulimwengu unavyofumba kujua ajenda ya Mwovu kupitia makutano haya

    • @salimkingu2108
      @salimkingu2108 Год назад

      Macho yako
      Tu mwili hayaon hayo koroho utayafunuaje?

    • @wellofblessings.prgamaya1998
      @wellofblessings.prgamaya1998 Год назад

      @@salimkingu2108 Samahani, nafikiri haina haja ya kujibizana. Kama wewe umefumbuliwa basi na ufuate kile ambacho Unaamini. Barikiwa

    • @agnesngugi6973
      @agnesngugi6973 Год назад +1

      Should they sing for you or to Jesus. brethrens open your eyes and know it's end times Jesus is coming soon

  • @user-xt8qy8ci5s
    @user-xt8qy8ci5s 11 месяцев назад

    MUNGU akutunze Baba NABII MKUU DR GEORDAVIE Balozi wa AMANI UISHI Miaka Mingi

  • @emmanuelbalume4088
    @emmanuelbalume4088 7 месяцев назад

    Tunaitaji kanisa ya NABII MKUU ifunguliwe hapa congo ,Goma town

  • @ZawadiUlambo-ww8xw
    @ZawadiUlambo-ww8xw Год назад +2

    Jamana Jaman tutende dhambi ila tukumbuke kuwa Kuna mungu juu mbinguni tuxhike neno la mungu takatifu🙏

  • @stephenngala1048
    @stephenngala1048 7 месяцев назад +1

    glory to God not fellow human beings