Mimi nilidhani somo la Democrasia na Uzalendo lianze kufundishwa kuanzia ngazi ya shule za msingi, kwa kumaanisha. Ni Kazi sana kumuelewesha MTU aliyekomaa akakuelewa, tukianza na watoto itatusaidia. Watu wanakazi ya kupinga Kila jambo lisemwalo na viongozi, liwe Nzuri wanapinga Tu!
unajua ni vigumu, sana africa kuhusu democras, watu wanaona fahari mpinzani ambaye anapinga tu,naona coment nacheka wanataka upinzani wa akina, lema africa inahitaji utawala,
KAMA NJAA YA MBOWE ALIVYOLIKARIBISHA FISADI LOWASSA CHADEMA KUUA UPINZANI. "NILITAKA KUSIMAMISHA MRADI WA RICHMOND/DOWANS LIKINI NILIPATA AMRI KUTOKA NGAZI ZA JUU KUENDELEA NA MRADI" vs " MRADI WA RICHMOND/DOWANS ULIKUWA MZURI KIASI CHA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MAREKANI( HILLARY CLINTON) KUJA KUZINDUA MRADI," FISADI LOWASSA.
NA BADO WATALITEUA TENA KUGOMBEA URAISI HALAFU LITASHINDWA KWA % KUBWA ZAIDI KULIKO LILIVYOSHINDWA 2015. BAADAYE WATATIA AKILI KWAMBA BABA WA TAIFA , MWL. NYERERE ALIKUWA SAHIHI KULIKATAA KUGOMBEYA URAISI!! HAHAHAHAHHAHA!!!!!
Mimi nilidhani somo la Democrasia na Uzalendo lianze kufundishwa kuanzia ngazi ya shule za msingi, kwa kumaanisha. Ni Kazi sana kumuelewesha MTU aliyekomaa akakuelewa, tukianza na watoto itatusaidia. Watu wanakazi ya kupinga Kila jambo lisemwalo na viongozi, liwe Nzuri wanapinga Tu!
Duuuhhhh zito we htr umebadilika tena hahahhaha kweli kunavinyonga w2
Huyu jamaa mnafiki sana
Genius uyo ww
yuda yuda yudaaasssss
hahahahahahaahahahahhaa Zitto bwana>> na huyo ndo zitto wa ACT ambayo watanzania tunaamini ni chama cha ukombozi>>>> #kaufyataMkia
ulitaka aikosoe serikali
Nakuomba zito urudi bungeni maana unasema kwa hekima zote
Hilo ndio tatzo lako zitto umekua nimtu usie na msimamo wewe ndio msaliti wetu unakula kote kote dhambi yako itakutafuna
Umeonaeeee mbaya uyooooi anamtafuna rais wetu chini kwa chini uzuri watanzania tumeisha mjua ccm oyeeeeeee
Siasa bwana hahhahahahahah
Unatembea na unafiki wako we Ni hatari sana
Afrika bora wazungu wangeendelea kututawala tu tungekuwa mbali..
Kweliiiiiiii
Kweli tunataka maendeleo....
On point
Hu yo ndy uzarendo tunao utaka penye mazuri sifia ,,japo unamabaya yako
yuda tu mbona hiyo haitishi huyo ni mnafki
kigoma unga bei gani watu wanashindia pipi kutwa mzima
Manywele Theboss kigoma ya wap hyo wanashindia pipi
Labda wew ndy unashindia pipi sisi tunakula kutwa Mara tatu ukiwa mvivu kweli utashindia pipi
@@selemaninkiko5714 muongo huyo jamaaa ndy wasaliti wenyewe hao
Tuelewe maana ya siasa hawaeleweki
yuda escariot
Mnafki
rahaaaa
Hata ujipendekeze hupati kura yang
😂😂😂😂😂😂magu anatamani amtie risasi zitto
Hahaha kumbe na ww umeliona hilo
🤣🤣🤣
AYO umebinya leo si kawaida yako kulikoni jembe langu mtu wangu wa nguvu
unajua ni vigumu, sana africa kuhusu democras, watu wanaona fahari mpinzani ambaye anapinga tu,naona coment nacheka wanataka upinzani wa akina, lema africa inahitaji utawala,
Wataelewa tu siku moja Rais anamaanisha nini, Badala ya kupima maendeleo, watu wanapimanisha vyama. Democrasia haiko hivyo.
Shobo tupu
Saida kslor
Maendeleo ya kigoma yanaletwa na chama Cha CCM
Nyoo ata wengne hatukijui
zitto kabwe the best good leader magufuli mfikilie na zito kumpa uongoz
yuda iskariote upo umekonda mbyaa au sio mbunge
ACT kwishenei hamna chenu tenaaa
yuuuuuuuuda hiyo!!
Hapo sio bunge lazima aongey hivyo awezi kumzalilisha rais mbele ya uma
Kigeugeu mtoto wewe ila wewe ni muislamu itakugarimu tu kwa unafiki wako, utavuna ulicho panda
Njaaaaaa
KAMA NJAA YA MBOWE ALIVYOLIKARIBISHA FISADI LOWASSA CHADEMA KUUA UPINZANI. "NILITAKA KUSIMAMISHA MRADI WA RICHMOND/DOWANS LIKINI NILIPATA AMRI KUTOKA NGAZI ZA JUU KUENDELEA NA MRADI" vs " MRADI WA RICHMOND/DOWANS ULIKUWA MZURI KIASI CHA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MAREKANI( HILLARY CLINTON) KUJA KUZINDUA MRADI," FISADI LOWASSA.
Mwenyekiti alishaondoka, he will be the next to. Go.
NA BADO WATALITEUA TENA KUGOMBEA URAISI HALAFU LITASHINDWA KWA % KUBWA ZAIDI KULIKO LILIVYOSHINDWA 2015. BAADAYE WATATIA AKILI KWAMBA BABA WA TAIFA , MWL. NYERERE ALIKUWA SAHIHI KULIKATAA KUGOMBEYA URAISI!! HAHAHAHAHHAHA!!!!!
ZITO ANATIA AIBU KIKWELI