Kitu Zitto Kabwe ameongea mbele ya Rais Magufuli Kigoma

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 июл 2017

Комментарии • 48

  • @safari20091
    @safari20091 7 лет назад +2

    Mimi nilidhani somo la Democrasia na Uzalendo lianze kufundishwa kuanzia ngazi ya shule za msingi, kwa kumaanisha. Ni Kazi sana kumuelewesha MTU aliyekomaa akakuelewa, tukianza na watoto itatusaidia. Watu wanakazi ya kupinga Kila jambo lisemwalo na viongozi, liwe Nzuri wanapinga Tu!

  • @cheobaking1861
    @cheobaking1861 4 года назад +2

    Duuuhhhh zito we htr umebadilika tena hahahhaha kweli kunavinyonga w2

  • @tobokingeleja9555
    @tobokingeleja9555 4 года назад +3

    Huyu jamaa mnafiki sana

  • @michanomichano4931
    @michanomichano4931 7 лет назад +5

    yuda yuda yudaaasssss

  • @MakoyeAman
    @MakoyeAman 7 лет назад +3

    hahahahahahaahahahahhaa Zitto bwana>> na huyo ndo zitto wa ACT ambayo watanzania tunaamini ni chama cha ukombozi>>>> #kaufyataMkia

  • @gapablessgadison6863
    @gapablessgadison6863 2 года назад

    Nakuomba zito urudi bungeni maana unasema kwa hekima zote

  • @daktar_kapaku_natural529
    @daktar_kapaku_natural529 4 года назад +2

    Hilo ndio tatzo lako zitto umekua nimtu usie na msimamo wewe ndio msaliti wetu unakula kote kote dhambi yako itakutafuna

    • @janethmrishi5370
      @janethmrishi5370 3 года назад

      Umeonaeeee mbaya uyooooi anamtafuna rais wetu chini kwa chini uzuri watanzania tumeisha mjua ccm oyeeeeeee

  • @jesusnetworkministry
    @jesusnetworkministry 4 года назад +1

    Siasa bwana hahhahahahahah

  • @fatumamaiga8496
    @fatumamaiga8496 3 года назад

    Unatembea na unafiki wako we Ni hatari sana

  • @stevenseleli1410
    @stevenseleli1410 7 лет назад

    Afrika bora wazungu wangeendelea kututawala tu tungekuwa mbali..

  • @mnayahika8890
    @mnayahika8890 7 лет назад +1

    Kweliiiiiiii

  • @selemaninkiko5714
    @selemaninkiko5714 7 лет назад

    Kweli tunataka maendeleo....

  • @edsonmwaibanje129
    @edsonmwaibanje129 7 лет назад

    On point

  • @janethmrishi5370
    @janethmrishi5370 3 года назад

    Hu yo ndy uzarendo tunao utaka penye mazuri sifia ,,japo unamabaya yako

  • @merrysabina7798
    @merrysabina7798 7 лет назад

    yuda tu mbona hiyo haitishi huyo ni mnafki

  • @manyweletheboss6053
    @manyweletheboss6053 7 лет назад +3

    kigoma unga bei gani watu wanashindia pipi kutwa mzima

    • @selemaninkiko5714
      @selemaninkiko5714 7 лет назад

      Manywele Theboss kigoma ya wap hyo wanashindia pipi

    • @janethmrishi5370
      @janethmrishi5370 3 года назад

      Labda wew ndy unashindia pipi sisi tunakula kutwa Mara tatu ukiwa mvivu kweli utashindia pipi

    • @janethmrishi5370
      @janethmrishi5370 3 года назад

      @@selemaninkiko5714 muongo huyo jamaaa ndy wasaliti wenyewe hao

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 3 года назад

    Tuelewe maana ya siasa hawaeleweki

  • @lutusammid571
    @lutusammid571 7 лет назад +1

    yuda escariot

  • @ccmmbweawajangwani3505
    @ccmmbweawajangwani3505 4 года назад +2

    Mnafki

  • @radhiasalum833
    @radhiasalum833 7 лет назад +1

    rahaaaa

  • @emmydzoo8729
    @emmydzoo8729 4 года назад

    Hata ujipendekeze hupati kura yang

  • @purryselestine4000
    @purryselestine4000 6 лет назад +1

    😂😂😂😂😂😂magu anatamani amtie risasi zitto

  • @halimambwego8287
    @halimambwego8287 7 лет назад

    AYO umebinya leo si kawaida yako kulikoni jembe langu mtu wangu wa nguvu

  • @daudimaguha9447
    @daudimaguha9447 7 лет назад

    unajua ni vigumu, sana africa kuhusu democras, watu wanaona fahari mpinzani ambaye anapinga tu,naona coment nacheka wanataka upinzani wa akina, lema africa inahitaji utawala,

    • @safari20091
      @safari20091 7 лет назад

      Wataelewa tu siku moja Rais anamaanisha nini, Badala ya kupima maendeleo, watu wanapimanisha vyama. Democrasia haiko hivyo.

  • @stanleyshedrack2386
    @stanleyshedrack2386 7 лет назад +1

    Shobo tupu

  • @petershuma1896
    @petershuma1896 6 лет назад

    Saida kslor

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo8010 3 года назад

    Maendeleo ya kigoma yanaletwa na chama Cha CCM

  • @tripple_jonline5741
    @tripple_jonline5741 7 лет назад +1

    zitto kabwe the best good leader magufuli mfikilie na zito kumpa uongoz

  • @davidmtwigu4996
    @davidmtwigu4996 7 лет назад +5

    yuda iskariote upo umekonda mbyaa au sio mbunge

  • @simonmajigop5890
    @simonmajigop5890 7 лет назад

    ACT kwishenei hamna chenu tenaaa

  • @ahmedmtani9428
    @ahmedmtani9428 5 лет назад

    yuuuuuuuuda hiyo!!

  • @mmungalubunga4404
    @mmungalubunga4404 4 года назад

    Hapo sio bunge lazima aongey hivyo awezi kumzalilisha rais mbele ya uma

  • @khatibumwalimu591
    @khatibumwalimu591 4 года назад

    Kigeugeu mtoto wewe ila wewe ni muislamu itakugarimu tu kwa unafiki wako, utavuna ulicho panda

  • @ghtnimzee2417
    @ghtnimzee2417 7 лет назад

    Njaaaaaa

    • @godfreymbwambo4460
      @godfreymbwambo4460 7 лет назад +1

      KAMA NJAA YA MBOWE ALIVYOLIKARIBISHA FISADI LOWASSA CHADEMA KUUA UPINZANI. "NILITAKA KUSIMAMISHA MRADI WA RICHMOND/DOWANS LIKINI NILIPATA AMRI KUTOKA NGAZI ZA JUU KUENDELEA NA MRADI" vs " MRADI WA RICHMOND/DOWANS ULIKUWA MZURI KIASI CHA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MAREKANI( HILLARY CLINTON) KUJA KUZINDUA MRADI," FISADI LOWASSA.

    • @ghtnimzee2417
      @ghtnimzee2417 7 лет назад

      Mwenyekiti alishaondoka, he will be the next to. Go.

    • @godfreymbwambo4460
      @godfreymbwambo4460 7 лет назад +2

      NA BADO WATALITEUA TENA KUGOMBEA URAISI HALAFU LITASHINDWA KWA % KUBWA ZAIDI KULIKO LILIVYOSHINDWA 2015. BAADAYE WATATIA AKILI KWAMBA BABA WA TAIFA , MWL. NYERERE ALIKUWA SAHIHI KULIKATAA KUGOMBEYA URAISI!! HAHAHAHAHHAHA!!!!!

    • @emmanuelluoga46
      @emmanuelluoga46 7 лет назад +1

      ZITO ANATIA AIBU KIKWELI