Azam TV - JPM azungumzia sakata la elimu ya Makonda
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Rais John Magufuli, pamoja na kelele zinazopigwa na baadhi watu kuhusu elimu ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, yeye hashughuliki nazo kwakuwa anachoangalia ni namna kiongozi huyo anavyopambana na dawa za kulevya.
Mwenyezi mungu akulinde Rais wetu
Tutakuku mbuKA JPM SANA MUZEE WETU
Kazi ilikuwepo...
Tena sio ndogo.
Magufuli oyee!!
Je walimu na watumishi wengine hawakuwa wazalendo!!!!!!!!!
Tutakukumbk daima
it happens just once rest in peace our President John Pombe Magufuli
Sasshv hawatak kufanya Kaz wanasema pesa hakuna
Dunia ya leo tunahitaji wasomi, tuache ujanja ujanja
44
Rip
Mwamba uliogoma kuanguka
mazinge
Mwamba