MAZITO: "NIPO TAYARI KUPELEKWA POPOTE" WAKULIMA WACHARUKA STAKABADHI GHALANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 8

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Месяц назад +4

    hawa wote ni ccm ,,ccm ninyoosheee hawa mpaka wanyeee mavi ya mbuzi

  • @user-eh5fw5gj4c
    @user-eh5fw5gj4c Месяц назад +3

    Afu hawahawa badae wanaipigia kura ccm

  • @HeriMohamedi-re7xu
    @HeriMohamedi-re7xu Месяц назад +2

    Kinachowasumbua watanganyika ni elimu wanajua kushangilia smba n'a yanga hawajui Maisha ya watu ccm nikomesheeni watanganyika Zanzibar hoyee

  • @LovelyFishingRod-ij7mk
    @LovelyFishingRod-ij7mk Месяц назад

    Shida sio wapiga kula shida bao la mkono

  • @NixonJohnson-r4m
    @NixonJohnson-r4m Месяц назад

    Eti bashe nitapeli wa kisomali .. .nchi imepoteza mwelekeo kuongozwa na mwanamke tukome jamani ... marekani mpka raisi wa 45 hawajawahi kuweka jike kuongoza dume

  • @reubenbegashe2372
    @reubenbegashe2372 27 дней назад

    Hatutaki mfumo huo , tunalima kwa shida leo mtupangie pakuhuza , kama mnataka kununua mbaazi toeni pesa na sio maneno, mkulima anauza mazao yake apeleke Mtoto shule nyie mnatoa karatasi

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Месяц назад

    serekali ya mhesh SAMIA SULUHU HASAN ni nyenyekevu hao wanaowatisha wakulima ni madalali si watendaji wa serekali,!!

    • @piussogoye
      @piussogoye Месяц назад

      dalal kala na viongozi wa mkoa, kiongozi mwenye nafas ya kumtumikia mwananchi anatumiwa na wafanyabiashara kumyonya mkulima kwa kuanzisha mifumo kandamiz kama stakabadhi galani ili hali mkulima kipind cha kulima hakupariwa eneo la kulima, maji, jembe, mbelea na madawa.