MAGUFULI AWAIMBISHA WANA KASULU, KIGOMA, LEKA DUTIGITE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Mgombea Urais na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt.John Pombe Magufuli amewaimbisha wakazi wa Kasulu wimbo wa Kigoma Lekadutigite ulioimbwa na wasanii wazawa wa Kigoma Dutigite-Kigoma All Stars -Abdu kiba, Baba Levo, Banana Zorro, Chege, Diamond plantimuz, kigoma all stars, Leka Dutigite, Linex, Makomando, Mwasiti, Ommy dimpoz, Queen Darling, Rachel, Zitto Kabwe, Tudd Thomas, Razak4D.

Комментарии • 93

  • @gynae8407
    @gynae8407 4 года назад +7

    Dah! Wasafi mkovizuri mnaturushia matangazo yote fresh

  • @ezapesambili2130
    @ezapesambili2130 4 года назад +16

    Mh Jpm kumbe ulikuwa nyumban kigoma tumepishana mi niko Mwanza ila stokuangusha usjal

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 4 года назад +10

    Asante mungu sisi watu wakigoma wote ni CCM hilo wapinzan walijue.

  • @mwajumabakari3730
    @mwajumabakari3730 4 года назад +6

    Haya ndugu zangu waha hamjaniangusha 😘

  • @bihamihetobihamiheto7378
    @bihamihetobihamiheto7378 3 года назад +1

    Lah! Siyuwage kama Kigoma inaongeya Kirundi kama Warundi!! RIP Raïs Mukubwa🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @aminajuma2981
    @aminajuma2981 4 года назад

    Kigoma lekatutigite wishamba meneke❤❤❤❤❤❤❤🙏🏾🙏🏾🙏🏾🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @gracedelence9163
    @gracedelence9163 4 года назад +6

    Baba Lao inshallah baba inje hadi kivobbdo maana tunateseka makere uku ..... 🖐 tena

  • @gapablessgadison6863
    @gapablessgadison6863 Год назад

    Nitaendelea kusikiliza maneno ako,,*"RIP🙏🇹🇿

  • @alungatongoni3300
    @alungatongoni3300 4 года назад +1

    Je suis congolais et je soutiens ta candidature depuis Goma en RDC.

  • @mtimacharles2059
    @mtimacharles2059 4 года назад

    Nakupenda sa👍👍👍👍♥️♥️❤❤♥️♥️🌹🍎🌷🍉🙏🙏🙏🙏

  • @radjabugere3444
    @radjabugere3444 4 года назад

    Nakubari magufuri namba1

  • @faustinemavere1450
    @faustinemavere1450 4 года назад +1

    Huyo ndo magu bwana jamaa anaiga tu jpm Mungu akuzidishie umri na akulinde na kila baya

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 4 года назад

    Nampenda sana magufuri sana atakama mimi siyo mtanzaniya naming mkono magufuri oye

  • @victorales6089
    @victorales6089 4 года назад +3

    Kigoma daima God bless us

  • @japhetndobeji5278
    @japhetndobeji5278 4 года назад

    Chadema mpo hatutakibadae oo sijui kulazimeibiwa. Mnzionanyomi hizo

  • @makulaikuku6909
    @makulaikuku6909 4 года назад +2

    Asanteeeeen wanakigomaaaaaaaaaa😍😍😍😍😗😗😗

  • @radjabugere3444
    @radjabugere3444 4 года назад

    Namukubari magu yangu chukua

  • @robertterry8909
    @robertterry8909 4 года назад +2

    CCM chama lao Magufuli baba lao

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 4 года назад +18

    Magufuli kila anako pita ni mafuliko tunduna tu ilikua Kama hivi Lisu alichanganyikiwa mpaka akaanza kulopoka ooo nitamfunga magufuli oooo nitamfunga silo ooo nitamfunga mkuu wa mkoa ooo nitawashita kwenye mahakama ile sijui yanini.mwenzio magufuli kilasehemu anakuta watu anaongea pointi naisubili Sana 28/10/2020 uchaguzi huu utafumba watu vinywa haijawai tokea Tanzania na tunataka asiwepo wakukimbilia ubeligiji

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 4 года назад +1

      Lisu yeye ni kulalamia kura kabla hata hazijapigwa

  • @mwambarock3696
    @mwambarock3696 4 года назад +2

    🤔🤔 home to home nime miss Sana vumbila vyumbani #kasulu ...mulakoze ....#ACT #CCM ... Kapita kwenye balabala ya #babalever...au ya #zittokabwe

  • @sarahamos8524
    @sarahamos8524 4 года назад +1

    Nampenda magufuli hadi nahisi kuumwa

  • @riemagwada3178
    @riemagwada3178 4 года назад +7

    Mbona mangufuli anajaza watu wengi takini aongei mabaya Kama tundu lissu Wala atukani

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 4 года назад +10

    Zitto ameona maporomoko ya watu hayo...👀👀👀

    • @adeusaugustino4851
      @adeusaugustino4851 4 года назад

      Wengi wamefata wasanii hapo hawajaimba boe ZITTO uku kama habanduki iz like our president hana mpinzani

    • @Tiffany340
      @Tiffany340 4 года назад +1

      @@adeusaugustino4851 kwani zitto wasanii hawajui nayy awalipewaende kwake.. hovyo sanduku la kura litawasibisha zaidi Kama mnavyoaibishwa kwenye mkutano yenu.. mwenzenu kila anapokanyaga si njiani,si viwanja vya Moira.. wanakulifind nyie..fyofyofyoo

    • @Johnmasanja27
      @Johnmasanja27 4 года назад

      @@adeusaugustino4851 angalia ile clip wanaonyesha bango la zitto akishuka kwenye bombadier

  • @jamesrobert5505
    @jamesrobert5505 4 года назад

    Sawa

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 4 года назад

    Mzee baba tunakukubali Sana wew ni mchapa kazi

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 4 года назад +2

    Hapo ndo ninapomshiba Magu, Mara anasema maendeleo ayanaChama baadae anasema wanachagua hovyo-hovyo ndomana hawapati maendeleo.. timiza wajibu wako kama Raisi, Rahia wako huru kuachagua wanaomtaka, wanaohona anafaa kuwa kiongozi wao, USIWAFOKEE, usiwatishie. KAMA ULIMTUMA #MAJALIWA ALIKUTA TAYARI #MICHIKICHI IMEUNDWA ALIKUJA KUSIBITISHA KAMA “SEREKALI” sio kusema miradi aikuwepo umeleta Wewe, hapo umekosea. Sababu miradi hiyo ipo myaka yoote...😀😃
    kuna wapinzani Kama #ZITTO wamefanya kazi zaziada ilikuleta MAENDELO kwenye jimbo zao. Inawezekana ulisaidia baadhi yamiradi #Kigoma lakini ni baada ya #ZITTO KUSEMA NA KUPIGANIA HIYO MIRADI KUJA KGM, Pili, kama Raisi ni jukumu lako kuleta maendeleo.
    Magu Unakusudia kutotimiza maitaji ya wananchi sababu wamechagua Mbunge/Diwani wa Upinzani, hilo umelisema mara nyingi tu kwenye ziara zako..
    Kama Kweli MAENDELEO HAYANA-CHAMA KWANINI UNABAGUA BAADHI YA JIMBO SBB WAMECHAGUA HOVYO?
    Mimi sina chama, ila hilo sijalipeda upande wa JPM.

  • @ydtv9167
    @ydtv9167 4 года назад

    Nawakubali

  • @nishasalim2880
    @nishasalim2880 4 года назад

    Baada ya election tundu lissu itabidi akimbilie Belgium.

  • @ludobudege1662
    @ludobudege1662 4 года назад

    Magufuli katisha kasulu mafuriko kama yoteeeeeeeee wapinzani wataisoma namba mwaka huu

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 4 года назад

    Tr'e bien ❤

  • @mohakiluche
    @mohakiluche 4 года назад +1

    The best PRESIDENT ever i pray for u magu .. am from UAE but i love u guy u do ur best .God blessed u magu THE KING of TANZANIA

  • @blasimandoo3953
    @blasimandoo3953 4 года назад

    Huyu mzee muhuni kinoma

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 4 года назад

    Tumemaliza kazi ccm,upinzani waaaaafeeeee kabisa tu

  • @mankialema6490
    @mankialema6490 4 года назад

    Hatuwezi kuwapa vichaa Nchi Tena wanaotetea ushoga,na watoto wabebe mimba mashuleni
    Never ever
    Magufuli mpaka kielsweke

  • @uwezamafanikio3644
    @uwezamafanikio3644 4 года назад +8

    Aliyesema jpm atatukanwa akienda kigoma aisome namba

  • @Magenhiro-c8m
    @Magenhiro-c8m 4 года назад

    Weeee weeeeee wauweeeee

  • @jamesmaleko593
    @jamesmaleko593 4 года назад +8

    Ni wewe tunamshukuru Allah kwa kutupa kiongozi bora kama wewe

  • @ellymkolangunzi367
    @ellymkolangunzi367 4 года назад

    Best wishes my president magufuli to take 5yrs again

  • @shaulykhamisi7697
    @shaulykhamisi7697 4 года назад

    Good

  • @mdungially2342
    @mdungially2342 4 года назад

    Lisu poleeeeeeeeeeeee ww endelea kufuja tu urais utausikia tu km jamaaa wa huku Zanzibar tokea 1995 anasaka urais hadi Leo hajaukwaaa na safar hii tumemuekea mtoto mdg na pia anamueka mitaron shein kajenga mitaro mingi sana kwa ajili yao hao

  • @ezramaganda842
    @ezramaganda842 4 года назад

    Hapo ni njiani tu jamani

  • @matildamkombachepa4320
    @matildamkombachepa4320 4 года назад +1

    Wameshaisoma namba

  • @levocatusgatu4295
    @levocatusgatu4295 4 года назад

    Mkisha pewa kulaaa mnatokomeaaaaa nakutuita warundiiii duuuuuh Mungu anawaonaaaa"""""!!!!

  • @aminamtale727
    @aminamtale727 4 года назад

    Sawa babaaaaaaaaaa

  • @grantwiddy6244
    @grantwiddy6244 4 года назад

    aaaah magu anatumia mbinu za wasanii ety kushoto kulia

  • @venancephilbert9397
    @venancephilbert9397 4 года назад +2

    Hapa watatwanga za kirumi

  • @jericojacobo3342
    @jericojacobo3342 4 года назад +5

    Hp njiani tu

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 4 года назад

    Yani hapo alikuwa anapita tu Watu wamemsubili utafikili palipangwa kufanyika mkutano

  • @marliboromadalale2395
    @marliboromadalale2395 4 года назад +1

    Noma Sana ccm chama la wana

  • @mrvibe1289
    @mrvibe1289 4 года назад +2

    Kigoma ❤

  • @briankavishe3300
    @briankavishe3300 4 года назад

    Baba endelea tu kuwa raisi, angalau hadi 2090

  • @amaningobayi7114
    @amaningobayi7114 4 года назад

    Yani wasafi bana mmepigwa biti ya kufungiwa media mmeanza daah poleni Sana Hahahahahaha wasafi ila ata ingekuwa Mim ningejipendekeza😁😁😁😁😁

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 4 года назад

    Baba Lao 👏👏👏👏

  • @lilyamidah3412
    @lilyamidah3412 4 года назад

    Mwenyewe inchi

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane2364 4 года назад

    Viva jpm viva

  • @jumangura7725
    @jumangura7725 4 года назад

    Magu na kigoma yake mpaka raha wengini hawana burudani kama hizi mikutano kama wako msibani wananung'unika tuu wana sahau hadi kuomba kura

  • @diamondplatnamuz341
    @diamondplatnamuz341 4 года назад +2

    umepta baba

  • @avitimukulasi5469
    @avitimukulasi5469 4 года назад

    😂😂😂peleka kushoto kulia

  • @thabitalwiy1
    @thabitalwiy1 4 года назад +2

    Hapo Leo hamna msanii mzee Baba anawapigia show live na hio wale chadema wasema kaja Diamond au Harmonize 🤣🤣🤣

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 4 года назад

    Lisu na wenzeka wavae nepi mapema .

  • @eriantawumenya3257
    @eriantawumenya3257 4 года назад

    Nawapend san mim muh ila niko Kenya naona ninyie pia murakundi bikorwa murakoze
    Wasafi

  • @peterkailembo4101
    @peterkailembo4101 4 года назад

    Hawa ndo wanaume wa nguvu kina Magu siyo jianaume zima kazi kulalamika lalamika huyu Lissu kulalamika tu sijui akiwa Rais atamlalamikia nani?

  • @halimakhalfan1196
    @halimakhalfan1196 4 года назад

    watu wetu wamepotea na mashehe wa uamsho vepezee

  • @emmanuelngalayo8725
    @emmanuelngalayo8725 4 года назад

    wasafi nyie ni mikundu tu hamuoneshi vyama vingine kisa huyo boss wenu shoga aliyepewa kofia akapeleka kabatin

    • @hakizimanajean7702
      @hakizimanajean7702 4 года назад

      Fuatilia nani kapewa pesa na Chama cha MASHOGA?

    • @listonmkisi6299
      @listonmkisi6299 4 года назад

      Hvi emma matusi yanakusidia nini mtandaoni unaonekana unaakili kumbe bogasi kabisa hebu tunza heshma yako

  • @ramadhanathuman940
    @ramadhanathuman940 4 года назад

    Kwa waha hulambi kura hawawezi kumuacha zitto mtoto wao wewe

  • @thegreatboss2482
    @thegreatboss2482 4 года назад

    Wasafi kwa UCCM wenu mtapoteza baadhi ya mashabiki utopolo

    • @yusufuvea5311
      @yusufuvea5311 4 года назад +1

      Mbwa koko ww

    • @robertterry8909
      @robertterry8909 4 года назад +1

      Kiazi wewe

    • @chugachugambuli8879
      @chugachugambuli8879 4 года назад +1

      Ww nawe n mandaz kweli , sasa ulitakaje nn maana ya chombo cha habari ....yaaan nyie wapinzan sjui akili zenu zililaaniwa na nan?

    • @maryamharon1484
      @maryamharon1484 4 года назад

      Ccm oyeeeee.....khekhekheeeee kuna watu wanateseka jmn

    • @marryseif799
      @marryseif799 4 года назад

      Choko ww ksfie mbali huko huna lolote SHETANI!

  • @josiahmollel7027
    @josiahmollel7027 4 года назад +1

    ruclips.net/video/D2PNwZ_L7QM/видео.html
    😀😀🤣🤣Ona HAPA

  • @kabamedestrong3917
    @kabamedestrong3917 4 года назад

    Ndugu zangu Mimi ni kijana mwenzenu mpambanaji naomba support yako kugusa picha yangu hapo juu kutazama video yangu ya pineapple I hope utaenjoy nakuomba pia u subscribe Ahsanteni Sana

  • @officialfestochimulimuli9426
    @officialfestochimulimuli9426 4 года назад

    Tazama Mambo Makubwa Ya Lissu ,Membe,Magufuri
    ruclips.net/video/VV7P56bjYHM/видео.html

  • @highthemetv7857
    @highthemetv7857 4 года назад

    ruclips.net/video/vUHJ5D9TJus/видео.html
    👆👆👆👆👆👆
    Lifahamu Kabila la DANI Kabila katili 😭ambalo ukifiwa unakatwa vidole kisha vinazikwa 😭

  • @muuevara8069
    @muuevara8069 4 года назад

    SIKILIZA KIONJO CHA WIMBO WA ALICIA KEY'S NA DIAMOND PLATNUMZ ruclips.net/video/UEBnT7gV04Y/видео.html