MAGUFULI AWAIMBISHA WANA KASULU, KIGOMA, LEKA DUTIGITE.
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Mgombea Urais na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt.John Pombe Magufuli amewaimbisha wakazi wa Kasulu wimbo wa Kigoma Lekadutigite ulioimbwa na wasanii wazawa wa Kigoma Dutigite-Kigoma All Stars -Abdu kiba, Baba Levo, Banana Zorro, Chege, Diamond plantimuz, kigoma all stars, Leka Dutigite, Linex, Makomando, Mwasiti, Ommy dimpoz, Queen Darling, Rachel, Zitto Kabwe, Tudd Thomas, Razak4D.
Dah! Wasafi mkovizuri mnaturushia matangazo yote fresh
Mh Jpm kumbe ulikuwa nyumban kigoma tumepishana mi niko Mwanza ila stokuangusha usjal
Asante mungu sisi watu wakigoma wote ni CCM hilo wapinzan walijue.
Haya ndugu zangu waha hamjaniangusha 😘
Lah! Siyuwage kama Kigoma inaongeya Kirundi kama Warundi!! RIP Raïs Mukubwa🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Kigoma lekatutigite wishamba meneke❤❤❤❤❤❤❤🙏🏾🙏🏾🙏🏾🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Baba Lao inshallah baba inje hadi kivobbdo maana tunateseka makere uku ..... 🖐 tena
Nitaendelea kusikiliza maneno ako,,*"RIP🙏🇹🇿
Je suis congolais et je soutiens ta candidature depuis Goma en RDC.
Nakupenda sa👍👍👍👍♥️♥️❤❤♥️♥️🌹🍎🌷🍉🙏🙏🙏🙏
Nakubari magufuri namba1
Huyo ndo magu bwana jamaa anaiga tu jpm Mungu akuzidishie umri na akulinde na kila baya
Nampenda sana magufuri sana atakama mimi siyo mtanzaniya naming mkono magufuri oye
Kigoma daima God bless us
Chadema mpo hatutakibadae oo sijui kulazimeibiwa. Mnzionanyomi hizo
Asanteeeeen wanakigomaaaaaaaaaa😍😍😍😍😗😗😗
Namukubari magu yangu chukua
CCM chama lao Magufuli baba lao
Magufuli kila anako pita ni mafuliko tunduna tu ilikua Kama hivi Lisu alichanganyikiwa mpaka akaanza kulopoka ooo nitamfunga magufuli oooo nitamfunga silo ooo nitamfunga mkuu wa mkoa ooo nitawashita kwenye mahakama ile sijui yanini.mwenzio magufuli kilasehemu anakuta watu anaongea pointi naisubili Sana 28/10/2020 uchaguzi huu utafumba watu vinywa haijawai tokea Tanzania na tunataka asiwepo wakukimbilia ubeligiji
Lisu yeye ni kulalamia kura kabla hata hazijapigwa
🤔🤔 home to home nime miss Sana vumbila vyumbani #kasulu ...mulakoze ....#ACT #CCM ... Kapita kwenye balabala ya #babalever...au ya #zittokabwe
Nampenda magufuli hadi nahisi kuumwa
Mbona mangufuli anajaza watu wengi takini aongei mabaya Kama tundu lissu Wala atukani
coz anajielewa mpendwa
Zitto ameona maporomoko ya watu hayo...👀👀👀
Wengi wamefata wasanii hapo hawajaimba boe ZITTO uku kama habanduki iz like our president hana mpinzani
@@adeusaugustino4851 kwani zitto wasanii hawajui nayy awalipewaende kwake.. hovyo sanduku la kura litawasibisha zaidi Kama mnavyoaibishwa kwenye mkutano yenu.. mwenzenu kila anapokanyaga si njiani,si viwanja vya Moira.. wanakulifind nyie..fyofyofyoo
@@adeusaugustino4851 angalia ile clip wanaonyesha bango la zitto akishuka kwenye bombadier
Sawa
Mzee baba tunakukubali Sana wew ni mchapa kazi
Hapo ndo ninapomshiba Magu, Mara anasema maendeleo ayanaChama baadae anasema wanachagua hovyo-hovyo ndomana hawapati maendeleo.. timiza wajibu wako kama Raisi, Rahia wako huru kuachagua wanaomtaka, wanaohona anafaa kuwa kiongozi wao, USIWAFOKEE, usiwatishie. KAMA ULIMTUMA #MAJALIWA ALIKUTA TAYARI #MICHIKICHI IMEUNDWA ALIKUJA KUSIBITISHA KAMA “SEREKALI” sio kusema miradi aikuwepo umeleta Wewe, hapo umekosea. Sababu miradi hiyo ipo myaka yoote...😀😃
kuna wapinzani Kama #ZITTO wamefanya kazi zaziada ilikuleta MAENDELO kwenye jimbo zao. Inawezekana ulisaidia baadhi yamiradi #Kigoma lakini ni baada ya #ZITTO KUSEMA NA KUPIGANIA HIYO MIRADI KUJA KGM, Pili, kama Raisi ni jukumu lako kuleta maendeleo.
Magu Unakusudia kutotimiza maitaji ya wananchi sababu wamechagua Mbunge/Diwani wa Upinzani, hilo umelisema mara nyingi tu kwenye ziara zako..
Kama Kweli MAENDELEO HAYANA-CHAMA KWANINI UNABAGUA BAADHI YA JIMBO SBB WAMECHAGUA HOVYO?
Mimi sina chama, ila hilo sijalipeda upande wa JPM.
Nawakubali
Baada ya election tundu lissu itabidi akimbilie Belgium.
Magufuli katisha kasulu mafuriko kama yoteeeeeeeee wapinzani wataisoma namba mwaka huu
Tr'e bien ❤
The best PRESIDENT ever i pray for u magu .. am from UAE but i love u guy u do ur best .God blessed u magu THE KING of TANZANIA
Huyu mzee muhuni kinoma
Tumemaliza kazi ccm,upinzani waaaaafeeeee kabisa tu
Hatuwezi kuwapa vichaa Nchi Tena wanaotetea ushoga,na watoto wabebe mimba mashuleni
Never ever
Magufuli mpaka kielsweke
Aliyesema jpm atatukanwa akienda kigoma aisome namba
Tena waisome kweli kweli
Wataisoma tu
wameshaisoma wanajikaza tu
Weeee weeeeee wauweeeee
Ni wewe tunamshukuru Allah kwa kutupa kiongozi bora kama wewe
Best wishes my president magufuli to take 5yrs again
Good
Lisu poleeeeeeeeeeeee ww endelea kufuja tu urais utausikia tu km jamaaa wa huku Zanzibar tokea 1995 anasaka urais hadi Leo hajaukwaaa na safar hii tumemuekea mtoto mdg na pia anamueka mitaron shein kajenga mitaro mingi sana kwa ajili yao hao
Hapo ni njiani tu jamani
Wameshaisoma namba
Mkisha pewa kulaaa mnatokomeaaaaa nakutuita warundiiii duuuuuh Mungu anawaonaaaa"""""!!!!
Sawa babaaaaaaaaaa
aaaah magu anatumia mbinu za wasanii ety kushoto kulia
Hapa watatwanga za kirumi
Hp njiani tu
Yani hapo alikuwa anapita tu Watu wamemsubili utafikili palipangwa kufanyika mkutano
Noma Sana ccm chama la wana
Kigoma ❤
Baba endelea tu kuwa raisi, angalau hadi 2090
Yani wasafi bana mmepigwa biti ya kufungiwa media mmeanza daah poleni Sana Hahahahahaha wasafi ila ata ingekuwa Mim ningejipendekeza😁😁😁😁😁
Baba Lao 👏👏👏👏
Mwenyewe inchi
Viva jpm viva
Magu na kigoma yake mpaka raha wengini hawana burudani kama hizi mikutano kama wako msibani wananung'unika tuu wana sahau hadi kuomba kura
umepta baba
😂😂😂peleka kushoto kulia
Hapo Leo hamna msanii mzee Baba anawapigia show live na hio wale chadema wasema kaja Diamond au Harmonize 🤣🤣🤣
Lisu na wenzeka wavae nepi mapema .
Nawapend san mim muh ila niko Kenya naona ninyie pia murakundi bikorwa murakoze
Wasafi
Hawa ndo wanaume wa nguvu kina Magu siyo jianaume zima kazi kulalamika lalamika huyu Lissu kulalamika tu sijui akiwa Rais atamlalamikia nani?
watu wetu wamepotea na mashehe wa uamsho vepezee
wasafi nyie ni mikundu tu hamuoneshi vyama vingine kisa huyo boss wenu shoga aliyepewa kofia akapeleka kabatin
Fuatilia nani kapewa pesa na Chama cha MASHOGA?
Hvi emma matusi yanakusidia nini mtandaoni unaonekana unaakili kumbe bogasi kabisa hebu tunza heshma yako
Kwa waha hulambi kura hawawezi kumuacha zitto mtoto wao wewe
Wasafi kwa UCCM wenu mtapoteza baadhi ya mashabiki utopolo
Mbwa koko ww
Kiazi wewe
Ww nawe n mandaz kweli , sasa ulitakaje nn maana ya chombo cha habari ....yaaan nyie wapinzan sjui akili zenu zililaaniwa na nan?
Ccm oyeeeee.....khekhekheeeee kuna watu wanateseka jmn
Choko ww ksfie mbali huko huna lolote SHETANI!
ruclips.net/video/D2PNwZ_L7QM/видео.html
😀😀🤣🤣Ona HAPA
Ndugu zangu Mimi ni kijana mwenzenu mpambanaji naomba support yako kugusa picha yangu hapo juu kutazama video yangu ya pineapple I hope utaenjoy nakuomba pia u subscribe Ahsanteni Sana
Tazama Mambo Makubwa Ya Lissu ,Membe,Magufuri
ruclips.net/video/VV7P56bjYHM/видео.html
ruclips.net/video/vUHJ5D9TJus/видео.html
👆👆👆👆👆👆
Lifahamu Kabila la DANI Kabila katili 😭ambalo ukifiwa unakatwa vidole kisha vinazikwa 😭
SIKILIZA KIONJO CHA WIMBO WA ALICIA KEY'S NA DIAMOND PLATNUMZ ruclips.net/video/UEBnT7gV04Y/видео.html