HII NDIO HOTELI KALI YA BILIONI 1.9 KASULU, ILIYOZINDULIWA NA MAKAMU WA RAIS DR.MPANGO,WAHA WAMEAMUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 18

  • @musicschool_tz7014
    @musicschool_tz7014 Год назад +3

    Homgera Sana Mr Evance Chocha AKA Mr Dubai. Hapo chini kuna Club moja hakuna mfano wake hapo Kasulu, ndio kiwanja chao cha kujivunia.

  • @herifilms
    @herifilms Год назад

    Hongera sana ndg yetu Evance Chocha

  • @mariamuseifu3065
    @mariamuseifu3065 Год назад

    Masha Allh

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 Год назад +2

    Hii nchi ngumu sana

  • @adolfmfumya6451
    @adolfmfumya6451 5 месяцев назад

    Mkuu salutinyingi mkari

  • @LB-ls8yj
    @LB-ls8yj Год назад

    Kigoma inahitaji sokoto kubwa la bihashara na DRC CONGO 🇨🇩

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Год назад

    Kumbe bilioni 1.9 hata mimi najenga ise

  • @richshayo4924
    @richshayo4924 Год назад

    Mbona saaa hotel nzuri ya 1.9 B kuliko ule uwanja wa 39.B?

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Год назад +2

    Kipindi chetu tulikuwatunajuwa golofa ya NDITUYE pekeyake ndio ilikuwa gholofa kubwa mpaka naondoka Kasulu kuja Dar es salaam niliacha gholofa ya Ndituye ndio kubwa 😢 Nimepamis nyumbani lakini maisha hayana fomula

    • @flaviankato1697
      @flaviankato1697 Год назад +1

      Duh sasa iv zipo kibao zaid ya 6

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Год назад +1

      @@flaviankato1697 Daah! Hongera sana kwa Kasulu yetu. Maana kitambo sana kwakweli

  • @VitusEmmanuel-d1b
    @VitusEmmanuel-d1b Год назад +1

    Mkoa unaofata kwa uteuz Kasulu mjin gorofa km zote hazihesabik

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Год назад

      Kwa nini wameweka 'red color'?! 🤗 Mimi sijapenda ! 🤷‍♂️🙃

  • @kaisarimbisso5011
    @kaisarimbisso5011 Год назад

    Ile shule ya bil. 5 ya watoto wa kike ifuatiliwe tafadhali

  • @shangwelinusi3261
    @shangwelinusi3261 Год назад

    Pasta dubai chocha

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Год назад

    Duu kumbe bilioni 1.9 unaweza kujenga ghorofa kubwa hivyo ghorofa tano tunasikiaga maghorofa mengine gharama bilioni 60 bilioni 15 ya mjini hapa dar es salaam

  • @king_maik6375
    @king_maik6375 Год назад

    😂