Kipindi chetu tulikuwatunajuwa golofa ya NDITUYE pekeyake ndio ilikuwa gholofa kubwa mpaka naondoka Kasulu kuja Dar es salaam niliacha gholofa ya Ndituye ndio kubwa 😢 Nimepamis nyumbani lakini maisha hayana fomula
Duu kumbe bilioni 1.9 unaweza kujenga ghorofa kubwa hivyo ghorofa tano tunasikiaga maghorofa mengine gharama bilioni 60 bilioni 15 ya mjini hapa dar es salaam
Homgera Sana Mr Evance Chocha AKA Mr Dubai. Hapo chini kuna Club moja hakuna mfano wake hapo Kasulu, ndio kiwanja chao cha kujivunia.
Hongera sana ndg yetu Evance Chocha
Masha Allh
Hii nchi ngumu sana
Mkuu salutinyingi mkari
Kigoma inahitaji sokoto kubwa la bihashara na DRC CONGO 🇨🇩
Kumbe bilioni 1.9 hata mimi najenga ise
Mbona saaa hotel nzuri ya 1.9 B kuliko ule uwanja wa 39.B?
Kipindi chetu tulikuwatunajuwa golofa ya NDITUYE pekeyake ndio ilikuwa gholofa kubwa mpaka naondoka Kasulu kuja Dar es salaam niliacha gholofa ya Ndituye ndio kubwa 😢 Nimepamis nyumbani lakini maisha hayana fomula
Duh sasa iv zipo kibao zaid ya 6
@@flaviankato1697 Daah! Hongera sana kwa Kasulu yetu. Maana kitambo sana kwakweli
Mkoa unaofata kwa uteuz Kasulu mjin gorofa km zote hazihesabik
Kwa nini wameweka 'red color'?! 🤗 Mimi sijapenda ! 🤷♂️🙃
Ile shule ya bil. 5 ya watoto wa kike ifuatiliwe tafadhali
Pasta dubai chocha
Duu kumbe bilioni 1.9 unaweza kujenga ghorofa kubwa hivyo ghorofa tano tunasikiaga maghorofa mengine gharama bilioni 60 bilioni 15 ya mjini hapa dar es salaam
Wengi ni waongo.
😂