This is my first time to listen to this program and to be honest, I have tuned to this program accidentally however I do agree with you that Stanislaus Lambat is a good presenter who has more room and space to do even better.
Hivi mahakama na wanasheria Jaji mkuu akikosea harekebishwi ,Mara zote wamekuwa wakimsikia wamekaa kimya ,ina maana kuna ukweli uliyojificha ambao hauwezi kuwekwa wazi ,kama JAJI amesema kwa mazoea ya nyuma .Je ofisi ya JAJI halijaona hilo kumkumbusha ,
Katika Sheria ni kwamba mama Samia ndiye alikuwa makamu aliyechaguliwa kama makamu hivyo likitokea makamu kuwa rais basi atateuliwa makamu mwingiene hapo hakuna uchaguzi wote kikatiba ni makamu isipokuwa Moja raisi na mwengine makamu huo ni uwelewa wangu
Wazanzibar wanaubaguzi Sana, ukitaka kuamini naenda zanzibar. Huko kwao zanzinzibar wanatubagua Sana watanganyika. Wanatuita machogo. Kupata nyumba ya kupanga kama ww siyo muislam ni shida. Wakati huku bara yanazurura tu kama mbwa.
Mshenzi mmoja wewe Pundaaa. Acha unaafiki wako wewee. Hapa nilipo Mimi kwenye nyumba Wazanzibari tumo wawili na Wabara wapo watatu tena wanatoka Bukoba na Kagera.
Na mwenye Nyumba no3Mzanzibari amabae kawaweka na tunaishi nao vizuri Sanaa. Sasa acha ujibwa wako mshenzi mmoja wewe. Kama ubaguzi unao wewe peke yako khaaaa. Na hao Wabara walipo hapa ndani woote ni wakiristo waenda Makanisani
Yaani Mungu ameipatia kisiwa kimoja Tanzania imekuwa balaa je? kama angeipatia visiwa vingi kama Ugiriki sijui ingekuwaje ? Nathani ingekuwa songombingo maana Ugiriki ina visiwa vingi nawala hawana mzozo wowote ila kisiwa kimoja tu ndio wameshea na wa Turuki kiitwacho Syprus tu
Sasa hii ni dhahiri wazi kuwa vyeo wanapeana kishkaji na hata ukifikia wakati wa kustaafu wanajisahaulisha hivyo hatuna jaji kwa maana halisi hatuna mahakama inayosimamia sheria na ndio maana hata ukizungumzia katiba hawaelewi!
Jaji Mkuu na profesa wa sheria na mlinzi mkuu wa sheria za Tanzania amesema alivyosema. Angesema mwingine angepata msukosuko wa kutosha!! Hao wa Mahakama ukikosea tu Franc badala ya Frank ....watakuzodoa !!
Hapa inawezekana ni sawa kikatiba Rais huchaguliwa kiawamu,awamu ya 6 tutafsiri haina Rais ila aliyepo bado ni makamo wa Rais na huyu nae ni makamo wa Rais, kwa hiyo ndiyo kusema hii awamu ya 6 kuna makamo wawili. Na kwa tafsiri hii ikiwa kisheria itakubalika Rais ndiye makamo wa kwanza na makamo wake atakuwa makamo wa pili wa Rais. Lkn waandishi wa habari wangefika kumuuliza Jaji mkuu awatafsirie kwani kuuliza siyo ujinga na pia siyo tusi.Ahsanteni kwa mdahalo murua
Kwa ufupi ni kuwa Jaji Mkuu yuko absolutely wrong - Kwani hakuna nafasi ya Makamu wa Pili wa Rais. Binafsi nashangaa na kusikitika kuona kuwa serikali imeshidwa kumuwajibisha. Na tukumbuke Jaji Mkuu ni Mtu msomi, ni professa wa sheria, akionekana kama mtu makini hivyo huwezi kutegemea kufanya kosa la hovyo kama hilo mara zaidi ya nne kwenye kadamnasi ya watu wasomi.
Hizi nafasi mbili za makamu wa rais wa kwanza na kazi yake na makamu wa rais wa pili na kazi yake naona kama hapa huu mfumo wa utendaji kazi wa makamu hawa ni ufujaji wa pesa za wananchi maana kazi yao ni moja.
Nadhani ndio maana ikaitwa serikali ya umoja wa kitaifa. Makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar yupo kwa ajili ya kuhakikisha wapinzani(ambao ni wengi pia karibu walingane wa chama tawala) wanakuwa na usemi katika utekelezaji wa shughuli za serikali kupitia mtu wao kuwa mshauri mkuu wa rais kwenye utakelezaji wa shughuli za serikali yake(Ilani ya chama tawala iliyopewa dhamana na wananchi walio wengi) kwa manufaa ya wananchi wote. Makamu wa pili wa rais yeye yupo kwa ajili ya kumsaidia rais kwenye shughuli anazohitaji mtu atakayezitekeleza kwa namna ambayo serikali itakuwa imeleta maendeleo, ila ni chama tawala pekee ndio kitapata sifa ya kuleta hayo maendeleo kupitia watu wake kuonekana ndio waandaaji na watekelezaji wa kila kitu..Mambo ya wanasiasa hayo ya kupenda sifa ili kila akatano zikikata uwaongezee ulaji🤣🤣
Awamu ya sita haijafanya uchaguzi. Makamu wa kwanza ni Mama Samia,baada ya katiba kumpa kiti Cha urais ameteuliwa mhe. Mpango bila kuingia ktk kampeni za uchaguzi. Awamu hii ambayo wabunge wanahudumu imekuwa na makamu wawili. Raisi ni mmoja kwa vile yule ametangulia mbele za haki
Sasa kiitifaki mbona inakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano ndiyo namba 1,namba 2 makamo wa Rais bara, namba 3 anakuwa Rais wa Zanzibar,namba 4 Waziri Mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.Sasa huyo Makamo wa Rais wa kwanza wa Rais ni nani?
Hii Katiba inatakiwa kupitiwa upya. Ni lini Mtanganyika ataweza kutawala Zanzibar? Tumeona Wazanzibar wamepata fursa mara mbili kututawala Watanganyika. Ni vyema kama likitokea ombwe la U Rais wa Tanganyika tufanye uchaguzi upya.
Jaji mkuu anaupiga mwingi
Imeeleweka vzr
CCM WAMEJITENGENEZEA KATIBA KWA MASLAHI YAO, KATIBA OVYO KABISA, TUNATAKA KATIBA MPYA.
Safii nimeupenda uchambuzi huu
Mpo vzr snaa big up
Stanislaus Lambat your the Best Presenter ever
This is my first time to listen to this program and to be honest, I have tuned to this program accidentally however I do agree with you that Stanislaus Lambat is a good presenter who has more room and space to do even better.
kiitifaki yupo sawa Makamu wa Rais ni wa pili kiitifaki hivyo Rais ni Na .1 na Makamu ni NA.2
Neno Makamu wa Rais wa pili lilikoma mnamo mwaka 1995 baada ya kuepo kwa Mfumo wa vyama vingi. Ibara ya 47 ya katiba ya JMT inajieleza
Hati ya Muungano tunaijua!?, tumeona!? Tumeisoma!? Kuna jambo ndani yake
Mtafute Professor mwenyewe atufafanulie hili
Haya mambo yatawachanganya sana..
Huyu mwanasheria kijana yupo vizuri Sana.
Anafaa kuwa mwanasheria mkuu wa serikari
Kwa lipi alilofanya? Kueleza tu?
Kwa kigezo kipi?
Hivi mahakama na wanasheria Jaji mkuu akikosea harekebishwi ,Mara zote wamekuwa wakimsikia wamekaa kimya ,ina maana kuna ukweli uliyojificha ambao hauwezi kuwekwa wazi ,kama JAJI amesema kwa mazoea ya nyuma .Je ofisi ya JAJI halijaona hilo kumkumbusha ,
Duh ww mtangazaji upo vizuri
Nimependa iii
Karibu EAGT Bonde la amani mpiji magohe Dar es salaam
🙏🙏🙏🙏🙏
Katiba ya sasa haikufuta nafasi ya makamu wa pili
1
Jaji Mkuu satoshi japo, auditor kufundisha tu. Jaji Mkuu utakuwaje na kitete mbele ya Rais?
Arudi kufundisha tu.
Mara tano zote? Basi hajakosea, ni makusudi kabisa. Na huyu ni Jaji na kwa hiyo anavunja katiba ya JMT kwa makusudi!!
Jaji Mkuu hajui idara ya 47 ya Katiba, tuko hatarini aisee.
Muhulizeni jaji mkuu Ana maana gani
Ni nzuri jaji mkuu atuweke sawa watanzania.
🙌🙌
Katika Sheria ni kwamba mama Samia ndiye alikuwa makamu aliyechaguliwa kama makamu hivyo likitokea makamu kuwa rais basi atateuliwa makamu mwingiene hapo hakuna uchaguzi wote kikatiba ni makamu isipokuwa Moja raisi na mwengine makamu huo ni uwelewa wangu
Makamu wa kwanza wa Rais
Wakati anatoka bara wakati wote
Mzee sefu wakati wa Magufuli alikuwa ni makamu wa pili
Akili Hana huyo mzee sijui kafikaje hapo duh
abduru wakili ndiye alichukua nafasi ya uraisi baada ya machafuko wala siyo mwinji
Abdul wakil ni rais wa zanzibar wa awamu ya 4 na mzee mwinyi ni awamu ya 3
Nadhani uyo jaji mkuu ana zingatia mkataba wa muungano ndio maana makamu wa rais anamtaja Kama makamu wa pili, nionavyo Mimi,
Wazanzibar wanaubaguzi Sana, ukitaka kuamini naenda zanzibar. Huko kwao zanzinzibar wanatubagua Sana watanganyika. Wanatuita machogo. Kupata nyumba ya kupanga kama ww siyo muislam ni shida. Wakati huku bara yanazurura tu kama mbwa.
Kweli kbca wasenge tu
Mshenzi mmoja wewe Pundaaa. Acha unaafiki wako wewee. Hapa nilipo Mimi kwenye nyumba Wazanzibari tumo wawili na Wabara wapo watatu tena wanatoka Bukoba na Kagera.
Na mwenye Nyumba no3Mzanzibari amabae kawaweka na tunaishi nao vizuri Sanaa. Sasa acha ujibwa wako mshenzi mmoja wewe. Kama ubaguzi unao wewe peke yako khaaaa. Na hao Wabara walipo hapa ndani woote ni wakiristo waenda Makanisani
Mbwa Baba yako Mshenzi ww
Nimependa mdahalo
Mbona Hamjatupa Mwisho wa/ kauli ya / Suluhisho Sasa kuhusu Kauli ya Jaji Mkuu. Mnatuacha hewani!🙈😟
Jaji anaandikiwa hotuba na anaisoma kabla hajapresent,kama ni kosa iweje asome hivyohivyo?
Yuko wapi basi huyo makamu wa rais wa kwanzaa? Mbona kama mnatufichaa?
hapana kabsa waseme 2 ukweri huyu màkamu hari yake kabsa😂
Asihukumiwe bila kusikilizwa, Kwa mujibu wa sheria
MAKAMU WA KWANZA NI RAIS WA ZANZIBAR FULL STOP ,,BADO HAWAKUIFUTA NHIYO KWENYE KATIBA ILIOPITWA
✊
Nasubili uteuzi nimsikilize tena
Dar 24, mpelekeeni Mh.Jaji kipaza sauti
Jaji mkuu anaweza kuwa mbumbumbu au zuzu. Hii ni hatari kwa utekelezaji ,ulinzi na kuhifadhi wa katiba ya nchi yetu.
real? kuwa mzalendo basi
Hapa utata mtupu,nahisi viongozi warudi kwa Wananchi watuelimishe vizuri.
Ni Mzee umuli musimulaumu
Yaani Mungu ameipatia kisiwa kimoja Tanzania imekuwa balaa je? kama angeipatia visiwa vingi kama Ugiriki sijui ingekuwaje ? Nathani ingekuwa songombingo maana Ugiriki ina visiwa vingi nawala hawana mzozo wowote ila kisiwa kimoja tu ndio wameshea na wa Turuki kiitwacho Syprus tu
Cyprus
@@othumanlorenzo260 ile niliandika kigiriki
Tanzania kuna visiwa vingi mno, vilivyo vikubwa ni ZNZ, Pemba na Mafia, ila kuna utitiri kwee Indian ocean
Unguja,pemba,mafia,ukerewe bado havijawa vingi tu?
TuJiulize kwanza kwanini jaji mkuu anaapisha wote Raisi Na Makamu wake ?Lazima kutakuwa Na makamu 1 .
Mjadala uko vyema sana, naufatilia vizuri
Imeandikwa katika katiba au ni maelezo tu!!??
Pore
Sasa makamu wa kwanza Ni nani, na kama wa pili ... huu ni utata.
Rais wa zanziba ndio makamu wa kwanza wa rais ni iko wazi
Sasa hii ni dhahiri wazi kuwa vyeo wanapeana kishkaji na hata ukifikia wakati wa kustaafu wanajisahaulisha hivyo hatuna jaji kwa maana halisi hatuna mahakama inayosimamia sheria na ndio maana hata ukizungumzia katiba hawaelewi!
Nchi sasaivi inachapwa
Hui nchi inavyokwenda yawezekana Hata katika ishachakachuliwa maana viongozi wengi wamejaa viburi tu.
Je katba ilufanyiwa malegebisho kupokea mfumo wa viama ving
Jaji Mkuu na profesa wa sheria na mlinzi mkuu wa sheria za Tanzania amesema alivyosema. Angesema mwingine angepata msukosuko wa kutosha!! Hao wa Mahakama ukikosea tu Franc badala ya Frank ....watakuzodoa !!
Uchambuzi wa kisomi kwa kweli
Hapa inawezekana ni sawa kikatiba Rais huchaguliwa kiawamu,awamu ya 6 tutafsiri haina Rais ila aliyepo bado ni makamo wa Rais na huyu nae ni makamo wa Rais, kwa hiyo ndiyo kusema hii awamu ya 6 kuna makamo wawili. Na kwa tafsiri hii ikiwa kisheria itakubalika Rais ndiye makamo wa kwanza na makamo wake atakuwa makamo wa pili wa Rais.
Lkn waandishi wa habari wangefika kumuuliza Jaji mkuu awatafsirie kwani kuuliza siyo ujinga na pia siyo tusi.Ahsanteni kwa mdahalo murua
Kwa ufupi ni kuwa Jaji Mkuu yuko absolutely wrong - Kwani hakuna nafasi ya Makamu wa Pili wa Rais. Binafsi nashangaa na kusikitika kuona kuwa serikali imeshidwa kumuwajibisha. Na tukumbuke Jaji Mkuu ni Mtu msomi, ni professa wa sheria, akionekana kama mtu makini hivyo huwezi kutegemea kufanya kosa la hovyo kama hilo mara zaidi ya nne kwenye kadamnasi ya watu wasomi.
Hizi nafasi mbili za makamu wa rais wa kwanza na kazi yake na makamu wa rais wa pili na kazi yake naona kama hapa huu mfumo wa utendaji kazi wa makamu hawa ni ufujaji wa pesa za wananchi maana kazi yao ni moja.
Nadhani ndio maana ikaitwa serikali ya umoja wa kitaifa. Makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar yupo kwa ajili ya kuhakikisha wapinzani(ambao ni wengi pia karibu walingane wa chama tawala) wanakuwa na usemi katika utekelezaji wa shughuli za serikali kupitia mtu wao kuwa mshauri mkuu wa rais kwenye utakelezaji wa shughuli za serikali yake(Ilani ya chama tawala iliyopewa dhamana na wananchi walio wengi) kwa manufaa ya wananchi wote.
Makamu wa pili wa rais yeye yupo kwa ajili ya kumsaidia rais kwenye shughuli anazohitaji mtu atakayezitekeleza kwa namna ambayo serikali itakuwa imeleta maendeleo, ila ni chama tawala pekee ndio kitapata sifa ya kuleta hayo maendeleo kupitia watu wake kuonekana ndio waandaaji na watekelezaji wa kila kitu..Mambo ya wanasiasa hayo ya kupenda sifa ili kila akatano zikikata uwaongezee ulaji🤣🤣
Mjadala nimeupenda, lugha gongana lakini kuna maana yake ndani yake tuleeteni upande wa pili
Sasa hao majaji, wasomi pia wanakwama au wanakwamishwa na nini?
Ulim kuteleza ni kawaida.kibinadamuu
Sio ulimi kiteleza bila shaka kuna jambo nyuma yake.
Awamu ya sita haijafanya uchaguzi. Makamu wa kwanza ni Mama Samia,baada ya katiba kumpa kiti Cha urais ameteuliwa mhe. Mpango bila kuingia ktk kampeni za uchaguzi. Awamu hii ambayo wabunge wanahudumu imekuwa na makamu wawili. Raisi ni mmoja kwa vile yule ametangulia mbele za haki
Mbona hata Magufuli hajafa mbona jaji alimtaja Samia kama makamu wa pili?
Jamaa vip ww
@27:50 😆😆
Kawawa alikoma umakamu wa pili wa Rais mwaka 1977
Si mfuate jaji mkuu mumuulize
Live goose on i need Tanganyika
Kwahiyo makamu wa kwanza ni nani sasa?
Mwinyi
Hapa walikuwa watutegulie kitendawili kwa kumfuata Jaji mwenyewe lkn sidhani kama jaji atalizungumzia itabakia kuwa ni siri yake mwenyewe tu
Makamo wa kwanza na wa pili wanatambulikaje ktk katiba ya jamuhuri ya Muungano?
Sasa kiitifaki mbona inakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano ndiyo namba 1,namba 2 makamo wa Rais bara, namba 3 anakuwa Rais wa Zanzibar,namba 4 Waziri Mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.Sasa huyo Makamo wa Rais wa kwanza wa Rais ni nani?
Kikwete
hajakosea ni siwa kiitifaki ni wa pili baada ya Rais
Neno hilo liliibuka wakati wa Magufuli. Samia anaendeleza alicho kikuta
Hii Katiba inatakiwa kupitiwa upya. Ni lini Mtanganyika ataweza kutawala Zanzibar? Tumeona Wazanzibar wamepata fursa mara mbili kututawala Watanganyika. Ni vyema kama likitokea ombwe la U Rais wa Tanganyika tufanye uchaguzi upya.
Pengine kuna makamu wa kwanza wa Rais.
Kumbuka bara hatuna Rais kaka
Makamu wa kwanza wa Rais
Wakati anatoka bara wakati wote
Mzee sefu wakati wa Magufuli alikuwa ni makamu wa pili