USTADHI SHAFII AMTAFSIRIA QURAN MCH. NDACHA, AMSHANGAA KUSEMA MUNGU WA WAISLAM SIO MUNGU WA KWELI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • BAADA YA MCHUNGAJI NDACHA KUSIMAMA HADHARANI NA KUSEMA MUNGU WA WAISLAMU YAANI ALLAH SIYO MUNGU WA KWELI, USTADHI SHAFII AMEAMUA KUTOA ELIMU KWA FAIDA YAKE NA WENGINE

Комментарии • 41

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Месяц назад +3

    Swadakta sheikh shaffi ALLAH akuzidishiye siha njema hekima na busara ili uzidi kutu elimisha amin 🤲 amin 🤲 YARABI amin 🤲🤲🤲🤲

  • @issarashid7707
    @issarashid7707 Месяц назад +4

    MaaShaAllah ukweli utabaki tu ukweli hata kipofu anaona katika moyo wake bali atabaki na khulka yake ya ubishi katika mdomo wake ....Allah akuzidishie na akuhifadhi shekh Shafiy

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 Месяц назад +3

    Allah ameshapiga muhuri katika nyoyo zao hawafahamu

  • @RamadhaniMohamedi-de2vc
    @RamadhaniMohamedi-de2vc Месяц назад +2

    Swadakta sheikhe wangu shafii shomali pango mungu akujalie kheri kubwa hapa duniani na siku ya mwisho insha Allah mungu atakupa neema zake🙏🙏.

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi1483 Месяц назад +1

    Tunamwomba Allah akujaze kila la kheri sheikh Shafi, akuongezee elimu, amin.

  • @salimbahatisha3003
    @salimbahatisha3003 Месяц назад +1

    Sheikh shafii Allah azidi kukupa maisha marefu na uzidi kuelimisha umma

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda9779 Месяц назад

    MashaAllah Wafundishe hao Ostadhi wangu watakuelewa tu.

  • @HamisAbdallah-cj2sc
    @HamisAbdallah-cj2sc Месяц назад +2

    ASALAM ALEY KUM MWAMBIE DACHA AFAFANIE MWANZO 6;6 MUNGU ANAUZUNIKA MOYONI !!!

  • @bukharytwaha680
    @bukharytwaha680 Месяц назад

    ustadh Shafi Ni fundi kabisa masha Allah,tunaomba kutana na ndacha Kwa swali na jibu hapo hapo

  • @kusweymohamed
    @kusweymohamed Месяц назад

    Mashallah ust shaffi unajibu maswali kwa kueleweka yaan kilmu kafiri ndacha kama hataki kuelewa atakua hataki tu kwa sababu atembee na magari makubwa nyumba yafakhari na kadhalik

  • @MbiziKarim
    @MbiziKarim Месяц назад

    Asalam alaikhum warahmatullahi wabarakatuhu, naam sheikh wetu SHAAFI , ALLAH akuhifadhi , akujalie mwisho mwema kabisa yaani weeye mwenye hawezi kuelewa mafundisho ,na maongezi yako ya ki DINI baasi huyo kiziwi wakweli kabisa. Duuuh unaneema ya kuelewisha mtuu mambo yakuhusu DINI

  • @dullahbatuf9223
    @dullahbatuf9223 Месяц назад

    Mashallah

  • @KhamisJuma-ni1vk
    @KhamisJuma-ni1vk Месяц назад

    Swadakta Sheikh Shafii

  • @hamzaswaibu9470
    @hamzaswaibu9470 Месяц назад

    Kweli Wakristo hawana hoja eti Mungu anasikia Luhga moja

  • @allyway999
    @allyway999 Месяц назад +1

    Shekhe wangu
    Wasipo kuelewa wanatakiwa waumbwe umpya hao bongo zao hao

  • @NkusiFred
    @NkusiFred Месяц назад +1

    Bwana similuzi katuleteye ndacha na majibu yaliyo na umakini

  • @zaburionlinetv6245
    @zaburionlinetv6245 Месяц назад +1

    Unaweza kuta huyu ndacha ndo vile vikatun vya kwenye tom and Jerry

  • @gibsonmomanyi2692
    @gibsonmomanyi2692 22 дня назад

    Jamani shafi Allah ni mungu yupi, wacha kueba swali la mwandishi

  • @franciscomtambakuluca2830
    @franciscomtambakuluca2830 Месяц назад +1

    Wewe subir Ndacha atakufundicha

    • @Z.O.666
      @Z.O.666 Месяц назад

      Labda kwa ndoto yako HUHAHE 😂

  • @fahadjiddawy835
    @fahadjiddawy835 Месяц назад +1

    Bwana Simulizi Allah akuongoze na wewe kwenye Dini ya Haki

  • @mozartshukuru8604
    @mozartshukuru8604 Месяц назад

    Shafi huna hoja kabisa
    Kutoka 34
    5 Bwana akashuka ndani ya lile wingu, akasimama pamoja naye huko, akalitangaza jina la Bwana.

  • @tsumamartin6878
    @tsumamartin6878 Месяц назад +1

    Twangoja mjadhala wako na ndacha

  • @moshantoj
    @moshantoj Месяц назад +1

    Vitu zinaongea kwa RUclips na hawawezi debate 😂😂😂

  • @PeninaElia-v3n
    @PeninaElia-v3n Месяц назад +1

    Wewe na kasauti lako hako ka pwani, huwezi simama na Ndacha.

    • @zaburionlinetv6245
      @zaburionlinetv6245 Месяц назад +1

      Atanyoshwa huyo mropokaji wenu wa Kikuyu Hadi akome

    • @johngerald4677
      @johngerald4677 Месяц назад

      Hata chembe shafii hamuwez ndacha sijui ata nisemeje

    • @zaburionlinetv6245
      @zaburionlinetv6245 Месяц назад

      @@johngerald4677 Sasa la kusema Hauna hauoni kama wewe na ndacha wote ni kundi moja? Na kwa HAKIKA hamna cha kusema

    • @nubianqueen6700
      @nubianqueen6700 Месяц назад

      Kweli ndacha Ana sauti kwa maana bila sauti Hawezi skizwa, hoja zake ni very illogical, makes you see his comprehension level. Iko chini sana.

    • @PeninaElia-v3n
      @PeninaElia-v3n Месяц назад

      Ndacha nimemfuatilia sana,Yuko very smart,na ana hoja zenye mashiko

  • @MbiziKarim
    @MbiziKarim Месяц назад

    Alafu kiswahili cha wachungaji Hua kina wasi wasi kueleweka , ila kiswahili cha sheikh wa kiisilam Hua kinaelewa swadaktaa . Sijui ni kwasababu gaani?

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary7410 Месяц назад

    Wee Penina wanapoongea wanaume usiongee usilete mambo ya ubaguzi wa maeneo. Huyu ni mwalimu anatusomesha na hajatukana mtu hapa. Penina tunakushangaa acha hizo sikiliza mwalimu kitu anachokisoma.

  • @isaackmlayy6228
    @isaackmlayy6228 Месяц назад

    nenda kwenye mdahalo acha kuongea kama chiwawa

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 Месяц назад

    Wewe ndo usije thubutu hata kidogo mdahalo nda ndacha bola ata ao wengine kina sule na mazinge

  • @MohamedMohamed-u3t1n
    @MohamedMohamed-u3t1n Месяц назад

    yani ndacha hoja zake anawalisha sana matango pori wakristo eti waislamu wana miungu wengi 😂😂😂 yeye anaesema yesu mungu na ana mungu wake ambae alimuabudu yeye ndio anasema ana mungu mmoja😂😂 halafu unasikia haleluya dunian hata muislamu nibaki peke angu na ndacha hawezi kunipa hoja ya kutetea ukristo mana hana hoja yenye nguvu hoja zake zaifu

  • @Elecovid
    @Elecovid 23 дня назад

    Umeshidwa mdahalooo😂😂😂😂😂😂

  • @AidanoSilvestreSabiniSabini
    @AidanoSilvestreSabiniSabini Месяц назад

    Wewe Shafi, elimu yako ni ndogo tu, kwanini unaitetea kutumia biblia na biblia sio kitabo cha Mungu?

    • @dullahbatuf9223
      @dullahbatuf9223 Месяц назад

      Hajatetea kupitia bibilia anamtolea mifano ambayo muulizaji ameuliza km ni hoja kwamb na kweny bibilia imezungumzwa hivy hivyo km anavyoijaj qurani bs na bibilia itakua pia imekosea .tatiz lako uelewa