MCH.NDACHA APANIA KUMBATIZA USTADHI SHAFII KWENYE MDAHALO, AWAPA ONYO MAZINGE NA MWAIPOPO
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- KUELEKEA MDAHALO MKUBWA WA KIIMANI KATI YA WAALIMU WA KIKRISTO KUTOKA KATIKA TAASISI YA BIBLIA NURU YA DUNIA DHIDI YA WAHADHIRI WA DINI YA KIISLAMU, MCHUNGAJI NDACHA AMEPANIA KUWANYOOSHA USTADHI SHAFII NA WEZAKE
Ndacha mungu yupo pamoja na wewe❤
kheri ni yake na shari pia ni yake m/mungu
Karibuni sana na Bwana atajitwalia utukufu katika mkutano huu
Ali kadogoo upo vzr sn MashALLAHu
Ndacha inabidi ubadilishwe jina na uitwe mtume Paulo kwa mataifa 🇮🇱🇹🇿
Karibuni sana dini zote mbili
NA PIA WANAOTAKA KUSILIMU WANAKARIBISHWA IN SHAA ALLAH
Kumfuata marehemu mud na ugonjwa
@@FridayMwassa Hatufuati kiumbe kilichoachwa uchi msalaban
Jamani wote tuliongalia video hii muende mkasachi Biblia nuru ya dunia tumchangie mwalimu anaekuja tanzania kuwakomboa waislamu wamjue Yesu kristo mbona hatuna umoja wakristo na hakuna mwalimu wa kiislamu anaemueza Ndacha atakaeguswa akachangie amen..
tuchangie kila mtu atoe mnataka Ndacha hadi aombe ombe mtaani jamani wakristo tuamke nawaomba plz🙏🙏🙏 mtu anahubiria waislamu wanatoka uislamu wanakuja ukristo anastahili pongezi na support kubwa sana masikae kimya watu wa Mungu amina namba zake zipo kwa RUclips channel yake
Big boss from kenya,Francis Ndacha
Na waislamu mwakaribishwa kwa ubatizo utakua umeokoa maisha yako amina
😄 nini maana ya ubatizo
@@abuumkota5505 ni kukua kiumbe kipya
Asalam aleykum ,zayyid kutoka kenya ,je naomba inshalkah siku moja hilo kundi nzima ya wahadiri mje kenya .
Vita kwa watu 100, kwa ntu moja na bado, Ndacha ❤❤❤❤
Niko 🇲🇿, naikubali shana kwa nkutano, ila tu Mazingue awezi kutoa elimu anakosoa shana. Ndacha❤❤❤.
Roho Wa Mungu na awaongoze walimu na WAchungaji kuufunuwa ukweli
In shaa allah safi sana
Incha allah meus shekhe.....que allah vos faça responder todas as perguntas dos kafiri incha allah
ubarikiwe sana ndacha
Ndacha bado sana
Ndacha tuwoneshe Yesu nimuchristo kwa Bible na Yesu alingia kwa kanisa na kanisa ngani?
Eti tuoneshe wapi Yesu ni mkristo, atakuwaje mkristo wakati yeye ndiyo Kristo?
@@sulimankarusi8345yani maswali yenu waislamu ni ya kijinga hivi hayo ni maswali ya kuuliza kweli? Yani mmekaririshwa maswali ya ajabu kweli. Mbona hata quran inatambua kua yesu ndiye Kristo kwani nyie huwa mnasoma au mnasomewa?😂 yani quran inamuita Yesu kristo halafu nyie mnauliza eti tuoneshe yesu ni mkristo 😂😂😂 halafu mnasimama hadharani mnauliza maswali kama hayo, someni muelewe acheni kukaririshwa vitu😂 Halafu mkielezewa jinsi kanisa lilivyotafsiriwa katika Biblia hamataki eti mnataka jinsi ilivyoandika quran ndio na Biblia iandike hivyo hivyo 😂 kwani hamjui kama quran iliandikwa ili kuipinga Biblia si ndio maana ikaandikwa kwa style ya kuipinga.
Kwa hiyo quran ikisema yesu ni muislam inamaanisha ni kweli alikuwa muislam? Sasa na ile kristo huwa mnaipeleka wapi?
Hebu sikiliza hoja yangu mimi ninavyouliza, kama Yesu alikuwa muislam alikuwa akiongozwa na quran ipi? Maana uislamu unaongozwa na quran na ndio kitabu mnaamini kilishushwa na ndio muongozo wa waislam, sasa hao manabii waliokuwa kabla ya Mohamad kina Mussa, Daudi, Ibrahimu waliongozwa na quran ipi? Au kuna uislamu pasipo quran? Hizi ndio hoja za kuuliza na mnatakiwa kujibu na sio nioneshe mohamad aliingia msikitini, mara alivaa kanzu, mara yesu aliingia kanisan 😂😂😂 vichekesho tu.
@@daudimichael7338barikiwa sana ww ni mkristo unaejielewa sikama wengine wakristo mbumbumbu!
@@sulimankarusi8345Soma Yohana 4:25-26
Wanaongea ila nitacheka wanapigwa 5 bila . Kwa yesu kila goti litakubali.
Mada ya siku ipi rasmi ya ibada Kwa mujibu wa maandiko mngeiweka pia.
@@PeninaElia-v3n Ibadan ni siku zote haina siku maalum
Ndacha anatafuta ushindi badala ya kufundisha
Ndacha anawafungua akili, muwache kukariri upuzi
✌️👊👍.
Ndacha wew ni mwalimu mzuri kwa imani yenu ya usabato na c ukristo hapana ni usabato shida yako ukizidiwa unaleta uhuni kwenye maandiko kwa kupotosha maana tunakufuatilia kwenye midaharo yako mingi unatabia ya kulazimisha tafsiri zako tofauti na ayaa inaeleza nin walimu wa kiislam kueni nae makini sana
Musije kishabiki waislam
Waislamu tunajielewa na tuna uhakika na maandiko yetu sio kupindisha maandiko
Kama Mazinge Yuko, lazima ushabiki ipatikane,, huyo ni comedian
@@leonardadd unamuogopa mazinge basi atakuwepo kama utatoka povu kula na sabuni
Itangaze Imani ya Christo Yesu. Usiitetee ju inajisimamia yenyewe.
Sisi tulio mbali In shaa Allah tutafatilia moja kwa moja RUclips.
Kubwa katika Hili Ni kupata elimu
Lakini wasije na kitabu cha pastor Mkorofi, Tafadhali rekebisha hapo
Ndacha ndio mwenye hoja za vitabu sie kitabu chetu ni qurani na hadithi sahihi za mtume Muhammad
Wachana nao, tutauliza wanatetea Muhammad au pastor mkorofi
@@leonardadd tunamtetea yesu sio Mungu ni mtu na mtume alietumwa kuja kuwaongoza watu tena waisraeli tu
@@Blessedboi8019 sie kitabu chetu kisicho na shaka na Quran ambayo imehifadhiwa na billions of people katika vifua neno kwa neno, wewe hushangai ulimwenguni kuna vitabu vingi sana ni kipi kilichohifadhiwa chote ktk vifua vya watu...muislam hamtegemei pastor mkorofi, mathayo au Luka hao ni watu kama Mimi na wewe tafuta injili alopewa yesu ya kiebrania Iko wapi uone kama biblia sio uzushi waloandika Paulo, mathayo, Luka na wengine mpaka barua za mapenzi zimo ndani
Ndacha karibu,huyo shafii ana mdomo sana
Safari hii ndacha kwisha in sha Allah,labda alete vitabu vyake vya uchochotoni.
Waislam watakoma
WEWE NA NDACHA NDIO MTAKOMA SUBIRI USIANZE KUPIGA KELELE SASA HIVI
Maashallah tunawakubali sana Wahadhiri wetu, Allah awahifadhi.
😂 haitokei
Itapendeza sana kama Wahadhiri watatu nao watakuwepo 1) Sheikh Sheikh Maulana, Dr Sule, Dr Rashid Pilingu.
NILIKUWA NAISUBIRI KWA HAMU::SHAFI KATAMBA SANA KATI KATI APA..😊
Mungu akubari ndacha kweli Mungu akulipe
Naisubiri live
Huyu kafir Ndacha bila kuunga unga maandiko hatoboi.Tumemuona sana Kenya kazi yake ni kuunga unga akishindwa kabis anatukana manabii.ALLAH awatangulie wahadhir wetu vipenz.Tunawapenda kwa ajili ya ALLAH Tabaraka Wataalah
Ndacha hatukani, Anasoma maandiko,,wala sio kutukana Wala kuandika kitabu
Km hamjui mziki wa ustadh shafii ndo mutauona anajua kujenga hoja
Unakopy kwa watu wazamani.
Luka 8:17 "Hakuna siri ambayo haitafichuliwa, wala hakuna jambo lililo fichika ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi."
INTERNET ITAMALIZA UISLAMU!!
LITABATIZWA JITU SKUIYO
Sahau
Vice pastor não estás bom,você não conhece ustadh shafim ele é o melhor que você
Sisi tuangalie tuache jazba. Tuangalie ukweli
Huu ndo utakua mdahalo rahisi kwa ndacha kuliko midahalo yote aliyowahi kuifanya ndacha..maana shafi ni ziro kabisa..hakuna analo lijua.
Tunasubiria Kwa hamu
Mazinge, alipigwa hapo tanga, sule alipumulia mashinehapo daa, licha ya hao watatu!? Kinyogori, yeye n hakun, shafiii ataona moto
Lazima mudje wengi kwa sababu Ndacha anae elimu kwa watu 100.
Elim kasomea chuo gani??
Keshaanza kubwabwaja ,ndacha lazima atoe vitabu vya uchochoron anajua kwa Quran haiwez lazima aomokote vitabu.
Huyu ndacha Hana ajuacho kuhusu midahalo ya dini yeye anatafuta umaarufu tuu KAZI yake nikupindisha maandiko ya quraan na bibliakwa ufahamu wake finyo
mimi nimeskiliza mikutano mingi ila sijawahiona wakristo wametoa andiko "ukristo ni dini" kiufupi wakristo in general hawana hoja za msingi, acha tuone iyo siku labda nitawaelewa 😂
Jamaa wa ndevu nying na miwani ameongea kwa hasira na hadi kutukana ndacha kwa kuambiwa ukweli 😂 bahati nzuri kamalizia kuwa waislam wao wanaua kwa kutetea muungu wao 😂 aisee Yesu akutangulie mtumishi wa Mungu ndacha.
ni UKAFIRI unawasumbua
halaf ww ni mpumbav alipotukana wapi? acha kusema uongo
Mungu akajifunue ktk Imani aliyoagize ikajitwalie utukufu.
Eee tunnaona wanaoua watu Ukraine ni waislamu, wanaoua watu Palestine ni waislamu, Hitler alikuwa muislam, congo wanaoua ni waislamu...acha chuki na waislamu na huyo ndacha hana hoja kwa uislamu na tunashukuru sana watu wanajuwa haki na wanasilimu, sie tunamtumia ndacha kama ubao wa kufundishia watu.
yani mna kusanyana wotee kwa mtuu mmojqa ndacha kweli ndacha wewe nitishio kubwa unahitaji ulinzi wa mungu nakibinadamu wewe sio wakawaida vijana mpaka mababu wakuja kupambana namtuu mmojaaa
@@adoniemanuel908 ndacha wenu c mbishi sana muachen aendelee kutapatapa
Ndacha atashinda tu
Amshinde nani?
Uyu dawa yake ni kinyogoli😂😂😂
Nauliza huu mdahalo itakuwa Tarehe 23/8/2024?
@@kombomakame9541 ndiyo mpaka tarehe 25
@@SIMULIZIZONE Sawa tuko pamoja.
Ndacha ni mtu wa kupindisha ulimi TU. Hana lolote.
Ndacha una kazi ndogo na nyepesi sana. Ukisha wathibitishia Waislamu ni kwa vipi Muhammad hakutumwa na Mungu, basi ndiyo utakuwa mwisho wa mdahalo. Maana yake ni kwamba, Muhammad atathibitika ni nabii wa uongo na Quran yake automatically ni uongo pia, kwasababu nabii wa Uongo hawezi kuwa na kitabu cha kweli kutoka kwa Mungu wa kweli. Kwahiyo mada nyingine zitakazofuata kuuhusu Uislam zitakuwa zimekufa, hakuna cha aya fulani mtume amesema hivi au vile, utakuwa ni uongo uleule tu kwasababu Quran si ya kweli kwa kuwa Muhammad aliyeileta hakutumwa na Mungu. Kikubwa zaidi kama Muhammad hakutumwa na Mungu basi tutajua aliyemtuma ni nani au ni akina nani au kama alijituma tu mwenyewe, tutajua. Kila laheri Mwalimu Ndacha, ukavuviwe na Roho Mtakatifu ukanene kwa ujasiri na Mungu atajitukuza mwenyewe katikati ya Waislamu na kila mtu atajua na kukiri kuwa Mungu wa wakristo ndiyo wa kweli na ndiyo anapaswa kuabudiwa.
Huna llte kelele tu
Wewe ndacha ni mpuuzi tupu! Itakuwaje Mariam, Yohana na Zakaria wa Muombe Yesu kipindi Yesu alikuwa tumboni mwa Mariam?
Tatizo la ndacha utafsiri quran visivyo
Mkiambiwa ukweli mnasema hivo😂😂😂
ukweli hautoki kwenye maneno ya mtu (biblia)
@@randomclips5474 quran si maneno ya mtu kama biblia ilivyo chomekwa maneno ni watu
esse pastor é maluco
Imani ya wakristo na na mungu na ya kristo. Ndo nini unaongea? Wacheni kujitifua vichwa nyie!
hkn KAFIRI yyt ukiwemo na ww ndacha anayeweza kuuchallange uislam, coz maneno yt hayo lkn unashindwa kutoa andiko kwnye biblia kuwa ukristo ni dini ni UKAFIRI tuu unakusumbua ndacha
😂😂😂 choko kweli sasa Kati Wakristo na waislam nani kafiri Kwanza mkristo kufanya mjadala na mwislam ni kujishusha Sana maana , mkristo anatakiwa kufanya mjadara na myahudi sababu wayahudi ndo wasomi na Wanajua dini
Munakuwa wajinga mpaka kuteteya Yohana já batiza Mungu? Ujinga tupu!
Wewe unataka mdahalo au unamtakaa Shafi wacha kujisifu Dini ni Islam piga kelele mpaka uchoke
Ndo nini sasa ndacha Acha ujinga
Wewe ni wa kwanza jinga auna akili.
Waislam watakoma
Kwa kubwa lipi