MCH.NDACHA APANIA KUMBATIZA USTADHI SHAFII KWENYE MDAHALO, AWAPA ONYO MAZINGE NA MWAIPOPO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • KUELEKEA MDAHALO MKUBWA WA KIIMANI KATI YA WAALIMU WA KIKRISTO KUTOKA KATIKA TAASISI YA BIBLIA NURU YA DUNIA DHIDI YA WAHADHIRI WA DINI YA KIISLAMU, MCHUNGAJI NDACHA AMEPANIA KUWANYOOSHA USTADHI SHAFII NA WEZAKE

Комментарии • 106

  • @franciscomtambakuluca2830
    @franciscomtambakuluca2830 29 дней назад +6

    Ndacha mungu yupo pamoja na wewe❤

    • @abuumkota5505
      @abuumkota5505 29 дней назад

      kheri ni yake na shari pia ni yake m/mungu

  • @funakoshtadash6163
    @funakoshtadash6163 29 дней назад +3

    Karibuni sana na Bwana atajitwalia utukufu katika mkutano huu

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 29 дней назад +3

    Ali kadogoo upo vzr sn MashALLAHu

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 29 дней назад +4

    Ndacha inabidi ubadilishwe jina na uitwe mtume Paulo kwa mataifa 🇮🇱🇹🇿

  • @hamisikeneth2332
    @hamisikeneth2332 29 дней назад +2

    Karibuni sana dini zote mbili

  • @MasoudBanda
    @MasoudBanda 29 дней назад +2

    NA PIA WANAOTAKA KUSILIMU WANAKARIBISHWA IN SHAA ALLAH

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 29 дней назад

      Kumfuata marehemu mud na ugonjwa

    • @aishahazary4097
      @aishahazary4097 29 дней назад

      ​@@FridayMwassa Hatufuati kiumbe kilichoachwa uchi msalaban

    • @JanethAnton-fx1mk
      @JanethAnton-fx1mk 28 дней назад

      Jamani wote tuliongalia video hii muende mkasachi Biblia nuru ya dunia tumchangie mwalimu anaekuja tanzania kuwakomboa waislamu wamjue Yesu kristo mbona hatuna umoja wakristo na hakuna mwalimu wa kiislamu anaemueza Ndacha atakaeguswa akachangie amen..
      tuchangie kila mtu atoe mnataka Ndacha hadi aombe ombe mtaani jamani wakristo tuamke nawaomba plz🙏🙏🙏 mtu anahubiria waislamu wanatoka uislamu wanakuja ukristo anastahili pongezi na support kubwa sana masikae kimya watu wa Mungu amina namba zake zipo kwa RUclips channel yake

  • @tsumamartin6878
    @tsumamartin6878 29 дней назад +1

    Big boss from kenya,Francis Ndacha

  • @JohnOuya-w7j
    @JohnOuya-w7j 29 дней назад

    Na waislamu mwakaribishwa kwa ubatizo utakua umeokoa maisha yako amina

    • @abuumkota5505
      @abuumkota5505 29 дней назад

      😄 nini maana ya ubatizo

    • @JohnOuya-w7j
      @JohnOuya-w7j 29 дней назад

      @@abuumkota5505 ni kukua kiumbe kipya

  • @zaddyhassan
    @zaddyhassan 29 дней назад +2

    Asalam aleykum ,zayyid kutoka kenya ,je naomba inshalkah siku moja hilo kundi nzima ya wahadiri mje kenya .

  • @AidanoSilvestreSabiniSabini
    @AidanoSilvestreSabiniSabini 29 дней назад

    Vita kwa watu 100, kwa ntu moja na bado, Ndacha ❤❤❤❤

  • @AidanoSilvestreSabiniSabini
    @AidanoSilvestreSabiniSabini 29 дней назад

    Niko 🇲🇿, naikubali shana kwa nkutano, ila tu Mazingue awezi kutoa elimu anakosoa shana. Ndacha❤❤❤.

  • @user-mb7on7tu3r
    @user-mb7on7tu3r 27 дней назад

    Roho Wa Mungu na awaongoze walimu na WAchungaji kuufunuwa ukweli

  • @سعدياقوت-ت2خ
    @سعدياقوت-ت2خ 29 дней назад

    In shaa allah safi sana

  • @ibraimodinodino828
    @ibraimodinodino828 29 дней назад

    Incha allah meus shekhe.....que allah vos faça responder todas as perguntas dos kafiri incha allah

  • @ogingawagara8695
    @ogingawagara8695 29 дней назад

    ubarikiwe sana ndacha

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 29 дней назад +2

    Ndacha bado sana

    • @sulimankarusi8345
      @sulimankarusi8345 29 дней назад +3

      Ndacha tuwoneshe Yesu nimuchristo kwa Bible na Yesu alingia kwa kanisa na kanisa ngani?

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 29 дней назад +1

      Eti tuoneshe wapi Yesu ni mkristo, atakuwaje mkristo wakati yeye ndiyo Kristo?

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 29 дней назад

      ​@@sulimankarusi8345yani maswali yenu waislamu ni ya kijinga hivi hayo ni maswali ya kuuliza kweli? Yani mmekaririshwa maswali ya ajabu kweli. Mbona hata quran inatambua kua yesu ndiye Kristo kwani nyie huwa mnasoma au mnasomewa?😂 yani quran inamuita Yesu kristo halafu nyie mnauliza eti tuoneshe yesu ni mkristo 😂😂😂 halafu mnasimama hadharani mnauliza maswali kama hayo, someni muelewe acheni kukaririshwa vitu😂 Halafu mkielezewa jinsi kanisa lilivyotafsiriwa katika Biblia hamataki eti mnataka jinsi ilivyoandika quran ndio na Biblia iandike hivyo hivyo 😂 kwani hamjui kama quran iliandikwa ili kuipinga Biblia si ndio maana ikaandikwa kwa style ya kuipinga.
      Kwa hiyo quran ikisema yesu ni muislam inamaanisha ni kweli alikuwa muislam? Sasa na ile kristo huwa mnaipeleka wapi?
      Hebu sikiliza hoja yangu mimi ninavyouliza, kama Yesu alikuwa muislam alikuwa akiongozwa na quran ipi? Maana uislamu unaongozwa na quran na ndio kitabu mnaamini kilishushwa na ndio muongozo wa waislam, sasa hao manabii waliokuwa kabla ya Mohamad kina Mussa, Daudi, Ibrahimu waliongozwa na quran ipi? Au kuna uislamu pasipo quran? Hizi ndio hoja za kuuliza na mnatakiwa kujibu na sio nioneshe mohamad aliingia msikitini, mara alivaa kanzu, mara yesu aliingia kanisan 😂😂😂 vichekesho tu.

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 29 дней назад

      ​@@daudimichael7338barikiwa sana ww ni mkristo unaejielewa sikama wengine wakristo mbumbumbu!

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 29 дней назад

      ​@@sulimankarusi8345Soma Yohana 4:25-26

  • @petermgonja8547
    @petermgonja8547 28 дней назад +1

    Wanaongea ila nitacheka wanapigwa 5 bila . Kwa yesu kila goti litakubali.

  • @PeninaElia-v3n
    @PeninaElia-v3n 29 дней назад +2

    Mada ya siku ipi rasmi ya ibada Kwa mujibu wa maandiko mngeiweka pia.

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 29 дней назад

      @@PeninaElia-v3n Ibadan ni siku zote haina siku maalum

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 29 дней назад +2

    Ndacha anatafuta ushindi badala ya kufundisha

    • @leonardadd
      @leonardadd 28 дней назад

      Ndacha anawafungua akili, muwache kukariri upuzi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 28 дней назад

    ✌️👊👍.

  • @isihakajarika2668
    @isihakajarika2668 29 дней назад

    Ndacha wew ni mwalimu mzuri kwa imani yenu ya usabato na c ukristo hapana ni usabato shida yako ukizidiwa unaleta uhuni kwenye maandiko kwa kupotosha maana tunakufuatilia kwenye midaharo yako mingi unatabia ya kulazimisha tafsiri zako tofauti na ayaa inaeleza nin walimu wa kiislam kueni nae makini sana

  • @LuisFaustinoLuis
    @LuisFaustinoLuis 29 дней назад +2

    Musije kishabiki waislam

    • @samxx411
      @samxx411 29 дней назад +1

      Waislamu tunajielewa na tuna uhakika na maandiko yetu sio kupindisha maandiko

    • @leonardadd
      @leonardadd 28 дней назад

      Kama Mazinge Yuko, lazima ushabiki ipatikane,, huyo ni comedian

    • @samxx411
      @samxx411 28 дней назад

      @@leonardadd unamuogopa mazinge basi atakuwepo kama utatoka povu kula na sabuni

  • @jacksonnzai1593
    @jacksonnzai1593 29 дней назад

    Itangaze Imani ya Christo Yesu. Usiitetee ju inajisimamia yenyewe.

  • @meekman1805
    @meekman1805 29 дней назад

    Sisi tulio mbali In shaa Allah tutafatilia moja kwa moja RUclips.

  • @abasingaruka1872
    @abasingaruka1872 29 дней назад

    Kubwa katika Hili Ni kupata elimu

  • @Blessedboi8019
    @Blessedboi8019 29 дней назад +2

    Lakini wasije na kitabu cha pastor Mkorofi, Tafadhali rekebisha hapo

    • @samxx411
      @samxx411 29 дней назад

      Ndacha ndio mwenye hoja za vitabu sie kitabu chetu ni qurani na hadithi sahihi za mtume Muhammad

    • @leonardadd
      @leonardadd 28 дней назад

      Wachana nao, tutauliza wanatetea Muhammad au pastor mkorofi

    • @samxx411
      @samxx411 28 дней назад

      @@leonardadd tunamtetea yesu sio Mungu ni mtu na mtume alietumwa kuja kuwaongoza watu tena waisraeli tu

    • @samxx411
      @samxx411 28 дней назад

      @@Blessedboi8019 sie kitabu chetu kisicho na shaka na Quran ambayo imehifadhiwa na billions of people katika vifua neno kwa neno, wewe hushangai ulimwenguni kuna vitabu vingi sana ni kipi kilichohifadhiwa chote ktk vifua vya watu...muislam hamtegemei pastor mkorofi, mathayo au Luka hao ni watu kama Mimi na wewe tafuta injili alopewa yesu ya kiebrania Iko wapi uone kama biblia sio uzushi waloandika Paulo, mathayo, Luka na wengine mpaka barua za mapenzi zimo ndani

  • @PeninaElia-v3n
    @PeninaElia-v3n 29 дней назад +1

    Ndacha karibu,huyo shafii ana mdomo sana

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga8384 29 дней назад

    Safari hii ndacha kwisha in sha Allah,labda alete vitabu vyake vya uchochotoni.

  • @LuisFaustinoLuis
    @LuisFaustinoLuis 29 дней назад +1

    Waislam watakoma

    • @AMINGULAMRASUL
      @AMINGULAMRASUL 29 дней назад

      WEWE NA NDACHA NDIO MTAKOMA SUBIRI USIANZE KUPIGA KELELE SASA HIVI

    • @meekman1805
      @meekman1805 29 дней назад

      Maashallah tunawakubali sana Wahadhiri wetu, Allah awahifadhi.

    • @randomclips5474
      @randomclips5474 29 дней назад

      😂 haitokei

  • @meekman1805
    @meekman1805 29 дней назад

    Itapendeza sana kama Wahadhiri watatu nao watakuwepo 1) Sheikh Sheikh Maulana, Dr Sule, Dr Rashid Pilingu.

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 29 дней назад

    NILIKUWA NAISUBIRI KWA HAMU::SHAFI KATAMBA SANA KATI KATI APA..😊

  • @Janvier-u4u
    @Janvier-u4u 29 дней назад

    Mungu akubari ndacha kweli Mungu akulipe

  • @georgeachiengrestinpeacebr7215
    @georgeachiengrestinpeacebr7215 29 дней назад

    Naisubiri live

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 29 дней назад

    Huyu kafir Ndacha bila kuunga unga maandiko hatoboi.Tumemuona sana Kenya kazi yake ni kuunga unga akishindwa kabis anatukana manabii.ALLAH awatangulie wahadhir wetu vipenz.Tunawapenda kwa ajili ya ALLAH Tabaraka Wataalah

    • @leonardadd
      @leonardadd 28 дней назад

      Ndacha hatukani, Anasoma maandiko,,wala sio kutukana Wala kuandika kitabu

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 29 дней назад +1

    Km hamjui mziki wa ustadh shafii ndo mutauona anajua kujenga hoja

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 29 дней назад +1

    Unakopy kwa watu wazamani.

  • @wakeshojana
    @wakeshojana 29 дней назад

    Luka 8:17 "Hakuna siri ambayo haitafichuliwa, wala hakuna jambo lililo fichika ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi."
    INTERNET ITAMALIZA UISLAMU!!

  • @wasaficlassicshoes
    @wasaficlassicshoes 29 дней назад

    LITABATIZWA JITU SKUIYO

  • @ibraimodinodino828
    @ibraimodinodino828 29 дней назад

    Vice pastor não estás bom,você não conhece ustadh shafim ele é o melhor que você

  • @petermgonja8547
    @petermgonja8547 28 дней назад

    Sisi tuangalie tuache jazba. Tuangalie ukweli

  • @MiziziMti
    @MiziziMti 28 дней назад

    Huu ndo utakua mdahalo rahisi kwa ndacha kuliko midahalo yote aliyowahi kuifanya ndacha..maana shafi ni ziro kabisa..hakuna analo lijua.

  • @iddyhassan7666
    @iddyhassan7666 29 дней назад

    Tunasubiria Kwa hamu

  • @petermgonja8547
    @petermgonja8547 28 дней назад

    Mazinge, alipigwa hapo tanga, sule alipumulia mashinehapo daa, licha ya hao watatu!? Kinyogori, yeye n hakun, shafiii ataona moto

  • @AidanoSilvestreSabiniSabini
    @AidanoSilvestreSabiniSabini 29 дней назад

    Lazima mudje wengi kwa sababu Ndacha anae elimu kwa watu 100.

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga8384 29 дней назад

    Keshaanza kubwabwaja ,ndacha lazima atoe vitabu vya uchochoron anajua kwa Quran haiwez lazima aomokote vitabu.

  • @AbdulkarimShosi
    @AbdulkarimShosi 29 дней назад

    Huyu ndacha Hana ajuacho kuhusu midahalo ya dini yeye anatafuta umaarufu tuu KAZI yake nikupindisha maandiko ya quraan na bibliakwa ufahamu wake finyo

  • @randomclips5474
    @randomclips5474 29 дней назад

    mimi nimeskiliza mikutano mingi ila sijawahiona wakristo wametoa andiko "ukristo ni dini" kiufupi wakristo in general hawana hoja za msingi, acha tuone iyo siku labda nitawaelewa 😂

  • @Benjathekingofficialtv
    @Benjathekingofficialtv 29 дней назад

    Jamaa wa ndevu nying na miwani ameongea kwa hasira na hadi kutukana ndacha kwa kuambiwa ukweli 😂 bahati nzuri kamalizia kuwa waislam wao wanaua kwa kutetea muungu wao 😂 aisee Yesu akutangulie mtumishi wa Mungu ndacha.

    • @halidimgonza5945
      @halidimgonza5945 29 дней назад

      ni UKAFIRI unawasumbua

    • @halidimgonza5945
      @halidimgonza5945 29 дней назад

      halaf ww ni mpumbav alipotukana wapi? acha kusema uongo

    • @Dominant97
      @Dominant97 29 дней назад

      Mungu akajifunue ktk Imani aliyoagize ikajitwalie utukufu.

    • @samxx411
      @samxx411 29 дней назад

      Eee tunnaona wanaoua watu Ukraine ni waislamu, wanaoua watu Palestine ni waislamu, Hitler alikuwa muislam, congo wanaoua ni waislamu...acha chuki na waislamu na huyo ndacha hana hoja kwa uislamu na tunashukuru sana watu wanajuwa haki na wanasilimu, sie tunamtumia ndacha kama ubao wa kufundishia watu.

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 29 дней назад

    yani mna kusanyana wotee kwa mtuu mmojqa ndacha kweli ndacha wewe nitishio kubwa unahitaji ulinzi wa mungu nakibinadamu wewe sio wakawaida vijana mpaka mababu wakuja kupambana namtuu mmojaaa

    • @mustafamasudi8093
      @mustafamasudi8093 29 дней назад

      @@adoniemanuel908 ndacha wenu c mbishi sana muachen aendelee kutapatapa

  • @LuisFaustinoLuis
    @LuisFaustinoLuis 29 дней назад

    Ndacha atashinda tu

  • @bakarimakomola
    @bakarimakomola 29 дней назад +1

    Uyu dawa yake ni kinyogoli😂😂😂

  • @kombomakame9541
    @kombomakame9541 29 дней назад

    Nauliza huu mdahalo itakuwa Tarehe 23/8/2024?

    • @SIMULIZIZONE
      @SIMULIZIZONE  29 дней назад

      @@kombomakame9541 ndiyo mpaka tarehe 25

    • @kombomakame9541
      @kombomakame9541 28 дней назад

      @@SIMULIZIZONE Sawa tuko pamoja.
      Ndacha ni mtu wa kupindisha ulimi TU. Hana lolote.

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 29 дней назад

    Ndacha una kazi ndogo na nyepesi sana. Ukisha wathibitishia Waislamu ni kwa vipi Muhammad hakutumwa na Mungu, basi ndiyo utakuwa mwisho wa mdahalo. Maana yake ni kwamba, Muhammad atathibitika ni nabii wa uongo na Quran yake automatically ni uongo pia, kwasababu nabii wa Uongo hawezi kuwa na kitabu cha kweli kutoka kwa Mungu wa kweli. Kwahiyo mada nyingine zitakazofuata kuuhusu Uislam zitakuwa zimekufa, hakuna cha aya fulani mtume amesema hivi au vile, utakuwa ni uongo uleule tu kwasababu Quran si ya kweli kwa kuwa Muhammad aliyeileta hakutumwa na Mungu. Kikubwa zaidi kama Muhammad hakutumwa na Mungu basi tutajua aliyemtuma ni nani au ni akina nani au kama alijituma tu mwenyewe, tutajua. Kila laheri Mwalimu Ndacha, ukavuviwe na Roho Mtakatifu ukanene kwa ujasiri na Mungu atajitukuza mwenyewe katikati ya Waislamu na kila mtu atajua na kukiri kuwa Mungu wa wakristo ndiyo wa kweli na ndiyo anapaswa kuabudiwa.

  • @khalfansaid4756
    @khalfansaid4756 29 дней назад

    Huna llte kelele tu

  • @jumahenriquesgeraldo9837
    @jumahenriquesgeraldo9837 29 дней назад

    Wewe ndacha ni mpuuzi tupu! Itakuwaje Mariam, Yohana na Zakaria wa Muombe Yesu kipindi Yesu alikuwa tumboni mwa Mariam?

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 29 дней назад

    Tatizo la ndacha utafsiri quran visivyo

    • @charlesboniphace2249
      @charlesboniphace2249 29 дней назад

      Mkiambiwa ukweli mnasema hivo😂😂😂

    • @randomclips5474
      @randomclips5474 29 дней назад

      ukweli hautoki kwenye maneno ya mtu (biblia)

    • @jimjam-xg7rv
      @jimjam-xg7rv 28 дней назад

      @@randomclips5474 quran si maneno ya mtu kama biblia ilivyo chomekwa maneno ni watu

  • @ibraimodinodino828
    @ibraimodinodino828 29 дней назад

    esse pastor é maluco

  • @jumahenriquesgeraldo9837
    @jumahenriquesgeraldo9837 29 дней назад

    Imani ya wakristo na na mungu na ya kristo. Ndo nini unaongea? Wacheni kujitifua vichwa nyie!

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 29 дней назад

    hkn KAFIRI yyt ukiwemo na ww ndacha anayeweza kuuchallange uislam, coz maneno yt hayo lkn unashindwa kutoa andiko kwnye biblia kuwa ukristo ni dini ni UKAFIRI tuu unakusumbua ndacha

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 29 дней назад

      😂😂😂 choko kweli sasa Kati Wakristo na waislam nani kafiri Kwanza mkristo kufanya mjadala na mwislam ni kujishusha Sana maana , mkristo anatakiwa kufanya mjadara na myahudi sababu wayahudi ndo wasomi na Wanajua dini

  • @jumahenriquesgeraldo9837
    @jumahenriquesgeraldo9837 29 дней назад

    Munakuwa wajinga mpaka kuteteya Yohana já batiza Mungu? Ujinga tupu!

  • @zeharaz4116
    @zeharaz4116 29 дней назад

    Wewe unataka mdahalo au unamtakaa Shafi wacha kujisifu Dini ni Islam piga kelele mpaka uchoke

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 29 дней назад

    Ndo nini sasa ndacha Acha ujinga

  • @LuisFaustinoLuis
    @LuisFaustinoLuis 29 дней назад +3

    Waislam watakoma

    • @samxx411
      @samxx411 29 дней назад

      Kwa kubwa lipi