KISANGA: RC HAPI YAMKUTA MAZITO, APEWA AMRI NZITO NA MWANANCHI WAKE - "SIO OMBI NI AMRI..."
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- KISANGA: RC HAPI YAMKUTA MAZITO, APEWA AMRI NZITO NA MWANANCHI WAKE - "SIO OMBI NI AMRI..."
Mkuu wa Mkoa wa Mara Ally Hapi, amekutana na kisanga cha aina yake baada ya kujikuta akipewa amri na mwananchi wake alipokuwa kwenye mkutano na wananchi Wilaya ya Bunda.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Nilicho kishukuru tu alitambua anae mweleza kero zake ni mh 👏👏👏🙌🙌😃🏃🏃
Basi manaa
Nampenda mheshimiwa Ally Happy sana yan sanaaaa hanaga uvimbe kazin anaenda haki kwa haki na inapatikana vzr mno
Hii approach ya huyu jamaa nimeipenda,km kuna biashara inaendelea hapo iweje choo hakifanyi kazi!?chezea mura ww!hakuna nidhamu ya uoga👏
Ifike time tuwe wakali. Huyu mwanaume💪💪💪
Salute jamaa yangu
Huyu mlevi kabisa...
Safi sana Kamanda umekuwa mzalendo na changamoto ya Ujenzi wa Vyoo imetatuliwa. Huduma za Jamii ni muhimu sana katika maeneo ya Mikusanyiko Mikubwa ya Watu kama Soko, Shule n.k. Mkuu wa Mkoa Ali Hapi endelea kuchapa kazi. Tanzania Imara Kazi Iendelee Usiku na Mchana Iwe Masika Iwe Kiangazi Maendeleo ni Wajibu Wetu Sote.🇹🇿🇹🇿
Hii imetulia na imekaa vizuri
RC Hapi nimeona raha kutuona tena. Kwa utulivu bila ya kupiga kifuwa, unawasikiliza wananchi wako Na kutimiza wajibu wako. Mungu akupe nguvu kama kiongozi na uvumilivu wa kuwasaidia wenye shida bila ya duku duku. Endelea na jazi baba.
Mwamba umetisha
Sisi wananchi ndo tumewaajiri Hawa viongozi kwa hiyo tuna haki ya kuwaamuru.Maana sisi ndiyo mabosi wao.Heko mzee!!
Viongozi wetu wana haki ya kuheshimiwa pia! Hawajaomba kushushiwa heshima! Adolf Hitler huyu... Amevuta bangi au ?
@@j.c.maxima816 hakuna kuheshimiwa,wafanye kazi na kuwajibika ipasavyo ndo heshima ifuate.huwezi kumheshimu kiongozi asiyewajibika na mwizi wa Mali ya umma.
@@ramadhanimbulu4941 Sasa Ally Happy hawajibiki ipasavyo? Sio haki wala utu kuzungumza naye hivyo, huku wakimkosea nidhamu... Wewe ulitaka Watz tuige mfano wa huyu kichaa Adolf Hitler ? Heshima yake mwenyewe iko wapi? Huyu Bwana kama mzazi ametoa mfano gani kwa Watoto wetu? Mwendawazimu tu huyu...
@@j.c.maxima816 hajakosewa nidhamu! hatupaswi kuomba kutekelezewa miradi ni kodi zetu.
Sikubaliani na ww! Hata kama ni kodi zetu, hatupaswi kuwa vituko na washamba! Agressivity haisaidii chochote, bali inakushushia heshima mwenyewe! Nikupe mfano mmoja tu, mtumishi wangu wa nyumbani nimemwajiri mwenyewe, anakula kwangu, analala kwangu, halafu ninamlipa mshahara kila mwisho wa mwezi... Lakini sizungumzi naye hivyo! Sio kwamba namuogopa wala nini, bali ni kwa malezi yangu, busara zangu, na heshima yangu... siwezi kufanya hivyo... Ee Mungu tusaidie Watoto wa Tz...
Safi sana nimeipenda hiyo, maana yeye ndiye muajiri lazima ampe kazi ya kufanya.
Na hayo macho yake kama kichaa... Apelekwe Milembe huyo...
Ally hapi mungu akujaalie sana
Mwenyenzi mungu akujalie mweshimiwa hapi
Mara oyeeeeeeeeeee😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂
Dah mkuu ukopoa sanaaaah wala huna hasira na wafuasi wako
Safi sanaa mara oyeee
Ally na viongozi wengine wazalendo Mungu awabariki na mfuatilie mienendo ya viongozi hawa wa chini wajanja wajanja
Watu kama hawa wanahitajika Tanzania maana bila hivi hawa viongozi watatuchezea sana wanakula mishahara tu choo kitumikeee choo muhimu jamani acha kabisa choo muhimu watu watumie
Alivyo chomekea sasa🤣🤣🤣🤣🤣Bunda tuna raha sana
Huo Mkoa unaitwa Mara ..Vita ni vita Muraa Mkoa huo hakuna kubembelezana bali ni amri kwenda Mbele na ndiyo maana Ukiwa unaingia huo Mkoa hukutani na kibao kilichoandikwa karibu Mara , badala yake kibao chake kimeandikwa "Sasa Unaingia Mara" unaona hata wageni wanatukaribisha kwa amri 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Serikali ya Samia inataka hivyo Oghambili sawa tata
😁😁😁 kazi iendelee hakuna kuleta uzembe hapo !.
Hapi pambambana ndg yangu huko nakuja ila hanna shida komaa mpaka wakikuamisha waandamane uludi nakuombea asubui njema na kazi njema
Safi sana mpe za USO huyo mkuu wa mkoa Hana maana hata kidogo
Alli happi ww ni jembe,kiongozi msikivu sana,na usie na hasira Allah akujaalie kila la kheri insha'Allah
Naomba Global TV mfuatilie kama Vyoo vimewekewa Miundo Mbinu ya Maji na Umeme ili Wananchi wapate huduma na Halmshauri ikusanye Mapato. Tanzania Imara Kazi Iendelee Usiku na Mchana Iwe Masika Iwe Kiangazi Maendeleo ni Wajibu Wetu Sote.🇹🇿🇹🇿
Rc Yuko vizuri
🤣😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣🤣😂😂🤣😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿RAHA SANA.
Aibu... Huyu sio Mtanzania... Watanzania wana hekima na busara... Huyu ana matatizo yake... Apelekwe Milembe tu... Pole Mheshimiwa Ally Happy! Napenda jinsi unavyotatua kero za Wananchi kwa utulivu... Mungu akutunze...
😀😀😀😀😀😀
@@j.c.maxima816 busara ya nini wewe acha kuharibu nchi,hapa ndio tulipofikia kiongozi unamheshimu kwakumwamrisha
@@j.c.maxima816 kwaiyo wewe mtanzania unasemaje sasa
😂😂😂😂🥰mkali sana hata bibi yake anajionea
Watu kama hao hawanaga unjanja kwa mwanamke,na pia ukumbuke hakuna mkata mgumu mbele ya chai😂😂😂
@@bernadethakahemele4609 🥰🥰🥰🥰kweli
Freshiiiii👍
Uwiiiiii huyu ndo anakuwa mume wako umekwisha!
🤣🤣🤣
Na hayo macho yake
Utajuwa ujui
Huyo basi ndie mlaini kama mtoto. Shida yake ni choo tuu. Akishapata kile cha kukaa mambo ni nyweee
Hiii siyo iringa mzee
Huyu ni 0.9% ya ukali wangu endapo mtanipa Nchi. Hivyo ushauri wangu kwenu msinipe
CHOO KITUMIKE 😁😁🤣🤣
Wenye mkoa wetu tnacomment wap..🤣
Tunasoma comment
@@lovedavie9621 😂😂
Hapo amepewa challenge afanye alioamrishwa au ameweke ndani kama kawaida yake
Ikiwezekana,mkuu wa mkoa huyu hamia songwe pia kuwa muumini wa kanisa la sabato,kwa sababu unaupenda ukweli
Hapo sasa
Sio ombi ni amri 🤣🤣🤣
Yuko sawa kwakuwa wao wako kwaajili ya kuwatumikia wananchi
Jamani uyu Mjita sio mkurya.
Walewale
Uhuru umezidi
Mtangazaji unazngua s ungeiacha habari yenyew inajieleza
Mh hapi habari Yako ? nimefurahi Sana kukuona Léo muda Sana .. sijakusikia wala kukuona nakutakia heri nafanaka kwa mwaka mpiya pamoja na familia Yako kazi ieendele mh
Unasikiaaaa wengine niwajanja wanjanja hahahaaha
Mmmhhh audhubilah minashaitwani rajiim hayomachoo kama umemtolea nduguyangu Ally happy ya Allah yupo mbeleyake nawala hayatamdhulukitu kwa idhini ya manani looooh kamtolee mkeo nawanao nyumbani mimachoyako hunamamlaka ya kwamamtisha wewe kuwa nahekima kwanza loooooh
Pole
Ndio serekali yetu inavyotaka
Kabisa
Duuuh
Mwamba umeitisha😄😄😄😄😄🤣🤣🇹🇿
Chacha mura ,vita ni vita muraaa
ukibidi inahitaji watu wa kujilipua
Alafu funaomba msiwe mnaongea sana nyie waandishi wa habar muwe mnaweka vitu husika sio kuweka sauti zenu wakat kuchwa cha habar mshaweka hukoo ni kukosea sana mnakuwa mnakela sana
Vita haina macho
Lkn ally happi ni kiongozi kweli kwani hapaniki paniki ovyo
Kabisa unajuwa viongozi wanamazoea nibora kuwaamrisha
yusuph bangi zinamsumbua
Duu hawa ndo wanafanya kabila letu kuitwa wakorofi!!!!
Na ni wakorofi kweli
Mkurya ndo alivyo
Huyu jamaa sio mkurya huyu ni mjita
Vita ni vita muraa
Mjita huyo,magesa
Wananchi wote ilipaswa tuwe hivi kwa tuliowaajiri
Ikosiku utakuwa raisi
Huyu mlevii kabisaa
Kwetuuu
Huyo akalale ndani siku 2 tu akakutane na wafungwa vichaa wenzie
Ukichaa wake uko wapi. Kudai haki
@@alphoncembasa1775 Kudai haki ni kitu kimoja... Lakini kuna namna ya kufikisha ujumbe ! Sio lazima uwe mshamba!
@@j.c.maxima816 j
ujasiri ndo uliofichua mambo hayo y ajabu, watu waog kama wew ni wasindikizajiiii
@@patrickjohn4135 Mimi sio mwoga... Hata kidogo... Lakini mimi sio kichaa wala mlevi kama huyo shujaa wako wa kinyonge...
Hahahahahaha
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂😂amken amken amken 😁😁😁😁😁😁😁😁😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbn unaongea ww
Huo mkoa.bangi sana
Hapo bangi Iko wapi au unalopoka tu. Huyu jamaa kaongea Kwa hisia Kali kwakuwa matatizo mengi ya wananchi hayatatuliki Kwa muda mwafaka .
Mlevi huyu... Inaonekana...
@@j.c.maxima816 bangi ni wewe sisi tume waajiri viongoz wakijisahau yatupas kuwakumbusha
Hiviikiwa hapootu unatowa mimacho kama hivoo huko kwako kuhaliganii kajifunze humti
Shii wewe
🤣🤣