HUYU HAPA MWALIMU KIGINGI WA LAW SCHOOL/ UKWELI HALISI HUU HAPA/ UDHALILISHAJI WATAJWA/ NI MTATA!!
HTML-код
- Опубликовано: 29 апр 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Mtangazaji makini sanaaaaaa
Mtu huyu makini sana alivutia usikivu wangu. nilitamani kusikia changamoto alizokumbana nazo katika safari yake ya elimu. Nilitaka sana kusikia hadithi yake, kujua asili yake ya kielimu, vikwazo alivyokumbana navyo, na jinsi anavyotazama kupunguza vikwazo hivyo kwa wanafunzi wengine. Pia ushauri wake kwa wenye shauku yakutaka kuwa wabobezi kwenye Sheria.
Mahojiano mazuri sana, Hongera kwa mtangazaji, utulivu, maswali yenye maana.
Hongera Sana mtangazaji
Shongaaa mtaalamu kabisa wa civili😅 mie namkubali sana hana bayaa kabsa wala wasimchafue kabsaa😀
Kaka yetu kabisaaa
Mtu na nusu yaani. Mimi hajunishika. Sema jamaa kanenepa sana.
Yuko vizuri
Endelea kula 30000 zetu
Mwalimu bora ni yule anayeweza kusoma na kutafiti fani yake kwa kiwango cha juu kabisa cha ujuzi uliopita na pia kuweza kuona fani yake inakokwenda na akachanganya hayo aliyoyapata kulingana na mitaala ya kile anachotakiwa kufundisha na awe na uwezo wa kuisafirisha elimu hiyo kutoka kwake kwenda kwa mwanafunzi wake na mwanafunzi huyo akaelewa alichofundishwa. Kama Mwalimu huyo hajayafanya hayo atakuwa halitendei haki joho la ualimu.
Mwanafunzi anaweza asielewe pia. Haitamaanisha kuwa mwalimu si bora. Inakua shida kama wooote hawajaelewa
Well noted@hampreyShonga
Keep it up Hon. Shonga