HUYU HAPA MWALIMU KIGINGI WA LAW SCHOOL/ UKWELI HALISI HUU HAPA/ UDHALILISHAJI WATAJWA/ NI MTATA!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 апр 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

Комментарии • 12

  • @user-so3gy2io8l
    @user-so3gy2io8l 25 дней назад +4

    Mtangazaji makini sanaaaaaa

  • @Mr.Kibabu
    @Mr.Kibabu 21 день назад +2

    Mtu huyu makini sana alivutia usikivu wangu. nilitamani kusikia changamoto alizokumbana nazo katika safari yake ya elimu. Nilitaka sana kusikia hadithi yake, kujua asili yake ya kielimu, vikwazo alivyokumbana navyo, na jinsi anavyotazama kupunguza vikwazo hivyo kwa wanafunzi wengine. Pia ushauri wake kwa wenye shauku yakutaka kuwa wabobezi kwenye Sheria.
    Mahojiano mazuri sana, Hongera kwa mtangazaji, utulivu, maswali yenye maana.

  • @mosesmdindile332
    @mosesmdindile332 25 дней назад +1

    Hongera Sana mtangazaji

  • @mourricetullah6519
    @mourricetullah6519 25 дней назад +3

    Shongaaa mtaalamu kabisa wa civili😅 mie namkubali sana hana bayaa kabsa wala wasimchafue kabsaa😀

  • @wilbroadgrarcian1259
    @wilbroadgrarcian1259 20 дней назад +1

    Kaka yetu kabisaaa

  • @jameskapele441
    @jameskapele441 25 дней назад +2

    Mtu na nusu yaani. Mimi hajunishika. Sema jamaa kanenepa sana.

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc 25 дней назад +2

    Yuko vizuri

  • @karushakamusa5525
    @karushakamusa5525 22 дня назад +1

    Endelea kula 30000 zetu

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p 25 дней назад +3

    Mwalimu bora ni yule anayeweza kusoma na kutafiti fani yake kwa kiwango cha juu kabisa cha ujuzi uliopita na pia kuweza kuona fani yake inakokwenda na akachanganya hayo aliyoyapata kulingana na mitaala ya kile anachotakiwa kufundisha na awe na uwezo wa kuisafirisha elimu hiyo kutoka kwake kwenda kwa mwanafunzi wake na mwanafunzi huyo akaelewa alichofundishwa. Kama Mwalimu huyo hajayafanya hayo atakuwa halitendei haki joho la ualimu.

    • @sheistheblackqueen
      @sheistheblackqueen 25 дней назад

      Mwanafunzi anaweza asielewe pia. Haitamaanisha kuwa mwalimu si bora. Inakua shida kama wooote hawajaelewa

  • @WakilimsomiHilaly
    @WakilimsomiHilaly 23 дня назад

    Well noted@hampreyShonga