MZEE MACHANO: NILIKUWA NAFUNGWA KILA ZIKIKARIBIA SHEREHE ZA MAPINDUZI/ TULIANZISHA CUF
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#MzeeMachano #Zanzibar
Ningependa Mahojiano yaendelee..Mzee Machano useme ukweli wote ili watoto wetu waelewe Faida na Hasara ya Vyama vingi na matokeo huko ZANZIBAR...Nimefurahi kukuona ukihojiwa na muandishi wa Habari..
Tatizo unakatisha mahojiano kinyambinyambi,,,hakuna hata kuaga yaani utadhani ulikatikiwa na umeme..ila kipindi kizuri.
🙏
Mzee machano umepambana sana
We bardhuli mbona umekata
Acha matusi wewe
Huyo nimuongo CUF muwazilishi ni ALI haji pandu huyundio muwanzilishi wa Chama cha CUF mzaliwa wa kusini unguja makunduchi
Amesema alishirikiana na wenzake kuunda chama hakusema yeye ndie alieunda chama cha CUF.
uwe unasikiliza sio unakurupuka kukoment
Hii ndio faida ya siasa