MKUU BANDARI DAR:ATATUA UTATA! SAKATA GHARAMA KUAGIZA GARI/KAMERA ZILIVYOREKODI MATUKIO/MENG YATAJWA
HTML-код
- Опубликовано: 1 апр 2024
- Exclusive na Mkurugenzi wa Bandari ya Dar Es Salaam, Mrisho Mrisho aeleza kwa kina zaidi kuhusiana na uendeshaji wa Bandari na masuala mbalimbali
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#bandari #mrishomrisho
Kua kiongoz yahitaji moyo kuwaingoza watu wengi mchanganyiko pia Kuna hitaji uvumlivu mungu akuongoze pia akupe wepesi wa kazi Yako
Aamin
Hongera sana , ufafanuz mzuri Mwenyezi Mungu azidi kukusimamia na kukuongoza "Aamyn
Kiongozi wetu huyo hata ukifika ofisini kwake anahuruma sana nilidhurumiwa gari alipambana Sana proud of you bro 😊
Wtz jiamini kuendesha bandari mnaweza ,Ni aibu kuleta wawekezaji wawaongezee ufanisi,Ni kupoteza fursa za uchumi za nchi unawapa utajiri mataifa mengine
Jamaa nondo sana anajua fika mambo anayosimamia 🙌🏾
Nice presentation
Proud of you brother chabu
Mkurugenzi uko makini katika uwajibikaji ubarikiwe sana
Kwanini mnachukua wote wakati tra wanachukua ni kwa ajili ya maendeleo. Punguzeni kodi mtapata zaidi magari yakiingia mengi
Ni aibu ilikuwa kuna meli za kisasa lakini eneo lenyewe sasa choka mbaya
Kamera zipo 480 unauwezo gani wa kutazama mwenyewe Mimi ofisini kwangu nina Kamera 16 lakini kuna matukio yananipita Sasa wewe nakushangaa kama unaweza kutazama Kamera zote hizo na ukajua kinachoendelea bandarini Ukitoka ofisini kwenda toilet ni vitu vingapi vinapita? Ukienda Breakfast,Lunch,Dinner ni vitu vinapita? Usifikiri Watanzania wote hawajitambui.................!
Kodi ni kubwa sana punguzeni
Kinacho niuzi Mimi nahagiza gari kutoka Japan kabra sijaonda gari nalikagua linakuwa na kila kitu yani Wheel Supana vitu vidogo wale wanao toa gari kwenda kuyaweka sehemu wanapo ya park kule ndio kunafanyika wizi wote fanyeni marekebisho
Wale watu wa verification unapotoa mzigo wanadai rushwa la sivyo wanakurudisha udaiwe hela zaidi kwa kisingizio kwamba ulicholipa si sahihi
Kitu kingine system calculator iliyopo mtandaoni mbona hua zinatofautiana sana na uharisia
Ndugu mwandishi hebu tuulizie kuhusu taratibu za kiutendaji(uendeshaji) baada ya kuingia mwekezaji DPW
Inatia uchungu sana juhudi zote za magufuli kuboresha bandari nch inufaike mama kanpa mwarabu
Mwalabu sio watu au vip njoo South Africa uwone Walabu wanavyo fanyakazi
Nadhani kwa tanzania mwandishi namba moja anaejua kuhoji mambo ya msingi ni huyu lambati
Hajibu maswli huyu Mkurugenzi!!!
Nadharia zaidi,huwa hafiki maeneo ya kazi... hakuna uhalisia kwenye maelezo yake
Kupitiliza kiwango cha abiria mbona ni kawaida kwa tunaosafiri tunajua mzee
Huyu anaambiwa/ anapewa taarifa akiwa anazunguka kwenye kiti cha kuzunguka
LANGO KUU LA UCHUMI NCHINI TZ (BAHARI) DUBAI WANA ELIMU YA BANDARI AMBAO HAWANA BAHARI. WATZ HAWAJASOMEA ITABIDI VYUO VISIENDELEE KUSAJILI WANAFUNZI VINAWAIBIA ADA ZAO.
Dubai ipo Bahari hebu jaribuni kufuatilia Vitu kambla ya Kuleta taarifa za Kijiweni