DAR24 YAMTUNUKU MZEE MAKOSA/ AFUNGUKA MAZITO MBELE YA MEYA/ "SIKUTARAJIA HAYA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 ноя 2022
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #IRINGA #MZEEMAKOSA #Dar24Media

Комментарии • 235

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Год назад +10

    Bila kumsahau Eddo Bashir alie anza nae mpeni like zake hapa

  • @jumamasoud1188
    @jumamasoud1188 Год назад +10

    Nimependa sana jitihada za Mzee Makosa pia Dar 24 nimependa sana mwandishi huna Roho mbaya kabisa Ongera sana Kaka.

  • @jumamasoud1188
    @jumamasoud1188 Год назад +11

    Safi sana, Wema siku zote hauozi, hongera mzee Makosa.

  • @PascalErnest
    @PascalErnest 21 день назад

    Makosa nimejifunza vingi kwako babA mungu akupe Maisha marefu mzee wetu🎉🎉❤❤

  • @sakuranitillya6088
    @sakuranitillya6088 Год назад +5

    Nimependa sanaaaa hongereni dar 24 huaga hamkoseagi hongereni sana

  • @rinasmart5123
    @rinasmart5123 Год назад +3

    Utambuliwaji wa watu muhimu kama Makosa ni kitu chenye maana na chenye matokeo chanya. Nimependa mtazamo na namna Makosa anavyoyachukulia maisha. Ana akili na upeo mkubwa pamoja na changamoto kubwa aliyoipitia.
    Nawashukuru nakuwapongeza Dar 24 kwa kulisukuma mbele hili swala la mchango wa Makosa. I just loved it. So very much.

  • @issaabdallah7660
    @issaabdallah7660 Год назад +5

    Hongera sana dar24 hakika mmefanya jambo kubwa sana mungu atawalipa

  • @bintalmasi2393
    @bintalmasi2393 Год назад +4

    Kazi nzuri Dar24, tunakushukuru Makosa kwa kutoa kwa jamii, Mungu akujalie heri.

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 Год назад +3

    Yaan naomba mpk Rais Samia amtambue apate kurudishiwa vitu vyake km zile ushuru walizomtoa wakati ilikuwa kwa faida ya nchi Ahsante Dar 24💪🏼

  • @bobboris4859
    @bobboris4859 Год назад +7

    MAKOSA THE LEGEND

  • @peterstewart9935
    @peterstewart9935 Год назад +4

    very interesting kwa kwel...Hongereni Dar24 na mzee makosa

  • @kelvinmsodoki7130
    @kelvinmsodoki7130 Год назад +6

    Mungu awabariki kwa huwo wema mliofanya

  • @asajilepiusmahenge5729
    @asajilepiusmahenge5729 Год назад +8

    Kweli maisha ni safari ndefu sana kikubwa ni kuishi na watu vizuri mzee makosa kweli una moyo mkubwa jinsi ulivyokuwa na majumba nk looh!🙏🙏🙏

  • @Winstonfying
    @Winstonfying Год назад +4

    Dar24 mmefanya jambo jema sana sana, nimejikuta na smile kwa ajili ya Makosa. Safi sana

  • @vom84
    @vom84 Год назад +6

    Mtabarikiwa sana Dar24

  • @stevenclaud6648
    @stevenclaud6648 Год назад +3

    Jambo kubwa sana dar24 kwa Mzee huyu ni shujaa wa kweli hongera

  • @fatumahamadi6072
    @fatumahamadi6072 24 дня назад

    Dar24 hongereni sanaa

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Год назад +5

    Dar 24 asanteni sana kiukweli

  • @angebizokunda3447
    @angebizokunda3447 Год назад +5

    Wow.❤

  • @salmaheri971
    @salmaheri971 Год назад +6

    Jambo la Baraka Sana kuona a naanza kuedhiwa

  • @ezekielloylepayon5042
    @ezekielloylepayon5042 Год назад +5

    Mungu nipe roho ya uvumilivu kama wa mzee makosa

  • @manchalijob9600
    @manchalijob9600 Год назад +4

    Daa machozi yananitoka anaongea kwa hisia sanaa na machungu ya selikali kuchukua pesa zake ❤❤ anko makosa

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Год назад +2

    Kuishi na mtu na kumpenda ni vitu viwili tofaut.💪🙏♥️

  • @davidadammssika3374
    @davidadammssika3374 Год назад +5

    @Dar 24 mmefanya kazi nzuri sana! Nimejifunza kitu kikubwa sana kutoka kwa Mzee Makosa

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 Год назад

      Niliomba msaada wao nikashindwa kusaidiwa kuna huyu tapeli anajiita Zabron C mwita, hili limtu limetapeli weng linazunguka kwenye mitandao kila media nakujifanya ana sitori ili awatapeli watu

  • @johnsondavid1619
    @johnsondavid1619 Год назад +4

    Dar24,
    Mmefanya kazi nzuri na kumbwa sana, Mbarikiwe

  • @user-gl6bl7rd1l
    @user-gl6bl7rd1l 3 месяца назад

    Mungu ambariki kwa kujari utu

  • @johnbosconagalau1586
    @johnbosconagalau1586 Год назад +1

    Dar24 mko sahihi sanaa sio kuonyesha mambo yasiyo na msingi huu ndio mfano mzuri vyombo vingine vya habari vijifunze kutoka kwenu nimewapenda sanaa

  • @jumaally7021
    @jumaally7021 Год назад +2

    Nikikosa kuwapa pongezi dar24 nitakua mchoyo na mdhaifu wa nafsi.
    Hongera kwa kazi nzuri hasa niliyoifuatilia kuhusu mzee makosa.
    Mungu awape nguvu,afya,imani na kipato kinachotoshereza kukuza kazi zenu

  • @suleimanpossa5474
    @suleimanpossa5474 Год назад +3

    Mr makosa ulinisaidia nikiwa nasoma Mkwawa na siku hiyo nilikua dispensary Yako kutibiwa. Nikafanyiwa vipimo nikalipia. Ila sikua na hela za kutosha kulipia dawa. Mr Makosa alinisaidia kupata dawa Toka dispensary yake bila kulipia. Natamani siku Moja nikutane nae nimpe japo laki 1

  • @tolepeter3538
    @tolepeter3538 2 месяца назад

    Pongezi sana kwa kumtambua Huyu bwana.Napenda habari za Tanzania.Salamu kutoka Kenya.🇰🇪

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Год назад +3

    Namkubali sana mjomba makosa. Mzalendo👏🇹🇿.

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Год назад +9

    Kupenda ni kitu automatic utokea yupo sawa, na ni kweli mtu anaweza kuishi na mtu na hasimpende na hii hipo katka mausiano

  • @bonaventuremwaipaja1938
    @bonaventuremwaipaja1938 Год назад +2

    Nimefurahi sana kufuatilia kipindi hiki cha Mzee MAKOSA kwa kweli ana IQ Kubwa Sana.
    Mfano aliposema *Kila Mwanafunzi aminishwe kupanda mti Mmoja tu kwa kipindi hicho cha Masomo yake 7 ya elimu ya msingi mti utakuwa mkubwa*
    Nipo Washington DC nawafuatilia Dar 24
    Shukrani

  • @apolinarytheking
    @apolinarytheking Год назад +1

    Dar24 mumejua kuonyesha upendo wa pekee kwa mzee wetu.Mungu awabariki sanaa.

  • @emmanuelbernard8628
    @emmanuelbernard8628 Год назад +3

    Hongera sana Dar 24

  • @user-zj6xn8dr4u
    @user-zj6xn8dr4u Месяц назад

    I'm watching it from south Africa

  • @fatumahamadi6072
    @fatumahamadi6072 24 дня назад

    Mashaallah mzee makosa alijitahid kufanya mazingira yapendeze

  • @manallayusuf4951
    @manallayusuf4951 Год назад +5

    Safi sana hongera makosa

    • @jamesmwakibinga4611
      @jamesmwakibinga4611 Год назад

      Sijawahi Kuchanga Michango ya Jamii za media... Uyu Mzee Mkianzisha Kampeni ya Saidia Kumuinua Makosa Mimi nitachanga.

  • @fadhilsalum2143
    @fadhilsalum2143 Год назад +1

    Nic 1❤

  • @patriciaboniface9975
    @patriciaboniface9975 Год назад +13

    Uyu mzee kanibadilisha sana moyo wangu kanifanya ninyanyuke nifute machozi niende mbele nakujipiga kifua kwamba kuanguka kimaisha si mwisho wa maisha mungu amtunze mr makosa

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper Год назад +2

      Hakika tupo wengi

    • @rubenprince8990
      @rubenprince8990 Год назад

      @@Josephineexsuper huyo mzee makosa maneno yote aliyoyasema mimi nimeyaweka moyoni mpaka nakufa naishi hapa AUSTRALIA 🇦🇺 lakini nimekubali mzee makosa ndo mpango mzima

  • @leonardnyange7152
    @leonardnyange7152 Год назад +12

    Uyu mzee anakitu kikubwa sema tz atuwezi kumuendo

  • @everlastthebad4441
    @everlastthebad4441 Год назад +1

    Dar24......hongereni kwa kazi nzuri ...kwa kazi kuu ya Mungu

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 Год назад +5

    Mngetengeneza GO FUND MAKOSA achangiwe chochote kilichopo.

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 Год назад

    Dar24 mkovizuuri sana hua nawafatilia sana 👍 MAKOSA nizaidi ya Stering, Bg up sanaa

  • @musamlulu2233
    @musamlulu2233 3 месяца назад

    Dar24 mmefanya jambo jema sana hii nimeitazama 2024 kwa mara ya kwanza ila imenigusa sana mungu awabarki muendelee kufanya vyema pia mungu ambariki mzee makosa huko aliko.

  • @neemalambo9790
    @neemalambo9790 Год назад

    Aisee bigup Dar 24. Nimeguswa sana na Makosa, Mungu amlejeshee hali yake kwa kuwa ni mtoa msaada

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 Год назад +2

    MashaAllah MashaAllah mungu ni mwema , tunaomba apatiwe mwanasheria mzuri hata wa serikali ili afuatiliwe Mali zake kama hospital na gesti zake zirudishwe kwenye mikono yake ,amefanya kazi kubwa baba wa watu halafu wakampola kirahisi inauma sana .Asante da24 Kwa kulitilia mkazo hongereni sana

    • @cathykayinga9327
      @cathykayinga9327 Год назад

      Hospital yake hakuzurumiwa ila aliuza mwenyewe na wake zake nilikua shahidi siku ya mauziano na walianza kdg kdg kuuza mara viti mara madawa mwisho hospital ikawa haina kitu ndio akanunua daktar alieitwa Dr Ngallah

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Год назад +18

    Kufilisika kwa wajasiriamali kama hawa iwe changamoto kwa wasomi wetu wanaotuaminisha kuwa na weledi ktk masuala ya uchumi na biashara. Mifumo ya uchumi ya Wenzetu wa huko "majuu" huwalinda sana entrepreneurs wa namna ya Mr. Makosa. Mfumo wetu wa Uchumi na biashara Tz, maafisa biashara wanafanyakazi ya kukamata na kufunga biashara za watu, siyo kuzifanya ziendelee. TRA, mabenki ya biashara siyo rafiki wa biashara na wafanyabiashara, na, ndiyo maana wengi wanajiingiza kwenye matumizi ya ushirikina "ndagu" kwa imani kulinda na kuendeleza biashara zao. Tanzania pagumu sana kufanya biashara.

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Год назад +3

    Bless up
    Stand up
    Jah bless you makosa

  • @filemonnoah9082
    @filemonnoah9082 Год назад +3

    Haijalishi style ya Maisha aliyo nayo, Haijalishi nyakati mbaya alizopitia wala haijalishi makosa aliyoyafanya katika maisha yake, Ila ijulikane Mungu hutumia vidhaifu kwa ajili ya utukufu wake! Yeye kuwajali wengine kuliko yeye mwenyewe ametimiza kile ambacho wanadamu wote tunapaswa kufanya kwa ajili ya wengine. Mungu anamuona na atambadilisha na kuwa bora zaidi na hata maisha yake yakikoma, kuna jambo la kujifunza atakaloliacha kwa vizazi vijavyo!...Lipo tumaini la mti kuwa ukatwapo huchipua tena.....! Ayubu 14:7-9

  • @jubilatemanase9050
    @jubilatemanase9050 Год назад +2

    Hawa ndo watu wa kuenziwa sasa cyo mtu anakuwa maarufu kwa kunywa pombe n.k tunategemea tumwone akialikwa bungeni na kwny majukwaa mengine 'big up dar 24 media my favorite online media👏

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper Год назад +3

      Wewe ni akili kubwa, NAUNGA mkono hoja yako. Watu kama Hawa wanastahili kupewa heshima na vyuo vikuu, pia kualikwa bungen. LAKINI maajabu hapa kwetu mlevi anakuwa recognized na anaalikwa bungeni, na wabunge wanamshangilia Kwa makofi😝😝

    • @dictarchelsea
      @dictarchelsea Год назад

      Halafu akishaitwa bungeni?

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 Год назад +2

    Wow Babaangu Makosa Leo apigwa na kitu kizito yani bong la surprise.ila nyie Dar 24 Mumebarikiwa sio kidongo na Mungu azidi kuwabariki bila kusahau wote ambao wameshiriki.nimeamini mazuri haozi

  • @edibilyedson6442
    @edibilyedson6442 Год назад +7

    Kaka asante kwa Interview makin, ila nakuomba kama ikiwezekana Serikali wafanye kumrudishia kias cha pesa yake iliyotaifishwa ili aweze endelea jimudu kimaisha na endelea mawazo yake ya kutunza mazingira. Kimsingi aliweka hazina ya badae japo watu hawakuitambua na serikal ikampiga nyundo japo ili lilikuwa suala la serikali flani na mfumo wake.

  • @maryamali5679
    @maryamali5679 Год назад

    Jamani makosa amenigusa sana,very smart, akumbukwe kitaifa kama balozi wa mazingira kitaifa.yaani dar 24 mmefanya jambo,mungu awabariki.

  • @emmanuelemmanuel3047
    @emmanuelemmanuel3047 Год назад +11

    anampenda sn Mumgu huyu mzee Mungu Ampe maisha mema

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Год назад +8

    Aisee nilifuatilia interview zz nyuma,mpka hii nimeifuatilia kiukweli Dar 24 mmefanya jambo kubwa sana la kutambua mchango wa mzee makosa,mwenyewe nimeanza kupanda miti kupitia mawazo niliyoyapata. Upendo mwingi kutoka hapa Finland 🇫🇮🇫🇮🤝

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper Год назад +2

      Safi sana. Kama upo Finland ukumbuke pia kurudi upande na huku nyumbani

  • @dhmraphael8484
    @dhmraphael8484 Месяц назад

    Nimependa sana kwa kwel

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha3698 Год назад +1

    Mzee Mungu akupe mrefu akujalie afya njema amin nimekupenda una hekima sana

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Год назад +12

    Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, msiishie kumpatia tuzo ya karatasi tu, mpangieni Mr. Makosa posho ya kila mwezi angalau 300,000/= pamoja na NHIF yake na mkewe, hii itakuwa hamasa kwa Wanairinga wengine kuupenda mkoa na Serikali yao.

  • @hendrycomonsiwenga1128
    @hendrycomonsiwenga1128 Год назад +2

    Wema ni Akiba, hongera sana Mzee Makosa! Unatunzo yako Mbinguni.

  • @elvismabena7630
    @elvismabena7630 Год назад

    pongezi nyingi sana kwenu da24 media kazi nzuri mwenyezi MUNGU azidi kuwabaliki

  • @user-zj6xn8dr4u
    @user-zj6xn8dr4u Месяц назад

    Even now we still watch it it's very interesting 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Год назад +9

    Tutakukumbuka mzee makosa kwa uhai wako huu god bless you

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Год назад +1

    Mh Mtangazaji Rambati 24 Mungu Asimame Nanyi Azidi Kuwainua Kwa Kazi Kubwa na Nzuri SANA Kwa Taifa letu la Tanzania na Dunia Jamani

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Год назад +8

    Nimemuelewa Mzee hapo amemaanisha Anaishi nae ki mazoea tu ila sio Love 💕 katika moyo anaishi nae ki mazoea tu Yani amemzoea hawezi kumkosa kwa mazoea aliojijengea kwake ila Hana Love 💕 kumoyo gwake😂😂😂😂😂😍😭

    • @happyhousekeeper
      @happyhousekeeper Год назад +1

      Haha inauma ukijua 😀😀 imbora angekuwa make ndio hapendi yeye .

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Год назад +2

    Makosa your servant of God, you did well in

  • @hamisinamanolo9570
    @hamisinamanolo9570 Год назад

    Dar 24 Ongereni sana kwa kupost vitu vya msingi na kuelimisha.

  • @mussajuma9044
    @mussajuma9044 Год назад

    Safi Sana kazi zuri dar 24

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 Год назад

    Asantee dar24 leo nimekutana na mtu mweny idea Yangu asantee Kwa kunipa nguvu

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 11 месяцев назад

    Mwaandishi uko vizuri

  • @thabitmolly6957
    @thabitmolly6957 Год назад

    Wema unaishi hongera Dar 24 hongera Mzee wangu Makosa kwa kuipendezesha Iringa

  • @abdallahmanula1627
    @abdallahmanula1627 Год назад +7

    Watu kama aho wachache duniani

  • @innocentpaulchillu1512
    @innocentpaulchillu1512 3 месяца назад

    you deserve credit mzee makosa,u did good job .mtu mmoja tu mzee makosa by then alifanya kitu ambacho wengi by then hakuona impact yake baadae lkn Leo watu wa iringa wana enjoy muonekano mzuri na hewa nzuri ,ingekuwaje kama wangetokea akina mzee makosa 100 hapo iringa kwa kipindi hicho? Hongereni dar24 media

  • @aminahassan4523
    @aminahassan4523 Год назад +1

    Love from Kenya 😍

  • @alexaugustino4644
    @alexaugustino4644 Год назад

    🙏🙏🙏dar24 kwa kuibua hili alisahaulika jaman makosa ahsante sana

  • @edwardmwakanolo1259
    @edwardmwakanolo1259 Год назад

    Pongezi nyingi sana kwenu Dar 24 kwa kazi nzuri,huyo mzee aungwe mkono kwa nguvu zote,ikiwezekana mbali na kuwa balozi wa Mazingira kwenu Dar 24 basi awe balozi pia mkoa wa Iringa upande wa mazingira,mzee anakitu kikubwa saba kichwani kwake kwa ustawi wa mazingira

  • @cuthbertbruce2098
    @cuthbertbruce2098 Год назад +4

    Sasa wale wafanyabiashara wakubwa wa Iringa wajitafakari Kama media inatoka dar na kuja kumshika mkono makosa wa Iringa na wao wapo serikali idara ya mazingira ipo haioni haja yakufanya kitu ni aibu sana

  • @sakayonsakihunga3496
    @sakayonsakihunga3496 Год назад

    Hongereni sana

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Год назад +1

    Hata kwa mungu kesho ana ujira mkubwa sana hiyo ni sandakan na hazina ya kudumu ❤❤❤❤❤❤

  • @gindamaster1784
    @gindamaster1784 Год назад

    Very impressed with this keep it up

  • @luhizomkombozi5763
    @luhizomkombozi5763 Год назад

    Duh!! Haya maisha tumwombe MUNGU tuwe na mwisho mwema!! Asanteni sana dar 24

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Год назад +2

    Yeah noma sana my brother 🔥🔥🔥🔥

  • @lorubaresimon2023
    @lorubaresimon2023 Год назад

    FANTASTIC

  • @danielmbalwa9307
    @danielmbalwa9307 Год назад

    Hongeraaa sanaaa Dar 24 kwa kumjalii nduguu yetuu makosaaa miakaa ya 1996 mpk 2000 nikiwa Iringaa

  • @fhfbfcvcgfggf6844
    @fhfbfcvcgfggf6844 Год назад +1

    Asante Sana baba mzee makosa

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 Год назад +1

    Hongereni Dar24 lkn kumbukeni awali alisema aliambiwa alipie miti alitopanda hapo mmepawekaje, japo jingine ni kuwa watu waache kupanda mti moja na sherere kwa kiongozi kumwagilia maji mti

  • @ezekielloylepayon5042
    @ezekielloylepayon5042 Год назад

    Hongera sana dar 24 hongera sana Mzee makosa, ila isije ikatokea baadae kuwa hizo miti zimeoteshwa na halimashauri kama kwa sasa ilivyokua kwa majaliwa aliyeokoa kwenye precision

  • @westonyjob1747
    @westonyjob1747 Год назад +4

    Makosa mpeni hella jamn maisha yeke yakae vizur naona ajaa kasawa vzr anawaza Mali zake

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Год назад +1

    good aidia

  • @mariamsalum640
    @mariamsalum640 Год назад

    Myngu amzidishie maisha marefu mzee makosa

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Год назад +3

    Nimependa makosa, nimkweli haongei uongo mbali na, kusema kuwa hampendi mkewe bali alimuita wakati anaulizwa nini afanyiwe anamthamini pia mkewe

  • @husseinsidibe4954
    @husseinsidibe4954 11 месяцев назад

    Mazungumzo Safi 👌🏾

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 Год назад +7

    Aisee huyu mzee ana IQ kubwa sana. Ningependa kumiona nakumshika mkono nakumshukuru kwa mchango wake

    • @tz5454
      @tz5454 Год назад

      Njoo nikupeleke

  • @martinmasaga4023
    @martinmasaga4023 Год назад +12

    Huyu ndio mfano bora zaidi wa kuitwa Daktari wa heshima, napendekeza apewe heshima hiyo pia Mali zake anazodai kudhurumiwa basi Serikali ifanyie kazi kujilizisha na kama itawezekana huyu mtu arudishie pesa zake hata kama sio zote.

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper Год назад +1

      Hakika, umewaza kama Mimi. Na wengi sana wamedhulumiwa haki na Mali zao. Kuna familia unaziona zinaishi maisha duni, lakini ukiwasikiliza story za maisha yao, wanakuonyesha majumba katkat ya miji na kusema Babu zao walidhulumiwa enzi hizo. Watu walidhulumiwa sana

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 Год назад +1

      Wadhuurumaji wapo wengi sana, Tunaomba serikali yetu itusaidie akina ZABRON C MWITA, ni tapeli alafu anajificha kwenye uchawi tunaomba viongozi wetu watusaidie

    • @laurinfred2931
      @laurinfred2931 Год назад

      @@dorcaskidoti249 huwa ni tapeli kumbe

    • @stephensinka5616
      @stephensinka5616 Год назад

      Yes good point

  • @MohamedAli-mv6dk
    @MohamedAli-mv6dk Год назад

    Hondera Dar24 kwa kumukubuka shuja mzee makosa kwa hodari wake wa ki pekee kwa kugusa mazingira mimi niko usa 🇺🇸

  • @angelinamwaimu
    @angelinamwaimu 7 месяцев назад

    Nampa big up

  • @gilbertmathias7594
    @gilbertmathias7594 Год назад

    Lambati nimependa sana dar 24 the best

  • @triphoniakinyaiya1068
    @triphoniakinyaiya1068 Год назад

    Big up makosa! Mungu azidi kukutunza nasi tuzidi kuiga mfano wako

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 Год назад +4

    Alipwe pesa kwa.kutunza mazingira, kama kumbusti kwenye pesa za dharura.

    • @shaniepallah1773
      @shaniepallah1773 Год назад +1

      Nakubaliana na mzee wetu kwa asilimia mia moja nikweli wengine wanaishi na wake ili wakuze familia ila sio kwa mapenzi

  • @ongeshabani8439
    @ongeshabani8439 Год назад +1

    Nimependa sana makosa jasiri ❤