MIMI NAMTAKA HUYU KAKA, ACHA AUZE JUICE MI SINA SHIDA, WASICHANA HAWANA MSIMAMO - HELLO MR. RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 дек 2023
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 40

  • @kudanatz9943
    @kudanatz9943 6 месяцев назад +3

    Leo Johari mnamshangilia 😂😂😂😂

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi 6 месяцев назад +3

    Huyo Zarishi natamani kumjua ana PhD ngapi? Sio kwadharau hizo no wonder anazeekeea hapo.Hana sifa za kuwa mke huyo ni pure mdangaji,na huyo mume atakae jichanganya kwa huyo Zarishi ajiandae kisukari,presha,pumu na yutiai😂😂😂😂👋👋👋😏

  • @happynazalenonazalenomndew5990
    @happynazalenonazalenomndew5990 4 месяца назад +2

    Johari nlkua namuona mjinga ila anaakili nying san

  • @SaoblackSaoblack
    @SaoblackSaoblack 6 месяцев назад +1

    😂😂madako yaooooo😂😂😂😂 nusu alafu tuna taka kilo2

  • @JumaBiaga-ex8qe
    @JumaBiaga-ex8qe 6 месяцев назад +2

    mnazinguwaa wekeni fullu episod wakanz mpaka watatu

  • @monirangerera7155
    @monirangerera7155 4 месяца назад

    Hapa wengi ni makahaba wame kuja jiuza kwa wanaume siyo kutafuta wanaume maraya woye hapo kati ya hao mmoja labda mdo amekuja fata mume wa maisha uyo kaka angekuwa taji wote wangemtaka

  • @GabrielMtende
    @GabrielMtende 6 месяцев назад +1

    The last part please but I have known that johari I the mis right

  • @salmatuleteesehem71jmnmahm59
    @salmatuleteesehem71jmnmahm59 6 месяцев назад +1

    Yan Hawa wadada sio wake ni makahaba wanaotaka pesa

  • @elizabethabednego1639
    @elizabethabednego1639 6 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂Johar

  • @user-zr5rg5ul3q
    @user-zr5rg5ul3q 6 месяцев назад

    Johariii ana kituii😂😂😂😂😂

  • @user-rc7xk2qd6z
    @user-rc7xk2qd6z 6 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂 johari

  • @Ceciliaemmanuel-ey7ll
    @Ceciliaemmanuel-ey7ll 5 месяцев назад

    Nimependa johary

  • @user-is3og1hc8r
    @user-is3og1hc8r 6 месяцев назад

    Yan imebid nije kwa ajili ya2huyo jokha😂😂😂😂😂

  • @franksaga3413
    @franksaga3413 6 месяцев назад +8

    Hawa sio wake...wanaangalia vipato vya wanaume, Je wao wanaweka nini mezani? Ukijiuliza hilo unakuja kugundua hakuna wanachoweka mezani zaidi ya uchi....So sad!

    • @metrineomega1635
      @metrineomega1635 6 месяцев назад +1

      Hamna kitu wameekezaaaa wanafuata Mali wafike wajue ipo Kisha wapore watorokeee

    • @franksaga3413
      @franksaga3413 6 месяцев назад

      @@metrineomega1635 kwanza hii show ina double standards, hao mademu na wanaume wanaoenda hapo wote ni clout chasers/cheap popularity...

    • @amlanniamimuafricatz5745
      @amlanniamimuafricatz5745 5 месяцев назад

      😂🙏🏻🙏🏻

  • @daydaypapaa7709
    @daydaypapaa7709 6 месяцев назад

    Hii story ninzuri sana mngeituma yoke sasa mmeanza ungese wanusunusu 😢

  • @hawaa341
    @hawaa341 6 месяцев назад +1

    Johari upo kumbe

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 6 месяцев назад +2

    Huyu mlevi mwenye matatu bado yupo..anaonekaa anatabia kama za gygy..mapepo hayo..hiki kipindi ni madada poa ndio wanakuja kitafuta waume

  • @LillianNyaboke-kg3ee
    @LillianNyaboke-kg3ee 5 месяцев назад

    Sipendi vitu nususu sema story yote ama niwagomee nanyi😂😂

  • @JumaBiaga-ex8qe
    @JumaBiaga-ex8qe 6 месяцев назад

    wekini episodi fulluu

  • @stellahmnyazi9287
    @stellahmnyazi9287 5 месяцев назад

    Hawa wadada pia wanafaa kusema kazi wanafanya zinazowaekea pesa

  • @POWER392
    @POWER392 6 месяцев назад

    Piga like zangu

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 6 месяцев назад

    Huyu jahari hata kwenye ataenda ataachika tu ju anamudomo anajiona du Ona sasa mwana umme mwenye iko anapigania .

  • @shufaahmmmohamed1833
    @shufaahmmmohamed1833 6 месяцев назад

    Kwanza huyo zarish si amesema anauza mgahawa haoni muzak JUICE atamfaa kwakua biashara zao zinaendana 100% ila chiz halaf mshamba tu anataka pesa sio mapnz

  • @cutiee681
    @cutiee681 6 месяцев назад

    Si muachilie episode refu sasa hii ata haieleweki ata before ujue imeishia aje imechanganya waliotolewa kwa uwanja still wako apa ata siajawai elewe hii kipindi

  • @saidiissa8729
    @saidiissa8729 6 месяцев назад

    huyu kk kaondoka na nani ?

  • @theprincejr1417
    @theprincejr1417 6 месяцев назад

    Hivi adimin wa hii page kupost nusu nusu anatuonaje

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas 6 месяцев назад

    Saiv inatia uvivu kufatilia mnapost vipande na haviko kwenye mpangilio mnazingua

  • @MohdNassib-wr3ky
    @MohdNassib-wr3ky 6 месяцев назад

    😂❤🇹🇿

  • @marthasonia5005
    @marthasonia5005 6 месяцев назад

    😂😂😂😂😂

  • @JumaBiaga-ex8qe
    @JumaBiaga-ex8qe 6 месяцев назад

    Sio mnaweka vipande vipande

  • @erickzuma4115
    @erickzuma4115 6 месяцев назад

    Aa ayo ni madanga t amna kit apo

  • @user-tj8ng7nv9x
    @user-tj8ng7nv9x 6 месяцев назад

    Hata mimi sipendi kabisa wanavyo post.hawajuwi kabisa

  • @user-ef4cq3vo8y
    @user-ef4cq3vo8y 6 месяцев назад

    Kwanini mnaweka vipande vipande

  • @josephlugala3182
    @josephlugala3182 5 месяцев назад

    Ujinga mwingi hapo hukuna mwanamke wafanyabiashara wa mapenzi