MIMI NAMTAKA HUYU KAKA, ACHA AUZE JUICE MI SINA SHIDA, WASICHANA HAWANA MSIMAMO - HELLO MR. RIGHT
HTML-код
- Опубликовано: 29 дек 2023
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder - Развлечения
Leo Johari mnamshangilia 😂😂😂😂
Huyo Zarishi natamani kumjua ana PhD ngapi? Sio kwadharau hizo no wonder anazeekeea hapo.Hana sifa za kuwa mke huyo ni pure mdangaji,na huyo mume atakae jichanganya kwa huyo Zarishi ajiandae kisukari,presha,pumu na yutiai😂😂😂😂👋👋👋😏
😂😂🤣🤣🤣🤣
Johari nlkua namuona mjinga ila anaakili nying san
😂😂madako yaooooo😂😂😂😂 nusu alafu tuna taka kilo2
mnazinguwaa wekeni fullu episod wakanz mpaka watatu
Hapa wengi ni makahaba wame kuja jiuza kwa wanaume siyo kutafuta wanaume maraya woye hapo kati ya hao mmoja labda mdo amekuja fata mume wa maisha uyo kaka angekuwa taji wote wangemtaka
The last part please but I have known that johari I the mis right
Yan Hawa wadada sio wake ni makahaba wanaotaka pesa
😂😂😂😂😂Johar
Johariii ana kituii😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 johari
Nimependa johary
Yan imebid nije kwa ajili ya2huyo jokha😂😂😂😂😂
Hawa sio wake...wanaangalia vipato vya wanaume, Je wao wanaweka nini mezani? Ukijiuliza hilo unakuja kugundua hakuna wanachoweka mezani zaidi ya uchi....So sad!
Hamna kitu wameekezaaaa wanafuata Mali wafike wajue ipo Kisha wapore watorokeee
@@metrineomega1635 kwanza hii show ina double standards, hao mademu na wanaume wanaoenda hapo wote ni clout chasers/cheap popularity...
😂🙏🏻🙏🏻
Hii story ninzuri sana mngeituma yoke sasa mmeanza ungese wanusunusu 😢
Johari upo kumbe
Huyu mlevi mwenye matatu bado yupo..anaonekaa anatabia kama za gygy..mapepo hayo..hiki kipindi ni madada poa ndio wanakuja kitafuta waume
😂😂😂😂😂😂
Sipendi vitu nususu sema story yote ama niwagomee nanyi😂😂
wekini episodi fulluu
Hawa wadada pia wanafaa kusema kazi wanafanya zinazowaekea pesa
Piga like zangu
Huyu jahari hata kwenye ataenda ataachika tu ju anamudomo anajiona du Ona sasa mwana umme mwenye iko anapigania .
Kwanza huyo zarish si amesema anauza mgahawa haoni muzak JUICE atamfaa kwakua biashara zao zinaendana 100% ila chiz halaf mshamba tu anataka pesa sio mapnz
Si muachilie episode refu sasa hii ata haieleweki ata before ujue imeishia aje imechanganya waliotolewa kwa uwanja still wako apa ata siajawai elewe hii kipindi
huyu kk kaondoka na nani ?
Hivi adimin wa hii page kupost nusu nusu anatuonaje
Saiv inatia uvivu kufatilia mnapost vipande na haviko kwenye mpangilio mnazingua
😂❤🇹🇿
😂😂😂😂😂
Sio mnaweka vipande vipande
Aa ayo ni madanga t amna kit apo
Hata mimi sipendi kabisa wanavyo post.hawajuwi kabisa
Kwanini mnaweka vipande vipande
Ujinga mwingi hapo hukuna mwanamke wafanyabiashara wa mapenzi