MBWADUKE: TOBAAH! HUYU AHOUA AKIZOEANA NA KINA MUTALE, NGOMA, CHASAMBI NI BALAA ZITO/ MUKWALA...
HTML-код
- Опубликовано: 2 июл 2024
- Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...
UFAFANUZI
Mzee wa Data ameteleza kidogo. Usahihi Ahoua amefunga mabao 12 na kutoa assists 9 (na siyo kufunga mabao 9 na assists 12). Kumradhi.
By Mhariri Mbwaduke Stats "Spoti Next Level"
Nakukubali sanaa mzee wa datasa👍
Kram hakuwahi kuwa mvp babu@
good Sana
Honger xna
Naomb uwaambie Simba SC imlete Petro atletico de Luanda... SIMBA day
Good explanation
Mungu ibariki simba❤❤❤
Sio pakome hapo umetereza kidogo MVP alikua ni Abin Cramo
Uko sahihi
Safi sana
Yangu ni Maombi kwa Mungu azidi kuwalinda wachezaji wetu awalinde na mabaya
Tunataka heshimaaaa this season 🎉
Nimekuelewa kaka
We hatar sana nakubal kaz zako bro...
Kwa hizo data naamin Ahoua atatupa kitu kimataifa na Nbc
Umemsahau Aubin Cramo alikua MVP pia
Leten tim ngumu simba day
Habar uchambuzi
Je ? Uchezaji wake ni kama mchezaji gani wa England na Spain pia ufaransa kwanzia miaka ya 2018 kuja mbele mpaka 2020
2letee notes za player mwingine father
Kazi nzuri🫡
Unyama mwing mwaka huu yaan
Jean Charles NI mchezaji Bora kitakwimu ila tumuombee aweze kui ngia kwenye mfumo WA simba
Dah jamaa yuko vizur sana
Acha. Waje
Kazi wanayoo mwaka huu atuna wapaka poda wachambulie vizur wamjue
mbaduke hapo umeteleza kidogo umejichanganya, amefunga goli 12 assist 9
Uko sahihi. Shukrani kwa kutukumbusha. Ni kweli na ndiyo maana tumeomba radhi hapo juu kwenye descriptions. Ahsante kwa kuendelea kutuunga mkono.
Nakupenda sana@@MbwadukeStats
Simba nguvu moja
atashangaza wengi Ahoua
Simba nguvu moja..
Mo apewe maua yake
Magoli 12 na Asist 9
Hivi ukiwa una izungumzia simba au yanga ipi unapata watu wengi Miyangatu
😂😂😂😂😂 mbwaduke umechapia pacome na MvP wap na wap dah.
Ni mabao 12 na asisti 9
Yes. Uko sahihi na ndiyo maana tumeomba radhi hapo juu kwenye descriptions. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono!
Msimu ujao kaz wanao
Fund wap mlimwona wap
Yanga bingwa Mara 5 usifute coment hii
Usijali, ngoja nii-save
Umetudanga msim uliiopits alikuwa aubn klamo sio pacome hajawahi kuwa mvp
Wewe ndio muongo,Mwanduke yupo sahihi
Ww ndo ujui ki2 kak😂😂😂
Ww ndo hujui mpira🤣🤣🤣
Mbaduke yupo sahii kwa uchambuzi anakuchambua ata wewe!!!
An hairuhusiwi kukosoa kwa hii. Darasa
Kazi wanayoo mwaka huu atuna wapaka poda wachambulie vizur wamjue
We jadil Tim Yako xawa
Simba nguvu moja
Simba Ya motoooo