YANGA INAWEKA KAMBI WAPI?/MSIKIE ALLY KAMWE AKITOA RIPOTI KAMILI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Комментарии • 216

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 2 месяца назад +12

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 2 месяца назад +9

    Khee mwenyezi Mungu bariki timu yetu msimu ujao inshallah ikawe kheri kwetu wajalie uzima afya njema wachezaji wetu bench la ufundi piah tuweze kufanya vzr

  • @ommyhatib7331
    @ommyhatib7331 2 месяца назад +18

    Mwakahuu mungu akipenda kombe mapema xan

  • @sumaiyyaelias
    @sumaiyyaelias 2 месяца назад +7

    nikwel chama yupo yanga mbn tutakuwa vzr sana tusichenze tanzania si mabingwa champion jaman yanga❤

  • @AmaniMnzava-c3c
    @AmaniMnzava-c3c 2 месяца назад +6

    Hongera sana kwakweli mnafanya kazi kubwa inayotufurahisha sana wana Yanga

  • @FabiolaSommy
    @FabiolaSommy 2 месяца назад +4

    🎉🎉🎉 Mungu akupe maisha marefu semaji letu

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 2 месяца назад +3

    Mwenyekiti Wa Wasemaji Barani Africa#Ally Kamwe# Daima Mbele Nyuma Mwiko💚🇹🇿🇹🇿

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 2 месяца назад +13

    Yaan Yanga Bora tena sana

  • @magangamasansa4160
    @magangamasansa4160 2 месяца назад +7

    Mimi Aziz hanipi presha hata asipolizia wa muache aende, alienda mayele lakini tulipambana, kwahiyo Aziz K uwenda amepata Dau kwingine ni Sawa tu

    • @amanikaduma237
      @amanikaduma237 2 месяца назад

      Na ndo maana wakamsajili chama

    • @RamseykingGenius
      @RamseykingGenius 2 месяца назад

      Muache ndo anaenda kupotea maxima walahi 🤔 yanga timu kubwa kuliko timu hizo😮😮😮🤪🤪💚🤲🏻🔜🏆🏆🏆🏆💚💚🤲🏻

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasule 2 месяца назад +5

    Yanga Inabidi Tupate Winga 1 Na Kiungo Mkabaji Mwengne Hapo Aje Yeyotee

  • @kyflavour
    @kyflavour 2 месяца назад +8

    Nakubali Chama langu

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 2 месяца назад +7

    Mwenyekiti wa wasemaji wote safi sana 🎉🎉🎉

  • @chrissantkaunda9958
    @chrissantkaunda9958 2 месяца назад +34

    Safi Sana ila tujiandae kisaikorojia kuhusu Aziz ki maana ata sielewi

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 2 месяца назад +11

      Mchezaji akitaka changamoto sehemu nyengine hafai kuzuiwa

    • @B.M-ix4rz
      @B.M-ix4rz 2 месяца назад +9

      Mm Sina hofu na timu km Aziz hajasain bac kocha atajua nn afanye

    • @RajabuBojo-j2l
      @RajabuBojo-j2l 2 месяца назад +5

      Wacha was was wewe ki yupo

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 2 месяца назад +5

      Kuwa na amani kabsaaa

    • @B.M-ix4rz
      @B.M-ix4rz 2 месяца назад

      @@RajabuBojo-j2l mbona mpaka saiv mara hajasain mara tayr Kwakweli hatujui tubakie na lip

  • @MonicaSimon-py3nx
    @MonicaSimon-py3nx 2 месяца назад +1

    Mwenyezi mungu wabariki wachezaji wetu

  • @dullamuso6955
    @dullamuso6955 2 месяца назад

    Mungu Ibariki Young African Sports Club, Tupe nguvu na Utimamu zaidi Hakika Tukateteee Ubingwa na Hatimaye Kombe la Africa likaje Tanzania 🇹🇿

  • @kalingavictor7068
    @kalingavictor7068 2 месяца назад +7

    Ally , mwambie injinia apambane tusimpoteze Azizi

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 2 месяца назад

      Aziz yupo Yanga na wiki ijayo anakuja

    • @kalingavictor7068
      @kalingavictor7068 2 месяца назад

      @@muddymuzungu4357 Itakuwa furaha kubwa kwa wanayanga wote

    • @salahtv5591
      @salahtv5591 2 месяца назад +1

      Lipia kadi aziz ki lzm atabaki

    • @kalingavictor7068
      @kalingavictor7068 2 месяца назад

      @@salahtv5591 hiyo tu siyo shida

    • @ZuenaMashauri
      @ZuenaMashauri 2 месяца назад

      Azizi ki yupo yanga jamani

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 2 месяца назад +1

    🤗🤗🤗🤗🤗🇹🇿🇹🇿🇹🇿🕺🕺🕺🕺 yanga bingwa 2024 adi 30

  • @mudylipawaga5362
    @mudylipawaga5362 2 месяца назад +3

    Yanga bingwa tena inshaALLAH🙏🏼

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 2 месяца назад +1

    Aziz K alishasaini muda mrefu sanaaaaa

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 месяца назад +4

    Wajihi wa ally kamwe unamaana sana kuhusu Azz k Sina tumaini

  • @careemdulla1629
    @careemdulla1629 2 месяца назад +1

    We Aziz Ki tufanye tuwezavyo tumbakishe Aziz K ni mchezaji muhimu sana na hatari pamoja na Pacome Hawa kwa sasa ndio nembo ya Yanga Africa

  • @kaseja
    @kaseja 2 месяца назад +2

    Alhamdullilah furaha imerudi sasa.

  • @amanisanatu3889
    @amanisanatu3889 2 месяца назад +1

    Daima mbele nyuma mwiko Big team

  • @roseurio4983
    @roseurio4983 2 месяца назад

    Na hivi eng Aris alishafunguaka mlango wa magoli kuleee moro .Mungu ibariki yanga

  • @Samalextz
    @Samalextz 2 месяца назад

    Hongera sana viongozi wetu🎉🎉🎉🎉🎉, I l o v e y o u Y a n g a

  • @ThomasDonard
    @ThomasDonard 2 месяца назад +5

    Wa kwanz jamani

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 2 месяца назад +3

    ❤❤❤❤kila la kheri

  • @Chichamiles
    @Chichamiles 2 месяца назад

    All kiungo mkabaji mwenye ROHO MBAYA 😠 anahitajika coz kuna timu zimeanza kujisahau sana

  • @Shadia544
    @Shadia544 2 месяца назад

    Sina raha miee 😢😢😢 azizi ki hayupo yanga 😢😢😢 Jamaniii 😢

  • @samclaud
    @samclaud 2 месяца назад

    Keep going champion 🏆🏆🏆🏆

  • @alishaplate6290
    @alishaplate6290 2 месяца назад +2

    Jmn yote Tisa kumi Azz k yupo wp jmn mbn mnatuumiza roho hivi 😢

  • @Godfrey-j8b
    @Godfrey-j8b 2 месяца назад

    Mungu atusaidie tu maana kila kitu Mungu ndo muweza wa yote

  • @AgnesRobert-q1i
    @AgnesRobert-q1i 2 месяца назад

    Mungu ibariki yanga🎉 hatuna muda wapinzan😂😂

  • @LavenEliasy
    @LavenEliasy 2 месяца назад +1

    💚💚

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 месяца назад +2

    Aziz k wapi bwana !mnatuchanganya

  • @futurecarefamily5454
    @futurecarefamily5454 2 месяца назад

    Friji lipooo 😂😂😂Naijua hiyooo....😅😅😂😂😂kehee....Azizi ki yupo paleee amekaa🤣🤣🤣🙌

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe 2 месяца назад +3

    Azizi ki vp mbona mnatuweka roho juu

  • @khadijabakari9092
    @khadijabakari9092 2 месяца назад +1

    Aziz k tujiandae kisaikolojia au

  • @farajamfaume7545
    @farajamfaume7545 2 месяца назад

    Kama huyk azizi ki anadengua yupo azizi yule wa dreams ya ghana yupo vizuri pia

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 2 месяца назад

    Imeenda hiyo hatuna mdaaa🔥🙏🙏

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 2 месяца назад +2

    Kwani aziz k ndo anaibeba yanga nzima? Akienda aende tu watakuja wengine

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 2 месяца назад +2

    Oyaa al watana punguza kucheka cheka alafu kuweni serious leteni vitu kwa raha data .punguzeni utani kwenye kuongea na watu wengi si munajua yanga ni kubwa nazani mutakua mumenifahamu kamwe na mwenzako al watan

  • @athumanishabani1143
    @athumanishabani1143 2 месяца назад

    Mashaallah

  • @badimfinanga
    @badimfinanga 2 месяца назад

    Kennedy Msonda Bado ni mchezaji mzuri asiachwe please

  • @sabrinakassimu
    @sabrinakassimu 2 месяца назад +3

    😅😅😅 ila Ali kamwe 😅😅

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo 2 месяца назад

    Mmetisha yanga

  • @ShakiraMasoud-ox5tj
    @ShakiraMasoud-ox5tj 2 месяца назад +1

    Oya mbadala wa aucho mbona hamjamsajil 😢

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 2 месяца назад +1

    Wachezaji ndio kwanza wameaza kureport kwaiyo embu wanayanga tutulie kidogo,wachezaji ambao hatuwaoni wapo subra kwanza na mtambue huo ni mpango maalumu mwenye D mbili atakuwa kanielewa hohoho.

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 2 месяца назад

    Mashabiki wapambane Azizi abaki

  • @SufianeAssumaneAssumane
    @SufianeAssumaneAssumane 2 месяца назад

    Bom dia. Mimi ni shabiki wa yanga. From Palma Moçambique. Jee Aziz ki tinae ama?

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 2 месяца назад +4

    💚💚💛💛💚💚💛💛💛

  • @KhamisKaju
    @KhamisKaju 2 месяца назад

    Aliy bdo tuna muhitaji k Aziz by kaju

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 2 месяца назад

    Jaman Aziz atuelewi uku tuweken waz

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 2 месяца назад

    Kazi Iendelee akhui mapambano bado yaendelea

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 2 месяца назад

    Alwatan ameanza kuzeeka...

  • @blairmangani2341
    @blairmangani2341 2 месяца назад

    Mm nilishajiandaa toka mda,azizi key hatutakuwa nae huo ndo ukweli,ndo maana wamemsajili chama

  • @YeremiaErro
    @YeremiaErro 2 месяца назад

    Yangu ni kubwa kuliko mchezaji kuondoka kwa mchezaji ni kwamba kapata fursa mahali hivo tusihofu kuondoka kwa mchezaji tuna kikosi kipana

  • @dicksonmzao8376
    @dicksonmzao8376 2 месяца назад

    Naomba aziz abaki piga ua garagaza

  • @iddfundikira2817
    @iddfundikira2817 2 месяца назад +1

    Aziz ki tumchangie wananchi wote hili tumbakishe

  • @AbdulAthumni
    @AbdulAthumni 2 месяца назад

    azizi abaki ili ligi yetu izid kunoga na iwe juu zaid

  • @humphreyjosephat5002
    @humphreyjosephat5002 2 месяца назад +3

    Wa pili leo

  • @BenjaminiMkapa
    @BenjaminiMkapa 2 месяца назад

    Nakubali

  • @Hgd-jk6lh
    @Hgd-jk6lh 2 месяца назад

    Furaha yangu itarudi azizi akisain😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @pilimohammedy7592
    @pilimohammedy7592 2 месяца назад

    Huyu alyi kamwe hana tisheti nyingine maana aspovaa jezi bs a 1:55 tavaa hiyo tsht

  • @SalimRamadhan-o7l
    @SalimRamadhan-o7l 2 месяца назад

    Ally wew nibora koliko yule mchenz

  • @Emanuelimiyonjo
    @Emanuelimiyonjo 2 месяца назад

    Safi

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 2 месяца назад

    Azizi k hatumuoni No 10 wetu jamani.

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 2 месяца назад

    Yaani Hapo Kwenye Kuongea kamwe Inazihilishaa Kuwaa azizi Kiki anasepaaa

  • @felixsitta1139
    @felixsitta1139 2 месяца назад

    Jaman Azizi k hatumuoni yukowapi?

  • @rehemawamwarami3854
    @rehemawamwarami3854 2 месяца назад

    Azizi ki mbona haonekani hazungumzwi wiy!! Jamani.

  • @CharlesDanielnyanda
    @CharlesDanielnyanda 2 месяца назад

    Napenda yanga damu damu

  • @carrenbenson2111
    @carrenbenson2111 2 месяца назад +1

    Wengine wako wapi?

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 2 месяца назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @ibrahimrashid887
    @ibrahimrashid887 2 месяца назад

    Viongozi wanajitahidi kuhusu azizi kama itashindikana aende atuachie timu yetu asiwachanganye viongozi wetu wana mambo mengi ya kufanya

  • @ains1122
    @ains1122 2 месяца назад +1

    Nineina player moya wa yanga princess

  • @FrankMwingira-ip5us
    @FrankMwingira-ip5us 2 месяца назад

    Ni kwel aliyee shuka airport ni ki Aziz jamn

  • @athumaninyituki7011
    @athumaninyituki7011 2 месяца назад

    Yanga rahaaaaaa kabsa

  • @KrispinMhagama
    @KrispinMhagama 2 месяца назад

    Presha sana kuhusu Azizi ki

  • @salemarahbi9171
    @salemarahbi9171 2 месяца назад

    Mtambulisheni Azizi Ki jamani 😢

  • @Muna-en4yq
    @Muna-en4yq 2 месяца назад

    Monday Na bacca vip

  • @jimmymungai522
    @jimmymungai522 2 месяца назад

    Nani anaondoka, nani anakuja(tumeona baadhi), wengine wanaobaki wanaingia lini na kambi imeshaanza?
    Namna gani hii???

  • @immatheboy7994
    @immatheboy7994 2 месяца назад

    Jezi mpya tynazindua lin

  • @AishaAlly-l1d
    @AishaAlly-l1d 2 месяца назад

    yanga ushindi tu makolo kucheza tu ila makombe aaaaa!

  • @sevarinijrchitandachitanda138
    @sevarinijrchitandachitanda138 2 месяца назад

    🔥🔥

  • @ObediNekiissa
    @ObediNekiissa 2 месяца назад

    Bado azizi ni muhimu kwa wanayanga

  • @ZahariaKassimu
    @ZahariaKassimu 2 месяца назад

    Jamni mbona kama tunaumia kuusu azz ki mna hatuelewi mra kasaini injinia kasema hajasaini Yani furaha imepotea sana leo

  • @tamariamisi3540
    @tamariamisi3540 2 месяца назад

    Sijaona aucho Nikiwa uganda

  • @daudlubugwa4696
    @daudlubugwa4696 2 месяца назад

    Azizi ki yupo au mbona hamujasema

  • @willysimyemba102
    @willysimyemba102 2 месяца назад +3

    😂😂😂

  • @samweledward7664
    @samweledward7664 2 месяца назад

    Yanga bingwa

  • @abubakaliyahaya2968
    @abubakaliyahaya2968 2 месяца назад

    Semaji la dunia

  • @mbarakasaidi2654
    @mbarakasaidi2654 2 месяца назад

    Saf sana

  • @zuhuraabdulrahman1515
    @zuhuraabdulrahman1515 2 месяца назад

    Sms loading.......

  • @SaidyKigoda
    @SaidyKigoda 2 месяца назад

    Ally Azizi ki vp tuwekeni wazi

  • @GodfreyKarino
    @GodfreyKarino 2 месяца назад +3

    Nafrai kumuona mpomelelo dube

  • @MtashobyaJosia-wt9jq
    @MtashobyaJosia-wt9jq 2 месяца назад

    mtashobya josia nikiwa Kenya isibania nawapata ongera sana yanga tuko pamoja

  • @MwinjumaShaban
    @MwinjumaShaban 2 месяца назад +1

    Vp azizi kii yupo au vp

  • @DelillahMbwela
    @DelillahMbwela 2 месяца назад

    Aziz ki jamani😢

  • @KhamisHamad-v7f
    @KhamisHamad-v7f 2 месяца назад

    Msitufiche tuambieni ukweli Aziz kiiiiiiiiiiiiii yupo msimu huu jangwani ama hayupo au mmeshindwa kumpata anachotaka ?

  • @JumaMtolilo
    @JumaMtolilo 2 месяца назад

    Friji linajizuia😂😂😂😂