Khee mwenyezi Mungu bariki timu yetu msimu ujao inshallah ikawe kheri kwetu wajalie uzima afya njema wachezaji wetu bench la ufundi piah tuweze kufanya vzr
Oyaa al watana punguza kucheka cheka alafu kuweni serious leteni vitu kwa raha data .punguzeni utani kwenye kuongea na watu wengi si munajua yanga ni kubwa nazani mutakua mumenifahamu kamwe na mwenzako al watan
Wachezaji ndio kwanza wameaza kureport kwaiyo embu wanayanga tutulie kidogo,wachezaji ambao hatuwaoni wapo subra kwanza na mtambue huo ni mpango maalumu mwenye D mbili atakuwa kanielewa hohoho.
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Khee mwenyezi Mungu bariki timu yetu msimu ujao inshallah ikawe kheri kwetu wajalie uzima afya njema wachezaji wetu bench la ufundi piah tuweze kufanya vzr
Mwakahuu mungu akipenda kombe mapema xan
nikwel chama yupo yanga mbn tutakuwa vzr sana tusichenze tanzania si mabingwa champion jaman yanga❤
Hongera sana kwakweli mnafanya kazi kubwa inayotufurahisha sana wana Yanga
🎉🎉🎉 Mungu akupe maisha marefu semaji letu
Mwenyekiti Wa Wasemaji Barani Africa#Ally Kamwe# Daima Mbele Nyuma Mwiko💚🇹🇿🇹🇿
Yaan Yanga Bora tena sana
yanga borta
Mimi Aziz hanipi presha hata asipolizia wa muache aende, alienda mayele lakini tulipambana, kwahiyo Aziz K uwenda amepata Dau kwingine ni Sawa tu
Na ndo maana wakamsajili chama
Muache ndo anaenda kupotea maxima walahi 🤔 yanga timu kubwa kuliko timu hizo😮😮😮🤪🤪💚🤲🏻🔜🏆🏆🏆🏆💚💚🤲🏻
Yanga Inabidi Tupate Winga 1 Na Kiungo Mkabaji Mwengne Hapo Aje Yeyotee
Nakubali Chama langu
Mwenyekiti wa wasemaji wote safi sana 🎉🎉🎉
Safi Sana ila tujiandae kisaikorojia kuhusu Aziz ki maana ata sielewi
Mchezaji akitaka changamoto sehemu nyengine hafai kuzuiwa
Mm Sina hofu na timu km Aziz hajasain bac kocha atajua nn afanye
Wacha was was wewe ki yupo
Kuwa na amani kabsaaa
@@RajabuBojo-j2l mbona mpaka saiv mara hajasain mara tayr Kwakweli hatujui tubakie na lip
Mwenyezi mungu wabariki wachezaji wetu
Mungu Ibariki Young African Sports Club, Tupe nguvu na Utimamu zaidi Hakika Tukateteee Ubingwa na Hatimaye Kombe la Africa likaje Tanzania 🇹🇿
Ally , mwambie injinia apambane tusimpoteze Azizi
Aziz yupo Yanga na wiki ijayo anakuja
@@muddymuzungu4357 Itakuwa furaha kubwa kwa wanayanga wote
Lipia kadi aziz ki lzm atabaki
@@salahtv5591 hiyo tu siyo shida
Azizi ki yupo yanga jamani
🤗🤗🤗🤗🤗🇹🇿🇹🇿🇹🇿🕺🕺🕺🕺 yanga bingwa 2024 adi 30
Yanga bingwa tena inshaALLAH🙏🏼
Aziz K alishasaini muda mrefu sanaaaaa
Wajihi wa ally kamwe unamaana sana kuhusu Azz k Sina tumaini
Kweli dogo kapoa sana
We Aziz Ki tufanye tuwezavyo tumbakishe Aziz K ni mchezaji muhimu sana na hatari pamoja na Pacome Hawa kwa sasa ndio nembo ya Yanga Africa
Alhamdullilah furaha imerudi sasa.
Daima mbele nyuma mwiko Big team
Na hivi eng Aris alishafunguaka mlango wa magoli kuleee moro .Mungu ibariki yanga
Hongera sana viongozi wetu🎉🎉🎉🎉🎉, I l o v e y o u Y a n g a
Wa kwanz jamani
❤❤❤❤kila la kheri
All kiungo mkabaji mwenye ROHO MBAYA 😠 anahitajika coz kuna timu zimeanza kujisahau sana
Sina raha miee 😢😢😢 azizi ki hayupo yanga 😢😢😢 Jamaniii 😢
Keep going champion 🏆🏆🏆🏆
Jmn yote Tisa kumi Azz k yupo wp jmn mbn mnatuumiza roho hivi 😢
Mungu atusaidie tu maana kila kitu Mungu ndo muweza wa yote
Mungu ibariki yanga🎉 hatuna muda wapinzan😂😂
💚💚
Aziz k wapi bwana !mnatuchanganya
Friji lipooo 😂😂😂Naijua hiyooo....😅😅😂😂😂kehee....Azizi ki yupo paleee amekaa🤣🤣🤣🙌
Azizi ki vp mbona mnatuweka roho juu
Aziz k tujiandae kisaikolojia au
Kama huyk azizi ki anadengua yupo azizi yule wa dreams ya ghana yupo vizuri pia
Imeenda hiyo hatuna mdaaa🔥🙏🙏
Kwani aziz k ndo anaibeba yanga nzima? Akienda aende tu watakuja wengine
Oyaa al watana punguza kucheka cheka alafu kuweni serious leteni vitu kwa raha data .punguzeni utani kwenye kuongea na watu wengi si munajua yanga ni kubwa nazani mutakua mumenifahamu kamwe na mwenzako al watan
Mashaallah
Kennedy Msonda Bado ni mchezaji mzuri asiachwe please
😅😅😅 ila Ali kamwe 😅😅
Mmetisha yanga
Oya mbadala wa aucho mbona hamjamsajil 😢
Wachezaji ndio kwanza wameaza kureport kwaiyo embu wanayanga tutulie kidogo,wachezaji ambao hatuwaoni wapo subra kwanza na mtambue huo ni mpango maalumu mwenye D mbili atakuwa kanielewa hohoho.
Mashabiki wapambane Azizi abaki
Bom dia. Mimi ni shabiki wa yanga. From Palma Moçambique. Jee Aziz ki tinae ama?
💚💚💛💛💚💚💛💛💛
Aliy bdo tuna muhitaji k Aziz by kaju
Jaman Aziz atuelewi uku tuweken waz
Kazi Iendelee akhui mapambano bado yaendelea
Alwatan ameanza kuzeeka...
Mm nilishajiandaa toka mda,azizi key hatutakuwa nae huo ndo ukweli,ndo maana wamemsajili chama
Yangu ni kubwa kuliko mchezaji kuondoka kwa mchezaji ni kwamba kapata fursa mahali hivo tusihofu kuondoka kwa mchezaji tuna kikosi kipana
Naomba aziz abaki piga ua garagaza
Aziz ki tumchangie wananchi wote hili tumbakishe
azizi abaki ili ligi yetu izid kunoga na iwe juu zaid
Wa pili leo
Nakubali
Furaha yangu itarudi azizi akisain😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Huyu alyi kamwe hana tisheti nyingine maana aspovaa jezi bs a 1:55 tavaa hiyo tsht
Ally wew nibora koliko yule mchenz
Safi
Azizi k hatumuoni No 10 wetu jamani.
Yaani Hapo Kwenye Kuongea kamwe Inazihilishaa Kuwaa azizi Kiki anasepaaa
Jaman Azizi k hatumuoni yukowapi?
Azizi ki mbona haonekani hazungumzwi wiy!! Jamani.
Napenda yanga damu damu
Wengine wako wapi?
❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Viongozi wanajitahidi kuhusu azizi kama itashindikana aende atuachie timu yetu asiwachanganye viongozi wetu wana mambo mengi ya kufanya
Nineina player moya wa yanga princess
Ni kwel aliyee shuka airport ni ki Aziz jamn
Yanga rahaaaaaa kabsa
Presha sana kuhusu Azizi ki
Mtambulisheni Azizi Ki jamani 😢
Monday Na bacca vip
Nani anaondoka, nani anakuja(tumeona baadhi), wengine wanaobaki wanaingia lini na kambi imeshaanza?
Namna gani hii???
Jezi mpya tynazindua lin
yanga ushindi tu makolo kucheza tu ila makombe aaaaa!
🔥🔥
Bado azizi ni muhimu kwa wanayanga
Jamni mbona kama tunaumia kuusu azz ki mna hatuelewi mra kasaini injinia kasema hajasaini Yani furaha imepotea sana leo
Sijaona aucho Nikiwa uganda
Azizi ki yupo au mbona hamujasema
😂😂😂
Yanga bingwa
Semaji la dunia
Saf sana
Sms loading.......
Ally Azizi ki vp tuwekeni wazi
Nafrai kumuona mpomelelo dube
mtashobya josia nikiwa Kenya isibania nawapata ongera sana yanga tuko pamoja
Vp azizi kii yupo au vp
Aziz ki jamani😢
Msitufiche tuambieni ukweli Aziz kiiiiiiiiiiiiii yupo msimu huu jangwani ama hayupo au mmeshindwa kumpata anachotaka ?
Friji linajizuia😂😂😂😂