“CHAMA UKIMPA PASI CHAFU ANARUDISHA SAFI”/ JOB AMMWAGIA MAUA MWAMBA WA LUSAKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi
  • СпортСпорт

Комментарии • 76

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 2 месяца назад +16

    MUNGU ni mwema hongera Sana Dickson kila la kheri kwenu kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @trice_yanga
    @trice_yanga 2 месяца назад +6

    job anajua kujieleza sana🥰💚💛

  • @BarakaMagesa-x8e
    @BarakaMagesa-x8e 2 месяца назад +23

    Apo kwenye mpe chafu akurudiahie safi makolo wanatetemeka😂

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 2 месяца назад +9

    Tunawategemeeni Sana majembe yetu ili furaha tuliyo nayo iendelee kudumu na Mungu awajalie Afya njema ya mwili na Roho🙏🙏

  • @NeemaAkyoo-s4s
    @NeemaAkyoo-s4s 2 месяца назад +7

    Mungu azid kuibarik young african

  • @MichaelJoseph-l4s
    @MichaelJoseph-l4s 2 месяца назад +7

    Mungu aibariki yanga Kwa maandalizi yetu na yawe mema kwetu

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 2 месяца назад +8

    Ila Mimi napenda sana akiwapo mishel, job, kibwana, kibabage. Panakuwa na vibe sana kwakuwa madogo wanajuana nawanapendana sana kama ndugu

  • @mrishojuma4695
    @mrishojuma4695 2 месяца назад +11

    Hahahahaha 😂😂😂 Ahmed Ally na makolo wenzie wanajikojolea

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises 2 месяца назад +8

    pwent sana jobo,umeongea saii

  • @claratango9262
    @claratango9262 2 месяца назад +8

    Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏

  • @Sunshine0222
    @Sunshine0222 2 месяца назад +10

    Nilitamani waendelee kuongea tu 😅

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 2 месяца назад +5

    MUANZE KUWEKA SUBTITLE ZA KINGEREZA SASAIV CC WAKIMATAIFA🎉🎉🎉

  • @anniemagayane2984
    @anniemagayane2984 2 месяца назад +8

    Wa kwanza sasa😂😂😂

  • @AmonAmon-g2f
    @AmonAmon-g2f 2 месяца назад +5

    Jeshi limeanza kazi sasa

  • @Dullah-gl7xb
    @Dullah-gl7xb 2 месяца назад +4

    kazi njema wananchiiiii

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 2 месяца назад +1

    Nampenda huyu kijana Job ni mstaarab sana na nidham, MUNGU awatangulie ktk pre season yetu🙏

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz 2 месяца назад +2

    Sitaki kuamini Aziz ki anatukimbia❤❤❤

    • @IKIDUNGWE
      @IKIDUNGWE 2 месяца назад

      Anakukimbia we na nani?

  • @rajabunkiko8476
    @rajabunkiko8476 2 месяца назад +2

    Nzuri iyoo ,🏆

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 2 месяца назад +5

    Mwamba kabisa huyu @Dickson job una deserve kuwa assistant captain

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 2 месяца назад +3

    Kamanda 🎉🎉🎉

  • @hamzaharuna2053
    @hamzaharuna2053 2 месяца назад +1

    Huyu jamaa akija kuamua kusomea coaching atakuja kuwa coacher mzuri sana

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasule 2 месяца назад +3

    Wangapi Tunafatilia Yanga Tv Mda Huu

  • @speciallvoice8091
    @speciallvoice8091 2 месяца назад +2

    Sema wachezaj wanapumzka mda mdogo Sana Ligi imesha mwez uliopita Leo wanarudi kazn sema Kila lakher Tim yangu pendwa

  • @MusssaMalik
    @MusssaMalik 2 месяца назад +3

    Mungu aibarik tanga 💚💚💚💚

  • @JacksonKaloli-du7vq
    @JacksonKaloli-du7vq 2 месяца назад +3

    noma sana

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 2 месяца назад

    Mungu awabariki amiina👏🔰💛💚💪✅

  • @MoajGraphics
    @MoajGraphics 2 месяца назад +3

    The Club Above All 🔰

  • @BensonPaschal-f6y
    @BensonPaschal-f6y 2 месяца назад +1

    Yanga on fireeeeerrrr

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 2 месяца назад +2

    Allaah Akbar

  • @MuhsinJuma-wo2bg
    @MuhsinJuma-wo2bg 2 месяца назад +1

    Wabana pua nyinyi simlikua mna sema nimzee mbona saa hii mna mshobokea angalieni chama ata wa tomba

  • @Alexismadimo
    @Alexismadimo 2 месяца назад +1

    Mungu pamoja nasi

  • @NajMa-xg3er
    @NajMa-xg3er 2 месяца назад +1

    Much love dickson job

  • @mbanimohamedi6900
    @mbanimohamedi6900 2 месяца назад

    Always green and yellow 💚💛🇹🇿

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza 2 месяца назад +2

    Kama moto wa kifuu Lita litimu lako uone unavyopakuliwa

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 месяца назад

    Yanga wamwajiri mwandishi nguli Taji Liundi 'Master T' kuongeza nguvu idara ya habari..hasa mahojiano ya kiingereza..Yanga iko viwango vya kimataifa

  • @user-xy8kl9wd2i
    @user-xy8kl9wd2i 2 месяца назад +1

    Young Africans

  • @samweledward7664
    @samweledward7664 2 месяца назад

    Yanga Bingwa ✅

  • @EmmaEmma-k7x
    @EmmaEmma-k7x 2 месяца назад

    Familia added 🔰💛💚

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 2 месяца назад +1

    Aziz kweli atasain?

  • @thetrends472
    @thetrends472 2 месяца назад

    Daima mimi ni YANGA na wewe je? Jibu YES kwa ku-like hapa

  • @NajimaJuma
    @NajimaJuma 2 месяца назад

    Tanzania Kuna vivutio 3 tu Muhimu 1. Mountain 🏔️ Kilimanjaro
    2. Yanga
    3.Diamondplatnumz ........

  • @ZahariaKassimu
    @ZahariaKassimu 2 месяца назад

    Tuewkeni sawa vip azizi mbona raisi anatuchanganya hatuelewi

  • @AthumanAbraham-c4d
    @AthumanAbraham-c4d 2 месяца назад +1

    👏

  • @annambele789
    @annambele789 2 месяца назад +2

    💛💛💚💚💛💛💚💚

  • @davidmassawe9288
    @davidmassawe9288 2 месяца назад

    Dick mtu mmoja safi Sana🔰💪

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 месяца назад +1

    Azizi k vipi jamani?

  • @Emanuelimiyonjo
    @Emanuelimiyonjo 2 месяца назад

    Mwamba uyu apa 🔰 💛 💚 😏

  • @Mizahh-ll5lu
    @Mizahh-ll5lu 2 месяца назад

    Uongozi wetu mmemaliza deni lipo kwetu mashabiki tuisaport timu yetu twendeni uwanjani tununuwe jerse sana sana

  • @SalumuSalumu-l6c
    @SalumuSalumu-l6c 2 месяца назад

    canten 💛💛💚💚

  • @zuberichiunga33
    @zuberichiunga33 2 месяца назад +1

    🔰🔰🔰🔰

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 2 месяца назад

    Huyu sick huwa anamaono kama unamfatiria

  • @MirumbeMarwa-eo2yl
    @MirumbeMarwa-eo2yl 2 месяца назад +2

    Ubingwa mara 40

  • @MwazambaMicrofinance
    @MwazambaMicrofinance 2 месяца назад +4

    Subscribers wanaongezeka daily 🙏🙏🙏

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 2 месяца назад

      Kabisa 600k+

    • @Mfacts_OnlineTv
      @Mfacts_OnlineTv 2 месяца назад +1

      Nina takwimu huwa nazihifadhi za subscribers na viewers za tangu mwaka jana mwezi september hadi leo

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 2 месяца назад +1

      @@Mfacts_OnlineTv safi mwamba huna baya

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 2 месяца назад +1

    wenzangu mmesikia ya Aziz ki na Orlando 😢😢😢ama ni mm tu

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 2 месяца назад +4

      TULIA MCHEZAJI MKUBWA KUMTANGAZA NI BIASHARA ACHANA NA MILUZI YA WACHAWI UTAPOTEA

    • @MoajGraphics
      @MoajGraphics 2 месяца назад +4

      Usiogope Utasikia mengi. Ki is here to stay 😂

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 2 месяца назад +1

      @@MoajGraphics pamoja sana

  • @JamilaJoka
    @JamilaJoka 2 месяца назад

    ❤❤❤

  • @Mudathir-tx1md
    @Mudathir-tx1md 2 месяца назад

    🎉🎉🎉

  • @LavenEliasy
    @LavenEliasy 2 месяца назад

    💚💚

  • @Muhammed-y5v8f
    @Muhammed-y5v8f 2 месяца назад

    Apo bado

  • @DicksonNasibu-tv7vr
    @DicksonNasibu-tv7vr 2 месяца назад

    Andaeni dozi nono kabisa

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini 2 месяца назад +1

    🎉🎉🎉🎉😂

  • @MalinoKadwame-u1c
    @MalinoKadwame-u1c 2 месяца назад

    Tunaanza upya

  • @philemonkatondwa8275
    @philemonkatondwa8275 2 месяца назад +1

    MOTO WA KIFUU

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 2 месяца назад

    Kawaida ya likizo ni mwezi moja.

  • @ShaloBima
    @ShaloBima 2 месяца назад

    Pamoj

  • @rachelcheyo-p5z
    @rachelcheyo-p5z 2 месяца назад

    Nkbl

  • @AmonAmon-g2f
    @AmonAmon-g2f 2 месяца назад +1

    Jeshi limeanza kazi sasa