HAMISA MOBETTO Afunguka Nilimwambia AZIZ KI Abaki YANGA/NI WAPENZI?/Ashikwa KIGUGUMIZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 авг 2024
  • _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Комментарии • 71

  • @filbertntibasiga8093
    @filbertntibasiga8093 Месяц назад +10

    Tungekuwa na wadada wenye kujielewa kama hamisa tungeona mengi mfano Arusha wazungu Kila kukicha wako pale wadada wa kimeru wamebaki kushangaa tu chukueni fursa

    • @free2tree
      @free2tree Месяц назад +2

      boya sana we jamaa waache dada zetu

  • @masumbukomaganga438
    @masumbukomaganga438 Месяц назад +1

    Etie ndugu zanguni katika imani daah mobeto bwana uishi maisha marefu zaidi dada yangu katika imani

  • @MuntuwimanaYona
    @MuntuwimanaYona Месяц назад +1

    Wasimcukie hamisa mobetto Kwa sababu nitajiri mwenye uwezo anapambana kingine capiri , kama amempenda mobeto azizi k mapenzi yapo Dunia nzima msiwe na wivu kama nayeye azizi k amempenda fresh mobeto mzuri sana

  • @GraceMbulu-rp8ko
    @GraceMbulu-rp8ko Месяц назад +1

    Kazi nzuri mobeto nakupenda❤❤❤❤

  • @AyshaTt-zp7yu
    @AyshaTt-zp7yu Месяц назад +2

    Ongela.sana.kipenzi.❤❤❤❤❤

  • @ObedyMollel-w8g
    @ObedyMollel-w8g Месяц назад +2

    Very good hamisa mobeto

  • @ADELADamus
    @ADELADamus Месяц назад +2

    🎉🎉Viziri Sana

  • @rachellukosi8860
    @rachellukosi8860 Месяц назад +3

    Hatakama kabaki kwaajiri ya mwanamke inakuusu Nini 😂😂 ss ndo yanga bwana

  • @user-bu9wj5pi3t
    @user-bu9wj5pi3t Месяц назад +2

    Really hamisa

  • @beatricejoseph2347
    @beatricejoseph2347 Месяц назад +1

    Hongera sana Misa ,umeweza kuonyesha njia kuwa ukimtegemea Mungu na ukafanya kazi kwa bidii kila kitu kinawezekana.

    • @McmnagoLikoko
      @McmnagoLikoko 28 дней назад

      Kaz gani kujiuza au

    • @beatricejoseph2347
      @beatricejoseph2347 28 дней назад +1

      @@McmnagoLikoko acha makasiriko ndg yangu tafuta hela ,kama virahisi ,ingia kujiuza nawe.

  • @SalmaShilla-c1t
    @SalmaShilla-c1t 21 день назад +1

    Nampenda huyu dada jmn

  • @japhetkahindi4791
    @japhetkahindi4791 Месяц назад +2

    We thank you

  • @devotabashome1090
    @devotabashome1090 Месяц назад +3

    Aziz kabaki kwa mapenzi ya yanga na mashabiki zake

  • @ramadhanimurid6238
    @ramadhanimurid6238 Месяц назад +2

    Furaha ni bora kuliko pesa wangap wana hela lakin hawana furaha aziz k kachagua furaha sio hela

  • @KelvinMwawite
    @KelvinMwawite 23 дня назад +1

    Kwakweli huyo shemeji yetu mobeto ashukuliwe kwaku muambia azz k abaku yangaa

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv Месяц назад +1

    well done dada

  • @KelvinMwawite
    @KelvinMwawite 23 дня назад +1

    Yaaah nikweli ❤ yangaa

  • @JumaMusa-q4y
    @JumaMusa-q4y Месяц назад +1

    Azzi ki anapenda furah kuliko pesa ila nampongeza sana

  • @musamusa6213
    @musamusa6213 Месяц назад +2

    Bgp sana hamisa

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 Месяц назад +1

    Ni marafiki wa kawaid tuu
    General or normal friends ambayo haiko na shida

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Месяц назад +1

    Yaani mahojiano yote yalilenga kwa Azizi

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu Месяц назад +1

    Waandishi wa bongo wambea sana 😂😂😂😂😂

  • @Mercy_Lifestyle254
    @Mercy_Lifestyle254 Месяц назад

    I just love her

  • @user-pb6mt3wx4z
    @user-pb6mt3wx4z Месяц назад +3

    ❤❤❤❤

  • @HamadMussa-rf3df
    @HamadMussa-rf3df День назад

    Tuna omba kazi dada

  • @NaomySamwel
    @NaomySamwel Месяц назад +1

    Kyaaaaaaaaa

  • @anoldkapinga758
    @anoldkapinga758 Месяц назад +1

    Acheni majungu yy kaamua kubaki hapa km ww unavyoamua kufanya yako, najua huu ni usimba na unajua uwezo wake, tusubir tar 8 dawa iwaingie

  • @MpelwaMakolo
    @MpelwaMakolo 13 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @Reyy2406
    @Reyy2406 Месяц назад

    Hadi na mimi nimecheka 😂😂

  • @Mercy_Lifestyle254
    @Mercy_Lifestyle254 Месяц назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @RukiaHaji-m8h
    @RukiaHaji-m8h 17 дней назад

    ❤❤❤

  • @johnlyimo5971
    @johnlyimo5971 Месяц назад +2

    ❤😂❤

  • @ZamyIsmaily
    @ZamyIsmaily 12 дней назад

    Ilo gauni si ndo jenzi ya yangaaa

  • @DarliotonTumaini
    @DarliotonTumaini Месяц назад

    Wandishi hawawezi achamtu salama😂😂

  • @RukiaHaji-m8h
    @RukiaHaji-m8h 17 дней назад

    Mmh

  • @yakoubaliy7559
    @yakoubaliy7559 Месяц назад

    Kazi kwanza mapenz baadae

  • @user-un7eg3sc6d
    @user-un7eg3sc6d Месяц назад

    Nimependa majibuyako kabisaa

  • @user-un7eg3sc6d
    @user-un7eg3sc6d Месяц назад +1

    Ukosahihi mobeto

  • @Mrsule255
    @Mrsule255 Месяц назад

    406 subscribers 🎉🎉🎉🎉🎉🎉👏🙏...!!! Let's go!!

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku Месяц назад +1

    Duuu 😮😮

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka Месяц назад

    Hamisa ni timu Gani anaishabikia? Tupe jibu tukutadhimini

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 Месяц назад

    Niwajulishe tuu kwamba Aziz ana project maalumu na yanga
    Kubakiza kombe la africa kwa mara ya kwanza apa kwetu Tanzania
    Ongeen mumalize ila kilichomubakiza ni hiyo.project

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 Месяц назад

    KIBETO RELATIONSHIP

  • @user-bx5tv4sr9m
    @user-bx5tv4sr9m Месяц назад

    Waandishi ! Ulizeni maswali ya msingi. Try to be proffessional

  • @yakoubaliy7559
    @yakoubaliy7559 Месяц назад

    Huyo sio mchezaji mpira ni malaya tuuu 😂😂😂😂

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 14 дней назад

      Malaya kama wewe? Inaonekana munafanya wote huo umalaya ndio maana ukamjua kama yeye ni malaya mwenzio au sio?

  • @AziziHasani
    @AziziHasani Месяц назад

    Ucje mbemenda tuu akashindwa kucheza

  • @georgegregory8414
    @georgegregory8414 Месяц назад

    Aziz anaipenda yanga Amisa wewe unataguta kiki tu buna jipya

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 Месяц назад +2

    Yaani aziz ki shetani wake kakataa hela alizopewa club kubwa kachagua kubaki hapa kwa ajili ya MWANAMKE kweli 😅.. Si angeenda huko kwenye hela nyingi akawa anatuma tiketi ya ndege kila wiki anakutana na ampendae huku pesa ndefu inaingia..

    • @SmilingBirdwingButterfly-yq3he
      @SmilingBirdwingButterfly-yq3he Месяц назад +4

      Kuna mapenzi ya timu, kuna mapenzi ya mama alafu Kuna mapenzi ya mrembo hapo so muache afuate mapenzi ya moyo wake

    • @rexgodwill7353
      @rexgodwill7353 Месяц назад

      @@SmilingBirdwingButterfly-yq3he ini rahisi na furaha kulizungumzia hili..
      Ila mimi ningependa yeyote kwenye huu mjadala avae undugu na aziz ki..
      Pesa huleta mapenzi inasikitisha kuacha pesa kufuata mapenzi ambayo hata angekuwa popote angepata kwa sababu pesa ya kutosha kumsafirisha yeyote ampendae ingeongezeka mara dufu..
      🤭🤭.. Anyways we think differently.. Usiku mwema 👍

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Месяц назад

      Mobeto mjanja sana, kagundua akienda nje hatapata ticket atapata akina mobeto wengine 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @boazygodfrey9371
      @boazygodfrey9371 Месяц назад +1

      Basi Tu Sina Hela Ila MOBETO Nakupenda Sana

    • @MmandaNicetas
      @MmandaNicetas Месяц назад

      ❤❤❤❤❤​@@rexgodwill7353

  • @josephinegeen9557
    @josephinegeen9557 Месяц назад

    Who is she not even Beautiful she has chinese eyes.

    • @samjm7330
      @samjm7330 Месяц назад

      Can you compare yourself to her?

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Месяц назад

      Bring ua picture to us, so we can compare u with mobeto who is beauty 😂😂😂😂😂😂😂

    • @alexbayingana7879
      @alexbayingana7879 Месяц назад

      I think the beauty of a lady its her heart not face I love her she such lady kila mwanaume mwenye kujitambua angetamani kua naye,

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 14 дней назад

      Jealous will kill you faster Josephine take care.😅