TAZAMA ZUCHU alivyompa GARI ANJELLA/Afunguka MAZITO baada ya KUMPA/KUHUSU ANJELLA kusaidia...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 164

  • @Keyjop
    @Keyjop 2 месяца назад +58

    Kweli zuchu ni msomi 🥰🥰🥰 zuchu kavunja record ya mwanamke kumpenda mwanamke mwenzie 🌹Kwa zuchu

    • @RabiaWahadh
      @RabiaWahadh 2 месяца назад +1

      ,💯💯💯💯

    • @KhadijakassimMwaipaya
      @KhadijakassimMwaipaya 2 месяца назад

      Mashaalah mungu awajalie

    • @fazo-kl9fu
      @fazo-kl9fu Месяц назад

      Kweli mwanamke kumpenda mwanamke mwenzie ni Kaz zuchu anaupendo nimependa

  • @DevoteKabura
    @DevoteKabura 2 месяца назад +17

    Mungu akubaliki sana Zuchu.Azidi kuibaliki kazi ya mikono yako.Uzidi kua na moyo wa kusaidia .

  • @tshibangumunyenza7383
    @tshibangumunyenza7383 2 месяца назад +5

    Thanks guys musaidieni uyu DaDa one love 💕 zuchu big up mama watching you live from Canada 🇨🇦 congratulations you guys 🇹🇿 🇹🇿

  • @DonardMaduka
    @DonardMaduka Месяц назад +1

    Hongela sana zuchu mungu akuzidishie Zaid nazaid ubalikiwe sana

  • @JamaliAbass-pd3nq
    @JamaliAbass-pd3nq 2 месяца назад +3

    Zuchu Mwenyezi Mungu akuongoze kwakeli umeongea mambo mazuri yenye upendo,busara,hamasa yana kitu kikubwa ndani yake kwa mwenye Akili❤❤

  • @MariaHabakuki
    @MariaHabakuki Месяц назад +2

    Zuchu jaman mungu akupenn cjui daah mungu akubariki sana

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by 2 месяца назад +5

    Diva na Wasafi Media mmefanya jambo mbele ya mungu na mungu awainue sana❤❤❤

  • @petroniesindarubaza2420
    @petroniesindarubaza2420 2 месяца назад +18

    Sio ww tu unalia dada anjella adi nimetokwa na machozi 😢😢😢Mungu akuzidishiye zaidi ya zaidi da Zuhura ,hujawayi niangusha kbs!!!akupe kila hitaji la moyo wako dada

  • @LuluMalima-j1w
    @LuluMalima-j1w 2 месяца назад +4

    Zuchu you were promoted and now you are giving back, good thing mama. May give you more.

  • @praizmwabukusi3452
    @praizmwabukusi3452 Месяц назад +1

    Mungu akuzidishie upendo kama huohuo zuchu the boss artist ni EastAfrica🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @cuteliciacutelicia3968
    @cuteliciacutelicia3968 2 месяца назад +6

    Woow sijuti kukupenda Zuchu ❤wetu... soo much wisely dah! Afu unaimani yakweli kbs we dada Mondi anakuoa na km atakuwacha analaana ya M.Mungu

  • @stevenhendry2377
    @stevenhendry2377 2 месяца назад +4

    Mbn na me nalia jaman zuchu mungu akubarik wasafi mungu awabarik na ikawe kher ya kila kitu

  • @drcharlestz
    @drcharlestz 2 месяца назад +16

    That's what we call humanity, Mungu Akupe Umri Zuchu, huyu binti talent yake ilikuwa inakufa. Zuchu you are very smart, Mungu Akupe Umri.
    Lakini pia Anjella Asimchukie Harmonize kwani ndiye aliemfanya awe introduced, cha msingi aamini kila jambo hutokea kwasababu. Mungu anakupitisha sehemu ili kukufundisha kitu.
    All in all hatutakiwi Kukata tamaa kamwe, Mungu ni wetu sote.

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 2 месяца назад +6

    Asante kwa kumsaidia huyu ndugu yetu nimefurahi saba kutoka moyoni asante Mungu wetu ni mkuu jamani mbona mnataka kuniliza mimi jamani all I can say asante mnatuliza jamani mpaka nimelia

  • @EstherGitau-n1k
    @EstherGitau-n1k Месяц назад

    This is sister code for real. Zuchu🫡 and may God continue to bless you more❤.Anjella feel better soon and don’t give up

  • @REHEMASAMI
    @REHEMASAMI 2 месяца назад +7

    ❤❤ duh nouma sana

  • @NauriaKhamis-mz4il
    @NauriaKhamis-mz4il 2 месяца назад +1

    Ur something else zuchu .......Masha Allah

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 2 месяца назад

    Nimelia wallah tungejua mtu anaumia hivi Zuchu mungu akubariki tujaalieni tupendane❤❤❤❤

  • @allymbwana1264
    @allymbwana1264 2 месяца назад +1

    Daah binadamu wote tungekuwa na moyo na maneno anayo sema zuchu hakika mungu angetupa maisha mazuri sana na mwisho mwema

  • @Keyjop
    @Keyjop 2 месяца назад +10

    Mtu akikufungia mlango mmoja, machine Mungu ,mwambie Mungu asantee Kwa hili najua una zaid ya hili ,badala ya kulaumu shukuru kua hata kupitiwa huyu mbaliki amekua daraja inuka pambana Mungu anaona na ananjia

  • @AndrewZamoyoni
    @AndrewZamoyoni Месяц назад

    Alicho kifanya dada zuchu nimependa Sana naomba nawegine tuige yalio mazuri na yenye kupendeza ❤❤❤

  • @celenamduda3417
    @celenamduda3417 2 месяца назад +1

    ❤❤❤❤ you so much ww nizaidi ya mzung🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @enjobw5682
    @enjobw5682 2 месяца назад +1

    Mungu akubariki sana zuchu 😢😢😢😢🙏🏽💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @vailethpauloPaulo
    @vailethpauloPaulo 2 месяца назад

    Mungu akuzidishie zuchu uwa ni dada mpole mwenye mungu myenyekevu mungu akusaidie

  • @MuharamiKaposo-qt9cy
    @MuharamiKaposo-qt9cy 2 месяца назад +4

    Nakupenda Zuchu ❤

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 2 месяца назад +3

    Hongera sana Zuchu kwa msaada huu.....

  • @Nancy-f3v7e
    @Nancy-f3v7e 2 месяца назад +9

    Angela will join WASAFi soon🙏🏾. She has a talent and experience please consider her.

    • @john_1trader
      @john_1trader 2 месяца назад +1

      Doto brother watamsaidia tu kama wengine kama b levo na wengine wengi

  • @EunicePius
    @EunicePius Месяц назад

    Zuchu Mungu akubarik

  • @ThapeloKuselo
    @ThapeloKuselo 2 месяца назад +1

    Zuchu.wewenimzuri.sana.tena.sanaaaaaassaaa❤❤❤❤❤❤❤

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 2 месяца назад +9

    Zuchu inaonekana ni mkarim saana. Mungu akuzidishie kl la kheri.

  • @ziadajoseph6704
    @ziadajoseph6704 2 месяца назад

    Mungu mpe maisha marefu zuch kikweri mungu kutunze mondi mungu anakuona

  • @Robinson24560
    @Robinson24560 2 месяца назад

    So touching hii video nimeirudia zaidi ya marakumi na nahisi kua sijaumaliza kuiona mwenyewe machozi yananitoka mola akuzidishie zuhura wetu

  • @queenzuchuuu
    @queenzuchuuu 2 месяца назад

    ndio maana nampendaga zuuu ❤❤❤❤❤❤
    God bless u dear

  • @kingleorpad117
    @kingleorpad117 2 месяца назад +2

    Aisee zuchu mungu akuongezee zaidi

  • @JoabJacob-wn7hg
    @JoabJacob-wn7hg Месяц назад

    You are the best artist in african,,,, be smart girl

  • @HemedmusoTz
    @HemedmusoTz Месяц назад

    Kiukweli suchu.uendelee kua na moyo huohuo mungu akubariki

  • @RoseAloyce-j8p
    @RoseAloyce-j8p 2 месяца назад

    Mungu akuweke zuhura wetu umetisha sana ❤❤❤❤

  • @karemakarema8260
    @karemakarema8260 2 месяца назад +1

    Love you zuchu mdogo wangu❤

  • @Mindsetting4success680
    @Mindsetting4success680 2 месяца назад +1

    This Zuchu is very a small girl, but she has a big wisdom

  • @katwalejulius2351
    @katwalejulius2351 Месяц назад

    Wasafi na timu yenu yote m.mungu awabariki sana

  • @rechopiahmusic9331
    @rechopiahmusic9331 2 месяца назад +3

    Nimelia sanaaa dah zuchu😭😭😭❤️❤️❤️

  • @Nackiyah
    @Nackiyah 2 месяца назад +6

    This is wat we call girls code❤

  • @gloryEdwin-fd3hn
    @gloryEdwin-fd3hn 2 месяца назад +1

    Zuchu wetu😍😍❤️❤️

  • @PeterWilliama
    @PeterWilliama 2 месяца назад +1

    Mm mwenyewe ni mwanaume lakini machozi yananitoka daah mungu akupe umri mwingi sana na akubariki kwa kumsaidia mwanamke mwenzako ni ngumu sana kuona hivyo barikiwa

  • @NeysmophathMopha
    @NeysmophathMopha 2 месяца назад +1

    Zuchu ni zuchu na nusu umefanya kitu kizuri sanaa❤❤❤

  • @meryorotha671
    @meryorotha671 2 месяца назад

    Ubarikiwe sana zuch mi sikuamini alivoambiwa akupigie sm akuombe usafir sikuzani kama ungetoa kweli nilihisi umeitika tu kwakua wako live ili uondoe aibu pale hongera San umeonyeaha upendo wahali yajuu kwa msanii mwezio Angela ❤❤

  • @SaithothlucasLucas
    @SaithothlucasLucas 2 месяца назад +2

    Zuchu one love ❤❤❤

  • @fawziagabriel3355
    @fawziagabriel3355 2 месяца назад

    Diva unamoyo mzuri pia mashallah ❤

  • @kadito-music
    @kadito-music 2 месяца назад +1

    Zuchu niamini mimi mwenyezi Mungu fundi ameona hili jambo ulilolifanya❤

  • @OmariSaria-p6j
    @OmariSaria-p6j Месяц назад

    Baaada ya mama samia Raisi ni Zuchu 2025😢❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @irenebwanga-pf4qq
    @irenebwanga-pf4qq 2 месяца назад +1

    zuu nimefurah apo pa kwenye mungu atubariki wotee

  • @HalimaOmary-j2v
    @HalimaOmary-j2v 2 месяца назад

    Nakupenda bure zuchu❤❤❤❤

  • @HosanaBray
    @HosanaBray 2 месяца назад

    Love u dad zuu❤

  • @fawziagabriel3355
    @fawziagabriel3355 2 месяца назад

    Mungu akubariki dada❤

  • @SaimoniChilale-bo2pi
    @SaimoniChilale-bo2pi 2 месяца назад +2

    Mungu akibaliki sana zuchu kwaupendo wako huo

  • @AdamMujuni
    @AdamMujuni 2 месяца назад

    Baarakallahu zuhur❤

  • @SimonMseyeki
    @SimonMseyeki 2 месяца назад

    .Hongera sna Ii ndo sanaaa tunayoitaka mwenye nayo amzaidie mwenzake Ili muweze kufika kwenye malengo ynu wenzetu walituacha bcoz ya kusaidiana

  • @mishiabdu7478
    @mishiabdu7478 2 месяца назад

    Mungu akupe roho hy hy zuchu

  • @jaytee2021
    @jaytee2021 2 месяца назад

    I'm crying from Kenya 🇰🇪😢😢😢

  • @ziadajoseph6704
    @ziadajoseph6704 2 месяца назад

    Safi❤❤❤ diva

  • @G7_G.I.J.O.E
    @G7_G.I.J.O.E 2 месяца назад

    good heart for the right people

  • @Sharifakhamis-vx2ne
    @Sharifakhamis-vx2ne 2 месяца назад

    Mungu akuongoze Sana kipenzi Zuchu

  • @SubiraJohn-k7k
    @SubiraJohn-k7k 2 месяца назад +1

    Zuchu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @kebbymwalimu
    @kebbymwalimu 2 месяца назад

    Allah akulipe Zuchu kwa kujitoa KWAKO☝️🙏😇🇹🇿🇺🇲

  • @SaidBuliba
    @SaidBuliba 2 месяца назад +4

    Duuu kwel zuchu mungu akujazie kheli kwa hili kwakumfalij mwenzako lispect sana zuchu

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 2 месяца назад +2

    Wcb 4 life hongera sana zuchu wallah wewe mwanamke na nusu

  • @Mindsetting4success680
    @Mindsetting4success680 2 месяца назад

    See me cutting the onion with Angela, Zuchu. You're one of the million. This is how we call humanity.

  • @IreneAdieli
    @IreneAdieli Месяц назад

    Love zuchu

  • @fawziagabriel3355
    @fawziagabriel3355 2 месяца назад

    Zuchu I love you ❤

  • @annastaziaramadhani2666
    @annastaziaramadhani2666 2 месяца назад +1

    Hiii safi Sana

  • @OkGoo-b9w
    @OkGoo-b9w 2 месяца назад

    Mungu akubariki zuhura

  • @givenessemmanuel3463
    @givenessemmanuel3463 2 месяца назад +1

    Wow zuu ❤

  • @alilalji1306
    @alilalji1306 2 месяца назад +2

    Zuchu umenifanya nikuamini much ❤

  • @florianmunisi4280
    @florianmunisi4280 2 месяца назад

    MUNGU akubariki zuchu❤

  • @JOCENTE
    @JOCENTE 2 месяца назад

    Am crying
    God bless you people

  • @andreadaniel8276
    @andreadaniel8276 2 месяца назад +10

    NAMPENDA ZUCHU JAMAN ,❤ LIKE ZANGU PLZ

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz934 2 месяца назад

    Zuuu Mungu akubariki😢😢

  • @ngimbakuyi3250
    @ngimbakuyi3250 2 месяца назад

    Da zuhurs mungu akubariki mno

  • @HosanaKahwili-iz3vy
    @HosanaKahwili-iz3vy 2 месяца назад

    So emotional ♥️

  • @kulyafx-c9h
    @kulyafx-c9h 2 месяца назад

    Wasafi 4 life mi nilisema miaka minne nyuma ❤

  • @NasrahMsiagi
    @NasrahMsiagi 2 месяца назад

    Allah akuongezee

  • @damasioadrianosalendi6871
    @damasioadrianosalendi6871 2 месяца назад +18

    Wasafi watu wazuri sana, amesota sana konde gang 🙏🙏

    • @LilianMpenda-gw5pp
      @LilianMpenda-gw5pp 2 месяца назад

      Kwani bila kondegang angejulikana, pamoja na mapungufu yote ya harmonize lkn ndio aliemfungulia njia mpk wasafi wamemuona

    • @john_1trader
      @john_1trader 2 месяца назад

      ​@@LilianMpenda-gw5ppKuna kutambulishwa sawa lakini umegain nini huko walitambulishwa wasafi...lakini na mtonyo wakalipata

    • @mariakibusi5914
      @mariakibusi5914 2 месяца назад

      Kabisa ndio maana nawapenda wasafi

    • @annndunda3953
      @annndunda3953 2 месяца назад

      Wooooi Angela 😢❤

  • @OBBYOBBY-s8y
    @OBBYOBBY-s8y 2 месяца назад

    Sana zuchu nakubari

  • @salehejuma5832
    @salehejuma5832 2 месяца назад

    Dah! Jamani Mungu huyu

  • @FatmaFatma-ju6gz
    @FatmaFatma-ju6gz 2 месяца назад

    Saana wallah 😢

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu 2 месяца назад

    Maua yako zuchu"mm ni shabiki wa harmo but kwa hili zuchu nakupa maua yako mama"mwenyez Mungu akubariki saaana

  • @musampanda3643
    @musampanda3643 2 месяца назад +3

    Sijawai kuskia msanii wa kike kamsaidia msanii mwenzake ni leo zuchuchuuuuu

  • @joyhylton7901
    @joyhylton7901 2 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤❤ Zuchu

  • @tridun.65
    @tridun.65 2 месяца назад +3

  • @RamadhanAthuman-d4c
    @RamadhanAthuman-d4c 2 месяца назад +1

    Pia harmonize apongezwe maana ndiye alimleta mjini tafadhari

  • @HAWAMAULIDI-zl5xd
    @HAWAMAULIDI-zl5xd 2 месяца назад +1

    Nimeliya aiseee 😭

  • @uweschmidberger6156
    @uweschmidberger6156 2 месяца назад

    Together as one '❤'

  • @aminanchimbi-eb8ee
    @aminanchimbi-eb8ee 2 месяца назад +1

    Nyie zuchu yupo vizur sana

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 2 месяца назад

    Vizuri Sana zuchu

  • @AminaGerald-w3k
    @AminaGerald-w3k 2 месяца назад

    We love you zuchu

  • @DianaWakio
    @DianaWakio 2 месяца назад

    Zuchu anaroho nzuri hadirahaa jamani

  • @annastaziaramadhani2666
    @annastaziaramadhani2666 2 месяца назад +1

    Nandy ampe kazi katika festival yake😊

  • @hamisizuberi2163
    @hamisizuberi2163 2 месяца назад

    Sijawahi ku comment kwenye mitandao aina yoyote ila hii imenifanya nione chakusema Kwa kile ambacho zuchu amepokea kutoka Kwa dada anjela Jana na bila shaka akajibu sambamba na mategemeo yaliokuwa yakitegemewa lakini si Hilo tu akadhihirisha kauli yake Kwa vitendo pamoja na maneno ya faraja upendo na sababu ya kuonyesha Kuwa kila kitu kina muda wake Kwa wakati sahihi na sio kila mtu anaweza kufanya ulivofanya wewe umefanya na mungu akubariki sana katika utaftaji wako mungu hawezi kukuacha kwakuwa unatambua umuhimu wake kwako Asante love u zuchu 🙏🙏

  • @FaridaKaduguda
    @FaridaKaduguda 2 месяца назад +2

    Hiyo miwani zuchu km muogeleaji😅😅

  • @HAWAMAULIDI-zl5xd
    @HAWAMAULIDI-zl5xd 2 месяца назад

    So emotional 🥹❤️