Sio ww tu unalia dada anjella adi nimetokwa na machozi 😢😢😢Mungu akuzidishiye zaidi ya zaidi da Zuhura ,hujawayi niangusha kbs!!!akupe kila hitaji la moyo wako dada
That's what we call humanity, Mungu Akupe Umri Zuchu, huyu binti talent yake ilikuwa inakufa. Zuchu you are very smart, Mungu Akupe Umri. Lakini pia Anjella Asimchukie Harmonize kwani ndiye aliemfanya awe introduced, cha msingi aamini kila jambo hutokea kwasababu. Mungu anakupitisha sehemu ili kukufundisha kitu. All in all hatutakiwi Kukata tamaa kamwe, Mungu ni wetu sote.
Asante kwa kumsaidia huyu ndugu yetu nimefurahi saba kutoka moyoni asante Mungu wetu ni mkuu jamani mbona mnataka kuniliza mimi jamani all I can say asante mnatuliza jamani mpaka nimelia
Mtu akikufungia mlango mmoja, machine Mungu ,mwambie Mungu asantee Kwa hili najua una zaid ya hili ,badala ya kulaumu shukuru kua hata kupitiwa huyu mbaliki amekua daraja inuka pambana Mungu anaona na ananjia
Mm mwenyewe ni mwanaume lakini machozi yananitoka daah mungu akupe umri mwingi sana na akubariki kwa kumsaidia mwanamke mwenzako ni ngumu sana kuona hivyo barikiwa
Ubarikiwe sana zuch mi sikuamini alivoambiwa akupigie sm akuombe usafir sikuzani kama ungetoa kweli nilihisi umeitika tu kwakua wako live ili uondoe aibu pale hongera San umeonyeaha upendo wahali yajuu kwa msanii mwezio Angela ❤❤
Sijawahi ku comment kwenye mitandao aina yoyote ila hii imenifanya nione chakusema Kwa kile ambacho zuchu amepokea kutoka Kwa dada anjela Jana na bila shaka akajibu sambamba na mategemeo yaliokuwa yakitegemewa lakini si Hilo tu akadhihirisha kauli yake Kwa vitendo pamoja na maneno ya faraja upendo na sababu ya kuonyesha Kuwa kila kitu kina muda wake Kwa wakati sahihi na sio kila mtu anaweza kufanya ulivofanya wewe umefanya na mungu akubariki sana katika utaftaji wako mungu hawezi kukuacha kwakuwa unatambua umuhimu wake kwako Asante love u zuchu 🙏🙏
Kweli zuchu ni msomi 🥰🥰🥰 zuchu kavunja record ya mwanamke kumpenda mwanamke mwenzie 🌹Kwa zuchu
,💯💯💯💯
Mashaalah mungu awajalie
Kweli mwanamke kumpenda mwanamke mwenzie ni Kaz zuchu anaupendo nimependa
Mungu akubaliki sana Zuchu.Azidi kuibaliki kazi ya mikono yako.Uzidi kua na moyo wa kusaidia .
Thanks guys musaidieni uyu DaDa one love 💕 zuchu big up mama watching you live from Canada 🇨🇦 congratulations you guys 🇹🇿 🇹🇿
Hongela sana zuchu mungu akuzidishie Zaid nazaid ubalikiwe sana
Zuchu Mwenyezi Mungu akuongoze kwakeli umeongea mambo mazuri yenye upendo,busara,hamasa yana kitu kikubwa ndani yake kwa mwenye Akili❤❤
Zuchu jaman mungu akupenn cjui daah mungu akubariki sana
Diva na Wasafi Media mmefanya jambo mbele ya mungu na mungu awainue sana❤❤❤
Sio ww tu unalia dada anjella adi nimetokwa na machozi 😢😢😢Mungu akuzidishiye zaidi ya zaidi da Zuhura ,hujawayi niangusha kbs!!!akupe kila hitaji la moyo wako dada
Zuchu you were promoted and now you are giving back, good thing mama. May give you more.
Mungu akuzidishie upendo kama huohuo zuchu the boss artist ni EastAfrica🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Woow sijuti kukupenda Zuchu ❤wetu... soo much wisely dah! Afu unaimani yakweli kbs we dada Mondi anakuoa na km atakuwacha analaana ya M.Mungu
Mbn na me nalia jaman zuchu mungu akubarik wasafi mungu awabarik na ikawe kher ya kila kitu
That's what we call humanity, Mungu Akupe Umri Zuchu, huyu binti talent yake ilikuwa inakufa. Zuchu you are very smart, Mungu Akupe Umri.
Lakini pia Anjella Asimchukie Harmonize kwani ndiye aliemfanya awe introduced, cha msingi aamini kila jambo hutokea kwasababu. Mungu anakupitisha sehemu ili kukufundisha kitu.
All in all hatutakiwi Kukata tamaa kamwe, Mungu ni wetu sote.
Asante kwa kumsaidia huyu ndugu yetu nimefurahi saba kutoka moyoni asante Mungu wetu ni mkuu jamani mbona mnataka kuniliza mimi jamani all I can say asante mnatuliza jamani mpaka nimelia
This is sister code for real. Zuchu🫡 and may God continue to bless you more❤.Anjella feel better soon and don’t give up
❤❤ duh nouma sana
Ur something else zuchu .......Masha Allah
Nimelia wallah tungejua mtu anaumia hivi Zuchu mungu akubariki tujaalieni tupendane❤❤❤❤
Daah binadamu wote tungekuwa na moyo na maneno anayo sema zuchu hakika mungu angetupa maisha mazuri sana na mwisho mwema
Mtu akikufungia mlango mmoja, machine Mungu ,mwambie Mungu asantee Kwa hili najua una zaid ya hili ,badala ya kulaumu shukuru kua hata kupitiwa huyu mbaliki amekua daraja inuka pambana Mungu anaona na ananjia
Alicho kifanya dada zuchu nimependa Sana naomba nawegine tuige yalio mazuri na yenye kupendeza ❤❤❤
❤❤❤❤ you so much ww nizaidi ya mzung🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Mungu akubariki sana zuchu 😢😢😢😢🙏🏽💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Mungu akuzidishie zuchu uwa ni dada mpole mwenye mungu myenyekevu mungu akusaidie
Nakupenda Zuchu ❤
Hongera sana Zuchu kwa msaada huu.....
Angela will join WASAFi soon🙏🏾. She has a talent and experience please consider her.
Doto brother watamsaidia tu kama wengine kama b levo na wengine wengi
Zuchu Mungu akubarik
Zuchu.wewenimzuri.sana.tena.sanaaaaaassaaa❤❤❤❤❤❤❤
Zuchu inaonekana ni mkarim saana. Mungu akuzidishie kl la kheri.
Amina!
Mungu mpe maisha marefu zuch kikweri mungu kutunze mondi mungu anakuona
So touching hii video nimeirudia zaidi ya marakumi na nahisi kua sijaumaliza kuiona mwenyewe machozi yananitoka mola akuzidishie zuhura wetu
ndio maana nampendaga zuuu ❤❤❤❤❤❤
God bless u dear
Aisee zuchu mungu akuongezee zaidi
You are the best artist in african,,,, be smart girl
Kiukweli suchu.uendelee kua na moyo huohuo mungu akubariki
Mungu akuweke zuhura wetu umetisha sana ❤❤❤❤
Love you zuchu mdogo wangu❤
This Zuchu is very a small girl, but she has a big wisdom
Wasafi na timu yenu yote m.mungu awabariki sana
Nimelia sanaaa dah zuchu😭😭😭❤️❤️❤️
This is wat we call girls code❤
Zuchu wetu😍😍❤️❤️
Mm mwenyewe ni mwanaume lakini machozi yananitoka daah mungu akupe umri mwingi sana na akubariki kwa kumsaidia mwanamke mwenzako ni ngumu sana kuona hivyo barikiwa
Zuchu ni zuchu na nusu umefanya kitu kizuri sanaa❤❤❤
Ubarikiwe sana zuch mi sikuamini alivoambiwa akupigie sm akuombe usafir sikuzani kama ungetoa kweli nilihisi umeitika tu kwakua wako live ili uondoe aibu pale hongera San umeonyeaha upendo wahali yajuu kwa msanii mwezio Angela ❤❤
Zuchu one love ❤❤❤
Diva unamoyo mzuri pia mashallah ❤
Zuchu niamini mimi mwenyezi Mungu fundi ameona hili jambo ulilolifanya❤
Baaada ya mama samia Raisi ni Zuchu 2025😢❤❤🎉🎉🎉🎉
zuu nimefurah apo pa kwenye mungu atubariki wotee
Nakupenda bure zuchu❤❤❤❤
Love u dad zuu❤
Mungu akubariki dada❤
Mungu akibaliki sana zuchu kwaupendo wako huo
Baarakallahu zuhur❤
.Hongera sna Ii ndo sanaaa tunayoitaka mwenye nayo amzaidie mwenzake Ili muweze kufika kwenye malengo ynu wenzetu walituacha bcoz ya kusaidiana
Mungu akupe roho hy hy zuchu
I'm crying from Kenya 🇰🇪😢😢😢
Safi❤❤❤ diva
good heart for the right people
Mungu akuongoze Sana kipenzi Zuchu
Zuchu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Allah akulipe Zuchu kwa kujitoa KWAKO☝️🙏😇🇹🇿🇺🇲
Duuu kwel zuchu mungu akujazie kheli kwa hili kwakumfalij mwenzako lispect sana zuchu
Wcb 4 life hongera sana zuchu wallah wewe mwanamke na nusu
See me cutting the onion with Angela, Zuchu. You're one of the million. This is how we call humanity.
Love zuchu
Zuchu I love you ❤
Hiii safi Sana
Mungu akubariki zuhura
Wow zuu ❤
Zuchu umenifanya nikuamini much ❤
MUNGU akubariki zuchu❤
Am crying
God bless you people
NAMPENDA ZUCHU JAMAN ,❤ LIKE ZANGU PLZ
Zuuu Mungu akubariki😢😢
Da zuhurs mungu akubariki mno
So emotional ♥️
Wasafi 4 life mi nilisema miaka minne nyuma ❤
Allah akuongezee
Wasafi watu wazuri sana, amesota sana konde gang 🙏🙏
Kwani bila kondegang angejulikana, pamoja na mapungufu yote ya harmonize lkn ndio aliemfungulia njia mpk wasafi wamemuona
@@LilianMpenda-gw5ppKuna kutambulishwa sawa lakini umegain nini huko walitambulishwa wasafi...lakini na mtonyo wakalipata
Kabisa ndio maana nawapenda wasafi
Wooooi Angela 😢❤
Sana zuchu nakubari
Dah! Jamani Mungu huyu
Saana wallah 😢
Maua yako zuchu"mm ni shabiki wa harmo but kwa hili zuchu nakupa maua yako mama"mwenyez Mungu akubariki saaana
Sijawai kuskia msanii wa kike kamsaidia msanii mwenzake ni leo zuchuchuuuuu
❤❤❤❤❤❤ Zuchu
❤
Pia harmonize apongezwe maana ndiye alimleta mjini tafadhari
Nimeliya aiseee 😭
Together as one '❤'
Nyie zuchu yupo vizur sana
Vizuri Sana zuchu
We love you zuchu
Zuchu anaroho nzuri hadirahaa jamani
Nandy ampe kazi katika festival yake😊
Sijawahi ku comment kwenye mitandao aina yoyote ila hii imenifanya nione chakusema Kwa kile ambacho zuchu amepokea kutoka Kwa dada anjela Jana na bila shaka akajibu sambamba na mategemeo yaliokuwa yakitegemewa lakini si Hilo tu akadhihirisha kauli yake Kwa vitendo pamoja na maneno ya faraja upendo na sababu ya kuonyesha Kuwa kila kitu kina muda wake Kwa wakati sahihi na sio kila mtu anaweza kufanya ulivofanya wewe umefanya na mungu akubariki sana katika utaftaji wako mungu hawezi kukuacha kwakuwa unatambua umuhimu wake kwako Asante love u zuchu 🙏🙏
Hiyo miwani zuchu km muogeleaji😅😅
So emotional 🥹❤️