TAZAMA MFANYAKAZI wa NDANI wa NANDY AKICHAPA KINGEREZA/ZUCHU APIGWA DONGO?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Комментарии • 394

  • @KashindiRamazani-b1h
    @KashindiRamazani-b1h 20 дней назад +75

    Nandi umekosea sana dada wakazi kujuwa kingereza siyo tatizo ilitakiwa apendeze sana kuliko wewe siku ya happy birthday ya mwanao

    • @marymanoni5536
      @marymanoni5536 20 дней назад +8

      Ss nyinyi mkoje mnataka apendeze kupitiliza apendezaje khaaa

    • @Alice-o5f
      @Alice-o5f 20 дней назад +2

      Kabsa

    • @user-wd2bc7bf5x
      @user-wd2bc7bf5x 20 дней назад +5

      wako anapendeza kuliko wew??

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 20 дней назад

      ​@@user-wd2bc7bf5xhapo sasa vitu vingine vya kijinga kweli yaan,kila mtu anapendeza kwa viwango vyake jmn hebu tuweni wakweli looh

    • @sfiaalanazi5479
      @sfiaalanazi5479 20 дней назад

      ​@@user-wd2bc7bf5xhilo nalo neno tena hata aibu haoni

  • @ZubedaOmary-t2y
    @ZubedaOmary-t2y 20 дней назад +17

    Mungu ampe zuchu maisha marefu maana yy ndo mwenye roho zuri

    • @user-mt2pn4ds9k
      @user-mt2pn4ds9k 20 дней назад +2

      Ila kumkosesha raha kwenye Midian hawaachi zuchu ni mtu kabisaaa

    • @queenstashabeiby
      @queenstashabeiby 20 дней назад +2

      ❤❤❤❤

    • @JoyceNdinda-l9i
      @JoyceNdinda-l9i 14 дней назад +2

      ❤❤❤❤❤

    • @momryan
      @momryan 14 дней назад

      As zuchu anakujaje hapooo jaman akin

    • @SalomeMalimi
      @SalomeMalimi 5 дней назад +1

      Kweli zuu apewe maua yake

  • @eunicekahindi-by2zq
    @eunicekahindi-by2zq 20 дней назад +8

    Ata hajui aseme nn 😢😢😢😢sijui kwann wafanyikazi tunadharaulika😢😢

  • @puritdana
    @puritdana 20 дней назад +17

    Congrat nandy kudress ni yy angedress vizuri sio mdogo ..haswa angekua majuu angedress hvio imagine nakupendaaaa sanaaa much love from kenyaaa

    • @annndunda3953
      @annndunda3953 20 дней назад

      Kulingana na vile anaongea she's not a good boss, ni wale WA kupimia MTU hewa

    • @puritdana
      @puritdana 20 дней назад

      @@annndunda3953 labda dem mwenyewe ako sawa umesikia amesema boss wake Ni mzuri mama akikuja na huku saudia weeeuh wanachonyonga watu but ukipata boss anakupenda kula kitu iko nayo shukuru dressing ni ww mwenyewe

  • @andrewelia6591
    @andrewelia6591 20 дней назад +16

    Wasanii wetu na watu wa media kwenye kingereza bado sanaa jmn heee😂😂😂😂😂😂😂

  • @Rehemamakuka
    @Rehemamakuka 20 дней назад +35

    Kingereza ndo nn watu tupo na nywele acha roho mbaya kama huwezi jifunze kwa wenzako nywele kam mfanyakazi wa uarabuni🤣🤣🤣

    • @shakiraissa2517
      @shakiraissa2517 20 дней назад +1

      😂😂😂😂😂😂watu tupo na nywele😅

    • @Zanha582
      @Zanha582 20 дней назад +2

      Tumefanyaje wa uarabuni hapo jmn😂😂😂😂

    • @user-xd9ye7wk6c
      @user-xd9ye7wk6c 20 дней назад +3

      ​@@Zanha582miaka miwili hujawai suka 😂😂😂 unacheza nipo Kama mwehu

    • @rehemaomary3493
      @rehemaomary3493 20 дней назад +2

      Umejuaje kuwa wadada wa waarubuni hawasuki nywele 😅😅😅😅😅😅

    • @Rehemamakuka
      @Rehemamakuka 20 дней назад

      @@rehemaomary3493 ananichosha 🤣🤣

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 20 дней назад +9

    Nandy hajui kingereza😅😅😅😅😅😅😅 Ina roho mbaya

  • @Ajijji12
    @Ajijji12 20 дней назад +15

    Kiufupi boss na mfanyakazi wake wote hamjui english 😢

    • @Maftaha-k8m
      @Maftaha-k8m 20 дней назад

      Umeona😂😂😂😂 wanaongea kama watoto wa pipi one alafu anasema ajui kiswaili na English niyakuangaika😅😅😅

  • @annathomas-wy8yt
    @annathomas-wy8yt 20 дней назад +13

    Yaani watanzania sisi tunahangaika sana na maisha ya watu,kwani mavazi ndio nini,watu tunaangalia maisha sio kuvaa.

  • @user-ud4hu6xe1c
    @user-ud4hu6xe1c 20 дней назад +37

    Una robo mbaya Kama binamu yangu flani hivi

  • @PendoMoris-zo4nl
    @PendoMoris-zo4nl 20 дней назад +25

    Nandy ni mpare na wapare ni Wachoyo Sana yan adi kula wanamaind yan

  • @RahmaAlly91
    @RahmaAlly91 20 дней назад +31

    Una maajabu unaroho mbaya😂😂😂 jmn

  • @zainabuali9915
    @zainabuali9915 20 дней назад +24

    Ila kweli yule mtot alionekan ovyo😂😂😂😂

  • @Nyiransaba-d7j
    @Nyiransaba-d7j 20 дней назад +8

    She can’t do it for her house keeper because house keeper she’s very beautiful than her ❤❤❤❤

  • @Young.wise.2
    @Young.wise.2 20 дней назад +17

    Nandy atausitetereke mwaya achana na hao watu wanao fatilia maisha ya watu yao yamewashinda

  • @user-qb4qp7xj7d
    @user-qb4qp7xj7d 20 дней назад +17

    Yan kashikwa Na aibu mpak kuongea Nishida duuh🤣🤣

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES 20 дней назад +37

    Katika wasanii wote duniani mwenye roho nzuri na nitakae muombea cku zote afanikiwe ni zuchu tu

    • @user-jj8vq5qr9f
      @user-jj8vq5qr9f 20 дней назад

      Ww ulishaskia wa zenji tuna roho mbaya

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc 20 дней назад +1

      Baaaaas umefunga mchezo

    • @aishaally9756
      @aishaally9756 20 дней назад

      Mnazo ,,hampendani wenyew kwa wenyew,, roho mbaya kurogana ,,na ndiyo maaana hamuendelei mko hapo hapo ​@@user-jj8vq5qr9f

    • @LisaDequte
      @LisaDequte 20 дней назад +2

      ​@@user-jj8vq5qr9fhapo ndo ulipo haribu kwann useme wa zenji huo ndo ubaguzi tunao usema mbona hata bara kuna watu wenye roho kama hiyo au kwa sababu zuchu katoa mbele ya public acheni ushamba, kutoa au roho nzur ni moyo wa mtu ila siyo utaifa au mkoa fulani ni moyo, hata mimi nimependa alicho fanya zuuu ila ungemkosoa nandy kivyake👌👌👌😏😏😏😏😏

    • @user-jj8vq5qr9f
      @user-jj8vq5qr9f 20 дней назад

      @@LisaDequte wabara wa naongoza kwa roho chafu makatili sana

  • @MishiJuma-js2tj
    @MishiJuma-js2tj 20 дней назад +5

    😂😂Yani Nandi ,dada wa kazi na wanahabari nyote hamjui kiingeleza

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 20 дней назад +2

      We nawe hata kuandika kiingereza huwezi unaita "kingeleza" tukueleweje?😢

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 20 дней назад +23

    Hujaulizwa kujua kii ngereza umeulizwa kuwa hamumtunzi k wahiyo ni vitu viwili tofauti jibu swali kwanini hamumtun zi Dada wa kazi huja ulizwa kuwa anajua kiingereza au hajui jibu swali mbona ha mumtunzi bint wa kazi

    • @user-by4cl2ml9o
      @user-by4cl2ml9o 20 дней назад +1

      Kwani si analipwa jamn 😢.mbona mnakuwa namakasiliko

    • @user-di3pd9lw3k
      @user-di3pd9lw3k 17 дней назад +2

      Wadada wakazi nimeishi nao wengi lakini unakuta wazazi wanachukua mshahara wote ,na wengine wakisha pendeza wananiona kama bosi .bora apewe mshara wake tu basi nihatari

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma 20 дней назад +5

    Mbona kama alikuwa anateteleka 😂😂😂😂 IGENI KWA ZUCHU NENDA UKAMUULIZE ALICHO MFANYIA ANJERA, ZUCHU 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

    • @sameraakhf5605
      @sameraakhf5605 20 дней назад

      Zuchu ni mzanzibar yule wanzanzibar sio wa choyo wanaweza kutoa kitu cha thamani usifananishe na wabongo roho mbaya na choyo

    • @lovenessabel2218
      @lovenessabel2218 20 дней назад

      ​@@sameraakhf5605😢😢😢

  • @Polyn.123
    @Polyn.123 20 дней назад +28

    Ukweli unauma sn 😅😂wanazungumzia kuusu kufaa na nyele😅😂siyo kingerez hahaaaaa rohooo mbayaa aibu

    • @FaridaKaduguda
      @FaridaKaduguda 20 дней назад +2

      😅😅😅😅Yani kaona abu sana aisee

    • @FaridaKaduguda
      @FaridaKaduguda 20 дней назад +1

      Sory aibu hiyo 😅😅 anasema na macho anayatoa 😅😅😅 kwa jins alivyojisikia vibaya

    • @FaridaKaduguda
      @FaridaKaduguda 20 дней назад

      Mdada sauti ya unyonge duuuh!! Umempanga toka hapa😅😅😅 na yeye maskin anaogopa kukosa ka rizq kake😅😅

    • @HappyFania-ry2ch
      @HappyFania-ry2ch 20 дней назад +1

      Tena aibu kubwa yeye anavaa mawigi ya galama alafu anaemtunzia mtoto hampi hata ya kusuka

    • @HappyFania-ry2ch
      @HappyFania-ry2ch 20 дней назад +1

      Hamna lolote mpe hela binti apendeze kama wewe 😂😂😂😂

  • @AyshaSalumu
    @AyshaSalumu 20 дней назад +5

    Nimeamini sisi watanzania ni wanafiki sana jmn kwanza amjui anaishi vp akuna ambae kashawai kwenda kwa nandy ebu tuache kushabikia mambo tusiyo yajua bhn jmn yan sisi wabongo ni sawa na bendela fata upepo ukivumia uku tupo ukirudi uku tupo ndo maana tunakufa masikini

    • @NurahMummy
      @NurahMummy 20 дней назад +1

      Umeongea kama watu mia

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 20 дней назад +4

    Hatukuelewi tatizo Muonekano wake Mavazi mpaka Nwele la3 hana Furaha kwisha tueleze kuhusu hayo tupo kwenye kikao kukujadili sijui unatuelewa!

  • @josephinejoachim5847
    @josephinejoachim5847 20 дней назад +1

    Kunawatu wanaishi na wadada wa kazi ovyo mnooo, ni vile tu kwasababu si kioo cha jamii hebu acheni maisha ya wenzenu

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES 20 дней назад +4

    Kingereza ata vijijini watu wanaongea kingereza hakimusaidii chochote tunaitaji vitu vya kumsaidia kwenye maisha yake pumbavu kabisa

  • @Kefridadaniel
    @Kefridadaniel 20 дней назад +9

    Na t-shirt yake ya Daah ya mwez wa nne huko😢

    • @zulaika-mu8pc
      @zulaika-mu8pc 20 дней назад

      😂😂😂

    • @Shakira-Nb
      @Shakira-Nb 20 дней назад +2

      Et ya daah 😂😂itakua wanalipiza ile iphone alipewaga n billnass😂😂

  • @user-mu1uf2rl4x
    @user-mu1uf2rl4x 20 дней назад +33

    Nandi si mpare huyo ivi hamuwajui wapare ee niwa binafsi balaa

  • @user-cw6jq7cv2k
    @user-cw6jq7cv2k 20 дней назад

    Nandy you are a beautiful soul, unaonekana una roho nzuri na ni mtu wa upendo full time. Peace girl

  • @Shufaashabani-u6w
    @Shufaashabani-u6w 20 дней назад +2

    Acha kujitetea roho mbayaaa😢😢😢

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 20 дней назад +1

    Wafanya kazi wa ndani wa uhakika wengi kuwafanya wawe smart mtihani sana....... Leo unamgharamia kesho unatamani hata hela yako ungelia chips

  • @victorianjau8856
    @victorianjau8856 20 дней назад +2

    Uyo dada Mozambiquekiani siyo mbongo wasidunganye

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES 20 дней назад +3

    Kingereza chenyewe kama Cha yule bibi nakachanganyikiwa mjukuu wangu I'm oves

  • @Miriamerasmas-rk7nz
    @Miriamerasmas-rk7nz 20 дней назад +1

    Iv watu kwann mnapenda kufatilia maisha ya watu na wakat wewe unaesema nandy anaroho mbay je wewe unaroho ya aina gani kikubwa ni kuombeana tu hii dunia ya Sasa usimhukum mtu usije hukumiwa

  • @user-qg5sc7ie3q
    @user-qg5sc7ie3q 20 дней назад +1

    Mbona birthday girl mwenyewe hakusuka,acheni unaa bhana ,nandy pambana mdogo wangu

  • @lucyanita1337
    @lucyanita1337 19 дней назад

    Yaani TZ msichana wa kazi kukijuwa kingereza jambo la kuingelewa kiasi hiki...ilihali huku kenya that is every requirement for any house help who has to deal with kids...😂❤

  • @RegKibria
    @RegKibria 20 дней назад +3

    Naya his olead sleeping 😂😂😂😂😂 au mim nme skia vibaya 😅

    • @Qayler232
      @Qayler232 20 дней назад

      ⁿᵃʸᵃ ⁱˢ ᵒˡᵉⁱᵈ ˢˡᵉᵖᵘᵘ😂😂😂

    • @florentinamuwaya2937
      @florentinamuwaya2937 16 дней назад

      Ako najinsia mbili labda that's why she could he

  • @Mammy-eq7ef
    @Mammy-eq7ef 20 дней назад +6

    😂😂😂😂😂😂😂😂 sijaelewa hii kizungu ya nandy kabisa yan..??

  • @OlivelyDavidy
    @OlivelyDavidy 20 дней назад +2

    Una loho mbaya acha unafiki unalelewa Mtoto guo tuu umeshindwa kununulia achakuji safisha

  • @FatumaJaphari
    @FatumaJaphari 20 дней назад

    Hivi nyie mbona mnapenda judgement sana mlitimwa mfatilie kavaaje kawaje mnajua wanaishi vip humo ndan 😏 roho mbaya ndo mmeiona kisa hajasuka tuu looh hovyoo nandy ishi vile upendavyo na familia Yako binadam nyie😢😢😏

  • @officialminamollel2948
    @officialminamollel2948 20 дней назад +1

    ivi mbona wewe unajua kingereza na ulikuwa uko vizuri nandy umekosea sana

  • @shakiraissa2517
    @shakiraissa2517 20 дней назад +1

    Nampenda zuchu ana roho nzuri, huyo house girl angekua wa zuchu angemnunulia hadi gari

  • @user-he7ht6mj4f
    @user-he7ht6mj4f 20 дней назад +1

    Nandi nae yuko na maringo sana

  • @SumahyaNyuni-o2s
    @SumahyaNyuni-o2s 20 дней назад +1

    Acha izo nandy inamaana unataka kutuambiwa kwamba English cous ndo imemfanya asahau kiwahili duuuh hahahahahh we. Dada usijitetee jamani

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 20 дней назад

    Hata sisi tunajua kiingereza tuko na waarabu huku wanatuambia mafi mushikila😂😂

  • @RukiaHussein-bi8ov
    @RukiaHussein-bi8ov 20 дней назад +1

    Kujua kingereza sio ishu sisi tuko huku dubei tunalipwa milion tuna
    Vaa vizuri

  • @jkuser7593
    @jkuser7593 5 дней назад

    Yesuuu hicho kiingereza mweee

  • @NadyaSaid-qh9kv
    @NadyaSaid-qh9kv 14 дней назад

    Kweli kabisaaaa mwaya

  • @user-cf4pc5dz8t
    @user-cf4pc5dz8t 20 дней назад +1

    Mh kuongea kwenyewe anakwama kwama hajiamn mh anaangaika mh😂

  • @user-pw3qu2ov9z
    @user-pw3qu2ov9z 19 дней назад

    Kwani. Tanzania issue ya kingereza ni kubwa Sana kwenu

  • @stamillusatila9084
    @stamillusatila9084 14 дней назад

    Issue iliyokuwa inajadiliwa sio kingereza ni muonekano wa mavazi mabaya aliyovaa kwenye party ule mtisheti mweusi wa Daaah hapana kwakweli. Sijapentraaa

  • @happybakari643
    @happybakari643 17 дней назад

    Wambea washenzi hao ndo wanasababisha wadada wetu wa kaz wawe wanakimbia kisa midomo ya majiran, umewajibu good sana

  • @REHEMASAMI
    @REHEMASAMI 20 дней назад +1

    Mnasikia mwaktalema lakn😂❤

  • @ReginaJumanne
    @ReginaJumanne 20 дней назад

    Jamn me sion kama ni ajabu hat hivy anafundishwa maisha kukaa na watu tofauti tofauti ni kujifunza walimwengu walivy ili ajue jinsi ya kuishi nao

  • @momryan
    @momryan 14 дней назад

    Maisha marefu kwako dada angu kipenzii❤

  • @joycendanundanu9218
    @joycendanundanu9218 20 дней назад +1

    Kubali2 kimekuramba ukweli mchungu ila kidonge chako ushapewa😂😂utameza, utatema, habari ndy hiyo na hope utajirekebisha alfu kuzumgumza kingoso sio jambo jimya kwanza kizungu chenyewe hakina royko,karafuu, iliki😂😂so acha kutusifia na kizungu chako mtunze dada wa kazi

  • @user-yz9ep1rc5g
    @user-yz9ep1rc5g 17 дней назад

    Luhga imetokea wapi tena watu wanataka kujua mbona hajamvalisha vizuri maneno mengi 😅😅😅

  • @OlivelyDavidy
    @OlivelyDavidy 20 дней назад

    Hatuna hakika kama ume msomesha wew huenda ana fanya kazi anatafuta ada ajiendelezee kigeleza nini geli kila mtu ana ogea

  • @FloridaTesha
    @FloridaTesha 20 дней назад +1

    Jamani nand inatakiwa uyo dada apendeze acha roho chafu bh

    • @AyshaSalumu
      @AyshaSalumu 20 дней назад

      Kwan ye pesa apewe unategemea kupendeza kupitia pesa ya mtu ye mwenyewe angekuwa anataka kupendeza angejipendezesha mwenyewe sio kutegemea boss

    • @lovenessabel2218
      @lovenessabel2218 20 дней назад

      ​@@AyshaSalumu haswaa nashangaa watu wanamwambia nandy kama wenyewe wanawapendezesha wafanyakazi wao

  • @HamisiLufyagila-d7g
    @HamisiLufyagila-d7g 17 дней назад

    Watanzania ifike wakati tujitambue mnamlazimisha mtu muoneko

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 19 дней назад

    unaulizwa kuhusu mavazi,unajibu anajua kingereza.Hujajibu swali

  • @ZulfaJuma-yv2vg
    @ZulfaJuma-yv2vg 20 дней назад

    Jamani mm sijamwelewa alichoulizwa naanachojibu

  • @agnesclement6305
    @agnesclement6305 20 дней назад +1

    Gigy alisema mkasema chizi

  • @MichaelHakme
    @MichaelHakme 20 дней назад

    Ukonaroho mbaya tena umeambilika kwani kiengereza ulimfunza wew

  • @MarthaMgaya-zo4bi
    @MarthaMgaya-zo4bi 20 дней назад

    Heeee kumbe wadada wa jazi ni sisi wenye hali dunii😢😢😂😂😂😂😂

  • @NeemaJosephat-xy3kl
    @NeemaJosephat-xy3kl 20 дней назад

    Kujua kingereza c tija bhana nandy hukufanya vyema kwa mfanyakazi wako ilibidi apendeze hata kidogo jaman

  • @sharifaelinest
    @sharifaelinest 20 дней назад

    sasa unakuta Mt anasemwa mfanyakadhi akupendeza sasa kama mnauluma singeombanamba zake ilimumtumie ela iliapendeze kama mnaona anakosewa jaman embu muache makasiliko jaman sio pw

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 17 дней назад

    kiengereza wakenya wanaongea hata waokota makopo sio issue kubwa kuongea kiengereza😂😂😂

  • @bdvc7107
    @bdvc7107 20 дней назад

    Kupendeza inatakiwa uwe tayali mwenyewe kaz anayo mshahara analipwa mzuri ajataka kusuka uyo sio kila kitu mpaka nandi uyo bint anamarengo na pesa zake ajiweki kimjin

  • @mariamjohn7444
    @mariamjohn7444 13 дней назад

    Usijione umefika utakufa huwezi ishi milele sote tunapita

  • @Billiah
    @Billiah 16 дней назад

    Kweli kaa na mtu ujue tabia yake kwani alikosa kumurembesha mufanyi kazi wake roho mbaya sana

  • @ellenkijja1486
    @ellenkijja1486 14 дней назад

    Hajui hata asemeje ameaibika

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 20 дней назад +3

    Nandy English eeeemmhhh 😂😂

  • @BarnabasMajengo-f6h
    @BarnabasMajengo-f6h 14 дней назад

    Umekuma bna ndoo mana amekuma ukweli

  • @RosehalubhaHalubha-nu3sv
    @RosehalubhaHalubha-nu3sv 20 дней назад

    sasa x muongee tuuu kiswahili wote kizungu shida😂😅

  • @Bentiva
    @Bentiva 19 дней назад

    Waty wambea Sana nandy fanya yako nkupnda Sana awooo waty waache waongeee

  • @user-dd3qt8fs7w
    @user-dd3qt8fs7w 15 дней назад

    Muwache roho mbaya maboss ww unajipenda Ila dada wakazi umemfanya kinyago ww umemsomesha ili aje kumsomesha mwanao akirudi shule mshenzi

  • @KelvinThomas-j9t
    @KelvinThomas-j9t 17 дней назад

    dad nakubali

  • @JescaRubern-u9u
    @JescaRubern-u9u 20 дней назад

    Hatari

  • @umfarooqjumbe1702
    @umfarooqjumbe1702 19 дней назад

    Sio kweli usemwe ili iwe nn roho mbaya haijifichi

  • @OnesmoMsafwa
    @OnesmoMsafwa 14 дней назад

    Khaaaa kumbe uyo mpale haaaa shida baili 😅😅😅😅😅

  • @Akauntil
    @Akauntil 17 дней назад

    😂😂😂😂 pole nandy tunaijua hyo

  • @user-nj1py9ur3r
    @user-nj1py9ur3r 20 дней назад +1

    Nandi sio wa kulaumiwa jamani kuna baadhi ya wadada wa kazi hata awe na nguo nzuri kias gani kuvaa vibaya ni alivyozoea so huenda dada wa nandi kazoea kuvaa vile

    • @givenessdavid3743
      @givenessdavid3743 20 дней назад

      Kama Mimi wa kwangu imefika hatua namuangalia kama alivyo.....hata umnunulie Nguo ya gharama vipi Hawezi tunza......umsuke msuko wa gharama kiasi gani siku mbili ahafumua kasuka mabutu mpaka nmemkatia tamaa

  • @mouldykomba1852
    @mouldykomba1852 20 дней назад

    Mmmmh😂😂😂 makubwa kwan nandy mbona umejibu vitu tofauti na kama ulimwambia mchana itakuwa ulimuandaa kumbe😂

    • @saminatwalib5612
      @saminatwalib5612 20 дней назад

      That's how our president Zakayo normally do in every interview 😂😂😂huku Kenya tushazoea yani.

  • @mariamjohn7444
    @mariamjohn7444 13 дней назад

    Muxenge tu mekapu ushukulu inakuxaidia huna sura shingo Nene Kama dume roho yako mbaya Kama ulivyo ww pumbafu muache zuchu wetu ndo maana umezaa mtoto mwenye komwe

  • @OvidioJose-jv3lo
    @OvidioJose-jv3lo 20 дней назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂 nandi amefery

  • @mwantumkombo3014
    @mwantumkombo3014 20 дней назад

    Tofauti!😅 limemfika mpeni maji anywe😂😂😂 ulirong mamy n ww mwnyw unajua umerong..

  • @ashamagogo-i9z
    @ashamagogo-i9z 20 дней назад +2

    ZUCHU ANAMSHINDA HTA MDADA WNGU.HKO HVYO MWEZIE KATOA MPKA GARI KWA SUPRISESS

    • @lovenessabel2218
      @lovenessabel2218 20 дней назад

      Usipende kulinganisha watu kila mtu hufanya kama moyo wake upo tayari kufanya hiko kitu

  • @LeahKayange-k6n
    @LeahKayange-k6n 20 дней назад

    Skila swali inapaswa kujbu maana wat atuishiw maneno maana aw ndoss

  • @HajraRamadhan-x5f
    @HajraRamadhan-x5f 20 дней назад

    Hajajibu swali bhanaa

  • @jacklinengowi4230
    @jacklinengowi4230 20 дней назад

    Huenda hata hiyo ada ya English course kajilipia mwenyew punguza roho mbaya

  • @SakinaNgunga
    @SakinaNgunga 19 дней назад

    Nandi mwenyewe hajui kingereza

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d 20 дней назад

    Kujua kiengereza angevaa vizuri pia sio kujua lugha tu ww ni Star lazima na yy angependeza

  • @EidBin
    @EidBin 5 дней назад

    😂😂 mbona kingereza boko boko

  • @Thebossmama254
    @Thebossmama254 17 дней назад

    Jemen hivi huwezi kumtengenezea nywele yan anakaa kama mfanya kazi wa gulf jemen

  • @user-xg9hu8wh7b
    @user-xg9hu8wh7b 15 дней назад

    Zuchu anaroho nzuri sana nawashangaa wabongo wanakusifia et nandy mzuri me sijaona uzuri wa nandy jaman kitu zuchu ndo namuelewa mno sio nandy

  • @user-st1zs1ng2x
    @user-st1zs1ng2x 20 дней назад

    Tatizo sio kidhungu... Dada yuko rafuuuuu

  • @user-tk3jv9ym9q
    @user-tk3jv9ym9q 20 дней назад +1

    Aaaaaa soooooo bulaba bulaba😂😂

  • @wilbrodarapando1875
    @wilbrodarapando1875 20 дней назад

    You will explain until you get tired. Your nanny was shaggy in your event period

  • @lucyalto7320
    @lucyalto7320 20 дней назад

    Hasa kumsomesha hiyo English course na kuwa na mwonekano mzuri vinahusianaje siku ile ya shughuri ya mwanao na yeye ndo anakuwa naye muda wote ilifaa apendeze hata ungempa ka laki tu ajifa yie maandalizi ya kigauni hata cha 25, vinywele vya 30 ilimradi avutie bado tu hukumjali course ni dada

  • @zahiruhamisi4162
    @zahiruhamisi4162 20 дней назад

    Shida ya Nandi ni mchaga mkipafahamu hapo tu haisumbui....ye anayemuona wa thamani ni NENGA tu😂