TAZAMA MFANYAKAZI wa NDANI wa NANDY AKICHAPA KINGEREZA/ZUCHU APIGWA DONGO?
HTML-код
- Опубликовано: 11 сен 2024
- _________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Nandi umekosea sana dada wakazi kujuwa kingereza siyo tatizo ilitakiwa apendeze sana kuliko wewe siku ya happy birthday ya mwanao
Ss nyinyi mkoje mnataka apendeze kupitiliza apendezaje khaaa
Kabsa
wako anapendeza kuliko wew??
@@user-wd2bc7bf5xhapo sasa vitu vingine vya kijinga kweli yaan,kila mtu anapendeza kwa viwango vyake jmn hebu tuweni wakweli looh
@@user-wd2bc7bf5xhilo nalo neno tena hata aibu haoni
Mungu ampe zuchu maisha marefu maana yy ndo mwenye roho zuri
Ila kumkosesha raha kwenye Midian hawaachi zuchu ni mtu kabisaaa
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
As zuchu anakujaje hapooo jaman akin
Kweli zuu apewe maua yake
Ata hajui aseme nn 😢😢😢😢sijui kwann wafanyikazi tunadharaulika😢😢
Congrat nandy kudress ni yy angedress vizuri sio mdogo ..haswa angekua majuu angedress hvio imagine nakupendaaaa sanaaa much love from kenyaaa
Kulingana na vile anaongea she's not a good boss, ni wale WA kupimia MTU hewa
@@annndunda3953 labda dem mwenyewe ako sawa umesikia amesema boss wake Ni mzuri mama akikuja na huku saudia weeeuh wanachonyonga watu but ukipata boss anakupenda kula kitu iko nayo shukuru dressing ni ww mwenyewe
Wasanii wetu na watu wa media kwenye kingereza bado sanaa jmn heee😂😂😂😂😂😂😂
Kingereza ndo nn watu tupo na nywele acha roho mbaya kama huwezi jifunze kwa wenzako nywele kam mfanyakazi wa uarabuni🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂watu tupo na nywele😅
Tumefanyaje wa uarabuni hapo jmn😂😂😂😂
@@Zanha582miaka miwili hujawai suka 😂😂😂 unacheza nipo Kama mwehu
Umejuaje kuwa wadada wa waarubuni hawasuki nywele 😅😅😅😅😅😅
@@rehemaomary3493 ananichosha 🤣🤣
Nandy hajui kingereza😅😅😅😅😅😅😅 Ina roho mbaya
Kiufupi boss na mfanyakazi wake wote hamjui english 😢
Umeona😂😂😂😂 wanaongea kama watoto wa pipi one alafu anasema ajui kiswaili na English niyakuangaika😅😅😅
Yaani watanzania sisi tunahangaika sana na maisha ya watu,kwani mavazi ndio nini,watu tunaangalia maisha sio kuvaa.
💯
Una robo mbaya Kama binamu yangu flani hivi
Nandy ni mpare na wapare ni Wachoyo Sana yan adi kula wanamaind yan
😂😂😂😂
Anii balaaa 😂🎉
Huna lolote acha kutusema wapare chizi ww
Acha uongo
Nikamzozo
Una maajabu unaroho mbaya😂😂😂 jmn
Ila kweli yule mtot alionekan ovyo😂😂😂😂
Tena ovyoovyo 😂😂😂kingeleza wote tunajua
😂😂😂😂
@@HappyFania-ry2ch😂😂😂😂😂😂
She can’t do it for her house keeper because house keeper she’s very beautiful than her ❤❤❤❤
Yes u are right
Nandy atausitetereke mwaya achana na hao watu wanao fatilia maisha ya watu yao yamewashinda
Mwambieni huyo Nandy wenu akikosea
💯
Yan kashikwa Na aibu mpak kuongea Nishida duuh🤣🤣
Kwel aibu san
Bora ww umeona hilo😂😂😂😂😂😂 yn hana chakusema
@@zeynabmohamedzeynab4753 Yan kabaki kusema Kwanza hajui Kiswahili 😂🤣
@@PreciousWatson-kc2xs Yan limemshuka juso hatar
Katika wasanii wote duniani mwenye roho nzuri na nitakae muombea cku zote afanikiwe ni zuchu tu
Ww ulishaskia wa zenji tuna roho mbaya
Baaaaas umefunga mchezo
Mnazo ,,hampendani wenyew kwa wenyew,, roho mbaya kurogana ,,na ndiyo maaana hamuendelei mko hapo hapo @@user-jj8vq5qr9f
@@user-jj8vq5qr9fhapo ndo ulipo haribu kwann useme wa zenji huo ndo ubaguzi tunao usema mbona hata bara kuna watu wenye roho kama hiyo au kwa sababu zuchu katoa mbele ya public acheni ushamba, kutoa au roho nzur ni moyo wa mtu ila siyo utaifa au mkoa fulani ni moyo, hata mimi nimependa alicho fanya zuuu ila ungemkosoa nandy kivyake👌👌👌😏😏😏😏😏
@@LisaDequte wabara wa naongoza kwa roho chafu makatili sana
😂😂Yani Nandi ,dada wa kazi na wanahabari nyote hamjui kiingeleza
We nawe hata kuandika kiingereza huwezi unaita "kingeleza" tukueleweje?😢
Hujaulizwa kujua kii ngereza umeulizwa kuwa hamumtunzi k wahiyo ni vitu viwili tofauti jibu swali kwanini hamumtun zi Dada wa kazi huja ulizwa kuwa anajua kiingereza au hajui jibu swali mbona ha mumtunzi bint wa kazi
Kwani si analipwa jamn 😢.mbona mnakuwa namakasiliko
Wadada wakazi nimeishi nao wengi lakini unakuta wazazi wanachukua mshahara wote ,na wengine wakisha pendeza wananiona kama bosi .bora apewe mshara wake tu basi nihatari
Mbona kama alikuwa anateteleka 😂😂😂😂 IGENI KWA ZUCHU NENDA UKAMUULIZE ALICHO MFANYIA ANJERA, ZUCHU 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Zuchu ni mzanzibar yule wanzanzibar sio wa choyo wanaweza kutoa kitu cha thamani usifananishe na wabongo roho mbaya na choyo
@@sameraakhf5605😢😢😢
Ukweli unauma sn 😅😂wanazungumzia kuusu kufaa na nyele😅😂siyo kingerez hahaaaaa rohooo mbayaa aibu
😅😅😅😅Yani kaona abu sana aisee
Sory aibu hiyo 😅😅 anasema na macho anayatoa 😅😅😅 kwa jins alivyojisikia vibaya
Mdada sauti ya unyonge duuuh!! Umempanga toka hapa😅😅😅 na yeye maskin anaogopa kukosa ka rizq kake😅😅
Tena aibu kubwa yeye anavaa mawigi ya galama alafu anaemtunzia mtoto hampi hata ya kusuka
Hamna lolote mpe hela binti apendeze kama wewe 😂😂😂😂
Nimeamini sisi watanzania ni wanafiki sana jmn kwanza amjui anaishi vp akuna ambae kashawai kwenda kwa nandy ebu tuache kushabikia mambo tusiyo yajua bhn jmn yan sisi wabongo ni sawa na bendela fata upepo ukivumia uku tupo ukirudi uku tupo ndo maana tunakufa masikini
Umeongea kama watu mia
Hatukuelewi tatizo Muonekano wake Mavazi mpaka Nwele la3 hana Furaha kwisha tueleze kuhusu hayo tupo kwenye kikao kukujadili sijui unatuelewa!
Kunawatu wanaishi na wadada wa kazi ovyo mnooo, ni vile tu kwasababu si kioo cha jamii hebu acheni maisha ya wenzenu
Kingereza ata vijijini watu wanaongea kingereza hakimusaidii chochote tunaitaji vitu vya kumsaidia kwenye maisha yake pumbavu kabisa
Na t-shirt yake ya Daah ya mwez wa nne huko😢
😂😂😂
Et ya daah 😂😂itakua wanalipiza ile iphone alipewaga n billnass😂😂
Nandi si mpare huyo ivi hamuwajui wapare ee niwa binafsi balaa
Wachoyo!!!! Sisi wa Kenya huwaita hivyo
Kwel
Sio wote jamani
Kweli ni wabahiri na wachoyo
@@BarbaraPatience-qt9cc surely aki
Nandy you are a beautiful soul, unaonekana una roho nzuri na ni mtu wa upendo full time. Peace girl
Acha kujitetea roho mbayaaa😢😢😢
Wafanya kazi wa ndani wa uhakika wengi kuwafanya wawe smart mtihani sana....... Leo unamgharamia kesho unatamani hata hela yako ungelia chips
Uyo dada Mozambiquekiani siyo mbongo wasidunganye
Kingereza chenyewe kama Cha yule bibi nakachanganyikiwa mjukuu wangu I'm oves
😂😂😂😂 watu si mna maneno
Angalau kaongea
Iv watu kwann mnapenda kufatilia maisha ya watu na wakat wewe unaesema nandy anaroho mbay je wewe unaroho ya aina gani kikubwa ni kuombeana tu hii dunia ya Sasa usimhukum mtu usije hukumiwa
Mbona birthday girl mwenyewe hakusuka,acheni unaa bhana ,nandy pambana mdogo wangu
Yaani TZ msichana wa kazi kukijuwa kingereza jambo la kuingelewa kiasi hiki...ilihali huku kenya that is every requirement for any house help who has to deal with kids...😂❤
Naya his olead sleeping 😂😂😂😂😂 au mim nme skia vibaya 😅
ⁿᵃʸᵃ ⁱˢ ᵒˡᵉⁱᵈ ˢˡᵉᵖᵘᵘ😂😂😂
Ako najinsia mbili labda that's why she could he
😂😂😂😂😂😂😂😂 sijaelewa hii kizungu ya nandy kabisa yan..??
😂😂😂😂😂yaani urembo wote hajui kingereza?????
😂😂😂😂
Una loho mbaya acha unafiki unalelewa Mtoto guo tuu umeshindwa kununulia achakuji safisha
Hivi nyie mbona mnapenda judgement sana mlitimwa mfatilie kavaaje kawaje mnajua wanaishi vip humo ndan 😏 roho mbaya ndo mmeiona kisa hajasuka tuu looh hovyoo nandy ishi vile upendavyo na familia Yako binadam nyie😢😢😏
ivi mbona wewe unajua kingereza na ulikuwa uko vizuri nandy umekosea sana
Nampenda zuchu ana roho nzuri, huyo house girl angekua wa zuchu angemnunulia hadi gari
Nandi nae yuko na maringo sana
Acha izo nandy inamaana unataka kutuambiwa kwamba English cous ndo imemfanya asahau kiwahili duuuh hahahahahh we. Dada usijitetee jamani
Hata sisi tunajua kiingereza tuko na waarabu huku wanatuambia mafi mushikila😂😂
😂😂😂
Kujua kingereza sio ishu sisi tuko huku dubei tunalipwa milion tuna
Vaa vizuri
Yesuuu hicho kiingereza mweee
Kweli kabisaaaa mwaya
Mh kuongea kwenyewe anakwama kwama hajiamn mh anaangaika mh😂
Kwani. Tanzania issue ya kingereza ni kubwa Sana kwenu
Issue iliyokuwa inajadiliwa sio kingereza ni muonekano wa mavazi mabaya aliyovaa kwenye party ule mtisheti mweusi wa Daaah hapana kwakweli. Sijapentraaa
Wambea washenzi hao ndo wanasababisha wadada wetu wa kaz wawe wanakimbia kisa midomo ya majiran, umewajibu good sana
Mnasikia mwaktalema lakn😂❤
Jamn me sion kama ni ajabu hat hivy anafundishwa maisha kukaa na watu tofauti tofauti ni kujifunza walimwengu walivy ili ajue jinsi ya kuishi nao
Maisha marefu kwako dada angu kipenzii❤
Kubali2 kimekuramba ukweli mchungu ila kidonge chako ushapewa😂😂utameza, utatema, habari ndy hiyo na hope utajirekebisha alfu kuzumgumza kingoso sio jambo jimya kwanza kizungu chenyewe hakina royko,karafuu, iliki😂😂so acha kutusifia na kizungu chako mtunze dada wa kazi
Luhga imetokea wapi tena watu wanataka kujua mbona hajamvalisha vizuri maneno mengi 😅😅😅
Hatuna hakika kama ume msomesha wew huenda ana fanya kazi anatafuta ada ajiendelezee kigeleza nini geli kila mtu ana ogea
Jamani nand inatakiwa uyo dada apendeze acha roho chafu bh
Kwan ye pesa apewe unategemea kupendeza kupitia pesa ya mtu ye mwenyewe angekuwa anataka kupendeza angejipendezesha mwenyewe sio kutegemea boss
@@AyshaSalumu haswaa nashangaa watu wanamwambia nandy kama wenyewe wanawapendezesha wafanyakazi wao
Watanzania ifike wakati tujitambue mnamlazimisha mtu muoneko
unaulizwa kuhusu mavazi,unajibu anajua kingereza.Hujajibu swali
Jamani mm sijamwelewa alichoulizwa naanachojibu
Gigy alisema mkasema chizi
Ukonaroho mbaya tena umeambilika kwani kiengereza ulimfunza wew
Heeee kumbe wadada wa jazi ni sisi wenye hali dunii😢😢😂😂😂😂😂
Kujua kingereza c tija bhana nandy hukufanya vyema kwa mfanyakazi wako ilibidi apendeze hata kidogo jaman
sasa unakuta Mt anasemwa mfanyakadhi akupendeza sasa kama mnauluma singeombanamba zake ilimumtumie ela iliapendeze kama mnaona anakosewa jaman embu muache makasiliko jaman sio pw
kiengereza wakenya wanaongea hata waokota makopo sio issue kubwa kuongea kiengereza😂😂😂
Kupendeza inatakiwa uwe tayali mwenyewe kaz anayo mshahara analipwa mzuri ajataka kusuka uyo sio kila kitu mpaka nandi uyo bint anamarengo na pesa zake ajiweki kimjin
Usijione umefika utakufa huwezi ishi milele sote tunapita
Kweli kaa na mtu ujue tabia yake kwani alikosa kumurembesha mufanyi kazi wake roho mbaya sana
Hajui hata asemeje ameaibika
Nandy English eeeemmhhh 😂😂
😂😂😂
Umekuma bna ndoo mana amekuma ukweli
sasa x muongee tuuu kiswahili wote kizungu shida😂😅
Waty wambea Sana nandy fanya yako nkupnda Sana awooo waty waache waongeee
Muwache roho mbaya maboss ww unajipenda Ila dada wakazi umemfanya kinyago ww umemsomesha ili aje kumsomesha mwanao akirudi shule mshenzi
dad nakubali
Hatari
Sio kweli usemwe ili iwe nn roho mbaya haijifichi
Khaaaa kumbe uyo mpale haaaa shida baili 😅😅😅😅😅
😂😂😂😂 pole nandy tunaijua hyo
Nandi sio wa kulaumiwa jamani kuna baadhi ya wadada wa kazi hata awe na nguo nzuri kias gani kuvaa vibaya ni alivyozoea so huenda dada wa nandi kazoea kuvaa vile
Kama Mimi wa kwangu imefika hatua namuangalia kama alivyo.....hata umnunulie Nguo ya gharama vipi Hawezi tunza......umsuke msuko wa gharama kiasi gani siku mbili ahafumua kasuka mabutu mpaka nmemkatia tamaa
Mmmmh😂😂😂 makubwa kwan nandy mbona umejibu vitu tofauti na kama ulimwambia mchana itakuwa ulimuandaa kumbe😂
That's how our president Zakayo normally do in every interview 😂😂😂huku Kenya tushazoea yani.
Muxenge tu mekapu ushukulu inakuxaidia huna sura shingo Nene Kama dume roho yako mbaya Kama ulivyo ww pumbafu muache zuchu wetu ndo maana umezaa mtoto mwenye komwe
😂😂😂😂😂😂😂😂 nandi amefery
Tofauti!😅 limemfika mpeni maji anywe😂😂😂 ulirong mamy n ww mwnyw unajua umerong..
ZUCHU ANAMSHINDA HTA MDADA WNGU.HKO HVYO MWEZIE KATOA MPKA GARI KWA SUPRISESS
Usipende kulinganisha watu kila mtu hufanya kama moyo wake upo tayari kufanya hiko kitu
Skila swali inapaswa kujbu maana wat atuishiw maneno maana aw ndoss
Hajajibu swali bhanaa
Huenda hata hiyo ada ya English course kajilipia mwenyew punguza roho mbaya
Nandi mwenyewe hajui kingereza
Kujua kiengereza angevaa vizuri pia sio kujua lugha tu ww ni Star lazima na yy angependeza
😂😂 mbona kingereza boko boko
Jemen hivi huwezi kumtengenezea nywele yan anakaa kama mfanya kazi wa gulf jemen
Zuchu anaroho nzuri sana nawashangaa wabongo wanakusifia et nandy mzuri me sijaona uzuri wa nandy jaman kitu zuchu ndo namuelewa mno sio nandy
Tatizo sio kidhungu... Dada yuko rafuuuuu
Aaaaaa soooooo bulaba bulaba😂😂
You will explain until you get tired. Your nanny was shaggy in your event period
Hasa kumsomesha hiyo English course na kuwa na mwonekano mzuri vinahusianaje siku ile ya shughuri ya mwanao na yeye ndo anakuwa naye muda wote ilifaa apendeze hata ungempa ka laki tu ajifa yie maandalizi ya kigauni hata cha 25, vinywele vya 30 ilimradi avutie bado tu hukumjali course ni dada
Shida ya Nandi ni mchaga mkipafahamu hapo tu haisumbui....ye anayemuona wa thamani ni NENGA tu😂