Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Asante sana unatukumbusha mbali
Asante sana unatukumbushambali
Mzee ajatulia anapenda madem
Asiache baiskeli, inamfaa zaidi
Body language ya huyo mke wake inaonesha hana Imani kabisa na hiyo tuzo, siku si nyingi ndoa itakufulia mbali. Anaebisha atakuja tahayari.
Huyu bb anamjua mume wake ni kicheche.hana imani kama hiyo 50 ataambulia haki!!
Mzee ampandisha presha bibi😂😂😂
Hiyo tuzo mnafanya makosa kumpa peke yake hao wazee walioshiriki kwenye nyimbo hiyo baadhi bado wapo nao wangehusishwa
Nikuulize ivi kwani wasanii wengine mfano akina dula makabila,harmonize nk walipopata tuzo vip madansa wao walishirkishwa kwenye tuzo zao?nazani ukilielewa hili swali langu utakuwa umepata jibu kuhusu malalamiko yako
kusema kwel milion 50 ina ondoa umaskin kwa kias flani
nime penda mjukuu na bibi utani wao hahaha watakoma
Asante sana unatukumbusha mbali
Asante sana unatukumbushambali
Mzee ajatulia anapenda madem
Asiache baiskeli, inamfaa zaidi
Body language ya huyo mke wake inaonesha hana Imani kabisa na hiyo tuzo, siku si nyingi ndoa itakufulia mbali. Anaebisha atakuja tahayari.
Huyu bb anamjua mume wake ni kicheche.hana imani kama hiyo 50 ataambulia haki!!
Mzee ampandisha presha bibi😂😂😂
Hiyo tuzo mnafanya makosa kumpa peke yake hao wazee walioshiriki kwenye nyimbo hiyo baadhi bado wapo nao wangehusishwa
Nikuulize ivi kwani wasanii wengine mfano akina dula makabila,harmonize nk walipopata tuzo vip madansa wao walishirkishwa kwenye tuzo zao?nazani ukilielewa hili swali langu utakuwa umepata jibu kuhusu malalamiko yako
kusema kwel milion 50 ina ondoa umaskin kwa kias flani
nime penda mjukuu na bibi utani wao hahaha watakoma