NYUMBANI KWA MZEE HIZA ALIYEPEWA MIL 50 na RAIS SAMIA - ''VITOTO VYA 2000 HAVINISUMBUI - TAJENGA''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 11

  • @KhalidAlsalhi-ru4us
    @KhalidAlsalhi-ru4us Час назад

    Asante sana unatukumbusha mbali

  • @KhalidAlsalhi-ru4us
    @KhalidAlsalhi-ru4us Час назад

    Asante sana unatukumbushambali

  • @JaphariMsabaha
    @JaphariMsabaha Час назад

    Mzee ajatulia anapenda madem

  • @saidikobossa7489
    @saidikobossa7489 47 минут назад

    Asiache baiskeli, inamfaa zaidi

  • @ZaidAKissinza
    @ZaidAKissinza 38 минут назад

    Body language ya huyo mke wake inaonesha hana Imani kabisa na hiyo tuzo, siku si nyingi ndoa itakufulia mbali. Anaebisha atakuja tahayari.

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Час назад

    Huyu bb anamjua mume wake ni kicheche.hana imani kama hiyo 50 ataambulia haki!!

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 Час назад

    Mzee ampandisha presha bibi😂😂😂

  • @fredricksiamesiamebeatuss2269
    @fredricksiamesiamebeatuss2269 2 часа назад +1

    Hiyo tuzo mnafanya makosa kumpa peke yake hao wazee walioshiriki kwenye nyimbo hiyo baadhi bado wapo nao wangehusishwa

    • @AmaniManase-x1i
      @AmaniManase-x1i 2 часа назад

      Nikuulize ivi kwani wasanii wengine mfano akina dula makabila,harmonize nk walipopata tuzo vip madansa wao walishirkishwa kwenye tuzo zao?nazani ukilielewa hili swali langu utakuwa umepata jibu kuhusu malalamiko yako

  • @valentineevarist
    @valentineevarist 2 часа назад +2

    kusema kwel milion 50 ina ondoa umaskin kwa kias flani

  • @valentineevarist
    @valentineevarist 2 часа назад

    nime penda mjukuu na bibi utani wao hahaha watakoma