INASIKITISHA MKASA WA BINTI KUTOKA ZANZIBAR ALIYETENGWA NA WAZAZI KISA TIKTOK NA SANAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 60

  • @UmuHaitham-v3b
    @UmuHaitham-v3b 54 минуты назад +2

    Allah akuhidi inshallah urudi katika maadili mama.

  • @muddybreezy4595
    @muddybreezy4595 48 минут назад +2

    Haytham rudi kwenye njia sahihi mama dunia ni starehe chache t hii

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 3 часа назад +6

    Bint unajielewa vip
    Kifua wap kichwa waz huishi na watoto unajielewa nini
    Allah akuhid

  • @Fathasssane-vs2th
    @Fathasssane-vs2th 6 часов назад +7

    Allah tufanyie wepes na watoto wetu

  • @comarcabdall1564
    @comarcabdall1564 3 часа назад +4

    Mungu akufanyie wepesi uone njia ilionyooka, wazazi ndio kila kitu mrudie Mungu

  • @abbashussein-hz4dr
    @abbashussein-hz4dr Час назад +2

    Hv ww bint kbsa unajua kitendo cha mama yako kulea mimba miez 9 had kuzaliwa hadi unaita mama una kipi cha kuwalipa wazee wako mrudie mola wazaz ndo mungu wa pili unapata ghadhabu ya Allah iko na ww kila pahala tubia achana na mitandao itakuharibia hata hzo ndoto zako.😢😢😢😢

  • @5amediaonline335
    @5amediaonline335 3 часа назад +3

    HUJIELEWI WWE RUDI KWA Allah Ushapotea Mdgo wangu Nywele Nje hzo Laanaa kwa mungu Unajidanganya Wazazi Ndio Njia Ya Kivuko chako kwenda Peponi

    • @issataslima9846
      @issataslima9846 2 часа назад

      @@5amediaonline335 wewe fuata ndugu zako huyo nimtu mzima anayo haki ya kuwa anavo taka

  • @WahidaAlharthi
    @WahidaAlharthi 3 часа назад +3

    MTOTO. WA KIISLAM jifunze KUWA MWEMA.
    KAA NA WA ZAZI WAKO.
    KWANZA VAA VIZURI😊

  • @YussufMohd-fc1dj
    @YussufMohd-fc1dj 6 часов назад +5

    Mhh hyu mwanamke hamna k2 anasahau hadi kufa eti ndoto zake akutane na kafiri kisa amefanananae

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 45 минут назад

    Wa Zanzibari muko nyuma sana. Hamuthamini wanawake. Hongera dada kuukataa utumwa.

  • @mohdahmed5389
    @mohdahmed5389 Час назад +1

    Allah akustiri ila tayari upo katika hasara ,pumzi zishakuhadaa binti mdogo kabisa.kumbuka mauti binti haya mambo sio mazuri

  • @SwahiliSister-o5v
    @SwahiliSister-o5v 48 минут назад

    Tumuombee tu Allah atamuhudi Inshaa Allah tabarak wataala 🤲 🤲🤲

  • @NiceWatson-y7e
    @NiceWatson-y7e 33 минуты назад

    Hilo jina cjui lina nn yaan akina Haitham jaman uwiii ni Shida ninamdogo angu anaitwa hilo jina akil zake kama huy mbwigila mwenzie😂😂😂

  • @5amediaonline335
    @5amediaonline335 3 часа назад +2

    Wala Hutofika Popote wwe Na Ukiemdelea Na mambo hayo Utapatwa na Mattzo Makubwa rudi kwa mola wako na Kuomba msamaha kwa mzazi wako tamaa hzo

  • @w4058
    @w4058 28 минут назад

    Allah akuhidi YAARABB

  • @Bmsecret
    @Bmsecret 3 часа назад +2

    Akili zake sio nzuri huyu

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 6 часов назад +6

    Rudi ktk Mila na destur ww ni bint mzuri huko mitandaoni sio kuzur mdogowangu

    • @issataslima9846
      @issataslima9846 6 часов назад +1

      @@FatmaHamad-g6s wewe je unafuata nini kwanza toka wewe halafu yeye atafuata

    • @FatmaHamad-g6s
      @FatmaHamad-g6s 5 часов назад

      @@issataslima9846 ushawahi kuiona sura yangu mtandaoni au unahamu ya kufirwa

    • @FatmaHamad-g6s
      @FatmaHamad-g6s 5 часов назад

      @@issataslima9846 na km umekosa basha jitie kifimbo cha chapati msenge we

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 Час назад

      ​@@issataslima9846wewe unaumia nini mtu akitoa maoni yake? Huku tupo kuyaona maajabu ya firauni ili tuowaeleze yapo na ya Musa pia!sio kila mtu akiwa humu ni mja wa laana!tukiona baya hatukai kimya tutasema usituzuie, hutuwekei bando kaa kwa kutulia

  • @NassorOmarDadi
    @NassorOmarDadi 40 минут назад

    Mwambieni aache ujinga na awaheshimu wazee wake na amuogope MUNGU WAKE. Na nyie waandishi acheni ujinga

  • @alimzee7397
    @alimzee7397 Час назад

    Muislamu kichwa wazi kifuwa wazi unakaa uchi eti unajielewa allah akuongoze hujuwi ulitendalo

  • @w4058
    @w4058 26 минут назад

    Sio uhuni tu kuika amri za Allaah utakuja kujuta mbele huko

  • @zaytunhijja6771
    @zaytunhijja6771 Час назад

    Waislam wamtandaoni bwana kila kitu wao ni wasafi

  • @AliMohamed-w3b
    @AliMohamed-w3b Час назад

    JISITIRI NYWELE VIZURI DADANGU

  • @SahimSalim-l5f
    @SahimSalim-l5f Час назад

    Wanawake Wa skuiz washazoweya kupapaswa papaswa, hamn zadi ya umalaya

  • @MmangaHamadMmanga-k6y
    @MmangaHamadMmanga-k6y 5 часов назад +1

    Nikipewa huyu mwanamke na Panya nachukua Nachagua Panya

  • @KhadijaHussein-qn2ge
    @KhadijaHussein-qn2ge 5 часов назад +5

    Mpuuzi funika nywele unalaanika

  • @MishiMwadzoka
    @MishiMwadzoka 4 часа назад +1

    Hakuna utakacho fanikiwa bila radhi ya wazazi

  • @YussufMohd-fc1dj
    @YussufMohd-fc1dj 6 часов назад +1

    huy mwanamke pweza kwel mungu hakupi yote

  • @ShemsaKiobya-x8h
    @ShemsaKiobya-x8h 4 часа назад +1

    Mbona mnamtukana huyu Zuchu mbona hamtukani nae si mzanzibar acheni kuhukumu na roho mbaya

    • @issataslima9846
      @issataslima9846 2 часа назад

      @@ShemsaKiobya-x8h waambie Bana zuchu kutwa uchi Tena ndani ya zanzibar na kiasi kwamba anawatukana woote Kila uchwaoo hawamsemi stress zawatu kukosa hela nakazi za kufanya wanataka kumnanga mtoto wawatu

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 Час назад

      Wee waona anafanya yasawa au?Zuchu tu namwambia Wanaharibu jamii na kizazi, labda humjaona nyundo zetu tu

  • @allywilson4155
    @allywilson4155 12 минут назад

    Mtukaneni zuchu kwanza ….

  • @hudhaimaismail
    @hudhaimaismail 4 часа назад +1

    Utatengwa mpka na nzi maan hujielewi

  • @JamilaMokhamedy
    @JamilaMokhamedy 5 часов назад +1

    Hata Mimi sikutaki unapote dada rudikwamola

  • @issataslima9846
    @issataslima9846 6 часов назад +2

    Mola akujaalie simamia unacho kiamini Sawa kilakitu kitakuwa saw kikuubwa nidhamu tuu basi, tafuta hela watakukubali tuu mbona

    • @Fathasssane-vs2th
      @Fathasssane-vs2th 6 часов назад +3

      Mtihan mtoto wa kiislam huu ni msiba

    • @issataslima9846
      @issataslima9846 6 часов назад +1

      @@Fathasssane-vs2th mtoto wakiislam anashida gani Sasa kuigiza kwani ni dhambi Bana muache atimize ndoto zake wewe ni naani umekuwaje mungu kuhukumu

    • @Fathasssane-vs2th
      @Fathasssane-vs2th 6 часов назад

      @@issataslima9846 kuka kichwa wazi ni ndoto ujiga tu

    • @FatmaHamad-g6s
      @FatmaHamad-g6s 5 часов назад

      @@issataslima9846 Mungu hajalii ushenzi

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 Час назад +1

      Mollah yupi huyo atamnyanyua mja anae muasi mollah wake

  • @umu-ul-kurthumhamad9500
    @umu-ul-kurthumhamad9500 4 часа назад

    Juu ya mbingu au juu ya wapi

  • @SahimSalim-l5f
    @SahimSalim-l5f Час назад

    Anatafuta Kiki hamna jengine

  • @JamilaMokhamedy
    @JamilaMokhamedy 5 часов назад +1

    Funikakic

  • @moahmed7588
    @moahmed7588 5 часов назад

    Anampango wa kuweka bodi 😢

  • @mwanaibrahim2444
    @mwanaibrahim2444 6 часов назад

    Rabda cadi C😂😂😂

  • @FrankieFrank-e4e
    @FrankieFrank-e4e 2 часа назад

    Ishi utakavyo dadangu wasikuyumbishe hao wana wanaokomenti vibaya

  • @saidsalim4524
    @saidsalim4524 5 часов назад +1

    Kimalaya cha kizanzibari

  • @Bmsecret
    @Bmsecret 3 часа назад

    Lkn kusema ukweli hawezi amani huku dem ni bikra mm nilitaka kumpakua nikaishia kumpiga brashi tu kitu sildi

  • @moahmed7588
    @moahmed7588 5 часов назад

    Editor kajisahau mwishooooooo

  • @FrankieFrank-e4e
    @FrankieFrank-e4e Час назад

    Kaza buti mdogo wangu don't give up wafunge midomo hao wanao kutukana

  • @sabinasabinam-e1z
    @sabinasabinam-e1z 4 часа назад

    Mbona zuchu hamumtukani

    • @mudighurayra
      @mudighurayra 59 минут назад

      Zuchu mbaka mama ake ana hamaki kwa anavo ambiwa