DADA YETU AMECHANGIA SANA AZIZ KI KUBAKI KLABU YA YANGA| INASEMEKANA NI MJAMZITO, WANATEGEMEA MTOTO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июл 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 78

  • @RisasiRisasi-uj8fk
    @RisasiRisasi-uj8fk 17 дней назад +8

    Wameumbuka wachambuzi ukwala,hata huyu mzee za dani,naye kaumbuka.hongera sana Eng.umenikumbusha mbali sana,Magu aliwaumbua wazungu pia

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 18 дней назад +7

    Acha Tz iitwe Bongo kuna maana kubwa sana ndani ya hilo jina...

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 18 дней назад +15

    Za ndaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tajiri mo ameshamsaini azizi k Leo Husemi tena, punguzeni kuongea vitu ambavyo hamna uhakika.

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 18 дней назад +5

      Ni tetesi tu hizo ndugu yangu 🎉🎉🎉

    • @zuberimohamed43
      @zuberimohamed43 17 дней назад +4

      Hizo zandani zako labda nguo yaan chupi

    • @ezrayohana3541
      @ezrayohana3541 17 дней назад +5

      Hakusema amemsaini alisema alituma offer

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 17 дней назад +1

      ​@@zuberimohamed43😂😂😂😂😂

    • @saltechnologiesco.ltd.2377
      @saltechnologiesco.ltd.2377 17 дней назад +1

      Mkuu uwe unafuatilia vizuri kabla ya kuandika!

  • @johnmshuta5133
    @johnmshuta5133 17 дней назад +4

    Momo Amna mchambuzi hapo za ndani akuna kitu 😃😃😃😃😃

  • @elicktilia4430
    @elicktilia4430 17 дней назад +2

    Uwalisia kabisa sports yetu imekuwa yamoto blaaa nice all media📺📺📺 tz

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 17 дней назад +4

    AZIZIKI ALISHASAINI ZAMANI YANGA CY LEO

  • @jumamchewa3246
    @jumamchewa3246 17 дней назад +1

    Wakudele ulisema azizi anaenda upande wa pili ila Leo unabalikabadilika unasema SABABU ya shemelaa

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 17 дней назад +2

    Huyo mzee wa Kudere ndio muongo namba moja, alidanganya kuwa Mo ameshatia mzigo.

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 17 дней назад +1

    Ukiona mchezaj anang'ang'ania Tanzania ujue ni mchezaji wa kawaida mno,mm Aziz ki namwona sawa tu na akina mzamiru na umri alionao akienda ulaya anakuwa houseboy tu sio mchezaj mpira

  • @juliusjkalela9164
    @juliusjkalela9164 18 дней назад +6

    Ety ana mahusiano achen uongo

    • @hijakinina1793
      @hijakinina1793 17 дней назад +1

      Kama wataka nawao wapate mausiano ya kii si waseme

  • @kakamau0384
    @kakamau0384 18 дней назад +1

    Ila kwenye App ni ukweli mtupu mimi ni jana tu nimeishusha kisa Azizi leo anaongea 😂😂😂

  • @DarliotonTumaini
    @DarliotonTumaini 18 дней назад +3

    Mhuuuuu😂😂😂😂 pasi katoa mobetto

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 15 дней назад

    Tunajua lazima mtoke majumbani mkatafute mkate yaani msosi.punguzeni un mbea kwa kweli.kilichiniudhi mm ed ingilia maisha ya huyo binti Mara mjamzito ....nk wapi wanao enjoy umbea huu hayo ni yao

  • @MeshakiShija-mz5mw
    @MeshakiShija-mz5mw 16 дней назад

    Wachambuzi uchwara injinia Hersi saivi anawacheki anawasogeza na anawamwaga mwaaaaa endeleeni kushadadia mipango ya klabu ya yanga mtajioona mpaka akili hamna

  • @MeshakiShija-mz5mw
    @MeshakiShija-mz5mw 16 дней назад

    Na wee Edo mpuuzi sana

  • @salimusafuko8594
    @salimusafuko8594 17 дней назад

    Nyie wasaf mnafeli kila mnachozungumza anaewafatilia ni mgeni labda mmechezeshwa na hersi mkaingia mkenge kuhubir Mambo msioyajua ovyoo nendeni shule

  • @user-eu6gl4vs1o
    @user-eu6gl4vs1o 17 дней назад +1

    Wewe umesema ukweli maisha matamu Tanzania siyo mwanamke

  • @hassannickson7654
    @hassannickson7654 17 дней назад

    Hivi wachambuzi wetu Ttz Nini mda mwengine huyu za ndaniii alishasema Aziz ANAONDOKA sasa imekuwaje Tena hapo eee

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 17 дней назад +1

    Aziz k amebakia kwaajiri ya mapenzi. Mapenzi ya watanzania yamembakiza

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 18 дней назад +2

    Tatizo ni kwamba Aziz sio mchaga angekua mchaga hapo angetumia akili sasa hapo Aziz ametumia mapenzi, nikwamba Aziz aliumbiwa ufukara ndani yake.

    • @erickmbuya8373
      @erickmbuya8373 17 дней назад

      Wewe utakuwa ni kolo😂

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi 17 дней назад

      Kolo moja la kichaga ww 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 million 35 kwa mwezi ni ndogo?

    • @RehemaDavid-f2l
      @RehemaDavid-f2l 17 дней назад

      Hv ww hua unapokea hyo mil.35 kwa mwez? Kama ni hapana,ni Nani kaumbiwa ufukara kati yako na aziz ki?

    • @mwitaprotus7649
      @mwitaprotus7649 17 дней назад

      ❤❤❤❤😊love bro ndo cha msingi apa the world 🌎

  • @Jamesmwakalile
    @Jamesmwakalile 16 дней назад

    Mwache apg kazi aziZ jaman

  • @ElidaMsigwa-nz2ts
    @ElidaMsigwa-nz2ts 13 дней назад

    Acheni kujadiri mapenzi ya watu yenu yanajdiriwa wapi

  • @hashimsalum7025
    @hashimsalum7025 17 дней назад

    Metokeo ya uwongo na uzushi, ni aibu, hapa habari zaichezo hapa zimeisha, kilicho baki udaku.

  • @danyboy571
    @danyboy571 17 дней назад

    Eti dada yetu ame asisit😅😅😅😅

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p 18 дней назад +1

    yanga baba lao

  • @ubunifulifestyle3492
    @ubunifulifestyle3492 18 дней назад +1

    Huyu dada atakuja kuzaa na vibwenzi

  • @JumaNassor-cj3zy
    @JumaNassor-cj3zy 17 дней назад

    Ili momo kma senge SI jana kasema azizi anaenda simba

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim 17 дней назад

    Mafala watupu waandishi momo s ulisema mo dewji anamchukua

  • @AmaniMadata
    @AmaniMadata 17 дней назад

    Nyie wachambuzi uchwala waongo sana

  • @chrisantusnditi8670
    @chrisantusnditi8670 17 дней назад

    😂😂😂😂Ila wachambuzi wa bongo ni shida.

  • @azimioalbertongellangella8970
    @azimioalbertongellangella8970 17 дней назад

    Eti za ndaaaaaaaani za ndaaan wapi? Uongo mtupuuu😂😂😂😂

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g 17 дней назад

    Huyo wazandaaaani leo kawa mdogo kama piliton, wiki iliyopita alileta zandaaani zake kwambwembwe ile mbaya, leo hata bnguvu yakuongea kwambwembwe hana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @HafizAbdallah-n4b
    @HafizAbdallah-n4b 17 дней назад

    yani ww mjinga sana kwann asingesaini simba kwani wako inje ya tanzania

  • @HadiaMohammed-ec2dn
    @HadiaMohammed-ec2dn 17 дней назад

    Mna huakika mimba ya mwamba😊

  • @joshuajohn2668
    @joshuajohn2668 17 дней назад

    Tofautisheni habari za uhakika na mizaha

  • @JumaSalim-bd1ff
    @JumaSalim-bd1ff 17 дней назад

    Mzee w za ndani uliapa

  • @fotunatusiMsongole
    @fotunatusiMsongole 17 дней назад

    Momo Hana kituuu kichwanii

  • @RehemaKizeru
    @RehemaKizeru 17 дней назад

    Kuna watu wanafiki kama wachambuzi

  • @vivanyboy9743
    @vivanyboy9743 17 дней назад

    ila nyie wahun😂

  • @bashirukajembe4165
    @bashirukajembe4165 17 дней назад

    Ameasst 😂😂😂😂

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 17 дней назад

    Uyu jamaa anaenyoa kiuni muongo kweli Leo unasema mapenzi mara mo, jinga kweli.

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wc 18 дней назад

    Lazima abaki ufungaji Bora umetengezwa Na viongoz😂

  • @user-mq4yq6rw1w
    @user-mq4yq6rw1w 17 дней назад

    Momo usiwe unaongea pumba

  • @nehemiahsamsony1085
    @nehemiahsamsony1085 17 дней назад

    Momo hyo siyo sababu Acha ujinga

  • @user-hy4zb3eg1z
    @user-hy4zb3eg1z 17 дней назад

    Momo ni fala sana

  • @bilalikisembe5012
    @bilalikisembe5012 17 дней назад

    Huyu jamaa muongo sana huyu

  • @user-eu6gl4vs1o
    @user-eu6gl4vs1o 17 дней назад

    Acha uongo usiwe na uchuro

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 17 дней назад

    Xavi mtupu

  • @SubiraJohn
    @SubiraJohn 17 дней назад

    😅😅😅😅😅😅

  • @leonardsr8994
    @leonardsr8994 18 дней назад

    Kama ulitoa boko unasema tu

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 18 дней назад

    Acha ujinga wewe Momo, hayo mambo binafsi ya mtu unayasema kwenye media?

  • @juliusjkalela9164
    @juliusjkalela9164 18 дней назад +1

    Acha uongo wewe

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 17 дней назад

    Huyu Momo anatuona wajinga sana, eti kabaki kwa sababu ya kulinda mahusiano, hiyo si sababu ya msingi! Mtu anaoa Kenya yeye anaishi Italia na maisha yanaendelea. Acha uongo, momo umezidi sasa.

    • @AbdulGermany210
      @AbdulGermany210 17 дней назад

      Sio kulinda mahusiano ana mtoto tayari na huyo mdada,hivi unafuatilia kweli ndugu

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 17 дней назад

      @@AbdulGermany210 Kwa hiyo kwa kuwa ana mtoto maana yake haruhusiwi kusajiliwa na timu nyingine yoyote nje ya Tanzania? Basi tutarajie ataomba kusajiliwa uraia wa Tanzania abaki kulea mtoto! Hakuna mantiki.

  • @edwardmaguluko6541
    @edwardmaguluko6541 18 дней назад

    HUYU RICARDO MOMO NAE SOMETIMES NI MUONGO SANA YEYE NDIO ALIYESEMA MUHINDI KAWEKA B 3 LEO ANASEMA DADA YETU

    • @yussufritzy7684
      @yussufritzy7684 17 дней назад

      Chukuwa yote

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi 17 дней назад

      Huyu Momo hovyo kabisa, alisema mo Salah kaweka b3 hahahahahaaaa

    • @ZachariaCharles-sq8cx
      @ZachariaCharles-sq8cx 17 дней назад

      Uliisikiliza mpaka mwisho? alisema ameweka B3 ila Azizi alikua kashachelewa

  • @hijakinina1793
    @hijakinina1793 17 дней назад

    Mpumbavu sana akuna za ndani wala nje

  • @user-hy4zb3eg1z
    @user-hy4zb3eg1z 17 дней назад

    Wajinga hawa