DR.MO AMCHAMBUA YUSUPH KAGOMA/TUWAPOKONYA YANGA/KAGOMA KAICHAGUA SIMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 9

  • @markmangaya4947
    @markmangaya4947 2 месяца назад +3

    Wabongo mnatia aibu kwe kutaja majina ya nchi nyingine mfano ,Barbara Gonzalez, inatamkwa Babra, GonzalezJose Luis,inatamkwa Ozee Luis

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 2 месяца назад

      Acha ushamba na kujitia mjuaji umesooomaa kumbe kichwani hamna kitu, majina yanamatamshi mengi sana so achana na habari za kukosoa watu

    • @AGNESSVERONIKA-y7w
      @AGNESSVERONIKA-y7w 2 месяца назад

      Sawa we mchina😂

  • @JohnMbogo-c1n
    @JohnMbogo-c1n 2 месяца назад

    Debora mshaleta tayari hebu aje kapumbu sasa 😅

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 2 месяца назад

    Huyu si amefungiwa?

  • @JohnMbogo-c1n
    @JohnMbogo-c1n 2 месяца назад

    Hapo ukiondoa wachezaji ambao wamecheza ligi ya ndani hajui mchezaji hata mmoja na wala hajawahi kuwaona lakini anakuambia usajiri mzuri sana😅 Matokeo yakienda ndivyo sivyo lawama usiku na mchana kwa viongozi. Baadae mtasema viongozi waliwadanganya kusajiri watoto wadogo😅😅😅 Mchezaji eti anaweza kukimbia 2000km kwa saa moja mkiambiwa na Rage nyie ni majuha au mbumbumbu mnakataa😂😂😂😂😂😂

    • @Gisakijamaduda
      @Gisakijamaduda 2 месяца назад

      Ngogwe huna akili kabisaaaaaaaaaaa mawazo ya kiutopolo kinyela mmo fc hauna la kusema la maana😅😅😅😊😊😊😊😊😊

    • @JohnMbogo-c1n
      @JohnMbogo-c1n 2 месяца назад +1

      Umeona eeh!? yaani utopolo wa mo dewji mna laana siyo bure. Rage alivyowaita majuha anawajua kama kawazaa. Mtu unashangilia kiutopolotopolo sijuwi vyuma vimeshuka hata hujui mchezaji katoka wapi na huna uhakika kama ataclickafu badae mnaanza kupiga makelele na mimate yenu ya kilevi@@Gisakijamaduda

    • @JohnMbogo-c1n
      @JohnMbogo-c1n 2 месяца назад

      Bora hata wewe umegundua mawazo yenu utopolo wa mo dewji ni kama majuha vile@@Gisakijamaduda