JKT Tanzania 2-0 Geita Gold FC | Highlights | NBC Premier League 04/05/2024
HTML-код
- Опубликовано: 3 май 2024
- JKT Tanzania imepata ushindi wake wa pili kwenye dimba lake la Meja Jenerali Isamuhyo baada ya kuichapa Geita Gold FC mabao 2-0, mchezo wa #NBCPremierLeague
Magoli ya JKT Tanzania yamefungwa na Daniel Lyanga na Najim Magulu. - Спорт
Hapa Azam aji tathmini hakuna hata picture ya marejeo.
TV3 wekeni dau uchukuwe kazi hiyo Azam kasha jiona hana mpizani