Ila Mh Makonda uko vizuri sana kichwani.Uelewa ulionao ni mkubwa kuliko wasomi wengi. Na watumishi wengi ni wabaishaji hivyo inataka kiongozi mfatiliaji kama Makonda.
Yaan kiufupi hii shule bana tutafuteni tuliomaliza shule apo ndo mcheke vizuri Hakuna miundombinu mizuri hata kidog yaan dah 🥺🥺 maji hakuna mabweni hakuna jaman vyooo haaaakunaaaaaaa tuko 1700 wasichana then matundu ya vyoo ni 😢😢😢😢 jaman ebu shuughuliken tu wadogo zetu wapone
Chamna ww ni shule mpya imejengwa oltepesi temu ndo alikuwa msimamiz mkuu mm nimemalza mwaka huu hapo tulikuwa tunaenda kupafanyia usafi an pazur balaaaa
This is NICE of Makonda. Let God bless you as a leader.
Mungu akulinde mheshimiwa makonda tunaona kazi Yako nzuriii🙏🙏
Kama mkuu wa mkoa wa rukwa angekuwa. Kama makonda angefichua mengi sanaaaaaa MAKONDA mungu akulindee
Binadam wabaya mwenzao yupo kikaangoni wao wanafurahiya dah!!!😢
Mheshimiwa makonda Mungu akulinde sana mana unasimamia haki sana
Kwanini makonda asiwe mkuu wa mikoa yote. Akafanya ziara kote
Hawataki wanaogopa anawafunika
Makonda huna baya Mungu akulinde
Duu nchii hii kumbe Kuna majizi hivi, Ona hapa Dagaa anavyo tafunwa
Halafu mnasema mama samia anatengeneza kwao tu hahaha 😂😂😂😂😂
Mwacheni Mkuu wetu Temu tunampenda Sana ,wanaofanya makosa NI wengine wanaokuja kubanwa NI wengine
Ila Mh Makonda uko vizuri sana kichwani.Uelewa ulionao ni mkubwa kuliko wasomi wengi.
Na watumishi wengi ni wabaishaji hivyo inataka kiongozi mfatiliaji kama Makonda.
komaa mwalimu wangu ila pole pia mwalimu wangu
Sijapenda kabisa ,I think at this point we should Grow Up and Stop Judging what brings a meal on the table
Pesa za umma! Pesa za umma! baadhi ya watumishi (kama huyu) wanarudisha nyuma juhudi za mama Samia
Hahahaha huyu jamaa anababaika jmn, kazi ni ngumu kwelikweli.
Makonda awe mkuu wa mikoa yote tu
Hahaha hatr 😊
😄😄nacheka Kama mazuri
Hii nchi imejaa wapigaji aky😔
Fukuza tu ndugu Makonda kundi zima hilo la wezi
Hahahah ila cameraman wewe umeona pengo la mama tuuu 😂😂
😂😂😂😂nimecheka kwa sauti kuu!Hawa ukieakuta ofisini humo utafikiri Mungu..leo kanasa!
Funge Hawa watu jamani wanauwa hiii nnchi jamani
Next please
hv watendaji wa serikali wa hovyo kama hao wanavumilikaje hata uzalendo hawana kwa nchi yao
Makonda bado unahitajika watakuua kama magufuli, ukiwabana Sana punguza ukali kk
😂😂😂😂
Safi sana makonda
Shida maamuzi apa sidhani kama kuna hatua yoyote apa naona nikusikiliza kero tu sio kutatua
Safiii
Kazi unayo baba kigan
Si kuwe na oda mkuu awe hakimu hapohapo?
Mkuu wa shule ana kigugumiz.haukuwa pekeako bosi.waite na wenzko wakusaidie kujbu
😂😂 Mwanangu Naona Unampa moyo Mwalimu!!
Safi sana Mr Makonda unahaiba ya uongozi
Tunata mkuu wa mkowa kama huyu na shinyanga tupate haki za madini
Mtasema tu
Arusha imekufaa mh usije ukatoka hapa tena
KUMEKUCHAAAAA😂😂😂😂
DIWANI KIJIVUA
Uongozi ni kazi
Ila majitu maizi yamewekwa kati
Ruger
Kumeanza kuchangamka 😂😂
Ila hawa majambazi wanaoiba pesa za uma si ni maccm haohao
Awa viongoz izi kaz wanapate
Yaan hapo Bado mpk mseme
Makonda huna baya kiongozi wa watu
Safi makonda
Piga chini Hao wezi poul
Piga kaz wa kukaya
Makonda ww jembe baba chimbua wezi baba wa wanyonge
Tumepokea pesa kutoka serikalini...sio kutoka kwa Dr Samia...jamani au mimi sijasikia?
Ni serikari inatoa pesa siyo samia bunge ndiyo lina ldhinisha au na kosea
@@zezeshort wao wanalazimisha kampeni KILA mahali...MBONA KATIBA YETU HAIHITAJI HATA KUJISUMBUA, UKITANGAZWA HATA KAMA HUJASHINDA HAKUNA KAHAKAMA ITATANGUA HILO...MBONA MAGUFULI ALIPITISHA WABUNGE WOTE, MADIWANI, WENYEVITI MITAA, NANI ALIMUULIZA? WALIISHIA KUMSIFIA TU,
18 anajichanganya😂
Kwakwer
,😂😂😂
Huyu alilala amechok
Yaan kiufupi hii shule bana tutafuteni tuliomaliza shule apo ndo mcheke vizuri
Hakuna miundombinu mizuri hata kidog yaan dah 🥺🥺 maji hakuna mabweni hakuna jaman vyooo haaaakunaaaaaaa tuko 1700 wasichana then matundu ya vyoo ni 😢😢😢😢 jaman ebu shuughuliken tu wadogo zetu wapone
Toilet mliendaga wapi🤔
@@fredyjeremia7074 wee ni Siri tu maana nisije Nika letewa shida
Hiyo inayozungumziwa ni shule mpya ya wasichana inayojengwa..Mkuu wa shule Longido ndiye msimamizi
Chamna ww ni shule mpya imejengwa oltepesi temu ndo alikuwa msimamiz mkuu mm nimemalza mwaka huu hapo tulikuwa tunaenda kupafanyia usafi an pazur balaaaa
Ikii chumaaa