KIMENUKA! "Makonda Naomba Unisamehe" MWALIMU MKUU AINGIA CHAKA La MAKONDA "Sema Hela Zimeenda Wapi"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 май 2024

Комментарии • 64

  • @masuzahMkumbo-vs6ng
    @masuzahMkumbo-vs6ng 22 дня назад +6

    This is NICE of Makonda. Let God bless you as a leader.

  • @elizabethnicodemus5192
    @elizabethnicodemus5192 24 дня назад +5

    Mungu akulinde mheshimiwa makonda tunaona kazi Yako nzuriii🙏🙏

  • @Hilimu-qk2uw
    @Hilimu-qk2uw 24 дня назад +6

    Kama mkuu wa mkoa wa rukwa angekuwa. Kama makonda angefichua mengi sanaaaaaa MAKONDA mungu akulindee

  • @AyoubPapiy
    @AyoubPapiy 24 дня назад +6

    Binadam wabaya mwenzao yupo kikaangoni wao wanafurahiya dah!!!😢

  • @OmegaNelson-ho1no
    @OmegaNelson-ho1no 24 дня назад +3

    Mheshimiwa makonda Mungu akulinde sana mana unasimamia haki sana

  • @Donrugi
    @Donrugi 24 дня назад +5

    Kwanini makonda asiwe mkuu wa mikoa yote. Akafanya ziara kote

    • @gregory6165
      @gregory6165 23 дня назад

      Hawataki wanaogopa anawafunika

  • @koroneljohnstone2009
    @koroneljohnstone2009 22 дня назад +3

    Makonda huna baya Mungu akulinde

  • @joshuamwalusambo2391
    @joshuamwalusambo2391 24 дня назад +7

    Duu nchii hii kumbe Kuna majizi hivi, Ona hapa Dagaa anavyo tafunwa

  • @ginazngo4317
    @ginazngo4317 24 дня назад +3

    Halafu mnasema mama samia anatengeneza kwao tu hahaha 😂😂😂😂😂

  • @plankschannelmushi8858
    @plankschannelmushi8858 20 дней назад +1

    Mwacheni Mkuu wetu Temu tunampenda Sana ,wanaofanya makosa NI wengine wanaokuja kubanwa NI wengine

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior 22 дня назад +1

    Ila Mh Makonda uko vizuri sana kichwani.Uelewa ulionao ni mkubwa kuliko wasomi wengi.
    Na watumishi wengi ni wabaishaji hivyo inataka kiongozi mfatiliaji kama Makonda.

  • @daudfrank9804
    @daudfrank9804 24 дня назад +7

    komaa mwalimu wangu ila pole pia mwalimu wangu

  • @plankschannelmushi8858
    @plankschannelmushi8858 20 дней назад +1

    Sijapenda kabisa ,I think at this point we should Grow Up and Stop Judging what brings a meal on the table

  • @masuzahMkumbo-vs6ng
    @masuzahMkumbo-vs6ng 22 дня назад +1

    Pesa za umma! Pesa za umma! baadhi ya watumishi (kama huyu) wanarudisha nyuma juhudi za mama Samia

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 24 дня назад +4

    Hahahaha huyu jamaa anababaika jmn, kazi ni ngumu kwelikweli.

  • @eliakimunicolauskibasakiba3965
    @eliakimunicolauskibasakiba3965 23 дня назад +3

    Makonda awe mkuu wa mikoa yote tu

  • @unclegmihale455
    @unclegmihale455 22 дня назад +2

    Hahaha hatr 😊

  • @irenembise541
    @irenembise541 24 дня назад +1

    😄😄nacheka Kama mazuri
    Hii nchi imejaa wapigaji aky😔

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 24 дня назад +4

    Fukuza tu ndugu Makonda kundi zima hilo la wezi

  • @AthumanIrunde
    @AthumanIrunde 23 дня назад +1

    Hahahah ila cameraman wewe umeona pengo la mama tuuu 😂😂

  • @jacobmakono4399
    @jacobmakono4399 22 дня назад

    😂😂😂😂nimecheka kwa sauti kuu!Hawa ukieakuta ofisini humo utafikiri Mungu..leo kanasa!

  • @EsterAlex-dn1dx
    @EsterAlex-dn1dx 24 дня назад +2

    Funge Hawa watu jamani wanauwa hiii nnchi jamani

  • @johnmwambasi2299
    @johnmwambasi2299 23 дня назад

    Next please

  • @adamzachariakinyekile6948
    @adamzachariakinyekile6948 24 дня назад +1

    hv watendaji wa serikali wa hovyo kama hao wanavumilikaje hata uzalendo hawana kwa nchi yao

  • @user-pl1qr3xr2z
    @user-pl1qr3xr2z 23 дня назад +1

    Makonda bado unahitajika watakuua kama magufuli, ukiwabana Sana punguza ukali kk

  • @maggiebrian2592
    @maggiebrian2592 24 дня назад +1

    Safi sana makonda

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbise 23 дня назад +1

    Shida maamuzi apa sidhani kama kuna hatua yoyote apa naona nikusikiliza kero tu sio kutatua

  • @RUBENNGAYA
    @RUBENNGAYA 24 дня назад

    Safiii

  • @user-ze9vz7up8g
    @user-ze9vz7up8g 24 дня назад

    Kazi unayo baba kigan

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbise 23 дня назад +1

    Si kuwe na oda mkuu awe hakimu hapohapo?

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 24 дня назад +2

    Mkuu wa shule ana kigugumiz.haukuwa pekeako bosi.waite na wenzko wakusaidie kujbu

  • @rajaburajabu3963
    @rajaburajabu3963 24 дня назад +1

    Safi sana Mr Makonda unahaiba ya uongozi

  • @EmmanuelNdahya-ud5nj
    @EmmanuelNdahya-ud5nj 24 дня назад +1

    Tunata mkuu wa mkowa kama huyu na shinyanga tupate haki za madini

  • @WilsonWela
    @WilsonWela 24 дня назад +1

    Mtasema tu

  • @emmanuelmollel2895
    @emmanuelmollel2895 24 дня назад +3

    Arusha imekufaa mh usije ukatoka hapa tena

  • @amisindondi4549
    @amisindondi4549 24 дня назад

    KUMEKUCHAAAAA😂😂😂😂
    DIWANI KIJIVUA

  • @VeredianaKalembi-gs4vs
    @VeredianaKalembi-gs4vs 23 дня назад

    Uongozi ni kazi

  • @musaamos2431
    @musaamos2431 4 дня назад

    Ila majitu maizi yamewekwa kati

  • @deogratiusmichael9188
    @deogratiusmichael9188 24 дня назад +1

    Ruger

  • @danielshauri6390
    @danielshauri6390 24 дня назад

    Kumeanza kuchangamka 😂😂

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbise 23 дня назад

    Ila hawa majambazi wanaoiba pesa za uma si ni maccm haohao

  • @JosephMchaki-fy5te
    @JosephMchaki-fy5te 22 дня назад

    Awa viongoz izi kaz wanapate

  • @user-uw4pu9nm1u
    @user-uw4pu9nm1u 23 дня назад

    Yaan hapo Bado mpk mseme

  • @koroneljohnstone2009
    @koroneljohnstone2009 22 дня назад

    Makonda huna baya kiongozi wa watu

  • @Agnesimtaitin
    @Agnesimtaitin 22 дня назад

    Safi makonda

  • @eddytheophil7626
    @eddytheophil7626 24 дня назад

    Piga chini Hao wezi poul

  • @user-hl4bn8fr3i
    @user-hl4bn8fr3i 24 дня назад +1

    Piga kaz wa kukaya

  • @user-gx4vx5ru2u
    @user-gx4vx5ru2u 24 дня назад +1

    Makonda ww jembe baba chimbua wezi baba wa wanyonge

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 24 дня назад

    Tumepokea pesa kutoka serikalini...sio kutoka kwa Dr Samia...jamani au mimi sijasikia?

    • @zezeshort
      @zezeshort 23 дня назад

      Ni serikari inatoa pesa siyo samia bunge ndiyo lina ldhinisha au na kosea

    • @mathayomwashambwa1238
      @mathayomwashambwa1238 22 дня назад

      @@zezeshort wao wanalazimisha kampeni KILA mahali...MBONA KATIBA YETU HAIHITAJI HATA KUJISUMBUA, UKITANGAZWA HATA KAMA HUJASHINDA HAKUNA KAHAKAMA ITATANGUA HILO...MBONA MAGUFULI ALIPITISHA WABUNGE WOTE, MADIWANI, WENYEVITI MITAA, NANI ALIMUULIZA? WALIISHIA KUMSIFIA TU,

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 24 дня назад

    18 anajichanganya😂

  • @user-yl8td2om2y
    @user-yl8td2om2y 24 дня назад +1

    Kwakwer

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 24 дня назад +1

    ,😂😂😂

  • @JosephEmmanuel-eb7gj
    @JosephEmmanuel-eb7gj 23 дня назад

    Huyu alilala amechok

  • @EpifaniaMasawe
    @EpifaniaMasawe 23 дня назад

    Yaan kiufupi hii shule bana tutafuteni tuliomaliza shule apo ndo mcheke vizuri
    Hakuna miundombinu mizuri hata kidog yaan dah 🥺🥺 maji hakuna mabweni hakuna jaman vyooo haaaakunaaaaaaa tuko 1700 wasichana then matundu ya vyoo ni 😢😢😢😢 jaman ebu shuughuliken tu wadogo zetu wapone

    • @fredyjeremia7074
      @fredyjeremia7074 23 дня назад +1

      Toilet mliendaga wapi🤔

    • @EpifaniaMasawe
      @EpifaniaMasawe 23 дня назад

      @@fredyjeremia7074 wee ni Siri tu maana nisije Nika letewa shida

    • @twilight8928
      @twilight8928 23 дня назад

      Hiyo inayozungumziwa ni shule mpya ya wasichana inayojengwa..Mkuu wa shule Longido ndiye msimamizi

    • @miseyekikashiro-ty6qb
      @miseyekikashiro-ty6qb 22 дня назад

      Chamna ww ni shule mpya imejengwa oltepesi temu ndo alikuwa msimamiz mkuu mm nimemalza mwaka huu hapo tulikuwa tunaenda kupafanyia usafi an pazur balaaaa

  • @user-en1re7ot8c
    @user-en1re7ot8c 24 дня назад

    Ikii chumaaa