Ya nn kupea likes kwa mbaya nyimbo kama Jibebe na Nyegeza lakn uache bongo la song kama hili. Kayumba, napenda sana nyimbozo. Una sauti tamu! Mashallah!
Kayumba nakukubali sana nyimbo zako zote nazijuwa mwanzo mwisho na mtu akitaka nifilahisha anitumie nyimbo za kqyumba mungu akupe nguvu kwenye kazi zako unapendwa na mimi unajuwa kuimba bana
Sijui niongee neno gani zuri kwako kayumba ili ujue nakupenda ..I'm your number one fun..you are may best , my favorite my everything about music...nakukubali sana kayumba we ishi tu
wimbo naupendaa huu timu kayumba mpo wapi like zenu tafadhaliiii
Hongera sana bro
Napenda sana nyimbo zak
Ww kaka unanikosha
V@@elizabethtossy7115FvF😂
Wa 2024 mpo wapi ❤
Niligombana na mume wangu akanitumia huu wimbo wasapu nilipoulisikiza nikamsamehe kabisa na kinyongo kikatoka... Kaka anaimba huyu😘😘😘
ahhhhh
Fact's!!!!
me pia nilitumiwa
😂😂
😂😂
Bebe Tuongee!!Tofaut 2malizee wap team Kayumba""
I'ts true my friend♡
Ya nn kupea likes kwa mbaya nyimbo kama Jibebe na Nyegeza lakn uache bongo la song kama hili. Kayumba, napenda sana nyimbozo. Una sauti tamu! Mashallah!
Kweli kabisa
yan wew kaka bas tuu😘😘😘
We kuma nn
Nisameeh nyimbo zur
4 sure blood..........
My Love msikilize Kayumba ...tuongee AGI wangu.matatizo yaishe..... Kayumba you can touch my heart
agi tena umenistua nkajua mimi
Nzur
Raha tu kayumba ni konki konki
Asha waonaje tukaongea nasisi😄
Nakupenda bule
Jamani weweeee utatoa roho yangu nakukubali sana hio saut ndoinanimaliza mm❤️😘😘😘😘😘
popote ulipo Anety wangu nimekumiss et tuongee tuu my tofaut tumalize hela ninazo saiz😭😭 kayumba umenibamba kama ume niimbia Mimi 100%
kayumba ni og pambana unifunikie washama
kama umeniimbia Mimi vile ngoma kal sana
Anety mm au
Hahahahahah yoyoooo
Henry Joseph saf
Nyimbo mbaya ndio zinasuppotiwa lkn Kali na tamu zenye UJUMBE kama huu hazipewi support ya kutosha
B12 Chomolla ukiambiwa uimbe ww utaweza acha dhalau
@@rehemaoskar6748 Dada angu soma nilichoandika sema mi nimekuelewa point yako hebu rudia kusoma utanielewa.
Nyimbo mbya ni zile mfano kama Mimi nitaimba mziki
Wasanii wanaimba vzuri ila hawawezi kupromote mziki wao ndo maana nyimbo zao hazifiki mbali
Naikubar sana
Hii nyimbo ilinisaidia sana kurudisha penzi langu lilokuwaga linaenda kuvunjika asante sana kayumba
Kayumba nakukubali sana nyimbo zako zote nazijuwa mwanzo mwisho na mtu akitaka nifilahisha anitumie nyimbo za kqyumba mungu akupe nguvu kwenye kazi zako unapendwa na mimi unajuwa kuimba bana
Kiukwel maisha bila muziki sijui ingekuaje
I don't know if there is someone else who is feeling what I feel 🤩❤️❤️ohh my God what a great musician
Right
2022 still watching this song🔥🔥like hapa kama naww unaitazama up to now
Ilove you ❤forever Kayumba from oman mascarpone😘😍
Big up kayumbaa daaa unakipaji kikubwa Sana'a ipo siku utakuwa mkubwaaaa kuliko
imelida wangu msklize kayumba tuongee jmn yaishe umenisusa sana kwa tatzo nogo tu yaishe
Nice song
Nakupenda bure my..
nakubali
2020 wp like zen twndn na wimbo huuuuu daaaah mzr xn
Kayumba on fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nzuri Sanaa naomben likes kama zote kama hii ngoma imekukaa
Huyu jomba nishida man
Lov mingi kwako wewe ni
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
NEEMA EDWARD xt
Duh we Kaka mbona nyimbo nzuri Sana hii
Mambo
napenda sana Ngoma zako hongera unafanya poa sana
Safi Sana kayumba nimeipenda sana
You're incredible artist. ... show the beauty of Africa brother through ur songs, keep it up...Pongezi sana from USA
Kayumba fundi bhana😍😍🔥
Hongeraa Tunajifunza kusameheana Nakukubali Kayumba
nakupenda bure kayumba
Jaman kanyumba unatidha
Sio bure dada khadija he deserves
I wish to meet this guy in person nimemfuata tangu bss 2015 hadi waleo. 😍😍
umuone tofauti mmalize
For many years I love this song
Kayumba uyo juu😍😍
Hayaaaa
nakubali homeboy. namuappriciety Kijana mwenzangu
I can't stop watching daah! Keep the 🔥 burning Kayumba.
Love the way you sing kayumba 😘
Kayumba makali,timu kayumba oyere🤸
Nyimboo tamuu saut tamuuu piah
For sure umenigusa yaan I can't explain moo
Hatare sana
Ngoma kaliiiii Saana Sema Watazamaji wachache sana😢😢
Ni wimbo aliotoa tangu zamani.... channel yake ya zamani hili hakiwa ( hacked ).
Hapo mtu ndo utaamini kuwa mziki wa bongo unahitaji Kiki. yani ukitoa nyimbo kali halafu sio msanii mkubwa kupata views ni kazi Sana Kiki muhimu
@@KTMediatv fjfjjgkykhpaudngmamxb
@@salimjordan6739 we kayumba mtu mkali xan
Unabembeleza na unatoa stress best angu
Nakupenda Sanaa kayumba wimbo mzuri
Nyimbo poaaaa utafika mbaliiiiii Sana God with you 🙏 young man 🤣🤣🤣🤣
Dah! Kayumba nowma naombeni like zenu
Upon vzr sana kayumba jaman napend San saut yako
vizuli
huu wimbo naupwnda sana
Agustino Wincheslaus nampenda mno kayumba
@@hawakingo1832 Ni moja ya wasanii wakali sana hapa Bongo 💥💥💥
Wimbo mzuri nakukubari sana Kayumba
Nakuona mbali Sana ila jitahidi kujipromote like interview lakini usiwe Kama jina lako utayumba kweli
Hiuoujkutbfeesskilkmnbvcdeopk
KAYUMBA UNAWEZA SANA AISEEEE
Nipenda muzik za kayumba l really like his music
My soldier u r best✊ lazima nyoka atoke pangoni kwa utamu huo ❤️❤️👈🔥🔥🔥🔥
Nakupendaga kayumba... Acha tu
Sijui niongee neno gani zuri kwako kayumba ili ujue nakupenda ..I'm your number one fun..you are may best , my favorite my everything about music...nakukubali sana kayumba we ishi tu
Who still listening to this 2023🌹✨
ongezaaaaa bidiiiii wajua kakaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Iko pe sana broo
👍👍👍 unyama sana hii ngoma
Kaz nzur Sanaa blood hainiish hamu kuusikiliza
Nothin can stop to love u billyboy for sure inanikoshaga kidizain flan hiv bae wangu akiniuz naisikiliza tuu
Sijawahi kuona ngoma mbaya ya huyu jama kila jiwe n kali
Mwenyewe kupenda mzk mzur njoo huku
Upo vzr brother kikwel ❤❤❤
Nimekuelewa bro💪🏽
I wish I can understand what he says ...i just love his music
He says babe lets talk and finish our differences ….. i am sorry for what i did
Ooh my dearest .... Nimependa
kayumba n mkali aisee wapi likes za kenya.+254
Naipendaa sana iii nyimbo nakumbuka ulivokuja savoy kwakeli uliwakosha mashabiki wako
@@sabraally4429 wazi mkaka
Hii voc siyo yakawaida huyu dogo sio wamchezo kayumb 😘😘
Félicitations pour la bonne musique kayumba
Kayumba my best tanzanian artist .......nakupenda bure❤
The pain of loosing something that you treasured😢😢I miss you huny take your time and we'll talk😭😭it's killing me from within
Nandy
I'm here Gathoni
Huwez Amin kayumba ameazia maisha hayo
Hii nyimbo hata 1m viewers haijafikisha kwel uchawi upo
Diamond hv unataka kunambia iki kipaji ukioni kweli hebu mchukue fasta bhana
Kabika kayumba❤
😭😭😭😭 dah umenikumbusha maumivu niliyopitia,hakika huu wimbo unamaneno matamuu
Me too Hadi chozi lanitoka kwakweli.
Kayumba nahitaji fany kaz nawe nakupataje
Hii ngoma c ni moto waaaar😳😳
I love what you do hommie I believe face day your going to prove what I mean .consider it done....
Nyimbo ina ujumbe na inaburudisha Si wengne kata upepo wanaimba mitus tu kayumba hongera😘
Daaah wimbo unanikumbusha mbali sana nimzr sana
Unatoa kopa unaweka shoka::, eti umechoshwa na miee hee
ujumbe mzuri sana (muhimu kuongea)
Wanandoa ujumbee umewafikia muhm kuongea tofauti kumaliza watt wapate malezi y bb na mm asant kk ujumbe mzr ❤️👌
Iko na message tamu sana❣❣
Daaaaah nyimbo tamu
Iko poa kayumba Iko 👌👌 sanaaa
2024 still listening to these music ❤❤
Hii nyimbo jamani nashindwa kuvumilia mpenzi wangu ila nae namuomba tuongee❤❤❤❤
Mwenzio nimemiss penzi lenye amani name furaha. Kiukweli wimbo mtamu sana
Bby tuongee tofauti tumalize ❤️
Kazi safi sana,much love kutoka Kenya.He is the next big art...
He is already a big, but nyota tuu hapo ,anamziki mzuri sana huyu dogo sikiliza miziki yake yote ina meseji haimbi tuu yeye.Hana kazi mbovu.
ongera kayumba kazabuti mziki safi
Wapi baba salahaa tuongee mume wangu
Mbio mbio nimeitafuta hii nyimbo lisaa limoja kutoka kwa video ya aunty ezekiel🤣am glad i got it....kayumba u gt talent
ukwel nyimbo zur tuongee
carol Praise nyc
Wow asante sanaaa inakubalikaa
Much love from Kenya 🥰❣️❣️❣️
daah unanitouch sana naupenda sana saut inanikosh unaimba vizur...
Kayumba anweza nyimbo yenye maana nice
BABY TUONGEEEEEEE (tuongee tuongee) yea yea yea yea yea yea yea
Nakukubali bro ❤👌
Baba wanipa kalaa Sana juu ya uwimbo akika Mungu akupe maisha malefu sana
From Kenya niko ndani kwa mpigo
Woow! Nzur sana
Director amefelisha nyimbo.
Kumbe hii nyimbo umeimba wew nilikuw nasikilz kwa radio 2019 love a songs 🥰🥰
Unaweza kayumba tena we fire
Mais força mano essas músicas tem sentido de coração 💓