naipeda hii ngoma tamu love From Kenya huyu kayumba hajaskika huku kenya lakini ako fiti sana ata nilikuwa nafikiria ni barnaba,ameweza nipeni like wakenya na watanzania
Kayumba Ni msanii mkubwa Sana, Hawa mafala wengine ni label tu zinawabeba..... Big up Sana.... Unanikumbusha luge mutahaba aliposema "Kuna tofaut Kati ya superstar na maarufu, maarufu Ana muda wa kuvuma, superstar anavuma na alichonacho kila muda"
Kanyumba Yu have potential to passthrough to Yu goal.good music small bro..I loveyousongtill times of colaboration of you na yamoto band..keep fire burning....success all I wish you.
Huyu dogo anaweza mpaka anaboa nakukukubali sana dogo hujawahi kosea single zako zote kaliiiiiiiiii👍🏼👍🏼👍🏼 Wangapi tunamkubali Kayumba tujuane jamani mwemweeee
Tunao angalia huu wimbo 2024 gonga like ❤😅
Tupo
I love this song that's why nimeamua kuisikiliza Tena 2024
Aisemi inanikumbushagambar
Fund wa love songs...
😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤@@allyntima9090
Hii nyimbo ni kwa wale wote wenye mapenzi ya kweli kwa wenzi wao sio wale viruka njia.
Like kwa kayumba na linah kwa kazi nzuri 💥🔥💪
Kama unamkubali kayumba weka like twende sawaa
Nikweli, kama Riyama Ally na Lio
Iman Mhagama 😅😅😅😅
Nakukubali hasa ngoma hii umeniweza piaah ,,, kama unamkubali kayumba gonga like twende zetu uu
Umenena
Ila kusema ukwel linnah anajua sana
Ooh nimechelewa jmn like za kayumba mlivokuwa na roh mbay sipatii hat moja unajua kunichombeza hodar wa kubembeleza♥️♥️💕💕💕😘😘
Mremb
Heshima kwa kayumba yan kama kuna ngoma napenda nizayumba💪💪💪 respect kaymba✌
Wimbo mzr sana, aliyeusikiliza zaidi ya mara mbili agonge like twende sawa.
Nikiusikiza huu wimbo unanikumsha mbali
@@elizabethkira3024 nn tena Beth
oa uyuu jamaa anakuja sana kama unakubaliana nam gonga like tutembee no 1 treeding.. ..
Hatar Sana kayumba
kwili tens sana
Napenda san
@@angerapasco2179 Jana huyu mdogo wangu anajua sio siri
Linah mwanamzik mahiri sn! Kila wimbo wake una mvuto fulani na nyimbo zake haziishi hamu!
huyu kijana nilimpendaga tangu enzi za bss. mbaka leo anafanya mawonders big up to kayumba
Napenda pale wanapoxema ''umeniweza babaaaaa umeniweza mamaaa" kama uko nami gonga like chini hapa
Sana
Saf
Together 🙌🙌
Tupo wengi kumbe
Napenda zaidi
Nashangaa Huyu Kijana Kwanini hana Sponsor Anaeleweka Hadi Sasa
@So Talented Sana @Kayumba 💪💪
Nakubali mzee huyu dogo ni moto hata kina mariooo wanaobebwa na clouds wanasubrii
Heshma pia bro muhimu .....lazma ajishushe ili afike mbali ila kiukweli anajua*
Sponsor wa kazi gani sasa
Sana
Mond angekachukuwa ingekuwa pow
Tunaotazama wimbo huu mwezi wa wapendanao😂😂❤️🙌
Tabasamu mpenz wangu nataka tujenge family Sasa uwe baba wa wanangu nikuzalie mapacha🥰😍napenda huu mstalii kinomaa
Naupnd sn huu mstalii hata mm
Nomaaaa sanaaa 🔥🔥🔥🔥🔥
Umepend uu msital
mi zaidi
Hili Song ni Mambo mbaya wapi likes za kayumba
Km uko in love bas hii nyimbo imebeba hisia nzur sn sana za mapenz is the best dedication song
Km unakubaliana na Mimi gonga like twende pamoja
Haki kabsa ila kama upo kama mimi kwenye mahusiano machungu unaishia kuwish tu
Kayumba mistari yako mizito kuliko ya wasanii wengine wanaoitwa wakubwa sitawataja!!!!!
Patrick Wambua wataje tu kama alikiba amna kitu
Patrick Wambua wataje tu kama alikiba amna kitu
Nkweli
Dogo yupo vzr sna tatizo mziki wake hauna promo mzee baba mziki mzuri utakuta ndo hausapotiwi ila ile unga unga mwana dah 😂
@@sylivanusnyitwe85618cfe waaaqqeqf8ba7ac8sxfs
Ngoma ya Kizazi xana, bonge la ngoma, Lyrics kari kinouma, Xaut za kivita, chemistry imekubari xana Dah jamaa #Kayumba #Lina mnajua xaaaanaaaaa
remmy Sweetbert ni heli wewe usie omba like
@@jackselvester8749 😹 😹 😹 ctakag hyo tabia
mko vinzuri sana
Kayumba
Siezi lala bila kusikiza huu wimbo wapi likes za team strong
Jaman mistal ya linah ni konk kama umeikubal gonga like hapa twende sawa
Mistari imenyooka
Ezra Jr konk
Maashallh
Wote ni konki
💞💞👌
Unajuwa kunichombeza, umeniweza baba"""" nyimbo taaam sana,,
NIJIVUNIE NANI KM SIO BABA WEE,,,
nimeipenda
Umeniweza kama lilivo jina la wimbo @kayumbaossie ft @linah keep it up.
Aisee umejua kunikosha moyo hii nyimb naipenda daima sichok kuisikilza Kam unamkubali kayumba gonga like hpa
Oyoo like kama una mkubali Kayumba 🇹🇿🇹🇿🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Faster
J'adore la chanson si broda . J'écoutais l'audio presque toutes le nuits quand je partais au lit. Finally the video is out
Treyz Palzuria %100
this is a good song check this song here ruclips.net/video/kvYiG5j864M/видео.html
kayumba na penda kazi zake good
naipeda hii ngoma tamu love From Kenya huyu kayumba hajaskika huku kenya lakini ako fiti sana ata nilikuwa nafikiria ni barnaba,ameweza nipeni like wakenya na watanzania
Nice song🔥🔥🔥,, wapi likes za kayumba and linah
💥💥💥💥
Kayumba anatsha
Daah mme Tisha sanaaa😘😘
Ngoma kali sana, yeah u did gud, let me much concu u
Song poa
Kayumba Ni msanii mkubwa Sana, Hawa mafala wengine ni label tu zinawabeba..... Big up Sana.... Unanikumbusha luge mutahaba aliposema "Kuna tofaut Kati ya superstar na maarufu, maarufu Ana muda wa kuvuma, superstar anavuma na alichonacho kila muda"
Hahaha walai
Exactly
😂😂 et mafala
Dah iv mm nilikuwa wap nmechelew ngoma kali kichupa kikal .....twende sawa apa
Kayumba is so underrated, this guy can sing
No that can sing anaweza mbaaya
Úñàksuk😅
Woooow this song is owesome can't stop listening who is agreeing with me
From kenya🇰🇪🇰🇪 umeniweza linah jaman
Hii ngoma kali maudhui ni yenyewe kabisa baada ya uno inafaata hii
Hii ngoma imenibamba yani nnatamani kuiskiliza muda wote especially muda wa night
Hapa mwanzo ty ndo patamu tlivuka viuz pamoja kwakushikan mkono daaah
Yani nyimbo za isiya tunakuachiya wewe kwasasa like kama una mkubali kayumba
kaka benja jmn kayumba anajua hadi basi
Iyo Kweli
Kweli kabisa kaka
Kayumba for a life, I swear this man has a naturally talent.!
vio
True ana kitu na kusema kweli akiacha maisha ya inzi huyu atatengeza asali❤
Kanyumba Yu have potential to passthrough to Yu goal.good music small bro..I loveyousongtill times of colaboration of you na yamoto band..keep fire burning....success all I wish you.
May God bless Kayumba and Linah,unajua kunichombeza ooohoooooo
Wimbo mzuri sana sichoki kuusikiliza.mmeimba vizuri sana ❤❤❤
Kayumba namuelewaga sana Yani bigap kaka
hey, naipenda sauti yako mdada, waimba vizuri....then it sounds the same with that of Ibraah
Kayumba is so underrated. Guy so talented jamani. Much love from 🇰🇪
Unajua kunichombeza ma favorite song
I love 💕 this song so much,I keep coming back here every now and then it's like it's made for me😘😘😘🥰🥰🥰🥰
Ni wimbo mzuri mno
Linah umeitendea haki hii ngoma big up Sana kwenu
Hata kam ujapata like ila ni bonge la nyimbo htrrr
I just can't do without this song, aki kwa kweli imeniweza sana..... big up sana kayumba x linah for the good job kama wakubali wimbo huu gonga like
Mi mkenya napenda huu mziki wapi like za Mimi mkenya hapa please!!
Like kaa zote my dear Kayumba alishinda bongo staa sachi kwa halali aeleweka sana
Kizazi Sana🎷🎶
Mambo
@@selemanhamiss9945 poa mambo,..
Iko juu hii nyimbo jamaa anajua kutunga nyimbo sio siri
"Una kisu Kikali kula nyama usijali ....... Kabla kulala unipige zeze" hapa pananikosha Kama hapa na wewe panakukosha gonga like
Daaaah uyu kayumba hapa umetuweza huu utaweka record aie asante sanaaa kayumba and linah💟💟💟
Jaman
Wangekupa kweli million 50 zako ungetisha zaid sasa hata million 10 haikufika ila mungu anawaona
Wen my darl send me this song... bas am like....😍😍😍😍😍😍🤩🤩🤩
Yaani uko vizuri sana kaka,🤸💃🏻💃🏻🤸🤸🤸💃💃👌🏿👌🏿👌🏿
Just got to know this wonderful song 3 years later....I love everything about it
Nani akimuona au akisikiliza ngoma ya kayumba ana kumbuka BSS
Mm hapa dah kma masihara yani
Im
Mimi
Yan mpaka kura angu nilimpa...namkubaliii
me nakumbuka mbali san
Nawapendah nyiiee watyuu bonge la nyimboo na video kalii piiaah
Ndo naingia uku kayumba kayumba Aminia bro ngoma zako poa sana keep it up
zangu niza kayumba kama kuna wao kama mimi gonga like bana
Song tamu sana .... My everyday song😍😍😍 #umeniwezaaa👏👏👏👏💋♥️♥️ .
Sauti mlipewa tamu sana aki 💋💋💋
Bongo artists r the best, 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Sauti zinaendana mpaka raha jamani,unajua kunichombeza Kama mboga nakombeleza woooooooooo
Naipenda saana hii..big up bro🤩🤩
Hapo Kwa mwenye kisu kikali ndo hula nyama......🤩🤩
Kayumba wataelew magom yote makali so Kama madogo wengine nakubal san
Mhhh hadi Ku comment naogopa coz like hata sipati🇹🇿🇹🇿🎶
Bahati bukuku
Mwaaaaaaaaaaaaaaah
Kelechi
ngoma nimeikubali
Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Always watching his songs with English subtitles coz I don’t understand Swahili but his lyrics r superb 👍love all his songs so much ❤
Me too bro
How do you watch with subtitles?
Uuu wimbo unanikumbusha nifumaniwaga na mme wamtu arafu penzi ndolinoga hatali
Ungekufa mbwa wee😅😅😅😅😅 achana na waume za watu
dah kayumba ni kati ya wasanii wale naowakubali sana,,,, kazi yako nzur nakukubali,,, bado nasubil video ya kosa langu
🔥🔥 ni hatari
Kama unawakubali lina na kayumba gonga like hapa
Yaani huyu mtu niatali👏👏👏👏👏👏
Nawapenda xn
Nakukubal san lina na kayumb
RUKIA MUSSA mambo best uko poaw
🏃🏃🏃🏃kimbia Kaka nakukubal
We proud of you bro sisi wa Tanzania tulioko hapa Nairobi Kenya bigup by Fosil man 👊💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kweli sisi wa tz tuliko kenya tunapata burudani toka tz kwa wasanii wetu
King of song kayumba
Kama nyimbo kali gonga like hapa
Tupo wengi sana 2024 toka DRC Lubumbashi
Nakubali sana bro wimbo wako umetulia sana 💯 🔥🔥🔥🔥
Najivunia kuwa na kayumba katika industry ya muziki naomba usiwaige Kaka nitakosa Cha kusikiliza Mimi
2022 still enjoying this jam... Kayumba is a legend of swahili love songs❤️❤️🔥
❤❤❤penda sana uyu jamaa❤❤❤
tunao wakubali Kayumba na Linah like twende sawa
We peke umeweza unaniweze ukinishika nalegeeza ai penda apo sana
Kayumbaaaaa weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee it's good music 🎶 arive mziki mzuri unaishi na melody kichwani
Huyu dogo anaweza mpaka anaboa nakukukubali sana dogo hujawahi kosea single zako zote kaliiiiiiiiii👍🏼👍🏼👍🏼
Wangapi tunamkubali Kayumba tujuane jamani mwemweeee
Haaaa!!!! Hiii ilitakiwa iwe na views milioni tano kiukweli, mziki babkubwa linah we konki nakuaminia, duh dude hatareeeeeeee!!!👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥
uuuuuuuiii najilikeza mimi kwakusikiliza hizi misitari jamanii....unajua kunichombeza,ooh
we are supporting good music
kama upo nami sawa like kwa
#KAYUMBA
mwana mamb0
Uno
Unajua kunichomboza ooooh hodari wakumbembeleza ww pekee umeniza# umeniweza😍😍🇹🇿 like jaman ❤
Huyu kayumba akishikwa mkono na Mond aise atakua tishio africa nzima
Jaman huu wimbo ninavyo upenda yn hand naumwa kayukba hongera sana kwa kazi zako tam yn hua unanikosshaga moyo wangu
"umeniweza" kiukweli hili goma ni fire.......! 👌🖕👍🤝👋👋
What does mean umenweza guys and which Country this laungage pls tell me someone nice vioce
🔥🔥🔥
Nijivunie nani kama si wewe abduli Wang mie hawa mtoto wa kirangi
Jamani kupendwa laha
Dada linah umejaliwa sauti
Wimbo unanikumbusha mahusiano yangu ya Kwanza kabisa na mnyamwezi
Special song for the all beautiful woman..❤
Yani wew nakukubali kinomanoma mungu akupe upeo ufike mbl zaidiiiiii
Big up kayumba yaan ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥balaaa
Kama unamkubali kayumba piga like yako nakuhomba mana wewe nimshabiki Mauro sana kama kayumba
💞💘💗💝💖💋💘💞💓💗💕💘💞💓🙏
Hongeraaa saaanaaa kayumbaaa na linah mnawezaaaa mungu wape miaka buku
Wewe pekee umeniweza ukinishika najilegeza so sweet song god bless all of you guys
Waao nyimb nzur san yaan uwa inanikumbush meng san yaan
I can't get enough of this song for sure...I usually come here daily ...❤the love I have towards this song is unexplainable for real
Me too😋🥰
stress remover
Kayumba yuko vizuri napenda Sana nyimbo zake huyu dogo anajua ila bahati Hana ya kuvuma
Linnah has a beautiful feminine voice💖💖
Naupenda Kaimba wajina mpambanaji
Unajua kunichombeza
Dah hii ngoja nimeielewa kimoja mazee🤗🤗🤗🤗
Unakisu kikali kula nyama usijali❤❤😂,mstari umeweza😅
Fund kayumba kakutana na Linah mwenyewe mtt mzuri hatari japo kazaa