Kayumba Ft Linah - UMENIWEZA (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 1,6 тыс.

  • @MalasiHonorina
    @MalasiHonorina 9 месяцев назад +131

    Tunao angalia huu wimbo 2024 gonga like ❤😅

  • @SamuelOtieno-qc3kj
    @SamuelOtieno-qc3kj 7 месяцев назад +20

    I love this song that's why nimeamua kuisikiliza Tena 2024

    • @allyntima9090
      @allyntima9090 6 месяцев назад

      Aisemi inanikumbushagambar

    • @frankmhoja2460
      @frankmhoja2460 3 месяца назад

      Fund wa love songs...

    • @ErnestinaLucas
      @ErnestinaLucas 2 месяца назад

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤​@@allyntima9090

  • @imanivard1127
    @imanivard1127 4 года назад +507

    Hii nyimbo ni kwa wale wote wenye mapenzi ya kweli kwa wenzi wao sio wale viruka njia.
    Like kwa kayumba na linah kwa kazi nzuri 💥🔥💪

    • @asuminaallykorogwe2264
      @asuminaallykorogwe2264 4 года назад +23

      Kama unamkubali kayumba weka like twende sawaa

    • @shtatsalfa1668
      @shtatsalfa1668 4 года назад +8

      Nikweli, kama Riyama Ally na Lio

    • @eunicej8804
      @eunicej8804 4 года назад +2

      Iman Mhagama 😅😅😅😅

    • @febroniajackson9617
      @febroniajackson9617 4 года назад +9

      Nakukubali hasa ngoma hii umeniweza piaah ,,, kama unamkubali kayumba gonga like twende zetu uu

    • @johnmsuha7082
      @johnmsuha7082 4 года назад +5

      Umenena

  • @fellaanikulapo4712
    @fellaanikulapo4712 6 месяцев назад +12

    Ila kusema ukwel linnah anajua sana

  • @khadijakhadija6212
    @khadijakhadija6212 4 года назад +63

    Ooh nimechelewa jmn like za kayumba mlivokuwa na roh mbay sipatii hat moja unajua kunichombeza hodar wa kubembeleza♥️♥️💕💕💕😘😘

  • @softrock7155
    @softrock7155 4 года назад +34

    Wimbo mzr sana, aliyeusikiliza zaidi ya mara mbili agonge like twende sawa.

  • @allyselemani421
    @allyselemani421 4 года назад +135

    oa uyuu jamaa anakuja sana kama unakubaliana nam gonga like tutembee no 1 treeding.. ..

  • @julithamasanja3948
    @julithamasanja3948 Год назад +14

    Linah mwanamzik mahiri sn! Kila wimbo wake una mvuto fulani na nyimbo zake haziishi hamu!

  • @faridamohamed8135
    @faridamohamed8135 4 года назад +26

    huyu kijana nilimpendaga tangu enzi za bss. mbaka leo anafanya mawonders big up to kayumba

  • @daviddomician8984
    @daviddomician8984 3 года назад +204

    Napenda pale wanapoxema ''umeniweza babaaaaa umeniweza mamaaa" kama uko nami gonga like chini hapa

  • @mathiaswambua7643
    @mathiaswambua7643 4 года назад +124

    Nashangaa Huyu Kijana Kwanini hana Sponsor Anaeleweka Hadi Sasa
    @So Talented Sana @Kayumba 💪💪

    • @pendochalagwa8293
      @pendochalagwa8293 4 года назад +4

      Nakubali mzee huyu dogo ni moto hata kina mariooo wanaobebwa na clouds wanasubrii

    • @yahyamasoud612
      @yahyamasoud612 4 года назад +2

      Heshma pia bro muhimu .....lazma ajishushe ili afike mbali ila kiukweli anajua*

    • @dixoncyprian8633
      @dixoncyprian8633 4 года назад

      Sponsor wa kazi gani sasa

    • @shanishany8041
      @shanishany8041 4 года назад +1

      Sana

    • @angelapius7526
      @angelapius7526 3 года назад

      Mond angekachukuwa ingekuwa pow

  • @magdalenajoel4409
    @magdalenajoel4409 8 месяцев назад +9

    Tunaotazama wimbo huu mwezi wa wapendanao😂😂❤️🙌

  • @tausirayamba6559
    @tausirayamba6559 4 года назад +55

    Tabasamu mpenz wangu nataka tujenge family Sasa uwe baba wa wanangu nikuzalie mapacha🥰😍napenda huu mstalii kinomaa

  • @erastorichard9633
    @erastorichard9633 4 года назад +3

    Hili Song ni Mambo mbaya wapi likes za kayumba

  • @edusde4stage198
    @edusde4stage198 4 года назад +55

    Km uko in love bas hii nyimbo imebeba hisia nzur sn sana za mapenz is the best dedication song
    Km unakubaliana na Mimi gonga like twende pamoja

    • @sandrandai6180
      @sandrandai6180 4 года назад

      Haki kabsa ila kama upo kama mimi kwenye mahusiano machungu unaishia kuwish tu

  • @patrickwambua9657
    @patrickwambua9657 4 года назад +118

    Kayumba mistari yako mizito kuliko ya wasanii wengine wanaoitwa wakubwa sitawataja!!!!!

    • @sylivanusnyitwe8561
      @sylivanusnyitwe8561 4 года назад

      Patrick Wambua wataje tu kama alikiba amna kitu

    • @sylivanusnyitwe8561
      @sylivanusnyitwe8561 4 года назад

      Patrick Wambua wataje tu kama alikiba amna kitu

    • @leahnamoyo6475
      @leahnamoyo6475 4 года назад +1

      Nkweli

    • @mursallusinde9189
      @mursallusinde9189 3 года назад +1

      Dogo yupo vzr sna tatizo mziki wake hauna promo mzee baba mziki mzuri utakuta ndo hausapotiwi ila ile unga unga mwana dah 😂

    • @mariamjohn2813
      @mariamjohn2813 3 года назад

      @@sylivanusnyitwe85618cfe waaaqqeqf8ba7ac8sxfs

  • @remmysweetbert7702
    @remmysweetbert7702 4 года назад +111

    Ngoma ya Kizazi xana, bonge la ngoma, Lyrics kari kinouma, Xaut za kivita, chemistry imekubari xana Dah jamaa #Kayumba #Lina mnajua xaaaanaaaaa

  • @comfort6848
    @comfort6848 Год назад +4

    Siezi lala bila kusikiza huu wimbo wapi likes za team strong

  • @Ezradaniely
    @Ezradaniely 4 года назад +504

    Jaman mistal ya linah ni konk kama umeikubal gonga like hapa twende sawa

  • @maimamood7033
    @maimamood7033 4 года назад +45

    Unajuwa kunichombeza, umeniweza baba"""" nyimbo taaam sana,,
    NIJIVUNIE NANI KM SIO BABA WEE,,,

  • @pivothimself1164
    @pivothimself1164 4 года назад +8

    Umeniweza kama lilivo jina la wimbo @kayumbaossie ft @linah keep it up.

  • @zawadimunisi1712
    @zawadimunisi1712 3 года назад +18

    Aisee umejua kunikosha moyo hii nyimb naipenda daima sichok kuisikilza Kam unamkubali kayumba gonga like hpa

  • @TreyBlaise
    @TreyBlaise 4 года назад +558

    Oyoo like kama una mkubali Kayumba 🇹🇿🇹🇿🇨🇩🇨🇩🇨🇩

    • @Pascal1122
      @Pascal1122 4 года назад +4

      Faster

    • @LIGAErnestVEVO
      @LIGAErnestVEVO 4 года назад +1

      J'adore la chanson si broda . J'écoutais l'audio presque toutes le nuits quand je partais au lit. Finally the video is out

    • @leonardhizza686
      @leonardhizza686 4 года назад

      Treyz Palzuria %100

    • @chrisbujastar2204
      @chrisbujastar2204 4 года назад

      this is a good song check this song here ruclips.net/video/kvYiG5j864M/видео.html

    • @rayanalhabsi8029
      @rayanalhabsi8029 4 года назад

      kayumba na penda kazi zake good

  • @tonymwenyew6849
    @tonymwenyew6849 4 года назад +7

    naipeda hii ngoma tamu love From Kenya huyu kayumba hajaskika huku kenya lakini ako fiti sana ata nilikuwa nafikiria ni barnaba,ameweza nipeni like wakenya na watanzania

  • @mettybee6152
    @mettybee6152 4 года назад +306

    Nice song🔥🔥🔥,, wapi likes za kayumba and linah

  • @abzuckyree9346
    @abzuckyree9346 3 года назад +25

    Kayumba Ni msanii mkubwa Sana, Hawa mafala wengine ni label tu zinawabeba..... Big up Sana.... Unanikumbusha luge mutahaba aliposema "Kuna tofaut Kati ya superstar na maarufu, maarufu Ana muda wa kuvuma, superstar anavuma na alichonacho kila muda"

  • @AmosBPeter
    @AmosBPeter 4 года назад +40

    Dah iv mm nilikuwa wap nmechelew ngoma kali kichupa kikal .....twende sawa apa

  • @kingcali5237
    @kingcali5237 4 года назад +97

    Kayumba is so underrated, this guy can sing

  • @hadassahmaina4486
    @hadassahmaina4486 2 года назад +10

    Woooow this song is owesome can't stop listening who is agreeing with me

  • @peterblessing7968
    @peterblessing7968 4 года назад +27

    From kenya🇰🇪🇰🇪 umeniweza linah jaman

  • @simbilaelison7322
    @simbilaelison7322 4 года назад +36

    Hii ngoma kali maudhui ni yenyewe kabisa baada ya uno inafaata hii

    • @charlesmwita5291
      @charlesmwita5291 4 года назад

      Hii ngoma imenibamba yani nnatamani kuiskiliza muda wote especially muda wa night

  • @swalehekidabari8761
    @swalehekidabari8761 4 года назад +2

    Hapa mwanzo ty ndo patamu tlivuka viuz pamoja kwakushikan mkono daaah

  • @kbtv3621
    @kbtv3621 4 года назад +163

    Yani nyimbo za isiya tunakuachiya wewe kwasasa like kama una mkubali kayumba

  • @kassimmohd5492
    @kassimmohd5492 4 года назад +49

    Kayumba for a life, I swear this man has a naturally talent.!

  • @patrickmuriuki6916
    @patrickmuriuki6916 4 года назад +14

    Kanyumba Yu have potential to passthrough to Yu goal.good music small bro..I loveyousongtill times of colaboration of you na yamoto band..keep fire burning....success all I wish you.

  • @amselkelechi5058
    @amselkelechi5058 2 года назад +6

    May God bless Kayumba and Linah,unajua kunichombeza ooohoooooo

  • @malkiawafizi2394
    @malkiawafizi2394 4 года назад +9

    Wimbo mzuri sana sichoki kuusikiliza.mmeimba vizuri sana ❤❤❤

  • @marthajohn526
    @marthajohn526 2 года назад +1

    Kayumba namuelewaga sana Yani bigap kaka

  • @faithachinga357
    @faithachinga357 4 года назад +11

    hey, naipenda sauti yako mdada, waimba vizuri....then it sounds the same with that of Ibraah

  • @bilha_nyawera
    @bilha_nyawera 3 года назад +22

    Kayumba is so underrated. Guy so talented jamani. Much love from 🇰🇪

  • @monicaswai8166
    @monicaswai8166 4 года назад +14

    Unajua kunichombeza ma favorite song

  • @caroline_odipo
    @caroline_odipo 2 года назад +22

    I love 💕 this song so much,I keep coming back here every now and then it's like it's made for me😘😘😘🥰🥰🥰🥰

  • @conradjunior5940
    @conradjunior5940 4 года назад +5

    Linah umeitendea haki hii ngoma big up Sana kwenu

  • @isaselogistics7266
    @isaselogistics7266 4 года назад +6

    Hata kam ujapata like ila ni bonge la nyimbo htrrr

  • @deejaytripletv6167
    @deejaytripletv6167 4 года назад +13

    I just can't do without this song, aki kwa kweli imeniweza sana..... big up sana kayumba x linah for the good job kama wakubali wimbo huu gonga like

  • @chefamos4422
    @chefamos4422 4 года назад +196

    Mi mkenya napenda huu mziki wapi like za Mimi mkenya hapa please!!

    • @mafinamaizez2514
      @mafinamaizez2514 4 года назад +2

      Like kaa zote my dear Kayumba alishinda bongo staa sachi kwa halali aeleweka sana

    • @chefamos4422
      @chefamos4422 4 года назад +1

      Kizazi Sana🎷🎶

    • @selemanhamiss9945
      @selemanhamiss9945 4 года назад +1

      Mambo

    • @chefamos4422
      @chefamos4422 4 года назад

      @@selemanhamiss9945 poa mambo,..

    • @yusufkarisa3552
      @yusufkarisa3552 4 года назад

      Iko juu hii nyimbo jamaa anajua kutunga nyimbo sio siri

  • @wta_Tanzania
    @wta_Tanzania Год назад +2

    "Una kisu Kikali kula nyama usijali ....... Kabla kulala unipige zeze" hapa pananikosha Kama hapa na wewe panakukosha gonga like

  • @fextomaturo7815
    @fextomaturo7815 4 года назад +7

    Daaaah uyu kayumba hapa umetuweza huu utaweka record aie asante sanaaa kayumba and linah💟💟💟

  • @lucusmvuna8574
    @lucusmvuna8574 4 года назад

    Wangekupa kweli million 50 zako ungetisha zaid sasa hata million 10 haikufika ila mungu anawaona

  • @mbokachawe9657
    @mbokachawe9657 4 года назад +9

    Wen my darl send me this song... bas am like....😍😍😍😍😍😍🤩🤩🤩

  • @rahmarogath4067
    @rahmarogath4067 2 года назад

    Yaani uko vizuri sana kaka,🤸💃🏻💃🏻🤸🤸🤸💃💃👌🏿👌🏿👌🏿

  • @Unknown_junction.
    @Unknown_junction. Год назад +11

    Just got to know this wonderful song 3 years later....I love everything about it

  • @prospertarimo2154
    @prospertarimo2154 4 года назад +247

    Nani akimuona au akisikiliza ngoma ya kayumba ana kumbuka BSS

  • @zuuhxtarcode2412
    @zuuhxtarcode2412 4 года назад +5

    Nawapendah nyiiee watyuu bonge la nyimboo na video kalii piiaah

  • @peninahmuthoni486
    @peninahmuthoni486 3 года назад +3

    Ndo naingia uku kayumba kayumba Aminia bro ngoma zako poa sana keep it up

  • @andrewkim110
    @andrewkim110 4 года назад +13

    zangu niza kayumba kama kuna wao kama mimi gonga like bana

  • @elizabethmutheu6100
    @elizabethmutheu6100 4 года назад +3

    Song tamu sana .... My everyday song😍😍😍 #umeniwezaaa👏👏👏👏💋♥️♥️ .
    Sauti mlipewa tamu sana aki 💋💋💋

  • @rickysamuel4754
    @rickysamuel4754 4 года назад +7

    Bongo artists r the best, 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @princepiusngakongwa2019
    @princepiusngakongwa2019 4 года назад

    Sauti zinaendana mpaka raha jamani,unajua kunichombeza Kama mboga nakombeleza woooooooooo

  • @itzunison1910
    @itzunison1910 3 года назад +6

    Naipenda saana hii..big up bro🤩🤩

  • @aluochcynthia6142
    @aluochcynthia6142 9 месяцев назад

    Hapo Kwa mwenye kisu kikali ndo hula nyama......🤩🤩

  • @charleslivini9760
    @charleslivini9760 4 года назад +10

    Kayumba wataelew magom yote makali so Kama madogo wengine nakubal san

  • @julyramadhan7671
    @julyramadhan7671 4 года назад +196

    Mhhh hadi Ku comment naogopa coz like hata sipati🇹🇿🇹🇿🎶

  • @bashiramohammed6060
    @bashiramohammed6060 Год назад +19

    Always watching his songs with English subtitles coz I don’t understand Swahili but his lyrics r superb 👍love all his songs so much ❤

  • @DeboraMwambopo
    @DeboraMwambopo 7 месяцев назад +1

    Uuu wimbo unanikumbusha nifumaniwaga na mme wamtu arafu penzi ndolinoga hatali

    • @fellaanikulapo4712
      @fellaanikulapo4712 6 месяцев назад

      Ungekufa mbwa wee😅😅😅😅😅 achana na waume za watu

  • @khadijamajaliwa5999
    @khadijamajaliwa5999 4 года назад +17

    dah kayumba ni kati ya wasanii wale naowakubali sana,,,, kazi yako nzur nakukubali,,, bado nasubil video ya kosa langu

  • @rukiamussa2401
    @rukiamussa2401 4 года назад +143

    Kama unawakubali lina na kayumba gonga like hapa

  • @edwardouma1630
    @edwardouma1630 3 года назад +11

    We proud of you bro sisi wa Tanzania tulioko hapa Nairobi Kenya bigup by Fosil man 👊💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @khadijekhamis3970
      @khadijekhamis3970 Год назад

      Kweli sisi wa tz tuliko kenya tunapata burudani toka tz kwa wasanii wetu

  • @arafatkasu
    @arafatkasu 6 месяцев назад +1

    King of song kayumba

  • @nuldinbiral5627
    @nuldinbiral5627 4 года назад +5

    Kama nyimbo kali gonga like hapa

  • @CedrickKalenga-l6m
    @CedrickKalenga-l6m 16 дней назад

    Tupo wengi sana 2024 toka DRC Lubumbashi

  • @michaelmb9237
    @michaelmb9237 3 года назад +5

    Nakubali sana bro wimbo wako umetulia sana 💯 🔥🔥🔥🔥

  • @hatungimanayohana7044
    @hatungimanayohana7044 3 года назад

    Najivunia kuwa na kayumba katika industry ya muziki naomba usiwaige Kaka nitakosa Cha kusikiliza Mimi

  • @afritales_
    @afritales_ 2 года назад +17

    2022 still enjoying this jam... Kayumba is a legend of swahili love songs❤️❤️‍🔥

  • @AllyTingi
    @AllyTingi 9 месяцев назад +2

    ❤❤❤penda sana uyu jamaa❤❤❤

  • @sethlilageza5968
    @sethlilageza5968 4 года назад +19

    tunao wakubali Kayumba na Linah like twende sawa

  • @maggy1320
    @maggy1320 Год назад +1

    We peke umeweza unaniweze ukinishika nalegeeza ai penda apo sana

  • @bonfacekambona5266
    @bonfacekambona5266 4 года назад +4

    Kayumbaaaaa weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee it's good music 🎶 arive mziki mzuri unaishi na melody kichwani

  • @tintz3157
    @tintz3157 4 года назад +1

    Huyu dogo anaweza mpaka anaboa nakukukubali sana dogo hujawahi kosea single zako zote kaliiiiiiiiii👍🏼👍🏼👍🏼
    Wangapi tunamkubali Kayumba tujuane jamani mwemweeee

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 4 года назад +7

    Haaaa!!!! Hiii ilitakiwa iwe na views milioni tano kiukweli, mziki babkubwa linah we konki nakuaminia, duh dude hatareeeeeeee!!!👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥

  • @sylviachonge4165
    @sylviachonge4165 4 года назад

    uuuuuuuiii najilikeza mimi kwakusikiliza hizi misitari jamanii....unajua kunichombeza,ooh

  • @mwanatalenttv
    @mwanatalenttv 4 года назад +84

    we are supporting good music
    kama upo nami sawa like kwa
    #KAYUMBA

  • @lightypeter9705
    @lightypeter9705 4 года назад +3

    Unajua kunichomboza ooooh hodari wakumbembeleza ww pekee umeniza# umeniweza😍😍🇹🇿 like jaman ❤

  • @thenextmvp8568
    @thenextmvp8568 4 года назад +6

    Huyu kayumba akishikwa mkono na Mond aise atakua tishio africa nzima

  • @celinamgundoi5601
    @celinamgundoi5601 4 года назад +2

    Jaman huu wimbo ninavyo upenda yn hand naumwa kayukba hongera sana kwa kazi zako tam yn hua unanikosshaga moyo wangu

  • @everextbabarixt9764
    @everextbabarixt9764 4 года назад +57

    "umeniweza" kiukweli hili goma ni fire.......! 👌🖕👍🤝👋👋

    • @ዳንኤልኩራቴ
      @ዳንኤልኩራቴ 4 года назад

      What does mean umenweza guys and which Country this laungage pls tell me someone nice vioce

    • @lightypeter9705
      @lightypeter9705 4 года назад

      🔥🔥🔥

    • @hawahuseni3772
      @hawahuseni3772 3 года назад

      Nijivunie nani kama si wewe abduli Wang mie hawa mtoto wa kirangi

    • @hawahuseni3772
      @hawahuseni3772 3 года назад

      Jamani kupendwa laha

    • @hawahuseni3772
      @hawahuseni3772 3 года назад

      Dada linah umejaliwa sauti

  • @KelvinCharles-cl3ph
    @KelvinCharles-cl3ph 11 месяцев назад

    Wimbo unanikumbusha mahusiano yangu ya Kwanza kabisa na mnyamwezi

  • @hassanmlima3687
    @hassanmlima3687 4 года назад +71

    Special song for the all beautiful woman..❤

  • @zainabzz7241
    @zainabzz7241 3 года назад

    Yani wew nakukubali kinomanoma mungu akupe upeo ufike mbl zaidiiiiii

  • @zubedaothumanzothuman5413
    @zubedaothumanzothuman5413 4 года назад +12

    Big up kayumba yaan ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥balaaa

    • @ashuraqueen376
      @ashuraqueen376 4 года назад +3

      Kama unamkubali kayumba piga like yako nakuhomba mana wewe nimshabiki Mauro sana kama kayumba

    • @ashuraqueen376
      @ashuraqueen376 4 года назад +2

      💞💘💗💝💖💋💘💞💓💗💕💘💞💓🙏

  • @bahathmaganga5622
    @bahathmaganga5622 4 года назад

    Hongeraaa saaanaaa kayumbaaa na linah mnawezaaaa mungu wape miaka buku

  • @samairahassan8220
    @samairahassan8220 3 года назад +7

    Wewe pekee umeniweza ukinishika najilegeza so sweet song god bless all of you guys

  • @jescamkali-el2kl
    @jescamkali-el2kl Год назад

    Waao nyimb nzur san yaan uwa inanikumbush meng san yaan

  • @divinahkerubo8635
    @divinahkerubo8635 2 года назад +31

    I can't get enough of this song for sure...I usually come here daily ...❤the love I have towards this song is unexplainable for real

  • @allynjanga2952
    @allynjanga2952 4 года назад

    Kayumba yuko vizuri napenda Sana nyimbo zake huyu dogo anajua ila bahati Hana ya kuvuma

  • @douglasshirausa1211
    @douglasshirausa1211 3 года назад +26

    Linnah has a beautiful feminine voice💖💖

  • @linahfredy8004
    @linahfredy8004 Год назад

    Naupenda Kaimba wajina mpambanaji
    Unajua kunichombeza

  • @selemanomari936
    @selemanomari936 4 года назад +15

    Dah hii ngoja nimeielewa kimoja mazee🤗🤗🤗🤗

  • @Jane-f3m
    @Jane-f3m Год назад +1

    Unakisu kikali kula nyama usijali❤❤😂,mstari umeweza😅

  • @josboy5384
    @josboy5384 4 года назад +13

    Fund kayumba kakutana na Linah mwenyewe mtt mzuri hatari japo kazaa