Kayumba - Maumivu(Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 1 тыс.

  • @andersonyohana4442
    @andersonyohana4442 5 лет назад +127

    Yani kayumba kaimba huu wimbo umeniguza sana mm like zenu kama unaukubari wimbo wa maumivu

  • @TheAmadoni
    @TheAmadoni 5 лет назад +78

    Vita Vya Mondi na Kiba vime harib Bongo Flava vyafanya mpaka misiki mizuri kama hii yakosa Views na likes zinazo Stahiki.. Big Up Kayumba,,, Hujanbwaga kabisa.. Keep Going Strong

  • @cobadadon2334
    @cobadadon2334 5 лет назад +114

    Unaimba kama wao tu ila wanajifanya wanakukazia hakuna kukata tamaa mwanangu endelea kuangusha mawe wataelewa tu one day

  • @anethtimoth8959
    @anethtimoth8959 4 года назад +28

    Dogo Kayumba Wewe ulikuwa Mkali Toka Bongo Star Search!! huku unaendeleza tu!!! Uko poa sana Kayumba Big up sana!!

  • @khamismidude4325
    @khamismidude4325 5 лет назад +6

    Kayumba nakukuba sana yaani zaidi ya sana nyimbo zako. Yaani nazikubal mno yaani kwanyu kila mda ni nyimbo zako tu duuuu hongera sana maana ujumbe mzuri kwenye nyimbo zako

  • @محمدالنبهاني-ط4غ
    @محمدالنبهاني-ط4غ 5 лет назад +16

    Nimeisikiliza wakati wake asante kwa maumivu😭😭

  • @datiusdidace2173
    @datiusdidace2173 5 лет назад +123

    JAMAN KAYUMBA ANAJUA AISE
    Kama umeikubali Gonga like aisee kwa support

  • @kaniyahiouise1474
    @kaniyahiouise1474 5 лет назад +12

    *Kuimba mziki sio mpaka uwe na sauti nzuri hapana, mashairi na ujumbe unatakiwa ufike kwa watu,kayumba nakuelewa Sana Kaka!*

  • @nelsontanzania1098
    @nelsontanzania1098 5 лет назад +9

    Huu wimbo Nilikua Nausikia Sana ikabidi niutafute maana it's a Beautiful Song Especially kwa Wanaoumizwa na Mapenzii
    Ngoma Kalii Sana Ujumbe mzuri sana

  • @michaelsanga9445
    @michaelsanga9445 4 года назад +8

    Mwamba pambana ngoma Kali Sana gonga like Kama umeielewa

  • @lodrickibrahim5982
    @lodrickibrahim5982 5 лет назад +382

    Wa kwanza.....kama ume kubali. Hii ngoma piga like yako hapo

  • @joycesinkala225
    @joycesinkala225 2 года назад +2

    Kabisa kushea siyo vizuli kabisa unajuwa kuimba kayumba nyimbo zako zote nzuli hakuna nyimbo mbaya yakwako 💓💓💓💓💓💓💓💓 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💞

  • @ibrahimabdallah5096
    @ibrahimabdallah5096 4 года назад +10

    Kama umeielewa hii ngoma kama mm gonga like twende sawa

  • @bezaspilo8449
    @bezaspilo8449 5 лет назад +27

    kayumba wew ni msanii. ila utakamilika endapo ukikalibia king music. kalibu sana king music

  • @malikimoshi3506
    @malikimoshi3506 5 лет назад +9

    Nakubali kayumba umenkiumbusha mbalii saaanaaa 🙏🙏🙏🙏 ilove this song

  • @ZainabAtuli
    @ZainabAtuli 4 года назад +4

    🙏🙏🙏🙏 Imenigusa wallahi ahsant Kayumba

  • @abelnzunda2723
    @abelnzunda2723 5 лет назад +8

    Kama umeikubari ngoma gonga like za kutosha

  • @Rams660
    @Rams660 5 лет назад +12

    Hongera dogo,,hii Kali zuri,, kama mnamkubali huyu gonga like, twende pamoja adi king music

  • @shardalove1159
    @shardalove1159 4 года назад +5

    Usipocheza utatikisa japo kichwa ama mmguu kayumba ni🔥🔥🔥

  • @kksa6051
    @kksa6051 3 года назад +1

    My dearest kayumba hapa ndio sisemi kitu unakipaji dogo utani kando hongera kwakazi nzuri, napenda nyimbo zako Yani hazini choshi kuzkiliza congratulation

  • @ernestansu7529
    @ernestansu7529 2 года назад +16

    Such a beautiful tune, I have been playing ever since i discovered it even though i don’t understand the language, a fan from Ghana 🇬🇭, you nailed it ✌️

  • @Silent_cries6
    @Silent_cries6 25 дней назад +1

    AMBAO MMEUMIZWA 2024 MJE APA MUWEKE LIKE ZENU😪😪

  • @eliusmoyo1799
    @eliusmoyo1799 5 лет назад +67

    Mashairi mazuri sana jmn like kama unakubaliana na mm

  • @dcruiz7485
    @dcruiz7485 5 лет назад +263

    Karibu kings music watufaa xna gonga like kma we n King's family

  • @beuntflyhusnakasy9320
    @beuntflyhusnakasy9320 5 лет назад +13

    Very nice song kayumba😍😍love kutok kwang kam zote zikufikiee

  • @martinimussa1296
    @martinimussa1296 3 года назад

    nakubali kaka unajuwa kwenda na wakat kwa sasa mapenzi yanawaliza weng kwahyo maumvu imekuwa kama tulizo na kujpa iman pamoja mzee hongera utunz mwema kaka one love

  • @goodluckevarist7644
    @goodluckevarist7644 5 лет назад +9

    Mi Ntakuja kufa jomonii kayumba ma love yangu kwako kama yoote😘❤❤❤

  • @cyrillmassawe5856
    @cyrillmassawe5856 Месяц назад

    Maumivu umebamba sana big up kayumba kaza man like nyingi kwako.

  • @aronikashindi6769
    @aronikashindi6769 5 лет назад +3

    Kayumba useme uko bali tu na mimi lakini tugekuwa p1 nigekupa zawadi kbs kwa songs zako love u more kayumba niko🇺🇸🇺🇸🇺🇸

  • @aggyparty2990
    @aggyparty2990 5 лет назад

    Huyu dogo anajua sema tanzania hatuna kitu cha kupeana nafasi🙌🙌🙌 yaan walio juu wanataka wawe wao tu

  • @rayzonevic4041
    @rayzonevic4041 2 года назад +19

    This boy will kill us with awesome melodious songs 💓💓🇰🇪

  • @marcykivuyo9666
    @marcykivuyo9666 4 года назад +1

    Kushare sio lengo languu nisamehe ..... Natetea hisiaa.zanguu... good point

  • @edwinbaraka5663
    @edwinbaraka5663 5 лет назад +6

    Kalisana bro kamavipi njoo King's music man

  • @ggjghh6245
    @ggjghh6245 5 лет назад

    Nakumbuka nilikesha kuangalia mashindano ya biss mwaka ule na hakuna kingine nilikuwa nakuangalia ww kayumba naleo bado unahaso hongera sana mwanangu pambana kama ulivyo pambana mwaka ule ulivyo kuwa unaki pigania kipaji chako unaweza kayumba walah

  • @lulugama1547
    @lulugama1547 Год назад +6

    I wish to see kayumba very far in his music career 🙏

  • @khuzeimaabdul4275
    @khuzeimaabdul4275 5 лет назад +1

    Hapa umepiga na ukaua.huwezi toa kichupa zaidi ya hiki.umetugusa wengi big up

  • @georgemasha4852
    @georgemasha4852 5 лет назад +9

    Kayumba we kaza mwenyewe tu,achana na makundi,Mara king musc, achana nayo, asikushike mtu ao wanga tu

  • @MariaMartin-tc6oz
    @MariaMartin-tc6oz 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤love sana kaka yangu mungu akulinde milele nakuja mwaka kesho nikuone

  • @jumaibrahim4745
    @jumaibrahim4745 5 лет назад +78

    Baba nilikuwa nasbiria hiki chombo gud sana

  • @malaikahmaikoh8394
    @malaikahmaikoh8394 4 года назад

    Naupenda uuu wimbo sikujua kama kayumba ndio kaimba nimeutafuta mpkaa nimekoma

  • @mudrickmbuyu3263
    @mudrickmbuyu3263 4 года назад +3

    KAYUMBA ni real voice of LOVE WE NI FUNDI WA NYIMBO ZA MAHABA!!!

  • @jonasijonasi
    @jonasijonasi 8 месяцев назад

    Huu mziki kila siku lazima niusikilize kayumba big up🎉

  • @reubenmuimi197
    @reubenmuimi197 3 года назад +5

    My best singer so far🇰🇪

  • @sadamussa3162
    @sadamussa3162 2 года назад

    Daaaa yaan kayumba uwiii sijui hata nisemaje anaimba had sio pw 😘😘😘

  • @jaredpozzetbt1100
    @jaredpozzetbt1100 2 года назад +4

    Aki this guy has nice voice man big up broo💪💪💪💪

  • @shabiryjaah1643
    @shabiryjaah1643 4 года назад +1

    Niliyuwa wanipenda kumbedaa

  • @mussamshengelijr4295
    @mussamshengelijr4295 5 лет назад +54

    Sema hizo rasta ndo umengoma kutoa Kayumba hapo kwenye rasta unayumba kweli sasa. kama umekubali hii ngoma sema huzikubali hizo rasta kichwani hapo gonga like hapa
    🚵. 🚵. 🚵. 🚵

  • @LeyaKiza
    @LeyaKiza Месяц назад

    Mnavyohimbanga ndo vinavyo tokeyaga tu duniani🎉🎉❤❤❤

  • @jabirchiwila5664
    @jabirchiwila5664 5 лет назад +140

    jmn nmekosa like 😖😖 asante kwa #maumivu

  • @christmhema9500
    @christmhema9500 5 лет назад

    Kayumba hili dude unanifanya nirudishe ndoa maana nlikuwa nimefer kurudisha...... Nlivo weka status hili dude ananipigia simu siku iz duuuh..... Kayumba wape presha wajifunze mziki mzuri.... .....chris*tz

  • @feykingstone2796
    @feykingstone2796 4 года назад +5

    Muziki mzuri, sauti nzuri!!! Love u kayumba

  • @paulinashembilu4749
    @paulinashembilu4749 3 года назад

    Jamaa anajua sana Asantee kwa maumivu nami nimeyakubar 🤔🤔

  • @vinsensiusboukbouk9525
    @vinsensiusboukbouk9525 2 года назад +4

    Walaupun tdk tau artinya tapi cumn senang lagu dan nadanya...

  • @marijanimohamed7619
    @marijanimohamed7619 5 лет назад

    Kimeenda vizuri jiwezeshe ka w c b utazidi kungaa kn nyota penenye gizaa.

  • @kasakilekimengele3186
    @kasakilekimengele3186 5 лет назад +16

    Wow kayumba you kill it boy keep it up 😍❤

  • @nayhancy7531
    @nayhancy7531 5 лет назад

    Safiii saaan kayumba umenifany najikuta nasikiliza nyimbo hiii kila dk safiii saaan

  • @kondwanimwangobora7696
    @kondwanimwangobora7696 2 года назад +12

    The definition of good music 🔥🔥😍

  • @lloveyoutanzania5315
    @lloveyoutanzania5315 Год назад

    Kudadadeki pini litaishi milele isee asante dogo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @star1online8
    @star1online8 5 лет назад +12

    asante kwa kutukumbuka na sisi tulio umizwa na #maumivu ya mapenzi

  • @felixniyomukiza4901
    @felixniyomukiza4901 Год назад

    nyimbo zako zote ni za kuvutiwaa my best artist kayumba

  • @eliaobadia5443
    @eliaobadia5443 5 лет назад +13

    Nyimbo Kali bro na nzuli kinoma
    Ila kayumba change mumziki wako umezoeleka njoo na staili nyingine

  • @zaidizabron2294
    @zaidizabron2294 4 года назад

    Kayumba ni moto wa gesi anatisha wengine ni makiki tu kuimba awajui

  • @idrisaally8738
    @idrisaally8738 5 лет назад +6

    We boya unaweza ngoma yako iko poa sana kuliko za king music yaakubisha abishe ila ukwer ndio uo

  • @simoncharles683
    @simoncharles683 2 года назад

    Jomba unajua kucheza na mioyo yetu dah Ngoma Kali zinavibrate kwenye Ngoma ya sikio tuu

  • @mwajumajudith8472
    @mwajumajudith8472 5 лет назад +15

    Duuuh ataree sana aisee 💗 umemaliza aisee

  • @aliykibabe9033
    @aliykibabe9033 5 лет назад +2

    Nilijua wanipenda daaaah sometime mademu xio watu wazur.. kama yamekukut gonga like

  • @eunicemoses7080
    @eunicemoses7080 5 лет назад +15

    Keep it up bro I love it so much

  • @aminakusega6315
    @aminakusega6315 5 лет назад

    yani adi nalia. jinsi mashairi yalivo nigusa umetisha nakubali mara miaaaaa

  • @husnayasr6644
    @husnayasr6644 5 лет назад +17

    Nimeikubari uko vizur kayumba Asante kwa maumivu

  • @SammieberryOfficial
    @SammieberryOfficial 5 лет назад

    UKO SAWA SANAAA MKUU WANGU KAYUMBA COOL LYRICS GOOD MUSIC NICE FLOW VIDEO TISHA KITAANI YAAN UPO FRESHI

  • @richardmichael2142
    @richardmichael2142 5 лет назад +6

    Ngoma Kali sana hii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @sospmusic9965
    @sospmusic9965 Год назад

    Mkali wao big support from 254

  • @julianajacob6775
    @julianajacob6775 5 лет назад +4

    Wimbo mzur hongera kayumba

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula Год назад

    hv nyie bongo mlikula nn coz hambatishi kbs napenda kazi za bongo huyu jamah Mambo mbaya kayumba uko juu babaa

  • @kiliboykilimanjaro377
    @kiliboykilimanjaro377 4 года назад +17

    2020 tunao iskiliza hii nyimbo weka like tujuane

  • @salminalfan5632
    @salminalfan5632 3 года назад +1

    Napenda kaz zake kayumba anaiba sana

  • @chrisroby1953
    @chrisroby1953 5 лет назад +53

    Km unaamin dog anawez ach like hap na ngoma yake ya mazowea

  • @baikokoraha9339
    @baikokoraha9339 5 лет назад

    Kweli kayumba ndo umekamilika kuwa msanii wa BONGO flava kaka kaza kamba utafika waliko mbosso na ata zaidi yao .Inshallah.

  • @fetymwamba8685
    @fetymwamba8685 5 лет назад +184

    Kama unapenda mziki mzuri gonga like yako hapa

  • @kilungodionizi1865
    @kilungodionizi1865 5 лет назад +2

    wimbo mtamu huuu jaman daaah unakonga moyo wangu 😧😧😧😧😧😧

  • @heavyweight1347
    @heavyweight1347 5 лет назад +15

    kayumba kazi nzuri like tu hap

  • @ZuheryAhmad-rl1ec
    @ZuheryAhmad-rl1ec 9 месяцев назад +1

    It's 2024 and this song is still a master piece 👌😘

  • @abdulmwanga3589
    @abdulmwanga3589 5 лет назад +27

    king music siku wakitoa nyimbo Kali hivi lzm Mvua ya mawe inyeshe

  • @fynessmogha8159
    @fynessmogha8159 5 лет назад +1

    wimbo huyu nakupenda hadi basi ''asate kwa maumivu '' daaa!!!! am from Malawi

  • @salehkashindibinmsambya1719
    @salehkashindibinmsambya1719 5 лет назад +248

    Kama unasoma Comment kamimi like hapa twenzetu

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 5 лет назад

    Unamyumbisha ata Queen Kiba daadeki wewe #Usafini utafaa

  • @handromedia5611
    @handromedia5611 5 лет назад +3

    nakukubariiii hom boy, since day one mkubwaaa tunafanya yetuuu vs chibaaaaizoo

  • @KhamisSabianka
    @KhamisSabianka 6 месяцев назад

    Nakukubal kaka umeimba sana hii nyimbo❤❤❤❤❤

  • @deethedon6378
    @deethedon6378 5 лет назад +8

    kaz nzur kayumba

  • @bahatijuma74
    @bahatijuma74 4 года назад

    Wawooo jaman kayumba ww mbona wani teka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪

  • @mwambirelucky8357
    @mwambirelucky8357 4 года назад +3

    Nice one keep it up Kayumba love you so much

  • @farajiminja3842
    @farajiminja3842 3 года назад +1

    Sana baba nakubali kazi zako

  • @nelandbdi8000
    @nelandbdi8000 5 лет назад +17

    Wcb plz take that boy🙏🙏🙏he is talented

  • @JumaRashidi-qu6nv
    @JumaRashidi-qu6nv 3 года назад

    Kayumba uko vizuri kaka endelea kujaza

  • @kareemmene38
    @kareemmene38 5 лет назад +6

    Kichupaa konkii nyimboo konkii

  • @RahmaNyamvula-h5g
    @RahmaNyamvula-h5g 2 месяца назад +1

    Nyimbo nzur naikubali san

  • @georgemelkiad5823
    @georgemelkiad5823 3 года назад +3

    Wonderful song good work kayumba

  • @lailatyrashid1721
    @lailatyrashid1721 3 года назад

    Kushea soo lengo lang nisamehe 👌😭😭😭😭😭

  • @judithpeter1174
    @judithpeter1174 5 лет назад +192

    Waliokuwa wanaisubiria video yake na sasa imetoka like hapa tujuane tu

  • @queenjennyfer834
    @queenjennyfer834 5 лет назад +1

    ngomaaa tamu sanaa jamonii hongeraaa