Vita Vya Mondi na Kiba vime harib Bongo Flava vyafanya mpaka misiki mizuri kama hii yakosa Views na likes zinazo Stahiki.. Big Up Kayumba,,, Hujanbwaga kabisa.. Keep Going Strong
Kayumba nakukuba sana yaani zaidi ya sana nyimbo zako. Yaani nazikubal mno yaani kwanyu kila mda ni nyimbo zako tu duuuu hongera sana maana ujumbe mzuri kwenye nyimbo zako
Huu wimbo Nilikua Nausikia Sana ikabidi niutafute maana it's a Beautiful Song Especially kwa Wanaoumizwa na Mapenzii Ngoma Kalii Sana Ujumbe mzuri sana
My dearest kayumba hapa ndio sisemi kitu unakipaji dogo utani kando hongera kwakazi nzuri, napenda nyimbo zako Yani hazini choshi kuzkiliza congratulation
Such a beautiful tune, I have been playing ever since i discovered it even though i don’t understand the language, a fan from Ghana 🇬🇭, you nailed it ✌️
nakubali kaka unajuwa kwenda na wakat kwa sasa mapenzi yanawaliza weng kwahyo maumvu imekuwa kama tulizo na kujpa iman pamoja mzee hongera utunz mwema kaka one love
Nakumbuka nilikesha kuangalia mashindano ya biss mwaka ule na hakuna kingine nilikuwa nakuangalia ww kayumba naleo bado unahaso hongera sana mwanangu pambana kama ulivyo pambana mwaka ule ulivyo kuwa unaki pigania kipaji chako unaweza kayumba walah
Sema hizo rasta ndo umengoma kutoa Kayumba hapo kwenye rasta unayumba kweli sasa. kama umekubali hii ngoma sema huzikubali hizo rasta kichwani hapo gonga like hapa 🚵. 🚵. 🚵. 🚵
Kayumba hili dude unanifanya nirudishe ndoa maana nlikuwa nimefer kurudisha...... Nlivo weka status hili dude ananipigia simu siku iz duuuh..... Kayumba wape presha wajifunze mziki mzuri.... .....chris*tz
Yani kayumba kaimba huu wimbo umeniguza sana mm like zenu kama unaukubari wimbo wa maumivu
Nazipenda kazi zako mung akusaidie
Oi napenda mdada nataka nixhee naee life
Vita Vya Mondi na Kiba vime harib Bongo Flava vyafanya mpaka misiki mizuri kama hii yakosa Views na likes zinazo Stahiki.. Big Up Kayumba,,, Hujanbwaga kabisa.. Keep Going Strong
Yes is true
well said
Sana
Kweli kabisa kijana waabie kabisa
❤nazikubari, sana
Unaimba kama wao tu ila wanajifanya wanakukazia hakuna kukata tamaa mwanangu endelea kuangusha mawe wataelewa tu one day
Nikweli kabisaaaaa
Kabisaaa
Umenena k2
🔥👊💯
Ngoma nzur
Dogo Kayumba Wewe ulikuwa Mkali Toka Bongo Star Search!! huku unaendeleza tu!!! Uko poa sana Kayumba Big up sana!!
Kayumba nakukuba sana yaani zaidi ya sana nyimbo zako. Yaani nazikubal mno yaani kwanyu kila mda ni nyimbo zako tu duuuu hongera sana maana ujumbe mzuri kwenye nyimbo zako
Nimeisikiliza wakati wake asante kwa maumivu😭😭
JAMAN KAYUMBA ANAJUA AISE
Kama umeikubali Gonga like aisee kwa support
Big up broo
*Kuimba mziki sio mpaka uwe na sauti nzuri hapana, mashairi na ujumbe unatakiwa ufike kwa watu,kayumba nakuelewa Sana Kaka!*
Huu wimbo Nilikua Nausikia Sana ikabidi niutafute maana it's a Beautiful Song Especially kwa Wanaoumizwa na Mapenzii
Ngoma Kalii Sana Ujumbe mzuri sana
Mwamba pambana ngoma Kali Sana gonga like Kama umeielewa
Wa kwanza.....kama ume kubali. Hii ngoma piga like yako hapo
Uko vzul
Yuko vzr sana namkubali sana toka bss
gudi
Ngoma ime gongaaa kongaaa
Nice
Kabisa kushea siyo vizuli kabisa unajuwa kuimba kayumba nyimbo zako zote nzuli hakuna nyimbo mbaya yakwako 💓💓💓💓💓💓💓💓 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💞
Kama umeielewa hii ngoma kama mm gonga like twende sawa
kayumba wew ni msanii. ila utakamilika endapo ukikalibia king music. kalibu sana king music
Nakubali kayumba umenkiumbusha mbalii saaanaaa 🙏🙏🙏🙏 ilove this song
Uko vizr kayumba
🙏🙏🙏🙏 Imenigusa wallahi ahsant Kayumba
Kama umeikubari ngoma gonga like za kutosha
Hongera dogo,,hii Kali zuri,, kama mnamkubali huyu gonga like, twende pamoja adi king music
Kaka unaweza saaanaa vizuli mtangulize MUNGU tuu kW kazi zako
da hongera dogo lang good music flavour komaaaa unaweza
Gooo masta
Usipocheza utatikisa japo kichwa ama mmguu kayumba ni🔥🔥🔥
My dearest kayumba hapa ndio sisemi kitu unakipaji dogo utani kando hongera kwakazi nzuri, napenda nyimbo zako Yani hazini choshi kuzkiliza congratulation
Such a beautiful tune, I have been playing ever since i discovered it even though i don’t understand the language, a fan from Ghana 🇬🇭, you nailed it ✌️
Good song
AMBAO MMEUMIZWA 2024 MJE APA MUWEKE LIKE ZENU😪😪
Mashairi mazuri sana jmn like kama unakubaliana na mm
Karibu kings music watufaa xna gonga like kma we n King's family
Kali kayumba
cide da cruiz kwaya ya mtakatifu kibaaa
Kabsa anafaa
Cide da cruiz umeona eeee alafu tutampa na mo fire ashushie
Acha kumpoteza
Very nice song kayumba😍😍love kutok kwang kam zote zikufikiee
Looking into my eye
nakubali kaka unajuwa kwenda na wakat kwa sasa mapenzi yanawaliza weng kwahyo maumvu imekuwa kama tulizo na kujpa iman pamoja mzee hongera utunz mwema kaka one love
Mi Ntakuja kufa jomonii kayumba ma love yangu kwako kama yoote😘❤❤❤
Maumivu umebamba sana big up kayumba kaza man like nyingi kwako.
Kayumba useme uko bali tu na mimi lakini tugekuwa p1 nigekupa zawadi kbs kwa songs zako love u more kayumba niko🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Aroni Kashindi nice music jmn
Huyu dogo anajua sema tanzania hatuna kitu cha kupeana nafasi🙌🙌🙌 yaan walio juu wanataka wawe wao tu
This boy will kill us with awesome melodious songs 💓💓🇰🇪
Songs is good
Kushare sio lengo languu nisamehe ..... Natetea hisiaa.zanguu... good point
Kalisana bro kamavipi njoo King's music man
Nakumbuka nilikesha kuangalia mashindano ya biss mwaka ule na hakuna kingine nilikuwa nakuangalia ww kayumba naleo bado unahaso hongera sana mwanangu pambana kama ulivyo pambana mwaka ule ulivyo kuwa unaki pigania kipaji chako unaweza kayumba walah
I wish to see kayumba very far in his music career 🙏
Hapa umepiga na ukaua.huwezi toa kichupa zaidi ya hiki.umetugusa wengi big up
Kayumba we kaza mwenyewe tu,achana na makundi,Mara king musc, achana nayo, asikushike mtu ao wanga tu
❤❤❤❤❤love sana kaka yangu mungu akulinde milele nakuja mwaka kesho nikuone
Baba nilikuwa nasbiria hiki chombo gud sana
Iko poa
Sana
Kayumba unaweza wasafi nimekaribia kuhama
Nice
Sana mdau kayumba unajua
Naupenda uuu wimbo sikujua kama kayumba ndio kaimba nimeutafuta mpkaa nimekoma
KAYUMBA ni real voice of LOVE WE NI FUNDI WA NYIMBO ZA MAHABA!!!
Huu mziki kila siku lazima niusikilize kayumba big up🎉
My best singer so far🇰🇪
Daaaa yaan kayumba uwiii sijui hata nisemaje anaimba had sio pw 😘😘😘
Aki this guy has nice voice man big up broo💪💪💪💪
Niliyuwa wanipenda kumbedaa
Sema hizo rasta ndo umengoma kutoa Kayumba hapo kwenye rasta unayumba kweli sasa. kama umekubali hii ngoma sema huzikubali hizo rasta kichwani hapo gonga like hapa
🚵. 🚵. 🚵. 🚵
kali sana
Fuatilia kazi yake mwonekano haukuusu joh wanaume hatupo ivo
Wimbo mkali sana
@@digital21.13 hiy kaz yak unayo Sam niifatilie ndo imemfany aweke hivyo
1 kijana
@@digital21.13 true
Mnavyohimbanga ndo vinavyo tokeyaga tu duniani🎉🎉❤❤❤
jmn nmekosa like 😖😖 asante kwa #maumivu
😂😂😂😂
@@rebecahagaikatuba3551 kwanini unamcheka mwenzako jamani😂😂😂😂😂
Noma
Rebeca Hagai Katuba 😂😂😂 let's give him likes 😂😂
😂🤣🤣🤣
Kayumba hili dude unanifanya nirudishe ndoa maana nlikuwa nimefer kurudisha...... Nlivo weka status hili dude ananipigia simu siku iz duuuh..... Kayumba wape presha wajifunze mziki mzuri.... .....chris*tz
Muziki mzuri, sauti nzuri!!! Love u kayumba
Jamaa anajua sana Asantee kwa maumivu nami nimeyakubar 🤔🤔
Walaupun tdk tau artinya tapi cumn senang lagu dan nadanya...
Kimeenda vizuri jiwezeshe ka w c b utazidi kungaa kn nyota penenye gizaa.
Wow kayumba you kill it boy keep it up 😍❤
Safiii saaan kayumba umenifany najikuta nasikiliza nyimbo hiii kila dk safiii saaan
Mkn kayumba
The definition of good music 🔥🔥😍
Kudadadeki pini litaishi milele isee asante dogo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
asante kwa kutukumbuka na sisi tulio umizwa na #maumivu ya mapenzi
nyimbo zako zote ni za kuvutiwaa my best artist kayumba
Nyimbo Kali bro na nzuli kinoma
Ila kayumba change mumziki wako umezoeleka njoo na staili nyingine
Kayumba ni moto wa gesi anatisha wengine ni makiki tu kuimba awajui
We boya unaweza ngoma yako iko poa sana kuliko za king music yaakubisha abishe ila ukwer ndio uo
Acha kumlevya kijana bali mpe pongezi kwa kazi yake nzuri
vzr sana
Jomba unajua kucheza na mioyo yetu dah Ngoma Kali zinavibrate kwenye Ngoma ya sikio tuu
Duuuh ataree sana aisee 💗 umemaliza aisee
Ngoma Kali saaanaaaaaa
Nilijua wanipenda daaaah sometime mademu xio watu wazur.. kama yamekukut gonga like
Mamen ndo siy wat wazur
Keep it up bro I love it so much
yani adi nalia. jinsi mashairi yalivo nigusa umetisha nakubali mara miaaaaa
Nimeikubari uko vizur kayumba Asante kwa maumivu
UKO SAWA SANAAA MKUU WANGU KAYUMBA COOL LYRICS GOOD MUSIC NICE FLOW VIDEO TISHA KITAANI YAAN UPO FRESHI
naona kijnana kakuwa kimzik hongera sna
Ngoma Kali sana hii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mkali wao big support from 254
Wimbo mzur hongera kayumba
hv nyie bongo mlikula nn coz hambatishi kbs napenda kazi za bongo huyu jamah Mambo mbaya kayumba uko juu babaa
2020 tunao iskiliza hii nyimbo weka like tujuane
🚶❤
Napenda kaz zake kayumba anaiba sana
Km unaamin dog anawez ach like hap na ngoma yake ya mazowea
Salute
Uko juu Kaka napenda iyimbo zako ziko poa Sana🇰🇪💕💕💕👌
Anaweza mpaka kero
Kweli kayumba ndo umekamilika kuwa msanii wa BONGO flava kaka kaza kamba utafika waliko mbosso na ata zaidi yao .Inshallah.
Kama unapenda mziki mzuri gonga like yako hapa
Ngoma nzulisana
Kls
Nyimbo za dini
wimbo mtamu huuu jaman daaah unakonga moyo wangu 😧😧😧😧😧😧
kayumba kazi nzuri like tu hap
It's 2024 and this song is still a master piece 👌😘
king music siku wakitoa nyimbo Kali hivi lzm Mvua ya mawe inyeshe
Abdul Mwanga acha ushabiki ww mavi angaria Toto
Umetish kk big up saaan
puuz kwel ww, hujaon nymb y masozi?? Tim king tutakuumza
Rudia tena kusema uyo utumbu wako
Nakukubali sana
wimbo huyu nakupenda hadi basi ''asate kwa maumivu '' daaa!!!! am from Malawi
Kama unasoma Comment kamimi like hapa twenzetu
Ngoma kali Sana kayumba
Ata m inengusa sana 2
Poa sana
Umetishaaaa
Kings noma sana
Unamyumbisha ata Queen Kiba daadeki wewe #Usafini utafaa
nakukubariiii hom boy, since day one mkubwaaa tunafanya yetuuu vs chibaaaaizoo
Kayumba hauna mpinzani Mzee bba
Nakukubal kaka umeimba sana hii nyimbo❤❤❤❤❤
kaz nzur kayumba
Wawooo jaman kayumba ww mbona wani teka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Nice one keep it up Kayumba love you so much
Sana baba nakubali kazi zako
Wcb plz take that boy🙏🙏🙏he is talented
Nic nic
Kayumba uko vizuri kaka endelea kujaza
Kichupaa konkii nyimboo konkii
Nyimbo nzur naikubali san
Wonderful song good work kayumba
Pp
Kushea soo lengo lang nisamehe 👌😭😭😭😭😭
Waliokuwa wanaisubiria video yake na sasa imetoka like hapa tujuane tu
Nice one my brother
Uko sawa
Kazi nzuri nyimbo ni nzuri xana broo
Good job
Nice
ngomaaa tamu sanaa jamonii hongeraaa