KAYUMBA _-_ BOMBA [Official Video]
HTML-код
- Опубликовано: 17 фев 2021
- #kayumba #Bomba BRAND NEW VIDEO #BOMBA kutoka kwa msanii wako pendwa @kayumbaasosie #BOMBA VIDE IS OUT NOW Enjoy good music.
DIRECTED BY MAJAGI
PRODUCER BY MR T TOUCH
Connect with Kayumba on :
Instagram:
/ kayumbaasosie
Boomplay:
www.boomplay.com/artists/2500...
AUDIOMACK:
audiomack.com/kayumba-4/song/... Видеоклипы
Nani kairudia hii ngoma mara zote 👊💪🏿🔥gonga like twende sawa
Mimi
Fire
Yaaaani nairudia hapa Mara nyingi tu
Yaani narudia nikimaliza napumzika naanza tena nyimbo tamu mpk maneno siyasikii
good song by then
Uzuri wa huyu kayumba anaga skendo za ajabu yeye ni mzik mzur tu 💥💥💥
Kama #barnaba classic
Yuko vzr sana mungu amsimamie kwa kweli
Nakukubali sana Mzee
Lkn chunguza show zake usiaminie tu
Hana shida na mimama
Binafsi sichokagi kuusikiliza huu wimbo,💯
Kama unamkubali huyu mwamba gonga like❤
Wa kwanza hapaa leo like za fundii kuyumba hapa!!!💞💯
Eu arento você kayumba
Nice kak yangu kayumba umetisha kinomanoma👍
Kaza mwenyewe kayumba usiende kwenye label utapotea unajua sana 🔥
Ambao hatujawahi pitwa na nyimbo za huyu mwamba tujuane kwa like ☑️
Kumbe tupo wengi
Mimi hapa
Na Mimi Apa
Bomba kwel, I like it all the way from Malawi 🇲🇼 🇲🇼🇲🇼 . The guy is so talented ❤️🙌🙌🙌 much Love ♥️😍♥️😍😍
Gonga like to show love jirani
Kwan mki like mara mbili mbili kwan vip?
Si Bomba tu...
Ngoma kali gonga like kama unamkubali kayumba 🔥🔥
ruclips.net/video/HmFCsDePlUA/видео.html
ruclips.net/video/oxYWFcI_mqk/видео.html
ruclips.net/video/gRZHPNODMDo/видео.html
Simpingi
Bro uko sawa kabisa yani sana.
Haya mambo ya timu ebu tuacheni Tanzania yetu imebarikiwa wasanii wanaojua kuimba hadi wanakera🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ni kweli inatakiwa awa wapewe sapot manake wanajua sana
Kayumba hajawahi kuniangusha
Huyu ndio MWANAMUZIKI NO 1 KWA UTUNZI hivi sasa Nchini Tanzania #Kayumba 🔥🔥🔥🔥
Kwel kbs
Sibishi kaka hi ngoma kali
@@edwardlucas2141 Basi tu sjui mambo ya nyota
@@vicentrogers9465 kwa utunzi hakuna cha Mondi, Kiba wala Konde wote kwa Kayumba! Chuma kwa chuma anawamwagia cheche 🔥🔥
Jamani team kayumba,, tusibaguane gonga like Japanese basi iwe bombaa
Chuma kwa chuma namwaga cheche,, Tim Kayumba
Nakubali sana boy
Kayumba sanaaaa god
Mm nakukubali xana kayumba yaan bombaaaaa
Mwamba hanajua Sana😁
Ndani joto sitaki feniiii natamani ni like comment ya kila mtu. Hapo vipiii
Huyu mrembo Video Vixen ananifanya niirudie kuiangalia hii nyimbo kila wakati... Sichoki kumtazama. Simple dancing but amaizing
Kayumba ujawahi kuniangusha naombeni ata like 40🔥🔥🔥👍👍
ruclips.net/video/HmFCsDePlUA/видео.html
ruclips.net/video/oxYWFcI_mqk/видео.html
ruclips.net/video/gRZHPNODMDo/видео.html
Anajua Sana
Babs tunakupa like buku jerooo
Nakubali kazi sana
Kayumba OG 💥💥🔥
Hii ngoma imefanya nimtafute huku after kuskia kwa radio 🏹🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kama umsikia kemoda piga like😀😁😂😂
Anae sikiliza hii Ngoma Leo 2024🎉🎉😂 Safi Sana
Why is this guy not heard enough?? his a great singer 🥰🥰🥰
*Kama hauna utimu heb wekeni like hata moja tyu huyu kayumba na radha ya mziki wanafanana kabisah🙏🙏🙏🙏*
Kweli jamana yuko POA saaaaanaaa
💖💖
❤❤ love it so much
Who came after ROMA ZIMBABWE POST PROMOTING KAYUMBA
Tz artists are creative sana yaani much love kayumba from mombasa kenya
Jamani adi rahaaa 😚❣️
Tupendane tuwe kati ya makumbusho karne zijazo watusome 🥰
yaani ya huyu bwana hatariii,,,bomba sana kayumba🔥🔥
Chuma kwa chuma namwaga chechee
Mwenzako napewa weka tuwekee
Huu mstari umenibamba mazee
Kayumba saf sana. ..ukiendelea hv mond 😱
Natamani nikatongoze Mara ya pili apo vp wapi like za kayumba 🔥
Huo mstari nauelewa sana
Nipatamu atari
@@frankbenard4377 l
@@scholarjosephat1281 klk
Good music
Huwa sicomment coz gays huwa wanapita tyu, Ila kwasababu ya hii song acha niweke comment yangu kwa hapo vipi!? Si Bomba tyu Kayumba ataisoma.!?
Recently married, my husband chose this song to dance with me on our wedding day. Last week was our wedding and upto now I can't stop listening to this song. Much Love from Kenya. I really love it
He got taste.All the best in your new venture.
Kayumba never disappointed
BBS haikukusea ilpokuchagua 🏆 winner. Ulicho kipanda twakiona kaka bravo 2 sna
Daaah hongera sanaa...Yan nlikuwa na stress had zimeisha ghafla....Bonge la ngoma
Hahaaaa
Bombaaaa........acha tukatongoze kwa mara ya pili
I will continue to show love to Kayumba till he recognize me as a strong fan all the way in Sierra Leone 🇸🇱🇸🇱 West Africa.
I am promoting your all your songs and videos in my country as a music promoter. I am following Kayumba in all his social media platform just to show him love because I love his music like seriously. I Like and share his music.
I remembered the civilian war those years ago in Sierra 😢
I really appreciate you for this kayumba must recognize you for what you are doing
Tanzania having a lot of musicians talented very nice song
😂but do you understand the language?
Huwa tuna waangalia sana wasanii tunasahau Producer Alie tengeneza huu ufundi. Great work Mr t🔥
Mwanang ww unajua mziki.kabisa
Pia uyo Mrembo amecheza kama yeye
Jamani nilikuwa sikujui mpaka ukihojiwa siku hii ya mama duniani hongera yani wewe ni mtoto mwema endelea kumpenda mama yako..
Na ngoma ipo Bomba 🔥😍
Tz huyu nd msaniii ninaemkubali mm kama na we unamkubli gonga like tujuane
Poa tu,1🇦🇪🔥🔥🔥🔥🔥
Sijachelewa jamn like❤❤❤❤❤kayumba
It's on my daily playlist bro. Kazi nzuri sana!
Kayumba weka bidii kazi poa sana.
Bombaaa iyo 🔥🔥
First viewer,, wapi likes from Kenya
ruclips.net/video/HmFCsDePlUA/видео.html
Nice song
Ok
@@anethnkumbulo.8714 what you
@@anethnkumbulo.8714 oooooooķiikioojiiijhikkjjkjjjjijjijijij
Nasubiri uharibu...lkn naona nimesubiri sana bora nikuache tu! Sweet melodies, sweet music as always!
Huyu dogo yupo vizuri Kama umemkubali kwa nyimbo zake usipite bila ya kuweka neno lako hapo
😂😂😂"Mapenzi hayana nunda Uchebe kawa wa igunga". Kwamba kawa mlaiiini sahvi mambo mambo ya ugumu wake wa mwanzo hayapo tena 😂😂😂😂
Hujaeleweka man
Oy mapenz hayana ununda uchebe kaoa igunga.
😂😂
Bonge la video bomba iyo🔥🔥
Aisee nice song ciichokagi and jamaa anajuaa sanaaa😍
Katamu kawimbo kametulia hunaga kazi mbaya broo
Blood ladha tamu fanya utupatie EP moja saaaafiiii
For real I’m here feeling ❤️😂🔥🔥🔥
Like real 🥰😊🔥🔥🔥🙏
Awwww fantastic song , kayumba is lit💥
Bombaa bomba iyo ebwa like zake zote kayumba
Bomba Big tune broo
Dah kayumba we ni noma
If good music was a song, then this is the perfect example
Brother hakika hii umeua 💥💥💥💥💥💣💣 wauwe
I do listen every 5 minute it's so sweet
The boy has pure talent never fails I wish he is signed big music label...
Me too
Na wish angekuwa pale nyumbani WCB huyu aahh angekuwa tishio sanah
Kondegang
Asimame mwenyewe anaweza
Sure I just learnt about him late last year n since its like i have all his songs on my phone... From nichumu to the rest..non passes me
natamani nmtongeze mara ya ||hapo vip BOMBA BOMBA
unajuaaaa jamaaa wewe,naomba like kama 100......
Ila mziki wa bongo umejaa KIKI sana mpk tunasahau kama kuna wasanii wakali kama kayumba kisa KIKI ya watu wawili ila dogo anajua aiseeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥halaf anaimba na nyimbo hazina matusi✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻
Tupendane tuwe Kati ya makumbusho Karine zijazo watusomeee...
Kali hii , ,Kayumba nakukubali kevin from 254
Moto sana 🔥🔥 Can't wait for the remix ft Nadia Mukami
Kayumba ni talented sana.ila hana funds.
Angepata mfadhili angekua mbali #raipenzgenius
Kayumba next level nakkubal San mwanang
No time left to prove the mass that you can, now is the time to show the world bro #kayumba
Congratulations
Tuache utani ngoma qali 🔥🔥🔥
nmeona hii kwa TV station fulani simjui but I support good talent wah huyu anashinda wasafi inabidii nisubscribe
Kayumba hujawahi kuyumba.....kazi nzur sanaaaaa..unajua had keroooo
My favorite 😍😍 I just love how he sing
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Umebadilika sana nice song....ila nahisi nyimbo nikubwa sana kuliko kayumba
Ntamtongoza tu hata mara kumi bongemoja yakazi❣️❤️🌺💯wapambe tuacheni nahii ngoma
New one, from Sudan. Us stay 2gether for our brother. ✌
It’s lit 🔥
Abwa
@@chekoferdinand2409 😂😂😂 Manina wewe
@@dogoally665 yourself
😂🤣💥💥 lit 💥
ruclips.net/video/gRZHPNODMDo/видео.html
I see a big talent in Kayumba your in your level 💪💪 huyu Jamaa atakuja kutawala musick industry akieendelea hivii 254 tumekubali
Kayumba. Ww kutumalza,,poa2😍😘good music
Ndani joto staki fani ooh..🔥🔥
Nice song,sweet lyrics!
Woooow!!!!!!!cool music 😍😍😍😍
Nikimfumania pow tu
Waseme namuandafia pow tu
Me nang'ang'ania pow tu
...................
Goma la moto mzeee
To another level 🔥🔥🔥💫✨
Mi nadhani umejua unachotakiwa kufanya,kazi nzuri Sana man,tupitie humu humu alafu tuone.BRAVOOOOOO
🔥 🔥 sijutii kuwa shabiki yako
Yani Vile Napenda Mziki Wako Ata Nyumbani Kwetu Ningekupa Kiwanja Pamoja Na Dada Yangu Tena Mtoto Wa Kimaasai Mzuri Si Mchezo.Nakukubali Sana You Talent Kayumba 💯💯💯💯💓
Kayumba bingwa💯
Thanks for good music #Kayumba
🔥 🎶
Nakubali mwalimu wangu wa mziki anakusalinia sanjo bela
ebwana tupendane kama makumbusho tuwe historia kwa kizazi kijacho....bomba
This talent is pure daaah I wish awe signed na label kubwa the boy is real deal you never disappoint young bro
A big tune. Love from mombasa KENYA
Hiii ngoma kali sana🔥🔥🔥🔥
natamani nikatongoze mara ya pili hapo vipi......! nakubali mzee baba *kayumbajuma*
Lingala: Nzembo Kitoko
French: belle musique
Swahili: wimbo Mzuri
English: good music
Spanish:buena música
Portuguese: music bonito
🔥❤️🎶🤗
#randykinamber
Umetisha mzee baba.Lazima tunaojua hizo lugha tukupe like kama zote
Português: boa música!
Hahahah ww kiboko
🙏🙏🙏🙏
Good
Salute brother
My favorite guys kwa music uko poa Sana even the way anavaa nguo zake anaonekana Hana Mambo mengi yeye upo busy na kazi,Mungu abariki kazi ya Mikono yako na tuendelee hvyo hvyo we love u
Mwaga hits watakuelewa tuu ww zaidi ya mboso,diamond na wasafi yote amini... #