Kayumba! Una kipaji kikubwa sana mdogo wangu. Endelea kuchapa kazi kuna siku watu wengi zaidi watakuelewa. Ni bahati mbaya sana kwamba muziki wa Tanzania umehodhiwa na majina machache. Lakini tungeangalia vipaji na ujuzi wa kuimba, sioni namna ambayo wewe ungekosekana kwenye waimbaji 10 bora hapa Tanzania. Nakutakia kila la heri na usikate tamaa.
Uyu mziki naupenda mpaka basi jamani kwani like bei gani ili munipeye .
Ngoma kali
Tujuane tnao usikiliza huu wimbo zaid 2024
Tupoo❤❤
Kama ww ni bonge la toto gonga like👍👇
Bonge ya dude
Hiii ndo mixi ya bongo forever ,tofauti na wasani wasasa
Kwel haichosh saut amazing haichosh kurudia Kam umerudia hii ngom Zaid y mar tan ngog like twend saw +254 itambe nakulubali San kayumba
Simpo Wangu
Unajua hadi unakera an blood. Bonge la Toto
Bonge la hit
Bonge la song
Congratulations broo
One of my best song can't wait stop, your star have got shine like bulb so keep move on KAYUMBA
Mbona kimia sana sikuhizi kijana,unatutesa wenziyo
Kayumba! Una kipaji kikubwa sana mdogo wangu. Endelea kuchapa kazi kuna siku watu wengi zaidi watakuelewa. Ni bahati mbaya sana kwamba muziki wa Tanzania umehodhiwa na majina machache. Lakini tungeangalia vipaji na ujuzi wa kuimba, sioni namna ambayo wewe ungekosekana kwenye waimbaji 10 bora hapa Tanzania. Nakutakia kila la heri na usikate tamaa.
Umetisha kaka
Ndo yeye nampendaa San 🥰🥰🥰🥰🥰iyo sautiii 2 jmn
Hii ndio talent ya ukweli wapi like zangu
Sawasawa my lovely musician
Wakimbize sanatu mzee wakazi huaga nakuelewa Sana piga kaz kaka
Kweli hy kaka Anaweza sana tena nyimbo zake nazipenda sanaa kweli
Big up kijana chapa kazi muda ukifika utaongea.Ninakukubali kitambo.
bonge la toto marafiki zangu wanamjua safi Sana Kayumbaaa
Yaan naipenda ad bhac😘😘😘🌹🌹🌹
Ndo yeye kayumba....nakupendaga kinoma
Dah mwanangu kayumba unajua hongera sana kaka
Wow!!.. Kanumba umetisha jaman mwaaaaaaah..
Nakupendaka bure kaka wewe nifundi good work
Ndio wewe uliye shinda bss 2015
nakukubali sana Kayumba
Jamani wana Group Munipe ogera namimi mwezenu 🤲🤲🤲
Huu music naupenda saana kupita maelezo🥰
Kayumb mzik unaujua honger San @@@
Bonge la Toto..ni shiida Nyingine 🔥🔥🔥
Ùk
bonge bonge bonge 😍😍😍latotooooooo 😍 kayuuuuuumba ww nouma Leo ndio nimekukubali dogo nice song
Bonge ranyimbo mdogowangu kza mngu anakuona
Unajua sanaaaa, komaa utatoka
Kayumba ulikua na haki ya kuwa mshindi bss asee
Dash yaan ananikosha na hayo mashairi ❤❤❤❤
Nc kayumba kanzi Nzuri sanaa
Sisi wakenya tumekubali hii ni bonge la ngoma
Nakupenda Adam wang 🙏🙏❤️
Ndio yeye Mwenye kisima changu chafurah😘😘😘😘😘😘
buku 200 zako... anazituliza 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀aliy elewa ...naomba tucheke Hahaha
pumb na mb
unatisha sana kayumba
Kaka anasauti haswa
Dogopambana yaniwewenifundi kayumbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Piga kolabo na nandy hakika itakuwa ngoma kali
My best song 2024❤❤
Umeyokelezea.hii.hongera kayumba
kama unampenda my wako gonga like na kama unamkubali kwamba ni bonge la toto gonga like
Kweli naukubali sana
Noma sana
Baba bg up sanaaaa
Hakuna kukata tamaa pambana mdogo wangu kayumba
Umetishaa mzee baba
Wew
Rocking man mziki mkali kaka
Kayumba fanya kazi
Kwanza UNA SAUTI NZURI
Pia UMEANDIKA VIZURI. Nakuhakikishia utapata VIEWS wakutosha
Napenda.nyimbo.za.huyu..kk.sana.kaza.utafika.mbali..
Huu wimbo naupenda mpaka nikisikiliza najikuta nalia tu🥰🥺🥺🥺
"nami huwa nazingatia, buku miambili zangu nazituliiza"
hiki ndo kipande kinanikosha, big up #Kayumba bonge la nyimbo hii
😂
Jamani uyu kaka a najuwa kuimba sna jamani iyi nyimbo na Ipenda sana
Ñgoma kali mzee babaaa!!!!,kaza butiiii!!!,from j aka juñior
Pika pakua
Ndio yeye kisima changu chafurah😂😂😂😂😂😋😋😋
napenda nyimbo zako kayumba💞
Umetisha Dogo lakeeee
Mwamba anajua sana namkubali
Kali sana kaka
Umetisha babab ukoseagi
Kakaangu nyimbo unajua kuzituliza daah💃💃💃💃💃
Nakukubali kinyama
kayumba kiukwel upo juu sana nakubal sana
Baba nimekukubali nyimbo zako zaleta maana
hatari hatari umetisha
naipenda kinoma yani
Bonge lenyewe Sijajmtia mbooni niaminicho mkufunzi moyo wako auzindua barakoa sawia zidi babu zindua
Sio poa Latisha
Peace kayumba unajua sana bila ubishi
Unajua san mzee
Kijana una nyimbo tamu sana,hujawahi kuniangusha
Huu wimbo nimeuridia Zaid ya Mara 50
True star wenginine wanasubiri
we hatare kayumba Mia kwa Mia
ni bonge la toto , bonge la ngoma nakubal sana kayumba og
Penda sana hii nyimbo jaman
Jamani kupendwa rahaaaa
I love your voice 🔥🔥👌👌from 🇰🇪
Bro umenilazimisha mpaka nmekukubali dah kweli unajua
Mashaallah sauti tam sana
Muziki nzuri sana
Inanikosha sanaaa
hongera sana Kayumba una nyimbo nzuri mno, wewe ni moto wa kuotea mbali.
Kayumba nimeipenda San kaza but
Yaani skuizi unanikoshaa saana
Kila ngoma yako kali
Saluti saana
Donald from Kenya namkubali Sana kayumba kazi nzuri
Hee jaman mery mpaka nimekusahau ulijua kunoga video imebamba
We jamaa nlikuwa nakuchukulia powa ila kuanzia leo mi shabiki yako niko tunduma
Nakukubali sana.
Naqbl kayumba unaweza
Sauti ya kumrudisha nyoka pangoni 💪💪😘😘
Big up kakaa
Mbona uyuu jamaa mkalii saaana.!👏 Bonge la t...
Kayumba fundiiiiiii
Bonge la ngomaaa. Bonge la video
akika broo ukovizuri nakukubalii vibayaa! chananyavu mwamba
Haujawahi kufeli bro never dissapoiment l think yuo should be promoted much more with you TZ Social part form keep it up 💪
ndo yeye nampenda Sana
Penda sana kayumba tangu BS sach unajua kk
The first time I saw you I knew you were going to be the winner. And yul go far .see yourself now..always thank God. You're going far. Una nyota