LEMA ATOA MANENO MAZITO KWA RAIS SAMIA KISA MILION 35 KWA SATIVA, ADAI HAUNA FAIDA, ATAKA WAKAMATWE
HTML-код
- Опубликовано: 2 июл 2024
- #TANZANIA: Godbless Lema, Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini atoa maneno mazito kwa Rais Samia juu ya mchango alioutoa wa milioni 35 kwaajili ya matibabu ya kijana Sativa aliyetekwa na kuumizwa vibaya, adai mchange wake sio muhimu badala yake atoe kauli kwa IGP ili walio husika wakamatwe na kushughulikiwas haraka.
Zaidi: • LEMA ATOA MANENO MAZI...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Kamanda uwachane ukweli wao
Daaah ni kweli... Tushtue! Tumelala sana.
Safi sana kamanda wangu
CHAMA IMARA KABISA SINA SHAKA NA CHADEMA
mh Lema akili kubwa sana nakukubali kiongozi unapont kiukweli
Kweli mchangokwa SATIVA ni sehemu ndogo mno katika ulimwengu wa haki na amani. Agizo la Rais kwa IGP kuhusu utekaji lingekuwa suluhisho kwa hayo yanayoendelea. Kama tulivyosema kuhusu uhuru wa vyombo vya habari kwamba kauli tu bila kubadirisha sheria ni bure, kubadirisha jina la Tume ya uchaguzi bila kubadirisha sheria yenyewe ni bure na ndivyo tunaunga mkono wazo la Mhe Lema kwamba kauli ya Rais kwa IGP itakuwa na faida zaidi kuliko mchango.
Mhe Lema Huu Mkoa ulikuwa unamilikiwa na CUF lakini baada ya kusambalatika wengi hawakuwa na mahali pa kwenda , hivyo CCM wakajipatia kiota sasa tunaamini kwamba baada ya CDM kukumbuka Mkoa huu mambo yatabadirika
Nchiii yanguuuuuu Tanzanian
Lema tusaidie kuwakamata baba
Lema ni kichwa kikubwa Sana chenye akili