LEMA ATOA MANENO MAZITO KWA RAIS SAMIA KISA MILION 35 KWA SATIVA, ADAI HAUNA FAIDA, ATAKA WAKAMATWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 июл 2024
  • #TANZANIA: Godbless Lema, Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini atoa maneno mazito kwa Rais Samia juu ya mchango alioutoa wa milioni 35 kwaajili ya matibabu ya kijana Sativa aliyetekwa na kuumizwa vibaya, adai mchange wake sio muhimu badala yake atoe kauli kwa IGP ili walio husika wakamatwe na kushughulikiwas haraka.
    Zaidi: • LEMA ATOA MANENO MAZI...
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 10

  • @Emmanuelsulle-hq4hx
    @Emmanuelsulle-hq4hx 5 дней назад +5

    Kamanda uwachane ukweli wao

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari День назад

    Daaah ni kweli... Tushtue! Tumelala sana.

  • @user-kt8jf8uy8r
    @user-kt8jf8uy8r 5 дней назад +1

    Safi sana kamanda wangu

  • @frankcharles3980
    @frankcharles3980 4 дня назад +2

    CHAMA IMARA KABISA SINA SHAKA NA CHADEMA

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 5 дней назад +3

    mh Lema akili kubwa sana nakukubali kiongozi unapont kiukweli

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 5 дней назад +3

    Kweli mchangokwa SATIVA ni sehemu ndogo mno katika ulimwengu wa haki na amani. Agizo la Rais kwa IGP kuhusu utekaji lingekuwa suluhisho kwa hayo yanayoendelea. Kama tulivyosema kuhusu uhuru wa vyombo vya habari kwamba kauli tu bila kubadirisha sheria ni bure, kubadirisha jina la Tume ya uchaguzi bila kubadirisha sheria yenyewe ni bure na ndivyo tunaunga mkono wazo la Mhe Lema kwamba kauli ya Rais kwa IGP itakuwa na faida zaidi kuliko mchango.

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 5 дней назад +3

    Mhe Lema Huu Mkoa ulikuwa unamilikiwa na CUF lakini baada ya kusambalatika wengi hawakuwa na mahali pa kwenda , hivyo CCM wakajipatia kiota sasa tunaamini kwamba baada ya CDM kukumbuka Mkoa huu mambo yatabadirika

  • @sautiyanoti5242
    @sautiyanoti5242 4 дня назад +1

    Nchiii yanguuuuuu Tanzanian

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z 5 дней назад +3

    Lema tusaidie kuwakamata baba

  • @Ushauri235
    @Ushauri235 5 дней назад +3

    Lema ni kichwa kikubwa Sana chenye akili