Комментарии •

  • @FilbertEmmanuely
    @FilbertEmmanuely 4 дня назад

    Barikiwa mchunhaji

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi 7 дней назад

    Mungu alisema Imani nimaji au mafuta uongo

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 12 дней назад +2

    Askofu Mwanamapinduzi nimefarijika sana na ujumbe ambao umetupa pamoja na viongozi wa dini wengine. Mungu unayemtumikia akubariki na akupe kusimamia haki hiyo mpaka mwisho. Tunakuombea.💗

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo6869 12 дней назад +2

    Hakika umenena ukweli

  • @allonjoseph5467
    @allonjoseph5467 12 дней назад +1

    baba mch umeeleweka

  • @BonifaceKomba
    @BonifaceKomba 7 дней назад

    Asante Kwa kutupa elimu usichoke kaka Bado watanzania wajinga niwengi

  • @IssaJohn-kk8pb
    @IssaJohn-kk8pb 10 дней назад

    Mchungaji wewe ni msema kweli hii nchi tunaumizwa sana na majizi ya ccm

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi 7 дней назад

    Kaimbe pambio kanisani

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 12 дней назад

    Huyu jamaani3noma zama mpya

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 12 дней назад

    Kwa hiyo wewe unataka tulete fujo nchini tuanze kuuwana kwa Tanzania haiwezekani acha ushawishi wako

  • @user-mf7xy3sf6q
    @user-mf7xy3sf6q 12 дней назад +1

    Wew ndo asikofu mkweeeeeel wenginge machawa tu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 12 дней назад

    Askofu pole sanaaaa yaliyotokea Kenya Tanzania hayawezi kufika sisi nchi yetu hatukupata Uhuru kwa kumwaga damu acha kabisa ushawishi kama huo hao wanasumbuliwa na ukabila na udini

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 12 дней назад

    Kwani hana haki ya kuhama mbona Lowasana Sumaye walihamia Chadema cha ajabu nini

  • @maspro6294
    @maspro6294 12 дней назад

    Wewe utabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa Nchi hii Mavibaraka ya mabeberu na ukimaliza kubwaka ukapige mswaki domo lako Lina nuka kama Choo

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 12 дней назад

      Wewe wasema mbwa wenzio wanasaluti kwake.

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 12 дней назад

      Unaongelea matakoni nchi hii siyo mama yako una mamlaka gani zaidi ya kunuka chawa mbwa wewe