PAMBALU AMVAA MASAUNI UTEKWAJI WATU, "RAIS UNAWEZAJE KUWA NA WAZIRI KAMA MASAUNI?, MTUMBUWE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 июл 2024
  • #TANZANIA: John Pambalu, Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa amvaa Waziri Masauni juu ya kauli yake ya utekwaji wa watu, "Rais Samia, unawezaje kuwa na Waziri kama Masauni?
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 23

  • @user-uq7kk4dw2o
    @user-uq7kk4dw2o 15 дней назад +1

    Amina

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 16 дней назад

    Well said Mr Pambalu

  • @user-uq7kk4dw2o
    @user-uq7kk4dw2o 15 дней назад

    Yesu wangu!!!!hali gani hii,tunaende wapi
    eeeh,eeeh, eeeeh,
    Mungu aaaah,asant...

  • @user-qv4jb7mt5q
    @user-qv4jb7mt5q 16 дней назад +1

    Hata Mimi nakubaliana na wewe ndugu. Upo vizuri sana ndugu.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 16 дней назад

    ENOUGH IS ENOUGH

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo6869 14 дней назад

    Kwa kweli ukimya wa kiongozi mkuu kuh utekaji na waziri kutoa kauli nyepesi kihivyo inathibitisha viongozi wetu wanajua watekaji hao ndo maana hawachukui hatua

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 16 дней назад

    HE. WATEKAJI WANA NGUVU 😢😢

  • @elisantenyange8751
    @elisantenyange8751 16 дней назад

    Asante sana. Bambalu

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 16 дней назад +1

    Iko hivi kwa yale waliosema uvccm kuwa wameshukuru raisi kutoa pesa kwa huyo kijana aliyetekwa ndio tujue kuwa ccm wanakwenda kushinda uchaguzi kwa nguvu km viongozi wa dini upinzani mnazani Kuna uchaguzi uwongo ccm wanakwenda kutumia nguvu kushinda uchaguzi km mbowe anazani kwenda kwenye uchaguzi bila tume huru na katiba mpiyia sahaauni uchaguzi wa serekali za mitaa tundundulisu ameona mbali mwabukusi kaaona mbali ccm na usalama wa taifa ndio wanaifanya haya wakijua sisi waoga sulisho kuandamana tuu viongozi wa dini na upinzani wananchi kuchukua hatua kuweka magari barabarani na mikakati tafouti tofouti lazima tukubali hasara ktk nchi na kufunga mkanda tubadil nchi hatuwezi kwenda mbali kwa haya yanayotia uchungu ktk taifa is too much complain everyday we tanzania we it won't help we need to action religious leader opposition odinary people we have to take Sirius action to asepty such move still ccm going to use force win election crush saport killing who are trying to talk about ccm Rong doing this is vary painful in Tanzania national way ccm treat tanzania people who saport opposition outcome they plan is to kiling opposition in Tanzania ccm plan that yang boy has to be question by lntanationol midia how he treated on odinary Tanzania people who saport opposition and we meet to rizic our life
    And ostaby police has to answer where ather people disupier who where member saport opposition ostaby police station there in daresalama they have to answer Tanzania people and lntanationol community why this happened we tanzania we have to take action ather wise opposition in Tanzania will be difficulty to saviving on such crush on ccm rooling part is lmbarasing action taken by exelence president Samia sluu Hasan was better even late John pombe makufuli leadership this is even more dictatorship more than late John pombe makufuli way of peaple disupier because of saport opposition lazima vyombo vya habari vya kimataifa zimuhoji huyo kijana lazima upinzani na taasisi binafsi vitumie njia mbali mbali apate kuhijuwa na vyombo vya habari vya kimataifa na kumfuatila kwa karibu Sana ccm.kutoa pesa wanaficha ukweli kuwazima ili hiyo habari isifike huko juu tudai wate waliopotea ktk taifa sio lazima mkutane mbeyea mnawapa habari wanajiandaa hiyo lnatakiwa Kila mkoa sio mbeyea watapeleka ulinzi wakijua akili yenu ndongo chadema inaitaji kuweka mikakati ya nchi nzima mijin Kata mkoa sio hiyo ya mbeyea raisi ccm kuwazibiti andaeni vijana viongozi wa dini zote na waumini vyombo vya habari vya kimataifa tunapotaja kufanya hayo wakakimani wa luga zote mbili

  • @chuguletheodos3342
    @chuguletheodos3342 16 дней назад

    Pambalu una akili kubwa sana kuliko hata mawaziri wa ccm

  • @saidmabanga388
    @saidmabanga388 13 дней назад

    Uyuu masaunii ni muhunii kama waunii wengine tuu

  • @jassonbwemero8118
    @jassonbwemero8118 16 дней назад

    So sad😮

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 16 дней назад

    Ndiyo sababu Dr. Ilimboka Aliyetekwa wakati wa awamu ya Kikwete alipigwa sana wakamwacha hoi mpaka sasa hujui kama Dr. Ulimboka yuko hai au kwa sababu wamnyanyasa sana kiasi kwamba akatolewa meno mudomoni kwahiyo udhalilishwaji wa aina hii ni kama walichukuwa ubinadamu wake kiasi kwamba hajioni kuwa ni mwanadamu sawa!

  • @RashidM9hamed
    @RashidM9hamed 16 дней назад

    Huyo Masauni ni.shoga lazima muelewe kama hamjui ulizeni

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877 16 дней назад

    😢

  • @knight6757
    @knight6757 16 дней назад

    🤔😢

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 16 дней назад

    Kaka na wewe bana! Hebu kuwa na mazoea ya kupitia media, Rais wa Tanzania alishaiambia dunia kuwa yeye atakuwa kama chura, akimaanisha chura haongeag lolote , sasa unategemea aongee nn jamani, inauma kiongoz kusema yy ni chura.

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 8 дней назад

    Muogopeni,Mungu jamani hata kama ni madaraka na maagizo kumbukeni duniani tunapita.Haifai binadamu kufanyiana mambo ya kinyama kama hayo.

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 16 дней назад

    Matusi hayafai.hayafai kwa kumtukana mtu yeyote. Watekaji mimi naona aibu sana hawo mnaowateka waperekeni mahakamani. Ili sisi sote tujifunze kosa lake.nawengine vijana wajifunze.sasa kuteka na kuwauwa sasa nawo wataanza kujiandaa kurudisha kisasi.

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 16 дней назад

    Chama cha domokrasia na maokoto