WAPAMBE WA MSIGWA IRINGA WAHAMIA CCM, WAVALISHWA KIJANI NA NJANO, ATUPA KADI, WAIKANDIA CHADEMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 108

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Месяц назад

    Msigwa Mungu anakuona hufaii kuwa pastor

  • @BatazalNdifwa-nk2hl
    @BatazalNdifwa-nk2hl 2 месяца назад +4

    Duuuuuuuuuuu! Msigwa. @ Ulikuwa kwetu umetoka ili kudhihilisha kuwa hukuwa Wakwetu. Hongera msigwa. Ok

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 2 месяца назад +8

    Machizi tu wala hata haitutishii Chadema safiiiiiiiiiiiiiii

  • @polpaul8432
    @polpaul8432 2 месяца назад +5

    Mbona hamna kitu hapo yaani ubunge miaka kumi unaondoka na watu kumi aibu msigwa

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 2 месяца назад +6

    Msigwa ni yule yule oh ni yule yule

  • @fridamarco2122
    @fridamarco2122 2 месяца назад +1

    Hongera sana Msigwa umechagua kilicho boraa😂

  • @deomtekele3166
    @deomtekele3166 2 месяца назад +1

    Siasa nzuri sana

  • @Nunshumutwafa
    @Nunshumutwafa 2 месяца назад +5

    Ahsante sana Comred msingwa

  • @gerachtangatya2835
    @gerachtangatya2835 2 месяца назад +5

    Nimependa uo wimbo kwamba ccm ni Ile ile

  • @ScolaMwamlima
    @ScolaMwamlima 2 месяца назад

    Nimeipenda hiyo

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Месяц назад

    Mwisho wa ccm ni 2025 Mungu amesikia kilio cha watanzania 🙏

  • @AlfredMatemu
    @AlfredMatemu Месяц назад

    Njaaa

  • @AlouiseNgenDanDumwe
    @AlouiseNgenDanDumwe 2 месяца назад

    Msingwa huwezi kushinda ubunge bro nikwambie ukweli but lissu yuko imara sana bro

  • @prospermiraji8473
    @prospermiraji8473 2 месяца назад +4

    Mbona naona waliojiunga kama aliwapanga vileee! Watu wake wa karibu na sio a mere mwanachama wa cdm. Kaaaibika vibaya

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 2 месяца назад

      toka juzi wanatafuta watu wa kuwalisha uniform na kuwapa kadi za CCM wajifanye wamerudi ccm wkt tunajua karudi peke yake km alivyokwenda kwa Samia

  • @TwalibuKimaro-th5mv
    @TwalibuKimaro-th5mv 2 месяца назад +4

    Kwenye msafara wa mamba nabkenge nao wapo

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 2 месяца назад +3

    Wacha waende msigwa atapata ukuu wa wilaya, waliohamia watabaki wakipiga myayo.

  • @LusekeloMwakyalabwe-ux9xq
    @LusekeloMwakyalabwe-ux9xq 2 месяца назад

    Daa njaa mbaya

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 2 месяца назад +2

    Umasikini ukizidi sana unazaa unafiki na kujipendekeza

  • @JosephNgonyani-lh9js
    @JosephNgonyani-lh9js 2 месяца назад

    Hapana kwa kweli sio kweli msigwa sio mwanasiasa

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 2 месяца назад

    Kweli uwezi kukosa vyote ccm wamekosa kuleta maendereo ya watu lakini nyimbo mnazijua na polopaganda miaka 1945 enxi za mkoloni

  • @magesagambajr3546
    @magesagambajr3546 Месяц назад

    Umasikini unatutesa sana nchi za kiafrika
    Hii yote ni njaaa tu
    Na ogopa kufanya maamzi wakati una njaa

  • @LoitushulYamat
    @LoitushulYamat 2 месяца назад

    Hata yuda Iscariot alikua mazuri sana kabla ya kumwasi yesu

  • @HadijaKilagule
    @HadijaKilagule 2 месяца назад

    Sasa ni kwanini asiwalete wote hapo ñdio ingeniga?

  • @KenedyMboma-zb4cq
    @KenedyMboma-zb4cq Месяц назад

    Jitu la hovyoooooo

  • @BatazalNdifwa-nk2hl
    @BatazalNdifwa-nk2hl 2 месяца назад

    Ushauri. Mpeni cheo na wapeni vyeo Hakika hakuna vyeo hakuna Wanaccm hapo. Ok

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 2 месяца назад

    Huko CCM Msigwa atapata ukuu wa wilaya sasa hao wapambe wake watapata nini ubarozi wa nyumba kumi au!?

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 2 месяца назад

    Maajabu ya Msigwa.Turn Coat,I can't believe this.

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 2 месяца назад

    watakuwa wakinga tu sio wahehe

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 2 месяца назад

    Kwa upande wa Iringa Chadema wamepigwa na kitu kizito

  • @FintanMkesha
    @FintanMkesha 2 месяца назад

    Mmesha kula chen

  • @KenedyMboma-zb4cq
    @KenedyMboma-zb4cq Месяц назад

    Mbunge miaka kumi unawatu 11

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot 2 месяца назад

    Umeixhiwa xela ccm kuna wered kuxhnda ww kwaiyo tulia wakat wako umeixha

  • @MatoboGachori
    @MatoboGachori Месяц назад

    Kile kidogo kinacho Baki tuleteen maji nzasa

  • @LivinusMwinuka
    @LivinusMwinuka 2 месяца назад

    Hao nimalimbukeni,ingekuwa jeshini msigwa namesake wangekula shaba.

    • @JonathanSimon-k5r
      @JonathanSimon-k5r 2 месяца назад

      Chadema ni wahun tu siyo Chama ukomboz hawana utetez lisu haongelei Cha kufanya yy matus lema hvyo heshima hawana waangalie siasa za magalibi hoja inakuweka pazur syo matus

  • @magrethmajani9170
    @magrethmajani9170 2 месяца назад

    Hakuna kitu

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 2 месяца назад +2

    Matumbo yatapasuka CCM 😂😂😂

  • @Teresiamwagange
    @Teresiamwagange 2 месяца назад

    Yn najisikia kichf chef kumwon chademq ila chadema itabaki kua safi yn njaa ndo imewapelek huko

  • @ClementLushino
    @ClementLushino 2 месяца назад

    Alioigia nao ndio aliotokanao, kiongozi wa Kanda unaondoka na watu kumi tena IRINGA majini Kanda ni IRINGA majini tu, si mikoa za ya mitatu.

  • @nyakipambodispensary3289
    @nyakipambodispensary3289 Месяц назад

    Mmmh

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 2 месяца назад +3

    Mitumbo, watu mitumbo.

  • @AlouiseNgenDanDumwe
    @AlouiseNgenDanDumwe 2 месяца назад

    Wanasiyasa malaya watakuwepo

  • @ZuhuraMarande-fl2zw
    @ZuhuraMarande-fl2zw 2 месяца назад

    Vaa kofia ilioandikwa ccm

  • @bulugunhandi
    @bulugunhandi 2 месяца назад +1

    Mbunge miaka 10 unaondoka na watu 10 aibu sana

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 2 месяца назад

    Msigwa ni mwana siasa malayamalaya

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 2 месяца назад +2

    Bila chadema wasingekuwa na umaarufu huo,mpaka kupokelewa hivyo,mfano wangetoka udp au chauma, pipoooooz

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 2 месяца назад +1

    Msigwa untafuta cheo haya yetu macho

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 месяца назад

    Tumbo kama gunia Mwenezi alikuwa Makonda tu

  • @raphaelmacha1173
    @raphaelmacha1173 2 месяца назад

    Kweli ni ileile misukule hawajahi kubadilika haka kajamaa kila kakibweka unasikia chadema mbowe na miccm haijui kuwa huyu jamaa anampigia mbowe kampeni

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 2 месяца назад

    Chadema angalieni mapokwama na maamuzi magumu yachukuliwe,msidhani haya mambo yana afya kwa chama,ni bora hapa media mtukane ila ndani shughuli ya kujenga chama kwa nguvu ya chuma iwe inaendlea,la sivyo ipo siku mtanyoosha maelezo.

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 2 месяца назад +1

    Wote mnawo waona hawana habari ya kuzwa bandari mikataba.hawajuwi chochote. Nahawo wamenunuliwa kwa sh 5000. Hawana lolote .sasa ndiyo unaweza kuona wajinga. Walivyo .

  • @rizikimbeve8611
    @rizikimbeve8611 2 месяца назад

    Aiseee siasa mchezo mchafu haufai kuigwa kuliwa kaa mbali na hiyo michezo ya ajabu

  • @TATUMSUMSA
    @TATUMSUMSA 2 месяца назад

    Ulevi sio pombe tu hata upo ulievi usiousiswa na kilevi ni hatari Sana. Poleni Kwa kumpokea kilopo huyo

  • @raphaelmacha1173
    @raphaelmacha1173 2 месяца назад

    Naona hata hawa hajamaa hawajielewi hakikisha unawapa fungu lao usiwarushe

  • @frankyahaya8978
    @frankyahaya8978 2 месяца назад

    Msigwa wewe ilikua unakula hela ya ccm mda mrefu sana na msukuma alifichua Siri hiyo kabla hajahama chadema.

  • @MichaelJoashi
    @MichaelJoashi 2 месяца назад

    Hii nchi watanzania bado sana elimu hatuna

  • @HarunaYohana-d6b
    @HarunaYohana-d6b 2 месяца назад

    Nauhakika wataludi chadem hao

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 2 месяца назад

    Wangeondoka wakina sosopy siglada hapo hasara vidampa tu hao😊

  • @Deoathanasmbongo
    @Deoathanasmbongo 2 месяца назад

    Ama hakika iliandikwa asiyevumilia mpa mwisho hataokoka

  • @MichaleMwakyambiki-pq4co
    @MichaleMwakyambiki-pq4co 2 месяца назад

    Achen utapeli.

  • @maulidmusa8902
    @maulidmusa8902 2 месяца назад +2

    Suasa ya kufuata mtuimroitwa na wajati. Bendera guata upepo hadi lini? Upumbavu tupu

  • @paull8659
    @paull8659 2 месяца назад

    Msigwa huko ulipo sasa hakuna ufisadi wa mabilioni , uuaji, wizi wa kura? Huko kuna demokrasia? Je unaweza kwasasa kumpinga Samia? Samia aliyesema Lissu kupigwa risasi ni sawa? kuwa ccm lazima ichukue dola ni sawa. Wewe ni mchj. wa Ibilisi, mnafiki, muongo, hovyo.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 месяца назад

    Kama naww unaona siasa bongo ubabaishaj tujuane

  • @lewangamunishi1480
    @lewangamunishi1480 2 месяца назад +2

    Msigwa anaenda kufa kisiasa

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 2 месяца назад

      Yaani mtu anakwenda ccm na watu 15 katika Nyasa nzima

  • @sizorstartv6168
    @sizorstartv6168 2 месяца назад

    Hata haina utamu msigwa kuongea unafiki tu kisa karud ccm anavunga anataptapa tuu

  • @tunumigila8995
    @tunumigila8995 2 месяца назад

    Wamemwaga mboga kamwaga ugali😅😅😅😅😅

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li 2 месяца назад

    Huwoo ni ushamba njaa hao niwachache sana chadema aina watu WA dizaini hiyoo wewe msigwa ni muhehe nani asiye wajuwa wahehe atuwashangani hao awawezi kutetemesha chadema tukutane kwenye uchaguzi msigwa tunakuchapa asubuhi tu wewe sura ngumu

  • @costaninMmasi-f4x
    @costaninMmasi-f4x 2 месяца назад

    Tu

  • @WillbadBeda
    @WillbadBeda 2 месяца назад

    Kweli njaaa haina jasiri

    • @samsonmwijage1869
      @samsonmwijage1869 Месяц назад

      Njaa haina baunsa na Msigwa siyo wa kwanza kufanya hivi.

  • @WillbadBeda
    @WillbadBeda 2 месяца назад

    Vya bure vinauwanyie maskini wa akili

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 2 месяца назад

    Ni ccm haohao wamevaa uniform mpya 🤣🤣

  • @LoitushulYamat
    @LoitushulYamat 2 месяца назад

    Makamanda Hawa wanapangwa

  • @InnocentJohn-l5y
    @InnocentJohn-l5y 2 месяца назад

    Tatizo njaa naumasikini mkubwa nafikila zaifu kwawatu yaani ukiangalia hao wote matumbo yamewasumbua msigwa kaaidiwa cheo wewe eti nimemfuata niuzaifu wakifikila nanjaa tu siasa zamaji taka nchi hii

  • @LoitushulYamat
    @LoitushulYamat 2 месяца назад

    Biashara ya kununua watu umeanza na ndo umebaki upande wa ccm

  • @evodiuskivili7499
    @evodiuskivili7499 2 месяца назад

    Mchunga tumbo

  • @AsiaChengula
    @AsiaChengula 2 месяца назад

    Haijatustua bado

  • @LoitushulYamat
    @LoitushulYamat 2 месяца назад

    Wamepangwa hao

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 2 месяца назад

    Hamna kitu hapo.

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 2 месяца назад

    Kweli ile ile ya wezi wa kura

  • @kagombaEnok
    @kagombaEnok 2 месяца назад

    Waende tuuu makapi hayo

  • @lewangamunishi1480
    @lewangamunishi1480 2 месяца назад

    Mbona kadi za zaman

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 2 месяца назад

      Umeuliza vizur sana ccm ni wajinga sana reasoning capacity zero

  • @shanjemanumba6325
    @shanjemanumba6325 2 месяца назад

    Hapa kafeli hahahaha iringa ni chadema hakuna mpinzani

  • @LoitushulYamat
    @LoitushulYamat 2 месяца назад

    Hakuna ulichochukua tutajuana

  • @salama1113
    @salama1113 2 месяца назад

    Ufisadi tuu uzalendo aah

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 2 месяца назад

    KWELI MALAYA HANA AIBU KWELI MSIGWA LEO NIWAKUITUKANA CHADEMA? KWELI USIMSAIDIE MBWA ALIYECHOKA ANAWEZA KUWA ANATAFUTA WA KUUMA MIAKA 20 NDANI YA CHADEMA LEO UNAITUKANA SAHANI ULIOLIA CHAKULA

  • @bazilmateru915
    @bazilmateru915 2 месяца назад

    Mapambano yamemshinda

  • @samuelshunashu7705
    @samuelshunashu7705 2 месяца назад

    CHadema hatuna kadi za hivyo za kwetu Chadema ni za 🎉 kidigitali wadanganyeni wajinga wenzenu hao mbogamboga

  • @TwalibuKimaro-th5mv
    @TwalibuKimaro-th5mv 2 месяца назад

    Wengine kweye kanisa lake

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 2 месяца назад +1

    Mikia nyuma nyuma

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 2 месяца назад

    Hawajulikani hao

  • @DavidMutiba-hr3vo
    @DavidMutiba-hr3vo 2 месяца назад

    Shukrani ya punda ni mateke.huwezi kuamini huyu ni msigwa mpambanaji dhidi ya ccm.

  • @BlessMwangosi-mz8dw
    @BlessMwangosi-mz8dw 2 месяца назад

    Nilikuwasijuikamamsigwanifalakiasihiki

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 2 месяца назад +1

    Hawa ni mahawara zake tu

  • @ANGELUSLIJUJA
    @ANGELUSLIJUJA 2 месяца назад

    TATIZO WANACHAMA. AWATAKIAMINI KUWA NDANI YA CHAMA KUNAMATATIZO MAKUBWA NA YANAITAJI YAFANYIWE UTATUZI WA ALAKA SANA WANABAKIA KUSEMA ANATAKA MMOJA WANAINGIA MIA NA KUSEMA NJAA INAWASUMBIA MARA WAMENUNULIWA NA KUTUKANA TU CHUKUENI ATUA WATU WENYE NGUVU WANATOKA WOTE

  • @bulugunhandi
    @bulugunhandi 2 месяца назад +2

    Hakuna kitu

  • @aloycemchuo7687
    @aloycemchuo7687 2 месяца назад

    Njaa