Chadema ni wahun tu siyo Chama ukomboz hawana utetez lisu haongelei Cha kufanya yy matus lema hvyo heshima hawana waangalie siasa za magalibi hoja inakuweka pazur syo matus
Chadema angalieni mapokwama na maamuzi magumu yachukuliwe,msidhani haya mambo yana afya kwa chama,ni bora hapa media mtukane ila ndani shughuli ya kujenga chama kwa nguvu ya chuma iwe inaendlea,la sivyo ipo siku mtanyoosha maelezo.
Wote mnawo waona hawana habari ya kuzwa bandari mikataba.hawajuwi chochote. Nahawo wamenunuliwa kwa sh 5000. Hawana lolote .sasa ndiyo unaweza kuona wajinga. Walivyo .
Msigwa huko ulipo sasa hakuna ufisadi wa mabilioni , uuaji, wizi wa kura? Huko kuna demokrasia? Je unaweza kwasasa kumpinga Samia? Samia aliyesema Lissu kupigwa risasi ni sawa? kuwa ccm lazima ichukue dola ni sawa. Wewe ni mchj. wa Ibilisi, mnafiki, muongo, hovyo.
Huwoo ni ushamba njaa hao niwachache sana chadema aina watu WA dizaini hiyoo wewe msigwa ni muhehe nani asiye wajuwa wahehe atuwashangani hao awawezi kutetemesha chadema tukutane kwenye uchaguzi msigwa tunakuchapa asubuhi tu wewe sura ngumu
Tatizo njaa naumasikini mkubwa nafikila zaifu kwawatu yaani ukiangalia hao wote matumbo yamewasumbua msigwa kaaidiwa cheo wewe eti nimemfuata niuzaifu wakifikila nanjaa tu siasa zamaji taka nchi hii
KWELI MALAYA HANA AIBU KWELI MSIGWA LEO NIWAKUITUKANA CHADEMA? KWELI USIMSAIDIE MBWA ALIYECHOKA ANAWEZA KUWA ANATAFUTA WA KUUMA MIAKA 20 NDANI YA CHADEMA LEO UNAITUKANA SAHANI ULIOLIA CHAKULA
TATIZO WANACHAMA. AWATAKIAMINI KUWA NDANI YA CHAMA KUNAMATATIZO MAKUBWA NA YANAITAJI YAFANYIWE UTATUZI WA ALAKA SANA WANABAKIA KUSEMA ANATAKA MMOJA WANAINGIA MIA NA KUSEMA NJAA INAWASUMBIA MARA WAMENUNULIWA NA KUTUKANA TU CHUKUENI ATUA WATU WENYE NGUVU WANATOKA WOTE
Msigwa Mungu anakuona hufaii kuwa pastor
Duuuuuuuuuuu! Msigwa. @ Ulikuwa kwetu umetoka ili kudhihilisha kuwa hukuwa Wakwetu. Hongera msigwa. Ok
Machizi tu wala hata haitutishii Chadema safiiiiiiiiiiiiiii
Unateseka kweli 😂😂
Hahaha unaumia kumoyo
Mbona hamna kitu hapo yaani ubunge miaka kumi unaondoka na watu kumi aibu msigwa
Msigwa ni yule yule oh ni yule yule
Hongera sana Msigwa umechagua kilicho boraa😂
Siasa nzuri sana
Ahsante sana Comred msingwa
Nimependa uo wimbo kwamba ccm ni Ile ile
Nimeipenda hiyo
Mwisho wa ccm ni 2025 Mungu amesikia kilio cha watanzania 🙏
Njaaa
Msingwa huwezi kushinda ubunge bro nikwambie ukweli but lissu yuko imara sana bro
Mbona naona waliojiunga kama aliwapanga vileee! Watu wake wa karibu na sio a mere mwanachama wa cdm. Kaaaibika vibaya
toka juzi wanatafuta watu wa kuwalisha uniform na kuwapa kadi za CCM wajifanye wamerudi ccm wkt tunajua karudi peke yake km alivyokwenda kwa Samia
Kwenye msafara wa mamba nabkenge nao wapo
Wacha waende msigwa atapata ukuu wa wilaya, waliohamia watabaki wakipiga myayo.
Daa njaa mbaya
Umasikini ukizidi sana unazaa unafiki na kujipendekeza
Nukuu ya Msigwa hiyo Bungeni😂
Hapana kwa kweli sio kweli msigwa sio mwanasiasa
Kweli uwezi kukosa vyote ccm wamekosa kuleta maendereo ya watu lakini nyimbo mnazijua na polopaganda miaka 1945 enxi za mkoloni
Umasikini unatutesa sana nchi za kiafrika
Hii yote ni njaaa tu
Na ogopa kufanya maamzi wakati una njaa
Hata yuda Iscariot alikua mazuri sana kabla ya kumwasi yesu
Sasa ni kwanini asiwalete wote hapo ñdio ingeniga?
Jitu la hovyoooooo
Ushauri. Mpeni cheo na wapeni vyeo Hakika hakuna vyeo hakuna Wanaccm hapo. Ok
Huko CCM Msigwa atapata ukuu wa wilaya sasa hao wapambe wake watapata nini ubarozi wa nyumba kumi au!?
Maajabu ya Msigwa.Turn Coat,I can't believe this.
watakuwa wakinga tu sio wahehe
Kwa upande wa Iringa Chadema wamepigwa na kitu kizito
Mmesha kula chen
Mbunge miaka kumi unawatu 11
Umeixhiwa xela ccm kuna wered kuxhnda ww kwaiyo tulia wakat wako umeixha
Kile kidogo kinacho Baki tuleteen maji nzasa
Hao nimalimbukeni,ingekuwa jeshini msigwa namesake wangekula shaba.
Chadema ni wahun tu siyo Chama ukomboz hawana utetez lisu haongelei Cha kufanya yy matus lema hvyo heshima hawana waangalie siasa za magalibi hoja inakuweka pazur syo matus
Hakuna kitu
Matumbo yatapasuka CCM 😂😂😂
😂😂😂
Poleni sana.
Yn najisikia kichf chef kumwon chademq ila chadema itabaki kua safi yn njaa ndo imewapelek huko
Alioigia nao ndio aliotokanao, kiongozi wa Kanda unaondoka na watu kumi tena IRINGA majini Kanda ni IRINGA majini tu, si mikoa za ya mitatu.
Mmmh
Mitumbo, watu mitumbo.
Wanasiyasa malaya watakuwepo
Vaa kofia ilioandikwa ccm
Mbunge miaka 10 unaondoka na watu 10 aibu sana
Msigwa ni mwana siasa malayamalaya
Bila chadema wasingekuwa na umaarufu huo,mpaka kupokelewa hivyo,mfano wangetoka udp au chauma, pipoooooz
Msigwa untafuta cheo haya yetu macho
Tumbo kama gunia Mwenezi alikuwa Makonda tu
Kweli ni ileile misukule hawajahi kubadilika haka kajamaa kila kakibweka unasikia chadema mbowe na miccm haijui kuwa huyu jamaa anampigia mbowe kampeni
Chadema angalieni mapokwama na maamuzi magumu yachukuliwe,msidhani haya mambo yana afya kwa chama,ni bora hapa media mtukane ila ndani shughuli ya kujenga chama kwa nguvu ya chuma iwe inaendlea,la sivyo ipo siku mtanyoosha maelezo.
Wote mnawo waona hawana habari ya kuzwa bandari mikataba.hawajuwi chochote. Nahawo wamenunuliwa kwa sh 5000. Hawana lolote .sasa ndiyo unaweza kuona wajinga. Walivyo .
Aiseee siasa mchezo mchafu haufai kuigwa kuliwa kaa mbali na hiyo michezo ya ajabu
Ulevi sio pombe tu hata upo ulievi usiousiswa na kilevi ni hatari Sana. Poleni Kwa kumpokea kilopo huyo
Naona hata hawa hajamaa hawajielewi hakikisha unawapa fungu lao usiwarushe
Msigwa wewe ilikua unakula hela ya ccm mda mrefu sana na msukuma alifichua Siri hiyo kabla hajahama chadema.
Hii nchi watanzania bado sana elimu hatuna
Nauhakika wataludi chadem hao
Wangeondoka wakina sosopy siglada hapo hasara vidampa tu hao😊
Ama hakika iliandikwa asiyevumilia mpa mwisho hataokoka
Achen utapeli.
Suasa ya kufuata mtuimroitwa na wajati. Bendera guata upepo hadi lini? Upumbavu tupu
Umeandika kilugha mzee
😂🤣😂🤣😂
Msigwa huko ulipo sasa hakuna ufisadi wa mabilioni , uuaji, wizi wa kura? Huko kuna demokrasia? Je unaweza kwasasa kumpinga Samia? Samia aliyesema Lissu kupigwa risasi ni sawa? kuwa ccm lazima ichukue dola ni sawa. Wewe ni mchj. wa Ibilisi, mnafiki, muongo, hovyo.
Kama naww unaona siasa bongo ubabaishaj tujuane
Msigwa anaenda kufa kisiasa
Yaani mtu anakwenda ccm na watu 15 katika Nyasa nzima
Hata haina utamu msigwa kuongea unafiki tu kisa karud ccm anavunga anataptapa tuu
Wamemwaga mboga kamwaga ugali😅😅😅😅😅
Huwoo ni ushamba njaa hao niwachache sana chadema aina watu WA dizaini hiyoo wewe msigwa ni muhehe nani asiye wajuwa wahehe atuwashangani hao awawezi kutetemesha chadema tukutane kwenye uchaguzi msigwa tunakuchapa asubuhi tu wewe sura ngumu
Tu
Kweli njaaa haina jasiri
Njaa haina baunsa na Msigwa siyo wa kwanza kufanya hivi.
Vya bure vinauwanyie maskini wa akili
Ni ccm haohao wamevaa uniform mpya 🤣🤣
Makamanda Hawa wanapangwa
Tatizo njaa naumasikini mkubwa nafikila zaifu kwawatu yaani ukiangalia hao wote matumbo yamewasumbua msigwa kaaidiwa cheo wewe eti nimemfuata niuzaifu wakifikila nanjaa tu siasa zamaji taka nchi hii
Biashara ya kununua watu umeanza na ndo umebaki upande wa ccm
Mchunga tumbo
Haijatustua bado
Wamepangwa hao
Hamna kitu hapo.
Kweli ile ile ya wezi wa kura
Waende tuuu makapi hayo
Mbona kadi za zaman
Umeuliza vizur sana ccm ni wajinga sana reasoning capacity zero
Hapa kafeli hahahaha iringa ni chadema hakuna mpinzani
Hakuna ulichochukua tutajuana
Ufisadi tuu uzalendo aah
KWELI MALAYA HANA AIBU KWELI MSIGWA LEO NIWAKUITUKANA CHADEMA? KWELI USIMSAIDIE MBWA ALIYECHOKA ANAWEZA KUWA ANATAFUTA WA KUUMA MIAKA 20 NDANI YA CHADEMA LEO UNAITUKANA SAHANI ULIOLIA CHAKULA
Mapambano yamemshinda
CHadema hatuna kadi za hivyo za kwetu Chadema ni za 🎉 kidigitali wadanganyeni wajinga wenzenu hao mbogamboga
Wengine kweye kanisa lake
Mikia nyuma nyuma
Hawajulikani hao
Shukrani ya punda ni mateke.huwezi kuamini huyu ni msigwa mpambanaji dhidi ya ccm.
Nilikuwasijuikamamsigwanifalakiasihiki
Hawa ni mahawara zake tu
TATIZO WANACHAMA. AWATAKIAMINI KUWA NDANI YA CHAMA KUNAMATATIZO MAKUBWA NA YANAITAJI YAFANYIWE UTATUZI WA ALAKA SANA WANABAKIA KUSEMA ANATAKA MMOJA WANAINGIA MIA NA KUSEMA NJAA INAWASUMBIA MARA WAMENUNULIWA NA KUTUKANA TU CHUKUENI ATUA WATU WENYE NGUVU WANATOKA WOTE
Hakuna kitu
Njaa