SHEIKH KADOGOO AWAVAA MASHEIKH WENZIE SAKATA LA KUVUNJWA KWA HAKI ZA WANANCHI, AFUNGUKA MAZITO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 10

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc День назад

    Point kiongozi

  • @StephenMpallange
    @StephenMpallange 9 часов назад

    Mashehe Kama hapo wanaotetea utekaji na upotezwaji na mauaji ya Watanzania hao hawamtumikii Mungu Wala Pepo hapo kwako, hao ni Mashehe Ubwabwa tu.Hawawataakii mwema waumini wanaowaongoza.

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 2 дня назад

    Ni kweli kabisa 😢

  • @JumaDoce
    @JumaDoce 2 дня назад +2

    Hao ni mashekh wanafiki na pengine na yeye mwenyewe ni mtu dhalim ila kanzu na kibla cha msikiti ndio chaka lake shkhe wakweli hatetei dhulma kwa sababu huo uislamu unakataza dhulama na unataka wazuiwe wenye kudhulumu wengine na si kuwatete kama anavo fanya huyo anaejiita shekhe

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 2 дня назад +1

      Mashehe wa aina ya Mwaipopo wanaiabisha sana Dini yetu na Uislamu wetu.

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 2 дня назад

    Sheikh mwaipopo na shekh mziwanda ni masheikh wa hovyo kabisa waganga wa kienyeji wale, kazi yao kubwa ni kujikomba na kuwa machawa wa ccm

  • @yassinnabwera4273
    @yassinnabwera4273 2 дня назад +1

    Kwanini asitajwe Shehe wangu?Huyo shehe uchwara na wa hovyo anaitwa shehe njaa Mwaipopo,Mganga wa kienyeji.

  • @rajabukitego1662
    @rajabukitego1662 2 дня назад

    Hata,mimi,nilimshagaa,,sana,huyu,shekhe,alitakiwa,akamatwe,ili,asaidie,ich

  • @JumaMkiji
    @JumaMkiji День назад

    Uyo atakua shehe mchumia tumbo tena afaikuitwa shehe uyo ni shehena