Mashehe Kama hapo wanaotetea utekaji na upotezwaji na mauaji ya Watanzania hao hawamtumikii Mungu Wala Pepo hapo kwako, hao ni Mashehe Ubwabwa tu.Hawawataakii mwema waumini wanaowaongoza.
Hao ni mashekh wanafiki na pengine na yeye mwenyewe ni mtu dhalim ila kanzu na kibla cha msikiti ndio chaka lake shkhe wakweli hatetei dhulma kwa sababu huo uislamu unakataza dhulama na unataka wazuiwe wenye kudhulumu wengine na si kuwatete kama anavo fanya huyo anaejiita shekhe
Point kiongozi
Mashehe Kama hapo wanaotetea utekaji na upotezwaji na mauaji ya Watanzania hao hawamtumikii Mungu Wala Pepo hapo kwako, hao ni Mashehe Ubwabwa tu.Hawawataakii mwema waumini wanaowaongoza.
Ni kweli kabisa 😢
Hao ni mashekh wanafiki na pengine na yeye mwenyewe ni mtu dhalim ila kanzu na kibla cha msikiti ndio chaka lake shkhe wakweli hatetei dhulma kwa sababu huo uislamu unakataza dhulama na unataka wazuiwe wenye kudhulumu wengine na si kuwatete kama anavo fanya huyo anaejiita shekhe
Mashehe wa aina ya Mwaipopo wanaiabisha sana Dini yetu na Uislamu wetu.
Sheikh mwaipopo na shekh mziwanda ni masheikh wa hovyo kabisa waganga wa kienyeji wale, kazi yao kubwa ni kujikomba na kuwa machawa wa ccm
Kwanini asitajwe Shehe wangu?Huyo shehe uchwara na wa hovyo anaitwa shehe njaa Mwaipopo,Mganga wa kienyeji.
Hata,mimi,nilimshagaa,,sana,huyu,shekhe,alitakiwa,akamatwe,ili,asaidie,ich
Uyo atakua shehe mchumia tumbo tena afaikuitwa shehe uyo ni shehena